Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,920
- 15,609
Baada ya wakazi wa China kuwekewa vizuizi vya kusafiri kwa wiki kadhaa, hasa kuingia jimbo la Hubei (lenye mji wa Wuhan, kitovu cha corona) kwa karibu miezi 2 ili kuepusha kusambaa kwa korona, zuio hilo litaondolewa rasmi April 8.
Wakazi wa Wuhan watakuwa huru kusafiri popote nchini kuanzia tarehe hiyo.
Yaani nakosa picha furaha watakayokuwa nayo baada ya kifungo cha miezi kadhaa.
Kazi kwao wale wanaosema corona bado yashambulia China na kuua kwa kiwango kikubwa.
Wakazi wa Wuhan watakuwa huru kusafiri popote nchini kuanzia tarehe hiyo.
Yaani nakosa picha furaha watakayokuwa nayo baada ya kifungo cha miezi kadhaa.
Kazi kwao wale wanaosema corona bado yashambulia China na kuua kwa kiwango kikubwa.