haki za binadamu

  1. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Unawezaje kufurahia watu kutekwa ,mauaji, watu kupotezwa?

    Kuna watu humu JF wana matatizo ya afya ya akili kabisa unakuta mtu anafurahia au kulinganisha Uhai wa binadamu na vitu unakuta mtu anafurahia mauaji, watu kutekwa kupotezwa huyu hawezi kua binadamu wa kawaida lazima ana matatizo ya Afya ya akili...
  2. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bunge la Ulaya (EU) lapinga Msaada wa Euro Milioni 156 (Tsh. Bilioni 440+) kwa Tanzania. Wataja Haki za Binadamu na Uchaguzi wa 2025

    Wakuu, Kuna mvutano mzito unaoendelea huko Ulaya kati ya Bunge la Umoja wa Ulaya (European Parliament) na Kamisheni ya Umoja wa Ulaya (European Commission) kuhusu mpango wa kuipatia Tanzania msaada wa kimaendeleo wa kiasi cha Euro Milioni 156 (zaidi ya Tsh. Bilioni 440). Kwa mujibu wa taarifa...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Hata kama Mafwele na Makonda hawahitaji kwenda USA, ni aibu kwa Tanzania na Raisi Samia viongozi wake kuwekewa vikwazo kwa ukiukwaji haki za binadamu

    Kuna watu nawashangaa sana, eti USA wanamwekea Mafwele na familia yake vizuizi vya kwenda USA so what, kwani Mafwele anauhitaji wa kwenda USA? Soma pia Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu Kauli hizi zilisikika pia Makonda alipowekewa vizuizi...
  4. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Marekani ikitumia Section 7031(c) ina maana wana taarifa za UHAKIKA, mbali na Mafwele kuna majina mangapi mengine kwenye Faili?

    Wakuu, Kama wamechomoa jina la Mafwele wakiwa na data zote hizo, unadhani faili lina majina mangapi? Je, wanasubiri nini kuyachomoa? ====== Kuna tofauti kubwa kati ya kelele za kisiasa na hatua rasmi ya dola. Kwa miaka mingi, Watanzania wamekuwa wakisikia majina ya watu wanaotajwa kwenye...
  5. digba sowey

    JamiiForums Tanzania Shirika la haki za binadamu (HRw) laomba picha za 29 October ili kukusanya ushahidi wa kupelekea ICC

    Ujumbe unajieleza,Samia Hana pa kutokea, ICC inanukia, mungu tenda miujuza mtesi wetu akinywee kikombe cha mateso Wenye video wazitume sasa kupitia hii link MASV Portals
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CHADEMA yailaani Serikali kwa kuizuia Tume ya Haki za Binadamu ya Bunge la Ulaya kutembelea Tanzania

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinalaani vikali uamuzi wa utawala haramu wa Samia Suluhu Hassan wa kuzuia ujumbe rasmi wa Kamati Ndogo ya Haki za Binadamu ya Bunge la Ulaya kutembelea Tanzania. Hatua hii ni jaribio jingine la wazi la utawala huu haramu kuficha ukweli kuhusu mauaji...
  7. Informer

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yadaiwa kuwazuia Wabunge wa Ulaya (EU) Kufanya Ziara Nchini

    Wakuu, Kuna taarifa nzito sana imetolewa na Bunge la Ulaya (European Parliament) kuhusu mahusiano yetu ya kidiplomasia na hali ya haki za binadamu hapa nchini. Kwa mujibu wa chapisho rasmi kutoka kwenye tovuti ya bunge hilo, Serikali ya Tanzania imeikatalia kamati ya Wabunge wa Ulaya kufanya...
  8. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Rais Ramaphosa wa Afrika Kusini ndiye msemaji wa masuala ya haki za binadamu bila woga kimataifa, kama Mwalimu Nyerere

    Tumepata Rais toka Afrika, Rais Cyril Ramaphosa ambaye kama Mwalimu Kambarage Nyerere, anayeweza kuongea kimataifa juu ya haki, na watu wakamwelewa.
  9. Mindyou

    JamiiForums Tanzania LHRC: Watoto na Wanaume ndio waathirika wakuu wa uvunjifu wa haki za binadamu Tanzania kwa mwaka 2025

    Akizungumza wakati wa kuwasilisha matokeo ya utafiti huo, Afisa Utafiti wa Legal and Human Rights Centre (LHRC), Fundikira Wazambi, amesema wanaume wameongoza kwa kuathirika na ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Tanzania mwaka 2025, kutokana na matukio ya machafuko ya Oktoba, ukiwemo ukiukwaji...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kusifiwa Operation alizosimamia Hayati Sokoine, zilifanyika kinyume na misingi ya sheria. Haki za binadamu zilivunjwa na uporaji kufanyika

    Watu walifilisiwa mali zao pasipo hata sababu za msingi. Watu wengi hawa mkupelekwa mahakamani waliporwa mali zao kwa kisingizio cha uhujumu uchumi. Sheria hazikufuatwa. Amri za Sokoine zilitumika kupora mali za watu bila kufuata sheria
  11. A

    JamiiForums Tanzania Ndugu zetu wa Kenya wanataka integration ya software kama Haki za binadamu sio hardware kama passport

    Ndugu zetu wa Kenya wanataka integration ya software kama Haki za binadamu sio hardware kama passport au mambo ya common market, hayo yatakuwa Tu yenyewe tukiwa, tunataratibunnzuri za maisha.
  12. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kwanini hawa jamaa wa upande wa pili wengi wao ni mashabiki wakubwa wa mamlaka zenye hurka ya ugaidi na uminyaji wa haki za binadamu?

    Eti Echolima1 MK254 loose Nut kwani wale vijana wanachukizwa na ustaarabu wa magharibi na maendeleo yake huku wakishabikia vikundi vinavyohatarisha maisha ya watu duniani kisa vikundi hivi vinasali kama wao? Je ni upumbavu au ulimbukeni? Au vyote kiujumla?😁
  13. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa Pan-African Solidarity wahoji Hali ya Haki za Binadamu Tanzania na Uganda, Wataka Wafungwa wa Kisiasa Waachiliwe

    Mtandao wa wanaharakati wa demokrasia barani Afrika, Pan African Solidarity Network, umetoa tamko kali ukieleza wasiwasi mkubwa kuhusu kuzorota kwa hali ya haki za binadamu katika nchi za Afrika Mashariki, hususan Tanzania na Uganda, huku ukitaka hatua za haraka kuchukuliwa kulinda demokrasia na...
  14. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Wakili Kilatu atilia shaka uhuru wa tume ya ya haki za binadamu nchi

    Mtaalamu wa Masuala ya Katiba na Sera Wakili Edson Kilatu ameeleza wasiwasi wake, na kutilia shaka kuhusu utendaji wa 'Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB)' Nchini akidai kwamba akidai kwamba uhuru iliyopewa Tume hiyo kwa mujibu wa Katiba na Sheria hautumiki ipasavyo Akihojiwa na...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Afrika ya haki za binadamu imesema kila jambo la tume ya uchaguzi ni lazima lihojiwe mahakamani!

    Anaandika Jebra Kambole AfCHPR imesema ibara ya 74 (12) Ya Katiba ya Tz na Ibara ya 119(13) ya Katiba ya Zanz zinakiuka ibara ya 3(2) na 7(1)(a) ya Mkataba wa ACHPR kwa sababu ibara hizo zinakataza kufungua kesi ya kupinga ujinga wa INEC na ZEC. Tunashukuru kuwa kwenye Timu ya Mawakili wa kesi...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Giza la Kidigitali Tanzania: Asasi za Kiraia, Wananchi, na Mawakili Tusimame Pamoja Kukataa Aina Hii Mpya ya Udikteta

    Kumbukumbu za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 nchini Tanzania zitaendelea kudumu katika akili za wengi, si tu kwa matokeo yake, bali kwa "giza la kidigitali" lililotanda nchini kote. Uamuzi wa mamlaka kuzima mtandao wa intaneti na kufungia bila kimomo na bila kufuata misingi ya sheria mitandao...
  17. LHRC

    JamiiForums Tanzania Shiriki katika Tathmini Fupi Kuhusu Hali ya Haki za Binadamu Tanzania

    LHRC inatarajia kutoa taarifa ya hali ya haki za binadamu nchini kama sehemu ya kazi zake za kila siku. Ili kufanikisha ubora wa taarifa hii tunaomba maoni yako ya dhati kuhusiana na mtazamo wako kuhusu hali ya haki za binadamu nchini. Majibu ni ya siri (hayatahusishwa na jina lako) na...
  18. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Kamishna wa Polisi Zanzibar (CP) Kombo Khamis: Polisi heshimuni haki za binadamu

    Wakuu, Ni mara chache sana kusikia mtu mwenye cheo huko Polisi ku-advocate masuala ya haki za binadamu na utawala bora Tunaelekea pazuri? ========== Kamishna wa Polisi Zanzibar (CP) Kombo Khamis Kombo, ametoa wito kwa askari polisi kufanya kazi kwa kuzingatia haki za binadamu. CP Kombo...
  19. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Baraza la Haki za Binadamu UN laipongeza Tanzania kuchunguza matukio ya vurugu Oktoba 29

    Kamishina Mkuu wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (HRC) Volker Turk ameeleza masikitiko yake kuhusu uvunjifu wa haki za binadamu duniani, huku akipongeza hatua ya Tanzania kuanzisha Tume ya Uchunguzi wa vurugu zilizotokea katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akitoa mwelekeo...
  20. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania LHRC: Wakuu wa Wilaya hawana mamlaka ya Kipolisi kutoa amri ya raia kuwekwa ndani

    https://www.youtube.com/live/wr4EWHjPnuE?si=71vzeEzsoV41J8sS Akitoa taarifa kuhusu hali ya haki za binadamu nchini, Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Wakili Fulgence Massawe, amesema kuwa kumekuwa na ongezeko la matumizi mabaya ya madaraka kwa baadhi ya viongozi...
Back
Top Bottom