ugonjwa

  1. Damaso

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Utafiti wa Tuskegee juu ya ugonjwa wa Kaswende ulivyokua wa kikatili kuangamiza Wanaume Weusi Marekani

    Katika historia ya matukio ya kustaajabisha yaliyofanywa na taasisi za serikali kwa jina la “sayansi”, hakuna tukio lililojaa huzuni, udhalilishaji, na ukiukwaji wa maadili ya kibinadamu kama Utafiti wa Tuskegee kuhusu ugonjwa wa Kaswende (The Tuskegee Syphilis Study) uliofanyika kuanzia mwaka...
  2. McLaren

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Mpox watua nchini Kenya. Kesi 226 zaripotiwa

    Wakuu, Ugonjwa wa Mpox wasambaa Magharibi mwa Kenya Kaunti za Busia, Bungoma na Kakamega zimeathiriwa na mlipuko wa ugonjwa wa Mpox, unaosababishwa na virusi. Busia ni ya pili kwa athari nchini Kenya, ikiwa na maambukizi 56 yaliyothibitishwa, wagonjwa wawili wamelazwa, wanane wanatibiwa...
  3. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Gambia yaripoti mlipuko wa ugonjwa wa Mpox

    Gambia imeripoti mlipuko wa ugonjwa wa mpox baada ya kugunduliwa kisa kimoja kupitia mfumo wa uchunguzi wa kawaida. Ugonjwa huo, ambao ni dharura ya afya ya kimataifa, unazidi kuenea katika nchi za Afrika Magharibi. Wizara ya Afya ya Gambia imesema kuwa kugundulika kwa kisa hiki katika nchi...
  4. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Audio: Ugonjwa wa Herpes Simplex na VVU/UKIMWI

    --- --- --- Thread Rejea: - Niko kitandani siku ya pili Sasa Baada ya kukutana na huyu Dada
  5. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania China imefungia Mtandao wa Onlyfans ikitaja kuwa chanzo cha Mmomonyoko wa Maadili

    Serikali ya China imefunga rasmi jukwaa la OnlyFans, ikilitaja kuwa ni mfano wa mmomonyoko wa maadili kutoka Magharibi. Hatua hiyo imechukuliwa baada ya jukwaa hilo kufunguka kwa muda mfupi bila VPN, hali iliyozua hisia kuwa huenda sera zimelegezwa, lakini marufuku ikarejeshwa haraka China...
  6. Y

    JamiiForums Tanzania Kubadilishiwa majukumu kutokana na ugonjwa

    Habari Umejaribu kutafuta matibabu?
  7. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania kulu ya White House yanasema Trump ana ugonjwa wa sugu wa mshipa

    Donald Trump anaugua ugonjwa sugu wa mshipa, Ikulu ya Marekani ilitangaza siku ya Alhamisi, baada ya siku kadhaa za uvumi kuhusu picha zinazoonyesha michubuko kwenye mkono wa rais huyo wa Marekani. Baada ya hivi karibuni kupata uvimbe kwenye miguu yake, Trump alifanyiwa "uchunguzi wa kina"...
  8. laii

    JamiiForums Tanzania Ujue ugonjwa wa kulala ghafla mchana hata kama ulilala masaa mengi usiku.

    Shida ya kulala mchana,hata kama ulilala vizuri usiku,unakuta mtu hata afanyaje anashindwa kujizuia kulala, inawapata asilimia chache ya watu Duniani,zaidi unawakumba wanawake, kwa kitaalamu unaitwa, Narcolepsy. Huu ni ugonjwa wa usingizi wa mfumo wa neva unaosababisha mtu kulala ghafla wakati...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa homa ya mapafu kwa nguruwe (swine pneumonia)

    --- 🐖📌 ELIMU KWA WAFUGAJI Ugonjwa wa Homa ya Mapafu kwa Nguruwe (Swine Pneumonia) --- 🔍 Ugonjwa huu ni nini? Ni maradhi yanayoathiri mfumo wa upumuaji wa nguruwe. Husababisha shida ya kupumua, ukuaji hafifu na huweza kusababisha vifo iwapo hautadhibitiwa mapema. --- 🔬 Visababishi Vikuu...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa ndigana baridi (anaplasmosis) kwa ng'ombe

    --- 🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI Ugonjwa wa Anaplasmosis (Ndigana Baridi) kwa Ng’ombe --- 🔍 Utangulizi: Anaplasmosis ni ugonjwa hatari unaosababishwa na vimelea vinavyoenezwa na kupe. Husababisha homa, upungufu wa damu, udhaifu na unaweza kusababisha vifo ikiwa haitatibiwa kwa wakati. --- 🦠...
  11. Chibike

    JamiiForums Tanzania Ujue ugonjwa wa akili unaoitwa Delusion of Grandeur/schizophrenia/bipolar disorder

    Ni Ugonjwa wa akili ambapo mtu anaiga kuwa ana maisha mazuri au ana mali wakati kiuhalisia hana.. unajulikana kama Delusion of Grandeur. Delusion of Grandeur ni aina ya ugonjwa wa akili (kama vile schizophrenia au bipolar disorder) ambapo mtu anaamini kuwa ana sifa za Hali ya juu, mali nyingi...
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Wakulima wa ndizi walia na ugonjwa wa fungashada

    Uzalishaji wa zao la ndizi umeaanza kuathirika katika baadhi ya mashamba ya migomba katika Kata za manispaa ya Morogoro ikiwemo Kata ya Kauzeni na Mzinga kufuatia mashamba yao kuathiriwa na ugonjwa wa fungashada ya migomba kuanzia mwaka jana. Godfrey Yanda na Ally Kondo ni wakulima wa zao la...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa kuvimba ndani ya masikio(otitis)kwa mbwa

    🦴📌 Elimu kwa Wamiliki wa Mbwa – Fahamu Ugonjwa wa Otitis (Maambukizi ya Masikio) Habari za leo wapendwa wafugaji wa mbwa! Leo tunakuletea somo muhimu kuhusu ugonjwa wa Otitis – ugonjwa wa sikio unaowapata mbwa wengi bila kutambuliwa mapema. --- 🔍 Otitis kwa Mbwa ni nini? Ni hali ya...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa ndigana kali (east coast fever) kwa ng'ombe

    --- 📌 Elimu kwa Wafugaji – Ugonjwa wa Ndigana Kali (East Coast Fever – ECF) kwa Ng’ombe --- 🔬 ECF ni nini? Ni ugonjwa hatari unaowashambulia ng’ombe, husababishwa na kimelea aitwaye Theileria parva, anayeenezwa na kupe aina ya Brown Ear Tick (Rhipicephalus appendiculatus). --- 🚨 Dalili za...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa ndorobo (trypanosomiasis) kwa ng'ombe

    Habari za Leo wafugaji nashukuru mungu kwa muda huu mzuri ambapo nitakwenda kutoa elimu juu ya ugonjwa wa ndorobo kwa ng'ombe; --- Ugonjwa wa (ndorobo) Trypanosomiasis kwa Ng'ombe --- Sababu: Ugonjwa huu husababishwa na vimelea vidogo vinavyoitwa Trypanosoma, vinavyoenezwa na mbu aina ya...
  16. Marco Seth

    JamiiForums Tanzania Njia Ya Kuponywa ambayo watu wachache wanaiamini na wameona matokeo yake

    Tumezoea Kuona watu wanaumwa Na kutegemea Dawa sana Na wengine wanaenda kwa waganga kumbe wanaongeza matatizo Kwa Nguvu za Mungu hakuna lisilowezekana -Imani Kuwa na Imani na unapo sali Na pia Omba toba usamehewe dhambi zako Math 9:22 Yesu akageuka, akamwona, akamwambia, Jipe moyo mkuu, binti...
  17. Marco Seth

    JamiiForums Tanzania SIRI YA UPONYAJI (UGONJWA WOWOTE)

    Tumezoea Kuona watu wanaumwa Na kutegemea Dawa sana Na wengine wanaenda kwa waganga kumbe wanaongeza matatizo Kwa Nguvu za Mungu hakuna lisilowezekana -Imani Kuwa na Imani na unapo sali Na pia Omba toba usamehewe dhambi zako Math 9:22 Yesu akageuka, akamwona, akamwambia, Jipe moyo mkuu, binti...
  18. youngkato

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda: Ugonjwa wa Monkey poxy upo kuweni makini

    Naandika hii thread nikiwa nimejiweka karantini, ukiona vipele havieleweki sehemu yoyote ya mwili hasa sehemu za siri nenda haraka hospitali. Vipele vinakuwa kama vina shimo katikati, pembeni ni vyeupe, havitoi maji wala usaha ila vinasambaa kwa speed kali sana na vinakua hararaka sana...
  19. Sarikiaeli

    JamiiForums Tanzania Msaada wa tabibu bingwa wa Vidonda vya Kisukari

    Habari ya uzima wakuu ! Naomba msaada wa haraka, kwa ajili ya ndugu yangu, sawa kichwa cha habari hapo juu. Ndugu yangu, amepatwa na changamoto kubwa ya ugonjwa wa kisukari, unaombatana na vidonda vikubwa hasa miguu yote! Hivyo, naomba ushauri wenu wakuu mahali hapa, hasa kwa wenye ushuhuda wa...
  20. S

    JamiiForums Tanzania Kigezo cha kustaafu kiwe ni ugonjwa ama kifo, na siyo umri kama ilivyo sasa. Case study ni Steven Wasira.

    Kuna sababu gani ya msingi kumuondoa ofisini mtu mwenye taaluma na ujuzi wake ktk umri wa miaka 60, rais wa nchi (kazi ngumu zaidi) ana zaidi ya miaka 60? Samia ana miaka 63. Wasira ana miaka 81. Wana nyadhifa kubwa zinzoamua mustakabali wa watanzania. Kwann watumishi wa chini huku...
Back
Top Bottom