Jiji la Wuhan Nchini China ambalo liliripoti mlipuko wa CoronaVirus kwa mara ya kwanza mwaka 2019 litawafanyia vipimo wakazi wote baada ya maambukizi kuripotiwa.
Mamlaka zimehusisha visa hivyo na Kirusi cha Delta kinachosambaa kwa kasi pamoja na msimu wa Utalii. China inashuhudia ongezeko kubwa...
Wakati juhudi za kupambana na janga la COVID-19 zinaendelea kwa ushirikiano kote duniani, wanasiasa na vyombo vya habari vya Marekani wamejitahidi kuzusha kauli isiyo na msingi ya “virusi vya Corona kuanzia maabara Wuhan”. Kumekuwa na swali la kwa nini wana uraibu wa kufanya hivyo, bila kujali...
Baada ya subira ya muda mrefu, hatimaye ripoti ya timu ya wataalamu wa Shirika la Afya Duniani, WHO iliyopewa kazi ya kuchunguza chanzo cha maambukizi ya virusi vya corona inatarajiwa kutolewa wiki hii.
Ujumbe huo uliwasili Wuhan mwezi Januari kufanya uchunguzi kwa muda wa mwezi mmoja katika...
The director of the Wuhan Institute of Virology said that claims made by US President Donald Trump and others that the virus could have leaked from the facility were "pure fabrication".
source
Wuhan Lab Had 3 Live Bat Coronaviruses, None Matched COVID-19: Report
China imeripoti visa vipya 17 vya #COVID19, 10 kati ya hivyo yakiwa ni maambukizi ya ndani. Mji wa Wuhan umetangaza visa vitanoa vya ugonjwa huo baada ya kuwa kimya kwa takribani mwezi mmoja
-
Mji wa Jilin umewekwa katika zuio la kutoka nje baada ya kuwa na visa 10 vilivyoripotiwa, Mei 10...
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo amedai kuwa kuna ushahidi wa kutosha kuwa CoronaVirus imetokea maabara iliyopo Wuhan nchini China
Akizungumza na Kituo cha ABC, Waziri huyo amesema Wataalamu wanaamini kuwa Corona imetengenezwa hivyo hana sababu ya kuamini vinginevyo. Hata hivyo...
Wana JF,
Janga la Covid-19 lilianzia nchini China katika mji wa Wuhan-Hubei Province mwezi Desemba 2019!
Mpaka leo Taifa la China halijaweka hadharani nini hasa kilitokea kwenye Maabara za WUHAN Institute of Vilorogy(WIV) hadi kupelekea mlipuko huu wa Covid-19.
China imeshakiri kuwa kabla ya...
Wuhan doctors who were critically ill with coronavirus wake up to find that their skin has turned black after virus damaged their liver
Dr Yi and Dr Hu were left fighting for their lives after catching the virus at work
Doctors saved them by hooking them to a life-support machine called ECMO...
His administration reportedly funded the lab in 2015.
For once a reporter asked a pertinent question at a White House daily virus briefing. On Friday one reporter asked President Trump if he was aware of U.S. Intelligence reports that the Obama administration sponsored the Wuhan lab, the same...
Mji wa Wuhan , mji wenye idadi ya watu takribani milioni 6 . Mji wa Wuhan unapatikana katika jimbo la Hubei.Ni miongoni ya miji mizuri zaidi nchini China, Kwa mengine kuhusu mji huo 👇👇👇👇👇
Baada ya wakazi wa China kuwekewa vizuizi vya kusafiri kwa wiki kadhaa, hasa kuingia jimbo la Hubei (lenye mji wa Wuhan, kitovu cha corona) kwa karibu miezi 2 ili kuepusha kusambaa kwa korona, zuio hilo litaondolewa rasmi April 8.
Wakazi wa Wuhan watakuwa huru kusafiri popote nchini kuanzia...
Mamlaka mjini Wuhan nchini China wametangaza siku ya tar 19/3/2020 kua ni mwanzo wa ushindi wa vita dhidi ya virus vya corona Mjini Wuhan jumbo la Hubei ambako ndio kiini cha mlipuko huo.
-Siku ya Leo hukuna taarifa ya maambukizi mapya
-hakuna kifo kipya kilichoripotiwa
-hakuna washukiwa wapya...
Mji wa Wuhan unaharakisha kujenga Hospitali mpya kusaidia kutibu Wagonjwa waliokumbwa na Virusi vya Corona ambavyo vimeshaua watu 80 na zaidi ya 870 wameambukizwa nchini humo
Kusambaa kwa virus hivyo kulianzia kwenye Mji huo ambapo sasa Madaktari wanasema Waathirika wanapanga foleni kwa muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.