Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Inashangaza sana kuona watu wanailaumu nchi ya Kenya kuzuia mahindi toka Tanzania kuingizwa nchini humo.
Watu wengi wanailaumu Kenya kana kwamba haina mamlaka ya kulinda raia wake na mipaka yake.
Kama mahindi ya Tanzania au nchi nyingine yamepimwa mamlaka husika za Kenya na kuonekana yana sumu basi ni jukumu la Kenya kulinda afya za raia wake.
Ni jukumu la wataalamu wa Tanzania kutoa elimu namna ya kupambana na hili tatizo linalosababisha mahindi kuzalisha sumu. Sio kuleta visingizio vya kuonewa wivu wa kiuchumi.
Watu wengi wanailaumu Kenya kana kwamba haina mamlaka ya kulinda raia wake na mipaka yake.
Kama mahindi ya Tanzania au nchi nyingine yamepimwa mamlaka husika za Kenya na kuonekana yana sumu basi ni jukumu la Kenya kulinda afya za raia wake.
Ni jukumu la wataalamu wa Tanzania kutoa elimu namna ya kupambana na hili tatizo linalosababisha mahindi kuzalisha sumu. Sio kuleta visingizio vya kuonewa wivu wa kiuchumi.