tra

  1. mirindimo

    KERO Barua za TRA kwenda kwa wateja zina vitisho

    Hii mamlaka hebu ipunguze kidogo kutumia maneno makali na vitisho kwenye barua zao hasa zile za VAT Verification , yaani wanakuomba utume vielelezo halafu bado wanakwambia tunauwezo wa kuvikataa na tukakushtaki vile vile , sasa namna hiyo jamani si tuongee tu kama ndugu wakuu sisi sio waharifu...
  2. Fbn

    Malalamiko ya CAG kwa nini TRA wasiwekwe kuwa waendesha miradi.

    Kaka Pascal Mayalla umeeleza kuhsu TRA. Ila mda unavyozidi kwenda mimi nawazo kuhusu ufanisi wa TRA wanavyoweza kuona kila mfanyabiashara anapata faida. kwa nini hii miradi na pesa zinazopotea mfano mashirika mengi ya serikali pesa zinapotea wasiwe wao kama ndio wanafanya hii kazi. Ili pato...
  3. Pascal Mayalla

    Katika Kipindi cha Miaka 30 ya Uwepo Wake, TRA Yafanya Mengi, Makubwa, Muzuri ya Mafanikio, Mfano ni Hai ni Hii Taarifa ya Mwaka Mmoja Tuu!.

    Wanabodi, Naendelea na Makala maalum za Maadhimisho ya Miaka 30 ya TRA, hii ni taarifa ya TRA Wenyewe Niwatakie Jumamosi Njema. Paskali.
  4. DogoWaNjombe

    TRA wawe na duka lao la mfano kwa Wafanyabiashara

    Video: ALAMA GLOBAL
  5. A

    HOJA Ongezeko la Excise Duty kwenye magari ni changamoto mpya kwa Wananchi

    Wizara ya Fedha imewasilisha bajeti ya mwaka mpya ambayo imejumuisha ongezeko la kodi ya excise duty kwa magari, ambapo baadhi ya magari yameongezewa kwa asilimia 10 na mengine kwa asilimia 5 kulingana na umri wa gari. Sisi wafanyabiashara tunaelewa kuwa kodi ni wajibu wetu na hatupingi kulipa...
  6. A

    Ewe mmiliki wa kampuni, unafahamu ya kuwa leo 30 Juni 2026 ni siku ya mwisho kuwasilisha hesabu za kampuni yako Kwenda TRA?

    Hakikisha unawasilisha hesabu za kampuni yako kwenda TRA kabla ya 30 Juni 2026, tofauti na hapo kampuni yako itakuwa hatarini kulipa faini ya Tshs 300,000 kwa kila mwezi ambao hujawasilisha hesabu zako. Hii ni kwa mjibu wa kufungu 89 (1) ya Sheria ya usimamizi wa kodi (R.E 2023). Epuka kuingiza...
  7. Pascal Mayalla

    Live from Four Points by Sheraton: Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda, Akizungumzia Tuzo ya Rais Kwa Mlipakodi Bora na Maadhimisho ya Miaka 30 ya TRA

    Wanabodi, Niko hapa ukumbi wa Four Points by Sheraton, nikiwaripotia live mubashara, Kikao Kazi kati ya Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, na Wahariri wa Vyombo vya Habari nchini kupitia Jukwaa la Wahariri Tanzania, TEF, Kuzungumzia siku ya Tuzo ya Rais Kwa Mlipakodi Bora na Maadhimisho...
  8. Mkalukungone Mwamba

    FT: Yanga SC 3-0 TRA United| Ligi kuu NBC | KMC Complex

    Yanga wanashuka dimbani muda huu kucheza mchezo wake wa ligi kuu NBC dhidi ya TRA. Moja ya mchezo mzuri na muhimu kwa Yanga kujihakikishia ubingwa Lakini pia hata TRA nao wanataka kumaliza top 4 =========== Klabu ya Yanga imeendelea kuonyesha ubora wake katika Ligi Kuu ya NBC baada ya kuibuka...
  9. Hismastersvoice

    TRA kodi hii ni dhuluma kwa wafanyabiashara, sheria iiondoe ilipwe na wenye nyumba

    Wafanyabiashara wadogo ambao wanapanga kwenye nyumba za mitaani hutozwa Withholding Tax yaani kodi ya zuio! Hapa anayezuiwa ni nani! Hakuna jibu isipokuwa imetengenezwa kuiongezea mapato serikali ambayo hayana haki. Mimi mpangaji natozwa kodi ya jengo kisa ni mpangaji japo mwenye nyumba yupo...
  10. J

    Pongezi kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika maadhimisho ya miaka 30 yake

    Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), napenda kuchukua fursa hii kutoa pongezi za dhati kwa viongozi, menejimenti na wafanyakazi wote wa TRA kwa kazi kubwa na mafanikio yaliyopatikana katika kipindi chote cha miaka hiyo. Kwa hakika, miaka...
  11. Fbn

    Ni wazo ila ni msaada kwenu TRA

    Naanza kwa kuwaponda viongozi wanaosafiri kwenda nchi za nje na kisha kurudi wakiwa na mashudu kichwani. Ina maana gani ya kwenda nchi za watu mkarudi kichwa cheupe hata mjifunzi makosa au mbinu. Hii sio kwa TRA ni kwa idara zote mpaka serikali nzima. Mfumo wa TRA ulikuwa na njia rahisi ya...
  12. Fbn

    Kwenye biashara, TRA kodi yenu kwenye kutoa risiti mbona mnachukua mpaka na mtaji?

    Kuna mambo ya kubadilishwa ili swala la ulipaji kodi kwenye makato ya risiti. Kwa nini asilimia 18 zijumuishwe kwenye mauzo na kwa nini zisijumuishwe kwenye faida niliyopata. Mfano umeagiza mzigo thamani yake yake mpaka hupo dukani 100000/= bei ya kuuza dukani 130000/=. Mteja kataka risit na...
  13. A

    HOJA Inakuwaje bei ya kodi TRA kuagiza gari ni mara mbili ya bei ya gari? TRA inatakiwa kuwa inapitia hizi bei

    Kuna haja kubwa kwa TRA kufanya mapitio ya mara kwa mara ya viwango vya bei vinavyotumika kwenye mfumo wao wa ukokotoaji wa kodi za magari. Kwa sasa, inaonekana kuwa baadhi ya bei zilizopo kwenye mfumo zimepitwa na wakati na haziakisi hali halisi ya soko la magari ilivyo leo. Mfano mzuri ni...
  14. A

    Kwa shule na vyuo binafsi, je umeandaa na kuwasilisha taarifa zako za fedha zilizokaguliwa za mwaka 2025 kwenda TRA?

    Kama umekuwa ukivutana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) sababu ya kodi inayotokana na uandaaji wa hesabu za shule au chuo chako…Basi soma mpaka mwisho… UKWELI USIOPINGIKA…Zipo shule pamoja na vyuo mbalimbali hadi leo hii wamelemewa na madeni makubwa yatokanayo na kodi kutoka TRA. Hili siyo...
  15. realMamy

    TRA INNOVATION PORTAL INAGOMA KUJISAJILI KuPITIA TIN NUMBER.

    TRA tunaomba warekebishe Changamoto iliyopo kwenye Innovation portal Yao kwani imekuwa ikisumbua kuingia ni muda Sasa. Kama kweli wanahitaji mawazo Bunifu inabidi wawe na njia hata tatu za kupokea maoni iwapo Moja itakuwa inasumbua. Nina Imani ni wasikivu na watafafanya. Sehemu kubwa inayosumbua...
  16. kilio

    Utajuaje mwajiri anapokata PAYE (TAX) anawasilisha TRA?

    Mim ni Mtanzania pekee nafanya kazi katika kampuni ya kihindi lakini imetokea nje. Kapuni hii ilishinda tenda ya kutengeneza mfumo katika taasisi ya serikali. Kutokana na changamoto kati ya yeye na taasisi ya serikali, mambo siyo mazuri. To be honest project inahitaji mtaji mkubwa sana na...
  17. L

    Ushauri wa Bure kwa TRA: Anzisheni Program ya Certified Tax Educator (CTE).

    Haya ni maoni na ushauri wangu wa Bure kwa TRA, naomba niwaahauri waweze kuanzisha program Maalum ya Certified Tax Educator (CTE), hii inatokana na Kwamba kwa sasa Watanzania wengi hawana Elimu ya kutosha kuhusiana na masuala ya kodi. Tukio halisi ni la hivi karibuni lililotokea Dar es Salaam...
  18. Mad Max

    BYD Shark 6: Wabongo hawataki Masihara, Mil 170+ kabla ya TRA sio poa!

    Walivyofungua dealership ya kuuza 0 km kuna watu wakajua watafeli. Ila naona vyuma vinatoka. Hii Shark 6 inakuja kupambana na kina Navara, Hilux au Ranger. Ila yenyewe ni PHEV, ina engine ya cc 1500 au 2000 kwa performance, zote turbo i4. Kwa umeme peke yake unaweza kwenda km 85 ila kwa...
  19. ubongokid

    Je, Mfumo wa IDRSA na Website ya TRA havipo hewani?

    TRA Tanzania Kuna nini?Tovuti yenu pamoja na mfumo wa IDRSA haufikiki.Vp Shida ni nini?
  20. ubongokid

    Je, mifumo ya TRA yote website ni IDRAS iko offline au shida iko upande wangu?

    Nimeona nilete hapa maana tangu asubuhi leo kila ninapotaka kuingia kwenye tovuti ya tra pamoja IDRAS sipati access kuna shida huko TRA TRA Tanzania
Back
Top Bottom