Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,604
Wanabodi,
Leo ni Siku ya Kimataifa ya Ugonjwa wa Kisukari, huu ugonjwa uko kwenye kundi la magonjwa yasiyo ambukiza, ugonjwa huu hauna tiba za kihospitali zaidi ya kudungwa sindano ya Insulin for Life! kwa maisha yako yote.
Kuna wanganga wa kienyeji wa tiba asili na riba mbadala ambao wanajinasibu kuwa na uwezo wa kutibu kabisa Kisukari kwa kutumia tiba asili na tiba mbadala, na kudai mgonjwa ana pona kabisa!.
Ugonjwa huu unatesa sana haswa wanaume maana unaathiri performance, hivyo ukiwa na mwenza very demanding, there is no way out lazima tuu utasaidiwa!.
Na kwa baadhi ya wagonjwa akipata kidonda, hakiponi hivyo anakatwa kiungo!, hivyo mtu unageuka kilema!
Waganga na matabibu hawa, mimi huwa ninakutana nao kwenye maonesho mbalimbali.
Je ni kweli tiba asili na tiba mbadala zinasaidia? How effective tiba hizo?
Hawa ni baadhi ya wataalamu wa tiba asili na tiba mbadala.
View: https://youtu.be/7xIm2y22fGE?si=p2GzQ-Ixe_tYTifR
Je, kuna watu wana ushuhuda wa ndugu zao, jamaa zao na marafiki ambao wamepona kabisa Kisukari kwa kutumia tiba asili na tiba mbadala?
Nawatakia maadhimisho mema ya Siku ya Kisukari Duniani.
Paskali
Leo ni Siku ya Kimataifa ya Ugonjwa wa Kisukari, huu ugonjwa uko kwenye kundi la magonjwa yasiyo ambukiza, ugonjwa huu hauna tiba za kihospitali zaidi ya kudungwa sindano ya Insulin for Life! kwa maisha yako yote.
Kuna wanganga wa kienyeji wa tiba asili na riba mbadala ambao wanajinasibu kuwa na uwezo wa kutibu kabisa Kisukari kwa kutumia tiba asili na tiba mbadala, na kudai mgonjwa ana pona kabisa!.
Ugonjwa huu unatesa sana haswa wanaume maana unaathiri performance, hivyo ukiwa na mwenza very demanding, there is no way out lazima tuu utasaidiwa!.
Na kwa baadhi ya wagonjwa akipata kidonda, hakiponi hivyo anakatwa kiungo!, hivyo mtu unageuka kilema!
Waganga na matabibu hawa, mimi huwa ninakutana nao kwenye maonesho mbalimbali.
Je ni kweli tiba asili na tiba mbadala zinasaidia? How effective tiba hizo?
Hawa ni baadhi ya wataalamu wa tiba asili na tiba mbadala.
View: https://youtu.be/7xIm2y22fGE?si=p2GzQ-Ixe_tYTifR
Je, kuna watu wana ushuhuda wa ndugu zao, jamaa zao na marafiki ambao wamepona kabisa Kisukari kwa kutumia tiba asili na tiba mbadala?
Nawatakia maadhimisho mema ya Siku ya Kisukari Duniani.
Paskali