usa

  1. Mafyangula

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: USA 2-0 Australia | World Cup 2026 | Lumen Field | Juni 19, 2026| 4:00 Usiku

    Wenyeji wenza wa Kombe la Dunia, Marekani (USA), na washiriki waliofuzu kutoka Asia, Australia, watachuana jijini Seattle. Mshindi wa mechi hii ana nafasi kubwa ya kujihakikishia nafasi ya kwanza mwishoni mwa mzunguko wa pili wa mechi (matchday two) baada ya timu zote mbili kupata ushindi wa...
  2. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Tanzania na USA: Maslahi ya Wananchi Kwanza

    Mahusiano ya kimataifa hujengwa kwa maslahi ya wananchi, si kwa kelele za mitandao. Tanzania na USA zimeendelea kuweka mbele biashara, uwekezaji na maendeleo.
  3. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Putin anazidi kudhalilishwa na makombora ya Ukraine na kuzidiwa; je atafanya kwa Ukraine kile USA walichofanya kwa Japan mwaka 1945 ili kushinda vita?

    Baada ya Ukraine kuruhusiwa kumpiga Mrusi ndani ya mipaka yake, Ukraine amejijengea uwezo mkubwa sana wa kutumia drone katika kuipiga Urusi anavyotaka kwa masafa marefu. Upigaji wa Ukraine kwa Urusi umekuwa wakisaikolojia sana - wakati wa mkutano wa kimataifa ambao hata raisi Samia...
  4. Fbn

    JamiiForums Tanzania Nimejifunza nchi kama China na USA japo ghost town ni ngumu kuzibiti

    Tatizo la ghost town lipo dunia nzima hata kama utaboresha vipi na kulipa au kusaidia watu waishi hapo bure. Shida tunayotaka kuangalia ni nchi kuwa ya mikakati mfano kama ilivyo USA na China ili kubalance maendeleo na fursa sehemu zote. Ukiwa nchi kama china au USA wamejigawa ndio maana...
  5. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bunge la Ulaya (EU) lapinga Msaada wa Euro Milioni 156 (Tsh. Bilioni 440+) kwa Tanzania. Wataja Haki za Binadamu na Uchaguzi wa 2025

    Wakuu, Kuna mvutano mzito unaoendelea huko Ulaya kati ya Bunge la Umoja wa Ulaya (European Parliament) na Kamisheni ya Umoja wa Ulaya (European Commission) kuhusu mpango wa kuipatia Tanzania msaada wa kimaendeleo wa kiasi cha Euro Milioni 156 (zaidi ya Tsh. Bilioni 440). Kwa mujibu wa taarifa...
  6. Fbn

    JamiiForums Tanzania MaSwali ya kichokonozi: Bwawa la Nyerere ? umeme toka Ethiopia? uchumi wa Tanzania umezidi kuliko USA

    Naomba kujibiwa haya maswali.Ila kubwa zaidi bwawa la Nyerere ?.
  7. R

    JamiiForums Tanzania Hivi, Team Samiah (Russia, China na Umoja wa Falme za Kiarabu na washirika wake)vs Dkt. Nchimbi (USA, European union, Israel, Vatican) nani atashinda?

    Mtanange unaendelea, nani ataibuka kidedea!!? Sisi wamatumbi tupo upande gani!?tujifiche upande wa Mungu na maombi kama kina sisi!!? Kule Zanzibar naona wameanza kuchochea kuni ili kuvunja muungano,ubaguzi wa wazi kabisa kuhusu huduma za umma kwa watanganyika kana kwamba Zanzibar sio sehemu ya...
  8. Chibike

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Michuano ya Kombe la Dunia 2026 huko USA itakuwa michuano MIBOVU kuwahi kutokea tangu kuanzishwa kwake

    Sasa sababu ya Trump akalazimisha kinguvu michuano hio ifanyike nchini kwake ili kujipa ujiko usio na maana yoyote , Sasa tunaona michuano imeshakua MIBOVU hata kabla haijaanza...joto Kali, wachezaji wanafanya mazoezi kwenye viwanja vyenye nyoka wakali, timu Zinazuiwa kuingia nchini, mara...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Wakati Ruto kapata zaidi ya $3B mwaka huu kutoka USA ! Samia anajiongezea PHD kapata $0

    Wakati Ruto kapata zaidi ya alipewa $1.6 B ya afya na sasa amepewa $1.7B kwasababu ya Ebola. Ebu tujiulize ni ajira ngapi zitapatikana ni zaidi ya $3B inaingia Kenya. Samia anajiongezea PHD huko Urusi kapata $0 anakuja na mashaga sijui yanasaidia nini Tanzania. Hii ndiyo tofauti ya nchi yenye...
  10. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Wanasema kila nchi huwa ina mangenge ambayo yako nyuma serikali yenyewe Ndo yanaenesha USA na ISRAEL

    Najua wengi mnafahamu kwamba Israel wana endesha Rais wa USA kuna madoni yameweka system mkononi sema ya kule yanakula na Wananchi ya kwetu Afrika ni kausha Damu GUPTA na SA
  11. K

    JamiiForums Tanzania Is Tanzania Shifting toward Russia as new Foreign Policy? And Abandoned USA and Allies

    “Is Tanzania shifting toward Russia as a new foreign policy or cooperation strategy after President Samia’s recent Russia visit?” — the short answer is: Possibly yes, but not as an exclusive shift toward Russia. It looks more like Tanzania expanding a multi-directional economic diplomacy...
  12. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Baada ya USA kuipa kisogo Tanzania baada ya matukio ya Oktoba 29. Urusi ya Putin inaweza kuwa msaada?

    Naona kuna dalili kubwa kuwa taifa letu lina hali mbaya sana maana Usa na mataifa ya magharibi wamelitupa. Kukimbila kuwa karibu na Urusi kunaweza kuwa msaada kwa taifa hili ambalo mpaka sasa limechafuka dunia nzima kwa kuwa na serikali ambayo inatuhumiwa kuua watu ili ibaki madarakani? Pia...
  13. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania USA Government Deploys Ebola Specialists To Kenya

    The U.S. Public Health Service Commissioned Corps is deploying a team of highly trained officers to Kenya to support the care, monitoring, and quarantine of American citizens departing the Democratic Republic of the Congo as part of a coordinated interagency effort with the State Department and...
  14. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Section No 5 kwenye muswada wa Maseneta wa Marekani ni msiba mzito kwa CCM na Serikali yake

    Ukisoma hiki kifungu namba 5 kwenye huu mswaada ambao kiuhalisia lazima baadhi ya viongozi wataingia kwenye shida hii kubwa Nimejiuliza Sana mwenyewe kuwa kwanini serikali omepaniki Sana nikaja kugundua kilichomo ndani ya hii bill ni jeneza kabisa Kwa CCM... Ebu soma hapa utapata jibu MAREKANI...
  15. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maseneta wapendekeza mageuzi makubwa katika uhusiano kati ya Marekani na Tanzania, kufuatia ukatili uliotokea Oktoba 29

    Muswada mpya wa vyama vyote viwili (bipartisan) unalenga kuielekeza serikali ya Rais Donald Trump kufanya mageuzi makubwa katika uhusiano wa Marekani na Tanzania, kufuatia msako wa kikatili uliotokea nchini humo baada ya uchaguzi mkuu uliopita uliogubikwa na utata. Muswada huo uliowasilishwa na...
  16. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Baada ya Marekani, Mataifa ya Ulaya na Canada wanafuata

    Kwa nchi zinazojali utu, huwezi kushilikiana na serikali katili ya CCM. Kwa sasa ipi tofauti ya CCM na vikundi vya kigaidi kama Hamas, ISS, na Boko Haram. Maana wote wanaua,wote wanateka,wote wanalawiti, wote hawafati demokrasia. Kama ilivyotokea Zimbabwe, haiwezekani US akupige Pini then UK...
  17. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Picha: Polisi USA VS Polisi wa Tanzania

    Kushoto ni Polisi wa New York wakiwa darasani kujifunza mbinu za kukabiliana na majanga mbalimbali. Kulia ni Polisi wa Tanzania wakiwa kwenye maonyesho ya namna walivyo wakakamavu na wanaweza kubeba pikipiki na kukimbia nazo
  18. Zirconium

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kikosi cha wachezaji 26 cha Uingereza ( England ) Chini ya Thomas Tuchel kuelekea kombe la Dunia 2026 ( USA , Mexico , Canada )

    Tayari mkufuzi Tuchel kataja majina ya wachezaji watakao wakilisha Taifa la Uingereza ( England ) kwenye mashindano ya Kombe la Dunia Kikosi hiki kimepokelewa kwa mitazamo tofauti na wapenzi wa soka ulimwenguni ( mashabiki ) kukosekana kwa Wharton toka Cyrstal Palace , Levi Colwill toka...
  19. R

    JamiiForums Tanzania My worry is rhis ; Mafwele does not need going to the USA

    Haya Mafwele hayamashitui maana hana haja ya kwenda Marekeni! Hivyo Pompeo you need to do more than maneno
  20. R

    JamiiForums Tanzania Kumbe USA mdabwada, Iran ameshinda?

    Nilitegemea within a week or so, Iran awe " amekufa". Mpaka leo anadunda tena kwa kishindo cha ushindi! Kumbe USA ni maneno tu hana ubavu wa kupigana Vita! I stand to be corrected!
Back
Top Bottom