afrika kusini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Watanzania Afrika Kusini waanza kurejea nyumbani

    Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini umeratibu zoezi la kurejeshwa nyumbani kwa raia wa Tanzania waliokuwa nchini humo, kwa kushirikiana na mamlaka za Afrika Kusini kuhakikisha taratibu zote za safari zinakamilika kwa mujibu wa sheria. Akisimamia zoezi hilo Julai 24, 2026, Balozi wa...
  2. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania KWELI Afrika Kusini imetoa Orodha mpya ya nchi 22 za afrika zenye ruhusa ya kuingia nchini humo Bila Visa

    Kumekuwepo na chapisho linalosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, ikiwemo Facebook na Instagram, likidai kuwa taifa la Afrika Kusini limetoa orodha mpya ya nchi 22 za Afrika ambazo raia wake wanaruhusiwa kuingia nchini humo bila visa kwa madhumuni ya utalii, biashara au ziara fupi. Chapisho...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Afrika Kusini imetoa orodha mpya ya nchi ambazo raia wake wanaweza kuingia nchini humo bila VISA

    Serikali ya Afrika Kusini imefanya maboresho katika sera yake ya msamaha wa visa, ikithibitisha kuwa raia kutoka nchi 22 za Afrika sasa wanaweza kuingia nchini humo bila visa kwa ajili ya utalii, biashara, au ziara fupi. Muda wa kukaa unaoruhusiwa unatofautiana kati ya siku 30 hadi 90, kulingana...
  4. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Maktaba Yapokea Kalenda Inayoeleza Historia ya Ukombozi wa Afrika Kusini na Kitabu Kuhusu Ubaguzi Katika Elimu

    MAKTABA YAPOKEA KALENDA INAYOELEZA HISTORIA YA UKOMBOZI WA AFRIKA KUSINI NA KITABU KUHUSU UBAGUZI KATIKA ELIMU Mmoja wa wapenzi walio mstari wa mbele katika kuitia nguvu Maktaba ameitunuku calendar na kitabu. Ingawa kalenda imekuja katikati ya mwaka lakini haikuwa shida kubwa kwangu kutambua...
  5. W

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania kuwasaka "Mapapa" waliokimbilia nchi za Eswatini, Afrika Kusini, Msumbiji na Zambia

    Mamlaka ya Kudhibiti na Kup ambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na mamlaka husika za nchi za Eswatini, Afrika Kusini, Msumbiji na Zambia itaendelea kufanya operesheni za pamoja za kimkakati kwa lengo la kuwabaini, kuwakamata na kuwafikisha wahusika mbele ya vyombo vya sheria. Kwa...
  6. McLaren

    JamiiForums Tanzania Mwanaharakati Phakel’umthakathi: Waafrika Kusini hatuhitaji kufanya kazi. Serikali inaweza kulipa kila mtu milioni 1 maisha yake yote

    Wakuu, Mwanaharakati wa utamaduni na muigizaji wa Afrika Kusini, Phakel’umthakathi amesema kuwa Afrika Kusini ina utajiri wa kutosha kiasi kwamba inaweza kulipa kila raia wake rand milioni 1 kila mwaka kwa maisha yao yote. "Afrika Kusini inaweza kuwalipa Waafrika Kusini milioni 1 kila mwaka...
  7. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Siku niliyoenda Afrika Kusini ndipo nilipoelewa kwanini watu wengi kule vibonge

    Siku niliyoenda Afrika Kusini ndipo nilipoelewa kwa nini watu wengi kule wanaonekana wanene. Nilipata nafasi ya kutembelea Pretoria. Kitu kilichonishangaza ni kwamba ilikuwa vigumu sana kupata vyakula vya asili kama tulivyozoea Afrika Mashariki. Maduka mengi na migahawa mingi ilikuwa imejaa...
  8. McLaren

    JamiiForums Tanzania Afrika Kusini: Mfanyabiashara akiri kuhonga viongozi wakubwa wa Polisi, akubali kuwa shahidi

    Mfanyabiashara wa Afrika Kusini, Vusimusi "Cat" Matlala, amekiri makosa ya rushwa, udanganyifu na utakatishaji wa fedha katika kesi kubwa inayohusu ufisadi ndani ya Jeshi la Polisi. Matlala anadaiwa kuwahonga maafisa waandamizi wa polisi ili kampuni yake ya huduma za afya, Medicare24, ipate...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Afrika Kusini: Mfanyabiashara Cat Matlala akiri ufisadi wa zabuni ya Polisi, atishia kufichua vigogo walioshiriki

    Mfanyabiashara Afrika Kusini, Vusimuzi "Cat" Matlala, amekiri mashtaka yote saba yanayomkabili kwenye kashfa ya ufisadi wa zabuni ya polisi (SAPS) yenye thamani ya Randi milioni 228, inayohusisha kampuni yake ya Medicare24. Matlala alikuwa anakabiliwa na mashtaka saba ya utapeli, ufisadi, na...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Mahakama Afrika Kusini yaipa Mamlaka Familia ya Edgar Lungu kuamua atakapozikwa, imetima mwaka mvutano na serikali ya Zambia

    Mahakama ya rufaa nchini Afrika Kusini ilisema Jumanne kwamba familia ya Rais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu ndiye yenyen maamuzi ya wapi atakapozikwa kiongozi huyo wa zamani, na kubatilisha amri ya mahakama kuu kwamba serikali ya Zambia inaweza kuurudisha nyumbani mwili wa Lungu kwa mazishi ya...
  11. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Machafuko (Xenophobic attacks) Afrika Kusini faida kwa Utalii Tanzania

    Tutumie faida ya machafuko huko South Africa kukuza utalii Tanzania. Ikibidi itumike mbinu mbinu kuwa-support viongozi wa maandamano March to March na Dudula ili pawake kila siku kuharibika huku tunajaza watalii
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Maelfu ya Raia wa kigeni wanaikimbia Afrika Kusini kukwepa wimbi la mashambulizi ya kibaguzi

    Wakati muda wa mwisho uliowekwa na makundi yanayopinga wageni nchini Afrika Kusini unakaribia, maelfu ya raia wa kigeni wanakusanya virago na kuondoka. Makundi hayo yametoa muda wa hadi Juni 30 kwa raia wote wageni kurejea makwao wakisema baada ya muda huo watafanya msako na kutumia nguvu...
  13. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Sheria Afrika Kusini: Show za wasanii wetu zinafutwa kwenye mataifa ya Afrika"Sisi hatuna chuki dhidi ya wageni"

    Huku kukiwa na malalamiko yanayoongezeka yanayohusiana na mzozo wa uhamiaji wa nchi hiyo, wasanii wa Afrika Kusini wanaripoti kufutwa kwa maonyesho yao na kupoteza mapato katika maeneo mbalimbali barani Afrika, afisa mmoja wa serikali amesema. Mmamoloko Kubayi, Waziri wa Sheria na Maendeleo ya...
  14. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Je, Afrika tumeshindwa kuwa na demokrasia bila mizengwe ya umafia, fitina, hujuma na rushwa?

    Yapo mambo tunaweza bishana kuwa ama tumefanya vizuri ama tumefanya vibaya; lakini kwenye swala la demokrasia hata anayejifanya kutetea kuwa tunafanya vizuri, ukimwangalia usoni atakwepesha macho kwa aibu. Kwenye swala la demokrasia nchi zetu nyingi hapa Afrika zivunja moyo. Tukiwa wakweli...
  15. Fbn

    JamiiForums Tanzania Vijana wengi wameangamizwa na watanzania wenzao wakiwadanganya Afrika Kusini kuna maisha

    Ukweli mchungu na mchungu kweli.Asilimia kubwa ambayo bwana mwamedi msangi anazidi kuipambania utamkuta Facebook shukrani kwake ndio watu wanatakiwa kuwa serikalini ila vilaza wapo serikalini. Vijana wengi wanadanganyika na kuambiwa na watanzania wenzao kuwa maisha yapo kule. Mfano kuna nguvu...
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania Sijaona serikali ya Tanzania ikiwasaidia Watanzania wao kuwaondoa Afrika Kusini mmezidiwa mpaka na Malawi

    Kila nchi na serikali yake zinajitahidi kuwasaidia raia wao kwa kinachoendelea. Ila Tanzania ni sikio la kufa wala hata kujionesha kuwa wameguswa na kusaidia raia wao.Zaidi ya kukaa kimya kila ucheo.
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania FT: Ufunguzi Kombe la Dunia 2026 | Mexico 2-0 Afrika Kusini | Uwanja: Estadio Azteca | Mexico City

    Ndiyo, leo ndiyo siku ya ufunguzi wa Kombe la Dunia 2026! ⚽🌎 Mexico itafungua Kombe la Dunia dhidi ya Afrika Kusini mjini Mexico City. Hii ni marudio ya mechi ya ufunguzi ya Kombe la Dunia 2010, ambapo timu hizi zilitoka sare ya 1–1 nchini Afrika Kusini. Jambo la kipekee ni kwamba Estadio...
  18. W

    JamiiForums Tanzania Rais Ramaphosa: Afrika Kusini hawana chuki dhidi ya wageni

    Hivi karibuni kwenye mitandao mbalimbali kumeenea video kadhaa zikionesha raia wa Afrika kusini wakiwapiga na kuwafukuza raia kutoka maifa mengine barani Afrika kwa madai kwamba wamechukua kazi zao, pia ni sababu huduma nyingi za kijamii haziwafikii raia wa Afrika Kusini pamoja na hali ngumu kwa...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Lori lililobeba Dawa za Kulevya kutoka Malawi lakamatwa ikiingia Afrika Kusini

    Polisi wa doria ya mipakani nchini Afrika Kusini wamekamata lori lililokuwa likitokea nchini Malawi likiingia nchini humo likiwa limesheheni dawa za kulevya zenye thamani ya karibu randi bilioni moja (sawa na dola milioni 61). Katika msako huo, vikosi vya usalama viligundua zaidi ya kilo 700...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Kombo: Hakuna Mtanzania aliyeathirika Afrika Kusini, clip zilizorushwa zikaleta taharuki ni za zamani

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, akijibu swali Bungeni Dodoma leo Mei 26, 2026 "Katika nchi inayoongoza barani barani Afrika, nchini South Africa kuwa na vitambulisho halali vya Watanzania waliokuwa kule ni sisi Tanzania, wengi wana...
Back
Top Bottom