Habari za kwenu??
Ili uwe na amani mda wote,hii inajumuisha wote walio ndani ya ndoa au walio na mahusiano ya kimapenzi.
Mwanamke anaweza kukufanya ukaonekana kidume mbele ya jamii,pia anaweza kukufanya ukaonekana kituko na jamii.
Mwanamke mwenye furaha huleta baraka ndani,ndo maana unaweza...
Hii ni kwa wote uwe Kiongozi kwa ngazi ya kitaifa au chini yake.
Kuna wimbo wa Orchestra Safari Sound unaitwa Dunia Msongamano, kuna sehemu wanaimba¶¶kufa kwa binadamu hupangwa na Mungu nakuomba mwenyezi anipe maisha¶¶
Pamoja na hayo kuna other factors contributed by the bearer. Usiwe mzalendo...
Pamoja tunaweza.
Taasisi ya Tree of Life Foundation iko mbioni kupanda miti ya matunda, kivuli na ya mbao kwenye mwaka mpya wa 2023.
Upandaji huo utaambatana na utoaji wa elimu ya mazingira kwa wananchi walio mijini na vijijini.
Karibu tushirikishane pamoja katika kuyatunza mazingira ya nchi yetu.
Toka Mwezi wa tisa nimekuwa nikipigwa mara KWA mara simu na watu ninao wafahamu wakiomba kukopeshwa hela.
Wanasema maisha yamekuwa magumu sana hela hawaioni.
Leo nimepigwa simu na watu watatu graduates ambao ninafahamiana nao.
KILA mmoja kanipigia KWA wakati wake.
HAWA ni graduate ambao...
Kwanza nifafanue kased life ni ipi.
Kwa kizungu .. inaitwa cursed life.
Ni Hali ya kuwa na bahati mbaya maishani mwako. Wengi hawaijui hii. Nitoe uzoefu kidogo. Kwa wale wagumu kuunganisha dot..
Perspective yangu inakwenda kwenye mahusiano baina ya mwanamke wa mtu na wanae.
Ambapo baadae...
Only those of us who truly knew him will remember him as being the sadist he was. A power-hungry man who was willing to shoot his own fellow soldiers to gain power. A man willing to play with the hunger of the poor to gain support and ultimately power. A man willing to turn half a country into...
Kiuhalisia kila kitu kinachotendeka katika maisha yakila siku ni marudio ya maisha yaliyopita, na tayari maisha hayo yamehifadhiwa kwenye maandiko mbalimbali, amini usiamini maswali yako yote uliyonayo sasa majibu yake yako kwenye vitabu, hivyo jaribu kuwa rafiki wa vitabu ujionee maajabu.
Clay Banks
Many times, I considered what it would take for me to be content. It’s so easy to be happy that you can’t believe it at first.. Many times, I tried so hard to be happy that I couldn’t be, and it was frustrating. And it wasn’t until much later that I came to the realization that in...
1. Walk:
Walking helps clear your mind.
It offers you a different perspective.
2. Indulge:
Take a day off to spend a whole day doing exactly what you want.
3. Be Generous:
Give something to a total stranger.
Acts of giving make us feel warm and fuzzy inside.
4. Sit in a coffee shop or a busy...
Habari ya siku ya leo;
Ni muda mrefu tangu nilipoandika makala yangu ya mwisho katika jukwaa hili ambalo nimelichagua kama sehemu ya mchango wangu kwa jamii yetu.Ninaamini kwamba pamoja na kwamba maandiko na maoni yangu hayana upekee wala ukoo wowote ila kwa kuwa ninatumia rasilimali muda na...
There are no secrets, just as there are no get-rich-quick schemes, so avoid purchasing any of them as well. You will be offered loads. All kinds of opportunities will present themselves to you as soon as your emphasis is on being successful. And they'll all promise to reveal the trade secrets...
Kuna wadada wananishawishi sana nijiunge na hii NeoLife is a nutrition company that manufactures and sells superior quality whole food nutrition products, with a mission to make the world a healthier and happier place. NeoLife has been in business for 60 years, since 1958, and operating in over...
Our galactic neighborhood may be bustling with other worlds, but a new study estimates that a mere 300 million of those 100 billion planets may have the right ingredients for life.
The Milky Way contains at least 100 billion planets. And scientists are hell-bent on finding which ones might...
Wanabodi
Hiki ni kisa cha kweli, mwenzenu leo yamenikuta ya kunikuta nimepata a shock of my life! Nilikuwa na furaha na matumaini tele, mara ghafla furaha yangu ikageuka shubiri.
Kisa chenyewe kilianzia miaka ya mid 1990s enzi hizo mimi ni mtangazaji nyota, naandamana na Rais Mkapa ziara za...
Throughout the journey we are passing by, we come across hundreds and thousands of people. The way you live with one individual can be either the same or totally different with the way you live with another person depending on the perception between one another.
One can live a very peaceful...
Tanzania haifati meritocracy, hivyo viongozi wengi kuanzia chini mpaka Juu hawajawahi achieve chochote maishani ukiachia labda kuoa na kuanzisha familia, hilo nalo unaweza kulijadili pia kama hata kwenye Familia wamefanikiwa.
Ukingalia nchi nyingi utaona viongozi wanafika juu kwa merit, unaweza...
Unsplash
Take the time to ask your heart and think about what you want. It varies from person to person, and perhaps this is something we shouldn’t go to the bottom of. We come into the world irregularly, and no one emerges as the times require. Due to different life experiences, each has its...
Wakati mfumuko wa bei ukiendelea kutuchapa kuna mengi pia ya kufurahia kwenye haya maisha....
Leo naanza weekend mapema kabisa, nikila ngoma moja ya hatari sana.....
Aliyesema msemo MUSIC IS LIFE hakukosea kabisa.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.