Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
  • Sticky
Habari WanaJF, Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu tabia ya baadhi ya wanachama kufanya mzaha kwa watu wanaotafuta wenza wa maisha kwenye jukwaa hili la LOVE CONNECT. Tunashauri Jukwaa hili...
26 Reactions
120 Replies
55K Views
Mimi ni mwanamke, umri 32, naishi dar es salaam, kazi ni Engineer nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa na sina mtoto, muislam, body size medium, situmii pombe. Natafuta mchumba/mume, umri...
8 Reactions
45 Replies
1K Views
Natafuta mke/mchumba; 1. Awe na miaka 25-33. 2. Awe amesoma atleast form 4 na kuendelea (Degree,master, PhD). 3. Awe na akili ya maisha yani mtafutaji au mwenye kazi yake. 4. Awe na hofu ya Mungu...
5 Reactions
66 Replies
1K Views
Mi sina mambo mengi, ninachohitaji ni mtu mwanamke ambae tutaelewana na kuoana. Sijali kabila wala dini, sijali ana kipato gani wala elimu gani. Mimi ni muislam, umri wangu ni 42 sasa, sina...
5 Reactions
15 Replies
409 Views
Habari zenu wakuu? Natafuta mwanamke anayeishi na VVU. Umri l kuanzia miaka 34 mpaka 45. Kwa aliye serious anipm. Au Kwa E-mail kakumbise5@gmail.com
3 Reactions
12 Replies
319 Views
Amani iwe kwenu wapendwa. Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 40 BILA MTOTO WALA MKE (ni member wa muda humu, sema nimeamua kutumia id tofauti ili kutunza heshima). Ni mtumishi kwenye kampuni...
30 Reactions
158 Replies
4K Views
Kuna Mwanamke anatafutwa, tunaomba utusaidie kutuonesha alipojificha. Kama mnavyojua, safari ya kumtafuta mwenza wa maisha ina njia nyingi, na hakuna njia maalumu ndio maana nchi zilizoendelea...
11 Reactions
43 Replies
817 Views
Habari wakuu, mnaendeleaje? Wakuu sina haja ya kuzunguka zunguka hata kidogo kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. I’m honest natafuta mume yoyote yule au jobless au awe anafanya kazi...
10 Reactions
145 Replies
3K Views
Hello I am mom of 3 kids aged 33, Human Resource officer in a government entity Looking for a divorced,widowed,or single man with age of 45-60 to build our family and enjoy our lifetime...
9 Reactions
46 Replies
821 Views
Natafuta mke/mchumba; 1. Awe na miaka 25-36. 2. Awe amesoma atleast Degree na kuendelea (masterz, PhD). 3. Awe kajiajiri au muajiriwa. 4. Dini yeyoye na asiwe na misimamo mikali ya dini. 5. Awe...
6 Reactions
95 Replies
2K Views
Kama inavyosemekana kwa single mothers hamna hamna labda kwa mbaaaali tuwakabidhi kwa single fathers. Ila kuna hawa walio last long tena kwenye serious relationship zao bila ya kufikia...
0 Reactions
7 Replies
189 Views
Ht km ni single mother karibu
1 Reactions
3 Replies
118 Views
Habarii Wana JF Natafuta mume Nina umri miaka 26 Mkristo Mjasiriamali Natafuta mwanaume aliye serious tuanzishe mahusiano endelevu kisha ndoa. Awe mkristo Asiwe ameoa Umri anizidi kuanzia 28...
16 Reactions
44 Replies
1K Views
Mimi age 40 nahitaji mke anayejitambua na wenye hekima. Kama hujitambui kaa mbali. ***** Update soma: Nimempata mke mtarajiwa
2 Reactions
88 Replies
2K Views
  • Redirect
Kama nilivyotoa tangazo la kutafuta mke anaye jitambua hatimaye namshukuru mungu nimempata mke huyo, chaguo la moyo mwenye kujitambua. Tunatarajia kufanga ndoa mwezi 10 mwaka huo 2023, karibuni sana.
4 Reactions
Replies
Views
This is for you my lovely Lovelovie, This is my promise to you for the world to see, Just how much you really mean to me. I promise to love you, As long as you love me too. I tell this to the...
23 Reactions
354 Replies
3K Views
Mimi nipo hapa dar na natafuta mpenzi wa kike ambaye anaweza kuwa mke wangu, umri wake usizidi miaka 50, umri wangu ni miaka 55. Tuwasiliane PM.
2 Reactions
17 Replies
320 Views
Habarini wana JF, Mimi natafuta mume wa kuishi naye; ~ Mimi nina miaka 30 ~ Mnyamwezi ~ Nina elimu ya shahada katika sayansi ya jamii Natafuta mme mwenye vigezo vifuauatavyo; 1. Awe na miaka 38...
19 Reactions
137 Replies
2K Views
Habarini mimi ni mgeni humu. Nimetokea kuupenda huu mtandao Nina miaka selasini (30) natafuta msichana wa kuwa naye niko serious. Vigezo vyangu ni hivi 👇🏾 MUONEKANO: mrefu wastani, handsome kiasi...
1 Reactions
1 Replies
102 Views
Habari wana JF? Natafuta mume awe na sifa: -Mcha Mungu Mkristo(Mkatoliki) -Umri 35-45 -Amejiajiri/Kuajiriwa -Elimu angalau degree moja na kuendelea -Muelewa awe na moyo wa upendo na huruma na...
19 Reactions
77 Replies
2K Views
Mwanaume nnayemuhitaji awe na sifa hizi; ~ Miaka 28 mpaka 35 ~ Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa ~ Awe mkristo, RC itapendeza zaidi ~ Mkoa...
20 Reactions
163 Replies
3K Views
Back
Top Bottom