Kuna watu humu JF wana matatizo ya afya ya akili kabisa unakuta mtu anafurahia au kulinganisha Uhai wa binadamu na vitu unakuta mtu anafurahia mauaji, watu kutekwa kupotezwa huyu hawezi kua binadamu wa kawaida lazima ana matatizo ya Afya ya akili...
Wakuu,
Kuna mvutano mzito unaoendelea huko Ulaya kati ya Bunge la Umoja wa Ulaya (European Parliament) na Kamisheni ya Umoja wa Ulaya (European Commission) kuhusu mpango wa kuipatia Tanzania msaada wa kimaendeleo wa kiasi cha Euro Milioni 156 (zaidi ya Tsh. Bilioni 440).
Kwa mujibu wa taarifa...
Kuna watu nawashangaa sana, eti USA wanamwekea Mafwele na familia yake vizuizi vya kwenda USA so what, kwani Mafwele anauhitaji wa kwenda USA?
Soma pia Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu
Kauli hizi zilisikika pia Makonda alipowekewa vizuizi...
Wakuu,
Kama wamechomoa jina la Mafwele wakiwa na data zote hizo, unadhani faili lina majina mangapi? Je, wanasubiri nini kuyachomoa?
======
Kuna tofauti kubwa kati ya kelele za kisiasa na hatua rasmi ya dola.
Kwa miaka mingi, Watanzania wamekuwa wakisikia majina ya watu wanaotajwa kwenye...
Ujumbe unajieleza,Samia Hana pa kutokea, ICC inanukia, mungu tenda miujuza mtesi wetu akinywee kikombe cha mateso
Wenye video wazitume sasa kupitia hii link MASV Portals
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinalaani vikali uamuzi wa utawala haramu wa Samia Suluhu Hassan wa kuzuia ujumbe rasmi wa Kamati Ndogo ya Haki za Binadamu ya Bunge la Ulaya kutembelea Tanzania.
Hatua hii ni jaribio jingine la wazi la utawala huu haramu kuficha ukweli kuhusu mauaji...
Wakuu,
Kuna taarifa nzito sana imetolewa na Bunge la Ulaya (European Parliament) kuhusu mahusiano yetu ya kidiplomasia na hali ya haki za binadamu hapa nchini.
Kwa mujibu wa chapisho rasmi kutoka kwenye tovuti ya bunge hilo, Serikali ya Tanzania imeikatalia kamati ya Wabunge wa Ulaya kufanya...
Akizungumza wakati wa kuwasilisha matokeo ya utafiti huo, Afisa Utafiti wa Legal and Human Rights Centre (LHRC), Fundikira Wazambi, amesema wanaume wameongoza kwa kuathirika na ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Tanzania mwaka 2025, kutokana na matukio ya machafuko ya Oktoba, ukiwemo ukiukwaji...
Watu walifilisiwa mali zao pasipo hata sababu za msingi.
Watu wengi hawa mkupelekwa mahakamani waliporwa mali zao kwa kisingizio cha uhujumu uchumi.
Sheria hazikufuatwa.
Amri za Sokoine zilitumika kupora mali za watu bila kufuata sheria
Ndugu zetu wa Kenya wanataka integration ya software kama Haki za binadamu sio hardware kama passport au mambo ya common market, hayo yatakuwa Tu yenyewe tukiwa, tunataratibunnzuri za maisha.
Eti Echolima1 MK254 loose Nut kwani wale vijana wanachukizwa na ustaarabu wa magharibi na maendeleo yake huku wakishabikia vikundi vinavyohatarisha maisha ya watu duniani kisa vikundi hivi vinasali kama wao?
Je ni upumbavu au ulimbukeni? Au vyote kiujumla?😁
Mtandao wa wanaharakati wa demokrasia barani Afrika, Pan African Solidarity Network, umetoa tamko kali ukieleza wasiwasi mkubwa kuhusu kuzorota kwa hali ya haki za binadamu katika nchi za Afrika Mashariki, hususan Tanzania na Uganda, huku ukitaka hatua za haraka kuchukuliwa kulinda demokrasia na...
Mtaalamu wa Masuala ya Katiba na Sera Wakili Edson Kilatu ameeleza wasiwasi wake, na kutilia shaka kuhusu utendaji wa 'Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB)' Nchini akidai kwamba akidai kwamba uhuru iliyopewa Tume hiyo kwa mujibu wa Katiba na Sheria hautumiki ipasavyo
Akihojiwa na...
Anaandika Jebra Kambole
AfCHPR imesema ibara ya 74 (12) Ya Katiba ya Tz na Ibara ya 119(13) ya Katiba ya Zanz zinakiuka ibara ya 3(2) na 7(1)(a) ya Mkataba wa ACHPR kwa sababu ibara hizo zinakataza kufungua kesi ya kupinga ujinga wa INEC na ZEC.
Tunashukuru kuwa kwenye Timu ya Mawakili wa kesi...
Kumbukumbu za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 nchini Tanzania zitaendelea kudumu katika akili za wengi, si tu kwa matokeo yake, bali kwa "giza la kidigitali" lililotanda nchini kote.
Uamuzi wa mamlaka kuzima mtandao wa intaneti na kufungia bila kimomo na bila kufuata misingi ya sheria mitandao...
LHRC inatarajia kutoa taarifa ya hali ya haki za binadamu nchini kama sehemu ya kazi zake za kila siku.
Ili kufanikisha ubora wa taarifa hii tunaomba maoni yako ya dhati kuhusiana na mtazamo wako kuhusu hali ya haki za binadamu nchini.
Majibu ni ya siri (hayatahusishwa na jina lako) na...
Wakuu,
Ni mara chache sana kusikia mtu mwenye cheo huko Polisi ku-advocate masuala ya haki za binadamu na utawala bora
Tunaelekea pazuri?
==========
Kamishna wa Polisi Zanzibar (CP) Kombo Khamis Kombo, ametoa wito kwa askari polisi kufanya kazi kwa kuzingatia haki za binadamu.
CP Kombo...
Kamishina Mkuu wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (HRC) Volker Turk ameeleza masikitiko yake kuhusu uvunjifu wa haki za binadamu duniani, huku akipongeza hatua ya Tanzania kuanzisha Tume ya Uchunguzi wa vurugu zilizotokea katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025.
Akitoa mwelekeo...
https://www.youtube.com/live/wr4EWHjPnuE?si=71vzeEzsoV41J8sS
Akitoa taarifa kuhusu hali ya haki za binadamu nchini, Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Wakili Fulgence Massawe, amesema kuwa kumekuwa na ongezeko la matumizi mabaya ya madaraka kwa baadhi ya viongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.