Mambo muhimu juu ya udhibiti wa Mbu waenezao Malaria kwa njia za Utangamano;
Matumizi sahihi ya Vyandarua vyenye dawa kwa kila mwanajamii kila siku
Upulizaji viuatilifu ukoko kwenye kuta ndani ya nyumba ni njia fanisi ya kuua mbu waenezao malaria na hivyo kupunguza maambukizi ya malaria...
Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea vinavyojulikana kama 'Plasmodium' ambavyo huenezwa na mbu jike aina ya Anofelesi.
Ugonjwa wa Malaria huenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine pale mbu mwenye vimelea vya malaria anapomuuma mtu mwingine na kuacha vimelea mwilini mwake.
DALILI...
Tundu Lissu kupitia akaunti binafsi ya mtandao wa X ameandika,
'Hivi Serikali hii ilijifunza chochote juu ya kifo cha Magufuli mwaka juzi? Kifo au ugonjwa wa kiongozi mkuu wa nchi havifichiki! Kufichaficha kunaleta hisia mbaya za mchezo mchafu dhidi yake. Jisafisheni! Tuambieni aliko Makamu wa...
YAH: TAARIFA YA MLIPUKO WA UGONJWA WA SURUA KATIKA JIJI LA DODOMA
Tafadhali husika na somo tajwa hapo juu.
Mnajulishwa kuwapo na mlipuko wa Ugonjwa wa Surua katika Jiji la Dodoma. Na hili linatokana na sampuli zilizochukuliwa kuthibitika kuwa na maambukizi ya ugonjwa wa Suru ana hivyo kufanya...
Kuna watu ambao kwa asili yao wana harufu fulani ya tofauti ambayo kwa mtu mwingine inaweza kuwa ni ya kukera kwa kiasi fulani.
Mhusika au wahusika wengi wenye hali hii mara nyingi ni watu coloured (wasio weusi) au hawa tunawaita weupe na mara nyingi unakuta wao wenyewe hawana habari kama...
Wanabodi,
Leo ni Siku ya Kimataifa ya Ugonjwa wa Kisukari, huu ugonjwa uko kwenye kundi la magonjwa yasiyo ambukiza, ugonjwa huu hauna tiba za kihospitali zaidi ya kudungwa sindano ya Insulin for Life! kwa maisha yako yote.
Kuna wanganga wa kienyeji wa tiba asili na riba mbadala ambao...
Short story: this is experience nimepata recently,
Kijana kaoa familia ambayo mama wa mwanamke ana matatizo ya akili. ndoa ilikuwa fresh sana amna shida. shida ilikuja wamepata watoto wa 3, 2 wana shida ya akili.
Wanapata convulsion (fit, degedege) za kutosha. wamefanya everything. sasa...
Huyu mcheza kikapu maarufu ambaye hivi juzi ametangazwa kuwa bilionea ameishi na ngoma kw miaka 32. Aligundulika na UKIMWI mwaka 1991. Akatangaza hadharani kuwa kaukwaa. Hadi leo mwaka wa 32, akiwa na miaka 64 bado anadunda nao. Tajiri hafi kwa ngoma.
Mtu haumwi homa yoyote ya kuonekana.
Hana tatizo la afya ya akili (Ukichaa).
Anafanya kazi zake vema tu.
Sio mgomvi/mkorofi
Anajihisi huru mwenye raha na furaha anapokuwa yuko mwenyewe "alone"
Je mtu kama huyo yuko sawa au ana shida ya namna yoyote ile inayohitaji matibabu?
Kama Kichwa Cha Habari kinavyojieleza...hapo juu
Naomba msaada kujua huu ni ugonjwa gani wa kuku na unasababishwa na nini ?na Tiba yake ni nini?
Ni kuku wa kienyeji
Mwenye kujua Tiba yake ikiwa madawa ya madukani au mitishamba naomba anijuze
Nimeambatanisha na picha 👇🏿👇🏿
Habari za Majukumu wakuu....
Niko na shida na Kuku wangu wa kienyeji...
Ni Siku ya pili kuku wangu hachangamki hata kula awezi kula vizuri
Baada yakumchunguza nimekuja kugundua kinyesi chake si Cha kawaida .. nimejaribu kuambatanisha na picha hapo chini👇🏿👇🏿
Mwenye kujua ugonjwa na tiba ikiwa...
Niende kwenye hoja.
Sijui ni ugonjwa gani huu, mapele na yakipasuka yanageuka madonda. Watoto wanawashwa na akijikuna anazidisha maambukizi na madonda huwa makubwa na kwa dalili ilivo inaonekana wanaumia sana.
Madktari nilionana nao wapo kana kwamba wanabuni tatizo.
Kama kuna aliyeona shida...
Haswa shule za boarding ambazo ni wasichana tupu. Hilo tatizo Huwa la kuishiwa nguvu miguuni huyokea mara Kwa mara.
Kufuatia hiyo shule ya kenya ya wasichana inayotrend, lakini Mimi nimeshaishuhudia mara nyingi.
Poa Kwa shule za mchanganyikon huw inatokea ila Kwa uchache sana.
Je, kuna namna...
ZAIDI ya watu 20,000 wameripotiwa kung’atwa na mbwa kwa kipindi cha Januari hadi Agosti mwaka huu ambapo mkoa wa Dar es Salaam unaongoza ukifuatiwa na mikoa ya Dodoma, Morogoro na Arusha.
Jumla ya dozi 180,000 za chanjo ya kichaa cha mbwa zimesambazwa katika halmashauri 26 nchini kuanzia...
Hizi ni dalili za ugonjwa wa uti wa mgongo:
1 Maumivu mkali ya mgongo
2 Maumivu makali sehemu ya kiuno (Nyongo)
3 Maumivu ya kichwa yasiyoacha
4 Maumivu ya shingo na mabega
5 Vichomi sehemu ya kiuno
Kama una dalili yoyote kati ya hizo, basi kuna uwezekano mkubwa kuwa una shida kwenye uti wa...
VVU/UKIMWI vinasalia kuwa janga kuu la afya ya Umma duniani, janga lililogunduliwa zaidi ya miaka 40 iliyopita likiwa limechukua uhai wa watu zaidi ya milioni 40.4 huku maambukizi yakiendelea katika nchi zote duniani.
Hadi kufukia mwishoni mwa mwaka 2022, kulikuwa na wastani wa watu milioni...
Utafiti uliofanyika nchini Brazil umegundua kuwa kucheka kunasaidia katika matibabu ya ugonjwa wa moyo kwa asilimia 10.
Utafiti huo uliofanywa na Hospitali ya Clinicas de Porto Alegre ukiongozwa na Daktari bingwa wa moyo, Profesa Marco Saffi uligundua kuwa tiba ya kucheka inaweza kusaidia...
Magonjwa ya Zinaa ikiwemo kaswende yanachangia mtu kupata ugonjwa wa Afya ya akili ikiwemo Kupoteza Kumbukumbu, Msongo wa Mawazo na Mania.
UKIMWI pia unatajwa kuchangia kwa kiasi kikubwa matatizo ya Afya ya Akili kwa Wagonjwa.
Wakuu mko vyede?
Kuna kipindi fulani hili suala lilizuka sana kuwa wanaoishi na HIV hasa matajiri walikuwa wanaenda South Afrika kubadilisha damu ili kupunguza makali ya ugonjwa huo.
Hii ilikuwa kweli? Maana mpaka leo naamini walikuwa wanafanya hivyo, ila swali likaja wanabadilishaje...
Maneno yamekuwa mengi tangu vibarazani mpaka kwa madaktari kukisia dawa ya ugonjwa unaowasumbua baadhi ya wanaume.
Waganga wa kienyeji nao wanajipatia riziki kwa kuuza dawa wanazosema zinasaidia kuongeza nguvu za kiume lakini bado tu tatizo lipo.
Mabarabarani nako utakutana na wasichana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.