wabunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fbn

    JamiiForums Tanzania kuna wabunge wanashangaza sana ana kwambia tumalize Gen z ndio kina sababisha uvunjifu wa amani.Hivi ana elewa ilo neno maana mtoto raisi yupo

    Bungeni kuna vituko sana yani ni vilaza wa kambare matopeni. Unaposema Gen Z ni kuingamiza hata uwelewi kuna mtoto wa raisi wako na mwanao. Ulijua ni chama kipya.
  2. L

    JamiiForums Tanzania Wabunge Wote Wangeruhusiwa kuendelea Kupewa vibali kufanya Mikutano ya Hadhara Majimboni Mwao ili kupokea kero za Wapiga Kura wao na Kutoa Mrejesho

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa Maoni yangu na kwa Ushauri wangu katazo la kufanya mikutano yote ya siasa kwa vyama vyote vya Siasa hapa Nchini lisingewagusa Wabunge wa Majimbo. Wabunge wote kutoka Majimbo yote Bara na visiwani wangeendelea kupewa Vibali vya kufanya Mikutano Majimboni Mwao...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinawaumiza vichwa Wakenya kama mpango wa ujenzi wa uwanja wa Serengeti, Ponea yao ni wabunge wetu kina Nasari na Musukuma wanaoupinga

    kwa miaka mingi tume co exist kawaida kushea mbuga hii special duniani, Upande wao inaitwa Masai Mara upande wetu inaitwa Serengeti. watalii wao walishukia Nairobi, wetu wanashukia KIA, Baada ya hapo husafiri kwa magari au kukodi ndege ndogo hadi mbugani. Lakini wameona haitoshi. Wanajenga...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini wabunge wachache wanaopinga uwanja wa Serengeti wanatumia nguvu kubwa sana kutetea maslahi ya Kenya, wananufaika vipi kuitetea Kenya ?

    Wakenya wanajua uwanja wa Serengeti ukijengwa tunaenda kuwapiga gap kubwa wanalijua hilo Hivi sasa wakenya wameshaanza ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa karibu na Masai Mara, hii ni mbuga iliyoungana na Serengeti, kwa lugha iliyorahisishwa ni serengeti inayoendelea upande wa Kenya Lakini...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Serengeti imekuwa ikiinufaisha Arusha kwa miaka mingi, Ujenzi wa uwanja wa ndege unawapa hofu kubwa sana ndio maana hoja haikauki bungeni

    Baadhi ya watu wanadhani fursa za huu utalii tena wa mikoa mingine unatakiwa kunufaisha kwao tu Ni vita kubwa sana hii, kwa sasa tunasikia milio kila muda panaposikika habari za ujenzi wa uwanja na imeonyesha haijaanza leo bali ni ya muda mrefu sana kupiga sabotage uwanja huu, ila kwa sasa...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Waheshimiwa Spika na Wabunge semeni ukweli msipepese macho; Raisi huapa kuulinda muungano wa JMT; kwa yanayoendelea nchini, mnaona anafanya hivyo?

    Raisi anapoapishwa, anatamka kwa namna iliyo wazi sana kwamba ataulinda muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT), na hiki ni kipengele kikubwa sana cha kiapo chake. Raisi ana mamlaka upande wa Tanganyika na Zanzibar, hivyo anapaswa kuuulinda muungano katika pande zote hizi mbili...
  7. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa bunge kuuliza wabunge na CV zao.Je mna maana kwamba mnaficha aibu zenu

    Watuambie kuwa bunge ni kikundi cha watu wachache. Leo uwezi kuuliza CV za mtu yoyote bila kupata kwenye tovuti ya bunge. Uchafu wa nchi imefikia kila tovuti kuficha taarifa ya yoyote hata idara. Mfano nilitaka kujua kama ndo mimi mfano nipo UN.
  8. Q

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa Tanganyika wameanza kusimama ili wahesabiwe

    Musukuma: Rais wa Zanzibar Dkt. Mwinyi awadhibiti Mawaziri, Wabunge na Wawakilishi wake waache ubaguzi, mbona Wazanzibari wanatibiwa Tanganyika. Musukuma: Robo tatu ya Wachimba madini Geita ni Wazanzibari. Waitara: Mbunge kutoka Zanzibar aliyesema kuna Yuda afukuzwe bungeni na amtaje Yuda ni...
  9. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Kero ya Muungano: Tanganyika yaanza kutawaliwa na Zanzibar? Wabunge hili hamulioni?

    Tanganyika ndani ya Tanzania sasa imeshakuwa kichwa cha mwenda wazimu. Kila Mzanzibari anajifunza kunyoa Tanganyika, na hili ni kero inyoweza kuathiri kwa kiasi kikubwa mustakabali wa Tanganyika. On a serious note, kwa matamshi tuliyosikia kutoka kwa Mawaziri ndani ya serikali ya Zanzibar...
  10. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Nikisema wabunge wa CCM hawajielewi, nitakuwa nawatukana?

    Fikiria huyu alikuwa Waziri
  11. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Wabunge watoro ni kielelezo cha katiba mbovu...

    Nimesikitika kusikia Spika akilalamika kuna wabunge watoro wakiwamo hawa waliotoroka na kuishangilia timu ya taifa morocco hapo ni kwamba baada ya kusikia kuna ndege ya bure ndio wakatoroka . Maana yake wanahujumu pesa za walipa kodi au nchi . Hivi nchi kama china mtu anaweza kuchezea...
  12. tucker carlson

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wabunge wakiwashangilia Serengeti Boys baada ya kufungwa na Senegal

    Wakuu, Wabunge waliosafiri kwenda Nchini Morocco wakiwashangilia Serengeti boys baada ya mchezo wa Fainali ya AFCON U-17 waliyopoteza kwa mikwaju ya penalti dhidi ya Senegal
  13. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kambarage, Fatma Na Chumi Waapa Rasmi Kuwa Wabunge Wa Bunge La Jumuiya Ya Afrika Mashariki

    Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki waliopigiwa kura hivi karibuni na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambao ni Ndugu Kambarage Wasira, Fatma Kange na Cosato Chumi, wameapa leo 01 Juni 2026 wakati wa kikao cha Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuanza shughuli...
  14. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Jaji John Ruhangisa: Wabunge wanapoongea bungeni, wanayoyaongea ni kweli wametumwa na wananchi?

    Yaani kwa alichokisema huyu baba kwenye hii video na kinachoendelea ni kwamba TANZANIA HATUNA BUNGE ----------------------------------- Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Prof. John Ruhangisa, amesisitiza kuwa ni wajibu wa kisheria na kikatiba kwa wabunge kurudi kwa wananchi...
  15. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Wabunge wetu mnatia aibu, sakata la vikwazo, huko Bungeni mnamuwakilisha nani?

    Ubinafsi ulioonyeshwa na wabunge wetu wakibanwa imewafanya watie aibu katika jamii. Sakata la vikwazo vya Marekani liko mbele yetu kama nchi. Wahusika binafsi ni wale waliofanya mambo mabaya dhidi ya umma wa Kitanzania. Watu hao ni watekati, waliovuruga utaratibu wa uchaguzi, walioua...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Tishio la vikwazo vya USA kwa CCM na wengineo: Badala ya kelele nyingi zisizosaidia Bungeni, wajibuni USA na Trump "Who are you?"

    Nimesikiliza Wabunge na hata waziri wa mambo ya nchi za nje wakipiga kelele Bungeni kuhusu tishio la vikwazo vya USA kwa viongozi wa CCM na watendaji wengine. Wamefika hata kudai kuwaleta viongozi wa USA hapa Tanzania na kulipia gharama zao za usafiri, malazi na chakula ili waje wajionee kuwa...
  17. B

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM walia chonde chonde marekani hilo rungu la Donald Trump lisitufikie, waomba waende Marekani kujieleza bunge la senate / congress

    26 May 2026 CCM Parliament Dodoma Tanzania 13th Parliament 3rd Session, 37th Session today May 26, 2026 Tanzanian parliament session : How a CCM MP Ms. Mariam Anzuruni Mungula was deeply Disturbed by the US's Agitation for severe Sanctions on Tanzanian Government Leaders...
  18. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Wabunge waliopo Dodoma wanastahili kuitwa waheshimiwa Bado?

    Wachangiaji wote waliochangia bajeti ya mambo ya nje Kila mtu alimsifia Samia Nape Samia Bulaya Samia Kingu Samia Samia Samia Samia Wao wanafanya kazi Gani Sasa kama Kila kitu anafanya Samia? Kwani huwezi ongea bila kutaja jina la raisi? Kwann waitwe waheshimiwa Hawa ?
  19. M

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Hili shangwe la Wabunge kwa Shaka Hamdu Shaka linamaanisha nini kwa Siasa za Sasa, Je arudishwe?

    Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limetikiswa na shangwe na makofi kutoka kwa wabunge mara baada ya kutambulishwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka, aliyekuwa miongoni mwa wageni wa Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, wakati akiwasilisha Bajeti ya Wizara...
  20. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Wabunge wetu, hasa Msukuma, mmeiumbua serikali kwa kuvunja sheria ya ROAD FUND

    Inatia moyo kwa wabunge wetu kwa kuikemea serikali kwa kuvunja sheria. Kisheria fedha za ROAD FUND zinalindwa kutotumika kwingine kokote, ila ujenzi na ukarabati wa barabara nchini. Sasa leo kuna wajanja serikalini wamevunja sheria. Kwanza tutaomba watajwe hao wahusika serikalini. Pili...
Back
Top Bottom