February 4, 2020
Dodoma, Tanzania
Viwanja vya Bungeni: Wabunge watoa maoni zuio la Marekani
Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania Mhe.Constantine Kanyasu azungumza kuhusu zuio la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda, kwenda nchini Marekani na kusema haliwezi kuathiri Sekta...