wabunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Nikisema wabunge wa CCM hawajielewi, nitakuwa nawatukana?

    Fikiria huyu alikuwa Waziri
  2. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Wabunge watoro ni kielelezo cha katiba mbovu...

    Nimesikitika kusikia Spika akilalamika kuna wabunge watoro wakiwamo hawa waliotoroka na kuishangilia timu ya taifa morocco hapo ni kwamba baada ya kusikia kuna ndege ya bure ndio wakatoroka . Maana yake wanahujumu pesa za walipa kodi au nchi . Hivi nchi kama china mtu anaweza kuchezea...
  3. tucker carlson

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wabunge wakiwashangilia Serengeti Boys baada ya kufungwa na Senegal

    Wakuu, Wabunge waliosafiri kwenda Nchini Morocco wakiwashangilia Serengeti boys baada ya mchezo wa Fainali ya AFCON U-17 waliyopoteza kwa mikwaju ya penalti dhidi ya Senegal
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kambarage, Fatma Na Chumi Waapa Rasmi Kuwa Wabunge Wa Bunge La Jumuiya Ya Afrika Mashariki

    Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki waliopigiwa kura hivi karibuni na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambao ni Ndugu Kambarage Wasira, Fatma Kange na Cosato Chumi, wameapa leo 01 Juni 2026 wakati wa kikao cha Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuanza shughuli...
  5. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Jaji John Ruhangisa: Wabunge wanapoongea bungeni, wanayoyaongea ni kweli wametumwa na wananchi?

    Yaani kwa alichokisema huyu baba kwenye hii video na kinachoendelea ni kwamba TANZANIA HATUNA BUNGE ----------------------------------- Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Prof. John Ruhangisa, amesisitiza kuwa ni wajibu wa kisheria na kikatiba kwa wabunge kurudi kwa wananchi...
  6. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Wabunge wetu mnatia aibu, sakata la vikwazo, huko Bungeni mnamuwakilisha nani?

    Ubinafsi ulioonyeshwa na wabunge wetu wakibanwa imewafanya watie aibu katika jamii. Sakata la vikwazo vya Marekani liko mbele yetu kama nchi. Wahusika binafsi ni wale waliofanya mambo mabaya dhidi ya umma wa Kitanzania. Watu hao ni watekati, waliovuruga utaratibu wa uchaguzi, walioua...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Tishio la vikwazo vya USA kwa CCM na wengineo: Badala ya kelele nyingi zisizosaidia Bungeni, wajibuni USA na Trump "Who are you?"

    Nimesikiliza Wabunge na hata waziri wa mambo ya nchi za nje wakipiga kelele Bungeni kuhusu tishio la vikwazo vya USA kwa viongozi wa CCM na watendaji wengine. Wamefika hata kudai kuwaleta viongozi wa USA hapa Tanzania na kulipia gharama zao za usafiri, malazi na chakula ili waje wajionee kuwa...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM walia chonde chonde marekani hilo rungu la Donald Trump lisitufikie, waomba waende Marekani kujieleza bunge la senate / congress

    26 May 2026 CCM Parliament Dodoma Tanzania 13th Parliament 3rd Session, 37th Session today May 26, 2026 Tanzanian parliament session : How a CCM MP Ms. Mariam Anzuruni Mungula was deeply Disturbed by the US's Agitation for severe Sanctions on Tanzanian Government Leaders...
  9. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Wabunge waliopo Dodoma wanastahili kuitwa waheshimiwa Bado?

    Wachangiaji wote waliochangia bajeti ya mambo ya nje Kila mtu alimsifia Samia Nape Samia Bulaya Samia Kingu Samia Samia Samia Samia Wao wanafanya kazi Gani Sasa kama Kila kitu anafanya Samia? Kwani huwezi ongea bila kutaja jina la raisi? Kwann waitwe waheshimiwa Hawa ?
  10. M

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Hili shangwe la Wabunge kwa Shaka Hamdu Shaka linamaanisha nini kwa Siasa za Sasa, Je arudishwe?

    Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limetikiswa na shangwe na makofi kutoka kwa wabunge mara baada ya kutambulishwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka, aliyekuwa miongoni mwa wageni wa Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, wakati akiwasilisha Bajeti ya Wizara...
  11. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Wabunge wetu, hasa Msukuma, mmeiumbua serikali kwa kuvunja sheria ya ROAD FUND

    Inatia moyo kwa wabunge wetu kwa kuikemea serikali kwa kuvunja sheria. Kisheria fedha za ROAD FUND zinalindwa kutotumika kwingine kokote, ila ujenzi na ukarabati wa barabara nchini. Sasa leo kuna wajanja serikalini wamevunja sheria. Kwanza tutaomba watajwe hao wahusika serikalini. Pili...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Wabunge 7 wanaotajwa kuwa na michango yenye mashiko Bunge la 13, 2025

    Wabunge wenye michango yenye mashiko katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wapo wengi. Lakini hapa wanatajwa wabunge 7 tu ambao wakipewa nafasi ya kuongea, michango yao au hoja zao hutikisa bunge lenyewe na kuvuka mipaka hadi mitandaoni, wakati mwingine mpaka kurasa za mbele za...
  13. Ex Spy

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Mfumo wa Sauti wa Bunge wabuma, wabunge warudishwa ukumbi wa Msekwa!

    Leo, Mei 14, 2026 Mfumo wa sauti Bungeni umebuma. Wabunge wamerudi ukumbi wa Msekwa. Vifaa viliwekwa na Mchina, ku-upgrade wameleta Mzungu, ngoma imebuma. Jana jioni ilianza kupiga alarm ya moto ilhali hakuna moto. Kazi kwelikweli
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kwenu wabunge wa Kanda ya Ziwa: Airport ya Mwanza iboreshwe lakini hoja zenu za kikanda zisiwe sababu ya kupinga ujenzi wa uwanja wa Serengeti

    Serengeti ni moyo wa utalii wa Tanzania, halafu bado tunabishana kuhusu airport? https://youtu.be/9eOKGUVCjA4?si=UOzbKsu_RKP-Xeck Wakenya waliona tumelala, wana mipango ya kujenga airport karibu na Maasai Mara ili watalii watue moja kwa moja karibu na destination yao. Tumechelewa sana kuweka...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Waitara: Wabunge tunapata huduma ya bima lakini wazazi wetu hawajajumuishwa, inaleta taharuki katika familia

    Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara, amehoji sababu za wazazi wa wabunge kutojumuishwa katika huduma za bima ya afya wanazopata wabunge, huku akielezea changamoto kubwa wanazopata familia nyingi wakati wazazi wanapougua. Akizungumza bungeni leo Mei 12, 2026, Waitara ameeleza kuwa utaratibu...
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Ahmed Shabiby: Mapapa makubwa yamehodhi tenda za kuleta dawa nchini, nyingi ni feki na zina Milligram chache

    Mbunge wa Jimbo la Gairo Ahmed Shabiby amesema kuna mtandao unaokwamisha juhudi za kuanzisha viwanda vya dawa nchini, akidai kuwa baadhi ya viongozi wanahujumu sekta hiyo kwa maslahi binafsi huku wananchi wakiendelea kuumia kutokana na gharama kubwa za dawa. Akichangia hotuba ya Wizara ya Afya...
  17. Informer

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yadaiwa kuwazuia Wabunge wa Ulaya (EU) Kufanya Ziara Nchini

    Wakuu, Kuna taarifa nzito sana imetolewa na Bunge la Ulaya (European Parliament) kuhusu mahusiano yetu ya kidiplomasia na hali ya haki za binadamu hapa nchini. Kwa mujibu wa chapisho rasmi kutoka kwenye tovuti ya bunge hilo, Serikali ya Tanzania imeikatalia kamati ya Wabunge wa Ulaya kufanya...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Kambarage Wasira akiomba kura kwa wabunge kumchagua kuwakilisha katika Bunge la EALA

    Kambarage Masatu Wasira akiomba kupigiwa kura za ubunge katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) leo Mei 4, 2026 Bungeni Dodoma
  19. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Mh. Spika kutokana na kile kilichofanywa na huyu mgeni, Je si wakati sasa wa kuamua hili liwe kitaifa?

    Mh. Spika Refa kutoka Kenya Alichezesha vizuri na fainal ya Simba na Yanga kila mtu ameridhika. Je hatuoni ni wakati sahihi sasa kuleta pia wageni katika nyanja mbalimbali kama Urais, Uwaziri, Ubunge, Majaji na sehemu nyingine zilizojaa rushwa na ukosefu wa weledi?
  20. upupu255

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Je, ni kweli Taji Liundi amesema bunge la Tanzania lina wabunge vilaza, hawafai?

Back
Top Bottom