Mianya ipi?Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Akili za Kilumumba changanya na zakoMabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Ndio kwanza leo ujue?Huyu atakuwa alihusika na shambulio la LISU huyu.Hii Ban kwake inamaana kubwa sana.
Itakuwa hivyo kuhusu namba 1 na 2 hapo juu, ndiyo maana neno “gross” limetumika kuelezea huo ukatili wake.Makonda aka Bashite hajawahi kufanya jambo bila kuacha alama...Haya ni machache tu ila yapo mengi sana aliyofanya ambayo yanakandamiza haki za binadamu na uhuru wa kuishi.
1.Bashite anahusika 100% kwa kuawawa kwa Ben Saanane.
2.Bashite anahusika 100% kwa shambulio la Lissu.
KWA KWELI WE WE NI MPUMBAVU MKUBWA PLUS MPUUZI. TANZANIA INA WAJINGA NA WASHAMBA WENGIMabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Kupata vichekesho kemkem kama hivi tuma neno porojo kwenda 155563!Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Choko choko ipi kipi kigeni ambacho mabeberu wamekisema kwenye ile barua hakikuzungumzwa hapa watanzania wameongea sana kuhusu utovu wa nidham katika uwajibikaji wa makondaMabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Ukishaona marekani anakupiga BAN ujue mpaka washirika wake pia hawatakuruhusu uingie nchi zao
Huwa bashite anaangalia sehemu za Siri za sanamu akiendaga ulaya, Sasa hawataki ujinga huo marekaniUkishaona marekani anakupiga BAN ujue mpaka washirika wake pia hawatakuruhusu uingie nchi zao