Azam Football Club is a Tanzanian football club from Dar es Salaam. They play in the Tanzanian Premier League. Azam FC gained promotion to the Premier League for the first time in their short history in 2008–09. In the 2011–12 season, the club finished in a historic second place below Young Africans and qualified for the 2013 CAF Confederation Cup.
Sikuwaelewa Simba kwa Fadlu David. Record mbovu mno aakiwa kocha mkuu. Anakuja kupewa timu kwa record za akiwa asistance kocha.
Kila timu ikienda mapumziko inarudi ikiwa mbovu kuliko awali. Timu ilishinda kwa uwezo binafsi tu wa wachezaji sio mfumo.
Mechi ya mbili za awali Simba inabebwa...
Sidhani kama Azam itabadilika tena kwasababu kila aina ya usajili wamefanya, siyo wachezaji au makocha wamesajili sana mara nyingi ila kitu ni kile kile.
Timu nyingi kwenye ligi unaona mabadiliko kila mwaka zinapiga hatua ila Azam haieleweki,kwa mwenendo wa Azam naona miaka inayokuja hata...
Youssouph Dabo ametangazwa rasmi kuwa kocha mpya wa AS Vita Club, klabu maarufu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Dabo anachukua nafasi hii baada ya kuachishwa kazi na Azam FC, ambapo aliifundisha timu hiyo.
Uteuzi wa Dabo unakuja wakati ambapo AS Vita Club inahitaji kuimarisha...
Match Day
Mashujaa Fc 🆚 Azam Fc
🏆 #NBCPremierLeague
🕓 Saa 10:15 Jioni
🗓️ 29.09.2024
🏟️ Lake Tanganyika
Nb: Tutawakumbusha kazi wanayoweza kuifanya tofauti na kabumbu🍦🦍
Mashujaa ndio sisi.
KIKOSI CHETU KINACHOANZA.
KIKOSI CHAO KINACHOANZA LEO.
Updates...
Dakika 10'
0-0
HALFTIME...
Nilikuwa nina matumaini sana na Azam kwamba watamaliza nafasi ya pili msimu huu, ila baada ya mechi ya leo nawaondoa kwenye kinyang'anyiro hicho..
Singida Black Stars nao bado wana nafasi ila nadhani katikati ya msimu pumzi itawaisha nao kurudi kwenye nafasi yao kama mid-table team.
Simba...
1. Refa ni wa simba
Mpira wetu matokeo tunapanga sana. refa katumwa na simba washinde mechi. shame ila alikwau na maelekezo
2. Magoli yote offiside ya simba.
Kibendela nae katumwa. yani hii ligi refa ni alajiga tu. wengine wote ni wezi. sio kwamba quality awana ila wanatumwa. kitu awajui ...
1. Hivi kocha wetu kweli haoni tofauti kati ya Jean Charles Ahoua na Awesu Awesu? Hata asiyejua mpira anaweza kuwatofautisha wachezaji hao
2. Hivi kocha unawezaje kumtoa Kibbu ambaye ametolewa akiwa bado Ana energy ya kutosha na madefender wa Azam bado walikuwa wanamhofia?
3. Shomari Kapombe...
Alhamis hii katika NBC Premier League ni Mzizima Derby, Azam FC kukipiga na wekundu wa msimbazi Simba SC
Mtanange huu utapigwa katika dimba la New Amaan Complex,
Dakika ya 15 Goooal Ateba Azam 0 - 1 Simba
Nimewacheki Chama langu Azam fc . Bado wana a lot of individualism . Kila mtu yupo kivyake . Awana timu , in short kesho Simba Ana point 3 zake mapema tu.
Azam fc sijui nani aje ? Sema deal ni kuchukua Makocha wa Simba au yanga wakisuke KIKOSI vizuri.
Sema Azam fc Dini nyingi sana . Huu ndo...
Mzizima derby kupigwa Zanzibar wakati viwanja vipo nadhani hata mechi zingine kubwa kama derby ya kariakoo itapelekwa mwanakwerekwe na hatimae Sasa league ya NBC inahamia Zanzibar
Tujipange na ndondo za shafii
Uchambuzi wangu
Bora hata Azam tunaweza kusema walikufa kiume....Kwani walipambana Kwa kupiga mashuti mengi ambayo yalilenga lango japo hawakuwa na bahati.
Ila ndugu zangu makolo. Wana kikosi heavyweight cha thamani ya 7b billion.....lakini hawapiga suti hata Moja la kulenga goli...
Teh!
Wameshindwa kuifunga pamba Jiji, walichoambulia ni Red card.
Niliwaambia Azam FC kuna magarasa, Soma Pia Azam kuna magarasa mengi msimu huu, Feitoto anafanya kazi zote uwanjani kama house boy
Pia Pamba jiji ipo vizuri mkabisha haya sasa Pamba Jiji naiona kama vile ilikuwa ligi kuu...
Tunayo furaha kumtangaza, Rachid Taoussi, kuwa Kocha Mkuu wetu mpya kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Taoussi, amekuja na wasaidizi wake watatu, Kocha msaidizi, Ouajou Driss, Kocha wa utimamu wa mwili, Badr Eddine na Kocha wa makipa, Rachid El Mekkaoui. 🇲🇦
Taoussi amewahi kuvifundisha vilabu...
Hizi mpya kabisa, possibly amna mtu karipoti tanzania hii : utaona chawa wana ripoti after this post ,
I will be short :
kocha mpya huyo from Morocco anakuja na benchi lake lote la ufundi.
Rachid Taoussi has managed several clubs throughout his career. Here is a list of the clubs he has...
Azam FC imetangaza leo, Septemba 3, 2024, kwamba imefikia makubaliano ya pande mbili na kocha mkuu Youssouph Dabo ya kusitisha mahusiano yao ya kikazi. Dabo, ambaye amehudumu katika klabu kwa kipindi cha mwaka mmoja, anaondoka pamoja na wasaidizi wake wote wa benchi la ufundi aliokuja nao.
Soma...
Kauli hii imezungumzwa na Msemaji wa Yanga Ali Kamwe kwa niaba ya wasemaji wengine “Sisi ambao ni vilabu na ambao ndiyo wanufaika sisi Yanga, wenzetu Simba na Azam inatakiwa tumsapoti mama kwa kununua goli ili kuipa hamasa Taifa Stars.”
“Masharti ya kupata pesa hizo ni kila goli tutanunua kwa...
1. Inaelezwa kuwa kiungo wa Young Africans Aziz Ki ameongeza mkataba wa miaka miwili na timu hiyo
2. Klabu ya Azam na Young Africans zinamuwania beki kisiki wa Coastal Union Lameck Lawi
3. Kuna uwezekano winga wa Simba Sc, Aubin Kramo akapelekwa kwa mkopo Zesco United ya Zambia
4. Kiungo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.