johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,934
- 141,903
Kuna baadhi ya vyama vya siasa vinatumia janga hili la Corona kutukumbusha kuwa na wao wapo baada ya kuwa wamesahaulika kwa miaka 5.
Kwa sasa Corona inazungumzwa zaidi na wanasiasa kuliko wataalamu hali inayofanya hata mapokeo yake kwa baadhi ya watu kuwa na mrengo wa kisiasa.
Hii haina afya kwa ustawi wa taifa kwa sababu katika majanga tunapaswa kuwa wamoja.
Niwakumbushe tu waumini wa Chadema, ACT wazalendo, Nccr na hata CCM kuwa Corona ni janga siyo siasa kwa hiyo tuwape nafasi wataalamu watuongoze katika hii vita.
Kiu yenu ya kuongea " chochote" mtaikata mwezi October wakati wa uchaguzi panapo majaaliwa.
Ramadan kareem.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa sasa Corona inazungumzwa zaidi na wanasiasa kuliko wataalamu hali inayofanya hata mapokeo yake kwa baadhi ya watu kuwa na mrengo wa kisiasa.
Hii haina afya kwa ustawi wa taifa kwa sababu katika majanga tunapaswa kuwa wamoja.
Niwakumbushe tu waumini wa Chadema, ACT wazalendo, Nccr na hata CCM kuwa Corona ni janga siyo siasa kwa hiyo tuwape nafasi wataalamu watuongoze katika hii vita.
Kiu yenu ya kuongea " chochote" mtaikata mwezi October wakati wa uchaguzi panapo majaaliwa.
Ramadan kareem.
Maendeleo hayana vyama!