ugonjwa

  1. S

    Ushauri kwa Serikali kukabiliana na janga la ugonjwa wa Corona

    Kwanza nitoe pongezi kwa serikali ya JMT kwa juhudi na hatua wanazochukua kwenye kukabiliana na ugonjwa huu wa Covid-19. Mchango wangu kwa leo utaangazia sekta ya elimu. Kutokana na kuwa wanafunzi walirudishwa nyumbani ikiwa ni hatua ya kuzuia au kupunguza maambukiki ya ugonjwa huu. Na...
  2. J

    Kanisa Katoliki lasitisha huduma za kufungisha ndoa na ubatizo hadi pale ugonjwa wa COVID-19 utakapodhibitiwa

    Rais wa TEC baba Askofu Nyaisonga ambaye pia ni askofu wa Dayosisi ya Mbeya amesema katika kupambana na maambukizi ya Covid 19 wanasitisha Huduma za sakramenti ya ubatizo na ile ya Ndoa. Baba askofu amesema Huduma hizo zitarejea tena kama kawaida pale ugonjwa huo utakapokuwa umedhibitiwa. Baba...
  3. U

    Kwanini wengi wanaosumbuliwa na ugonjwa wa Gout/Acute Gouty Arthritis ni Wachaga?

    Najua Sasa macho na masikio yote Ni Corona, nikaona Leo nizungumzie huu ugonjwa wa Gout, ambao nasikia Ni kukakamaa kwa joints na maymiv ya Sina flani ya misuli inayopelekea kushindwa kutembea vizuri na mikono pia kupata shida ya kukunjika. Wanasema ugonjwa huu unasababishwa na acid flani...
  4. Corticopontine

    Marekani wameongoza kwa vifo vya Covid-19 ina watu 20466 wamefariki 1731 Jumamosi ya 11/4/20

    CORONAVIRUS 🇺🇸 The United States became the world leader in coronavirus deaths Saturday, a grim indicator of the country’s status as the global epicenter of the pandemic. As of Saturday evening, the U.S. had recorded about 526,396 COVID-19 cases and 20,577deaths, according to Johns Hopkins...
  5. Mystery

    Ni kwanini viongozi wa Tanzania wamegoma kukatwa mishahara yao ili zisaidie kupunguza kasi ya ugonjwa wa corona?

    Kama tunavyofahamu kuwa Ulimwengu mzima umetikiswa hivi sasa na ugonjwa huu hatari wa corona unaosababisha vifo vingi sana Ugonjwa huu umekuja kwa kustukiza na kwa bahati mbaya sana, ugonjwa huu hadi hivi sasa haujapata tiba wala chanjo Nchi mbalimbali zinachukua hatua kali ya namna ya...
  6. Victor Mlaki

    Wajibu wa Walimu kwa jamii na kwa Taifa katika kipindi hiki cha msambao wa ugonjwa wa COVID-19

    Ualimu ni taaluma yenye mawanda na matao mapana sana huenda kuliko taaluma nyingine nyingi zilizopo. Mwalimu licha ya kuwajibika kwa taaluma yake, wateja wake (wanafunzi), mwajiri wake, bado anao wajibu pia kwa jamii inayomzunguka na kwa Taifa lake kwa ujumla. Mwalimu anapaswa kuwa mtoa...
  7. Pascal Mayalla

    Vita Janga la Corona: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas, Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile, kesho watakuwa live JLNH-Star TV

    Wanabodi, Vita dhidi ya janga la ugonjwa wa Corona, COVID-19, Mapambano yanaendelea, Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas na Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile, kesho asubuhi, watakuwa live ndani ya kipindi cha JLNH (Jicho Letu Ndani ya Habari) kinachorushwa na Star TV, kila...
  8. Dr. Sajjad Fazel

    Ujue ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Corona

    Ijue ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Corona Watu wengi wanasambaza taarifa za uwongo juu ya Corona kwenye mitandao. Kama daktari na mtafiti wa afya niliyazungumzia baadhi ya hizo taarifa hapa. Ugonjwa wa Corona ni nini? Taarifa za uwongo kuhusu Corona unasambaaje? Nini taarifa za...
  9. H

    Sallam SK aelezea baada ya kupona ugonjwa wa Corona

    Manager wa msanii mkubwa Diamond Platnumz, Sallam SK amefunguka baada ya kupona ugonjwa wa Corona akiwa amefanyiwa na moja ya chombo cha habari amesema kwamba wakati anatangaza kuwa amepata Corona ndugu zake wa karibu, waliudhunika na wengine kuanza vilio pamoja na wadau mbalimbali wa mziki na...
  10. impelle

    Mtanzania afukuzwa China kwa kushindwa kuheshimu taratibu za kujinga na ugonjwa wa covid-19

    Maelezo ya mmoja wetu kuhusu hilo yako hivi:- “Naomba kushare na ninyi jambo moja linasikitisha kidogo. Jana kwenye mitandao ya kijamii hapa China kumeibuka habari ya kuchafua jina letu Tanzania. Kuna mtanzania mwenzetu ameripotiwa kufanya mambo ambayo ni kinyume kabisa na maelekezo tunayopewa...
  11. Q

    TANZIA: Mwandishi nguli wa Habari Marin Hassan Marin afariki dunia

    TANZIA Nguli wa habari nchini Tanzania, Marin Hassan Marin amefariki dunia leo Aprili 1, 2020 katika Hospitali ya Jeshi Lugalo, Dar es Salaam. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Martha Swai. Utangulizi Marehemu Marin Hassan...
  12. B

    Vifo Vinavyotokana na Magonjwa ya Mafua vs Ugonjwa wa Corona Ulaya & Marekani

    Najua kuna watu wanafatilia sana na kushtuka na idadi ya watu wanaokufa huko Italy kutokana na ugonjwa wa korona. Vifo hivi vimeleta hofu kubwa kiasi kwamba watu kusitisha shughuli zote ili kuzuia maaambukizi. Kwa muktadha huo nimependa watu hasa wa dunia ya tatu kufahamu magonjwa ya mafua na...
  13. B

    Covid-19: Ugonjwa wa Corona ushauri wa bure kwako Rais Magufuli

    Moja kwa moja kwako kwenye mada. Hatimaye ninakundikia wewe ushauri huu wa bure nikifahamu fika kuwa hujapungukiwa na washauri, na kuwa uko nao washauri walio mahiri kabisa, wenye kulipwa vilivyo kutokana na kazi hiyo. Hata hivyo kumbuka mheshimiwa, Goliath lilikuwa jitu la kutisha (lenye...
Back
Top Bottom