maskini

Maskini is a union council of the Lower Dir District in the Khyber Pakhtunkhwa province of Pakistan.
Lower Dir District has 37 union councils with a population of 797,852, according to the 1998 census report. The population growth rate of the Lower Dir District was 3.42% per annum between the 1981 and 1998 censuses.

View More On Wikipedia.org
  1. kwenda21

    Watoto wa maskini waende wapi kuenjoy?

    Jana nilienda coco, parking fees imehamia hadi kwenye boda, Tena Kuna watu Kama wawili sijui ni maaskari wake, maana wako na redio calls kabisa,ni mi wakali balaa. Zamani kulikuwa na jamaa ukitaka Unaenda kupaki kwake na Kama hutaki utajua mwenyewe, kakae na pikipiki yako Kama ni takwa la...
  2. Newbies

    Tanzania Ni nchi maskini viongozi baneni matumizi

    Tanzania Ni miongoni mwa nchi maskini huku wananchi wakiishi chini ya Dolla 1 huku kipato Cha wastani kikiwa hakizidi Dola 2.5 kwa siku. Nimuhimu kubana matumizi
  3. R

    Mwanadamu, ujasiri wa kumnyang'anya godoro masikini unayemdai umeupata wapi?

    Salaam,Shalom!! (Mithali 19:17) Amhurumiaye maskini, humkopesha BWANA. Mungu anachukia sana Umaskini, lakini anawapenda sana maskini, Mungu ndiye hufukarisha, na ndiye hutajirisha!! Maskini wa Leo ni tajiri kesho, maana Mungu ndiye huwapandisha maskini na kuwaketisha pamoja na wakuu na...
  4. Kiboko ya Jiwe

    Ukiwa maskini, huna miradi lazima uwe kondoo mbele ya bosi wako. Hakikisha una miradi usiwe kondoo

    Hello! Fanya utafiti sehemu yako ya kazi utakuja kuthibitisha hili Wafanyakazi maskini, hawana nyumba au wana nyumba zisizoeleweka, wafanyakazi wasio na option B, wafanyakazi wenye CV zenye mashaka, wafanyakazi wasio na miradi nje kazi hao ndio huishi kwa uchawa. Hao ndio hufokewa kila mda...
  5. D

    Ukiendekeza mambo ya duniani na woga wake utakufa maskini

    Hebu fikiri huu wizi ambao hautumii nguvu Bali akili tu. 1. Kanisani unapigwa hela kupitia sadaka na micahango mbalimbali wakiita zaka. 2. Mtaani unapigwa kwa michango mbalimbali ama harusi, vifo, sherehe kama mtoto amezaliwa au anabatizwa nk. 3. Serikalini ulipe Kodi napo kwa njia mbalimbali...
  6. tutafikatu

    Biblia: Usimpendelee maskini wala kumwogopa mwenye cheo

    Walawi 19:15 BHN‬ “Unapotoa hukumu uamue kwa haki; usimpendelee maskini wala kumwogopa mwenye cheo. Bali ni lazima kumwamua jirani kwa haki."
  7. Edsger wybe Dijkstra

    Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

    Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee! Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo...
  8. Kaka yake shetani

    Tofauti ya msiba wa maskini na tajiri

    Maisha yangu nimeshuhudia misiba mingi na mengine tumeona ya wakubwa na wadogo hapa kwetu kwa imani mbalimbali. Kilichonileta hapa kutofautisha misiba ya maskini na matajiri. Misiba ya maskini ilivyo: Ucheleweshi sababu unapoteza mda huna ulichokiacha hapa, utazikwa haraka na kama msiba...
  9. R

    Rais Samia atoke hadharani aseme hizo pesa za goli la mama zinatoka mfukoni mwake au ni Kodi ya raia maskini

    Pesa ambazo Rais anazitoa kwa wachezaji wanaolipwa mishahara ya mamilioni eti kwa kufunga GOLI zinatosha kujenga zahanati simiyu ndan ndan Huko. Haingii akilini kumwaga pesa kwa watu wanalipwa mishahara na timu zao Kama ni motisha aseme timu ikishinda kombe atatoa zawadi yenye kiasi fulan...
  10. Wambandwa

    Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    KWA NINI WATANZANIA WENGI NI MASKINI? Sijawahi kumwona Mtanzania kwa wakati wowote ule ameondokana na umaskini, umaskini ambao sasa ni mkubwa mno na unakaribia kutudidimiza. Binafsi nauchukulia umaskini kama kukosekana kwa mahitaji ya lazima ya kila siku kwa mwanadamu: malazi mazuri, chakula...
  11. M

    Mwijaku anasema ukiwasikiliza watu utakufa maskini. Epuka watu wanaokuambia unajidhalilisha, fainali ni uzeeni

    Mwijaku anasema ukiwasikiliza watu utakufa maskini. Epuka watu wanaokuambia unajidharirisha, fainali ni uzeeni.
  12. MK254

    Hezbollah watoa hakikisho kwa maskini Iran kwamba kwa vyovyote vile hiyo Iran haitapiganishwa na Israel

    Imebidi Iran wawaagize hao Hezbollah waje kutoa hakikisho kwamba huo uchokozi wao kwa Israel haitokuja siku waburuze Iran kwenye vita na Israel, wayafanye huko huko na wakipigwa wapokee tu kama HAMAS wanavyopokea...... ====================== Hezbollah has reportedly told its main backer Iran...
  13. M

    Uchumi umekua, wananchi wana/wataendelea kuwa maskini," Aina gani hii ya uchumi isiyo na tija kwa mwananchi?

    Katika taarifa ya ripoti ya utafiti wa REPOA unasomeka kwamba uchumi wa nchi yetu unakua kwa kasi lakini nao umaskini wa wananchi unaongezeka kwa kasi. Hoja yangu ni kwamba huu uchumi usio na manufaa kwa wananchi unatengenezwa na nani na kwa manufaa ya nani? Niombe msaada wa elimu kwa...
  14. matunduizi

    Sababu Tano kwa nini Mkristo upambane kushinda umasikini wa kipato?

    Karibu moja kwa moja, Umasikini wa Kipato namaanisha kutokuwa na kipato cha kuendesha mambo yako na kibaki cha ziada kwa ajili ya kusaidia wahitaji. Utajiri wa kipato ni kinyume chake. 1: Unasikini ni matokeo ya Laana. Torati 28 inataja laana za kujitenga na Mungu zote zinauhusiano na...
  15. M

    Kama unatoka ukoo huu jukumu la kutengeneza ukoo mwingine tajiri linakuhusu

    Dhana kuwa mambo hufuata watu ndani ya ukoo ina ukweli wake na mifano yake ipo wazi tu, tukiachana na mfanano wa vinasaba pia hata mazingira huchangia hali hiyo japo kwa ulimwengu wa kiroho watalaam wanasema kuna roho huwa zinatembea ndani ya ukoo fulani. Ulimwengu wa kitajiri na maskini kuna...
  16. Robert Heriel Mtibeli

    Kama kipato chako ni chini ya milioni Tano kwa mwezi wewe ni Maskini

    Kwema Wakuu! Kuna aina tatu za Maskini. 1. Maskini wa kutupwa (Fukara) 2. Maskini wa kawaida 3. Maskini aliyechangamka. 1. Maskini Fukara Maskini Fukara hili kundi ni wale Watu ambào kula yao ni mshikeshike, hawana pakuishi, yaani hawa ndio huitwa hohehahe. Hawa kwa asilimia kubwa wamekata...
  17. I

    Binti wangu hawezi kuolewa na mtu maskini - Elon Musk

    Tajiri namba moja duniani Bw. Elon Musk amesema binti yake hawezi kuolewa na mtu maskini. Ukisoma maelezo yake hapa chini bila shaka utakubaliana na dhana yake hiyo. Tofauti na wengi tunavyoelewa maana halisi ya mtu maskini kwa tafsiri rahisi na ya haraka haraka ni kwamba ni yule mtu asiye na...
  18. F

    Misafara ya Makonda ya gharama kubwa wakati Watanzania maisha magumu ni unyama kwa maskini. Isitishwe!

    Uzembe mkubwa na kutowajibika kwa wananchi ndio chama cha mapinduzi CCM. Tumeona magari ya kifahari angalau 13 yakiteketea siku moja tu ya jana. Haya magari ya serikali yanatumika kwenye msafara wa CCM, nani kuruhusu hilo? Billioni zaidi ya 3 zilizoteketea katika ajali ya kizembe ya Makonda na...
  19. MK254

    Maskini Iran kwa unyonge yaomba FIFA ifungie Israel

    Hii Iran moja ndio ilitoa mikwara sana kwamba Israel ikivamia Gaza itakua imevuka mstari mwekundu, sasa imeishia kuomba omba kwa kauli za kinyonge kwamba Israel izuiwe kucheza mpira wa FIFA. ================= Iran’s football federation said Saturday it has asked world football’s governing body...
  20. Kaka yake shetani

    Majibu ya ChatGPT kuhusu nchi kuwa masikini wakati ina mali nyingi

    Hali ambapo nchi ina rasilimali nyingi, lakini wananchi wake bado wanaendelea kuwa maskini inaweza kuchangiwa na mambo kadhaa. Hali hii inaweza kuwa na muktadha wa kiuchumi, kisiasa, kijamii, na kitaasisi. Hapa kuna sababu kadhaa zinazoweza kuchangia: Ugawaji Usio sawa wa Rasilimali: Mara...
Back
Top Bottom