Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), napenda kuchukua fursa hii kutoa pongezi za dhati kwa viongozi, menejimenti na wafanyakazi wote wa TRA kwa kazi kubwa na mafanikio yaliyopatikana katika kipindi chote cha miaka hiyo.
Kwa hakika, miaka...
Naanza kwa kuwaponda viongozi wanaosafiri kwenda nchi za nje na kisha kurudi wakiwa na mashudu kichwani.
Ina maana gani ya kwenda nchi za watu mkarudi kichwa cheupe hata mjifunzi makosa au mbinu.
Hii sio kwa TRA ni kwa idara zote mpaka serikali nzima.
Mfumo wa TRA ulikuwa na njia rahisi ya...
Kuna mambo ya kubadilishwa ili swala la ulipaji kodi kwenye makato ya risiti.
Kwa nini asilimia 18 zijumuishwe kwenye mauzo na kwa nini zisijumuishwe kwenye faida niliyopata.
Mfano umeagiza mzigo thamani yake yake mpaka hupo dukani 100000/= bei ya kuuza dukani 130000/=.
Mteja kataka risit na...
Kuna haja kubwa kwa TRA kufanya mapitio ya mara kwa mara ya viwango vya bei vinavyotumika kwenye mfumo wao wa ukokotoaji wa kodi za magari. Kwa sasa, inaonekana kuwa baadhi ya bei zilizopo kwenye mfumo zimepitwa na wakati na haziakisi hali halisi ya soko la magari ilivyo leo.
Mfano mzuri ni...
Kama umekuwa ukivutana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) sababu ya kodi inayotokana na uandaaji wa hesabu za shule au chuo chako…Basi soma mpaka mwisho…
UKWELI USIOPINGIKA…Zipo shule pamoja na vyuo mbalimbali hadi leo hii wamelemewa na madeni makubwa yatokanayo na kodi kutoka TRA. Hili siyo...
TRA tunaomba warekebishe Changamoto iliyopo kwenye Innovation portal Yao kwani imekuwa ikisumbua kuingia ni muda Sasa. Kama kweli wanahitaji mawazo Bunifu inabidi wawe na njia hata tatu za kupokea maoni iwapo Moja itakuwa inasumbua. Nina Imani ni wasikivu na watafafanya.
Sehemu kubwa inayosumbua...
Mim ni Mtanzania pekee nafanya kazi katika kampuni ya kihindi lakini imetokea nje. Kapuni hii ilishinda tenda ya kutengeneza mfumo katika taasisi ya serikali. Kutokana na changamoto kati ya yeye na taasisi ya serikali, mambo siyo mazuri.
To be honest project inahitaji mtaji mkubwa sana na...
Haya ni maoni na ushauri wangu wa Bure kwa TRA, naomba niwaahauri waweze kuanzisha program Maalum ya Certified Tax Educator (CTE), hii inatokana na Kwamba kwa sasa Watanzania wengi hawana Elimu ya kutosha kuhusiana na masuala ya kodi.
Tukio halisi ni la hivi karibuni lililotokea Dar es Salaam...
Walivyofungua dealership ya kuuza 0 km kuna watu wakajua watafeli. Ila naona vyuma vinatoka.
Hii Shark 6 inakuja kupambana na kina Navara, Hilux au Ranger. Ila yenyewe ni PHEV, ina engine ya cc 1500 au 2000 kwa performance, zote turbo i4.
Kwa umeme peke yake unaweza kwenda km 85 ila kwa...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza ratiba ya hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB kwa msimu wa 2025/2026, ambapo vigogo wa soka nchini wamepangiwa vibarua vizito mwezi Mei.
Katika ratiba hiyo, klabu ya Simba SC itakuwa mwenyeji wa TRA United ya Chobwedo...
Kumiliki gari ni anasa.
Kuna mtu anavipenda sana vi BMW MINI sasa tukawa tunacheki cha 2013 tumekielewa. Tukapata cheap kabisa Mil 5.6 Bila negotiations.
Tukajua TRA itacheza kwenye Mil 5 hivi au 6. Aisee.
Nadhani ataenda kununua pikipiki ya umeme uyu.
Wakati msafara wa timu ya Simba SC ukiingia uwanjani majira ya Saa 8:30 Mchana wa leo Aprili 9, 2026 kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara kuna hali ya sintofahamu kati ya wanaodhaniwa kuwa ni “Makomandoo” na walinzi wa uwanja, hali ambayo...
Mechi ya kiporo ya TRA SC dhidi ya Simba SC inatarajiwa kupigwa jioni saa 10:00 katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Stadium, ikiwa ni sehemu ya mashindano ya NBC Premier League, ambapo timu zote zinatarajia kuonesha ushindani mkali kusaka alama 3 muhimu.
Kikosi cha TRA United SC
Kikosi cha...
Hivi TRA wameongeza kitu kwenye makato yao?
Binafsi sijaelewa vizuri ni nini kilichoongezwa.
Kuna ile kodi ya pango ambayo tunalipa siku zote mfano mimi nalipia Shilingi 72,000 kwa Mwaka, sasa mwaka huu wanasema nilipie Asilimia 10 ya hiyo kodi ya pango ambayo ni 7,200 yaani nalipia 72,000...
Introduction
In the global race for Foreign Direct Investment (FDI), the United Republic of Tanzania has deliberately positioned itself as an attractive and predictable investment destination. This commitment has been operationalised through the institutional framework of the Tanzania Investment...
Habari za wakati huu
Katika harakati za kujitafutia ugali after chuo, nimetapanya CV yangu karibu kila office niliyoona kuna fursa iwe private/Gvt.
Nyingine zilitiki na nyingine ndo kama hivyo tena.
Mpaka SAIVI nipo kwenye issue fulani nafanya ila malipo si mazuri sana ila sababu sina kitu cha...
Plot For Sale at Mwenge.
Location: TRA rd/Mazwile st, opposite Kenton High School.
Size: 1154.5061 SQM (12.427 SQFT).
Land use: Commercial/Residential.
Price: TZS 2.4B, Negotiable.
Document: Title Deed.
For more information or to schedule a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will...
Kodi lazima ilipwe na watu wote wa dini zote, makabila yote na hata mashabiki wa timu zote.
Inafahamika kuwa taifa la Tanzania limegawanyika kati ya wanaume na wanawake, wakristo na waislam na pia mashabiki wa Simba na Yanga. Hii inamaanisha kuwa kwenye jambo la kitaifa usiingize jinsia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.