Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
  • Sticky
Habari WanaJF, Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu tabia ya baadhi ya wanachama kufanya mzaha kwa watu wanaotafuta wenza wa maisha kwenye jukwaa hili la LOVE CONNECT. Tunashauri Jukwaa hili...
29 Reactions
148 Replies
67K Views
Habari! Baada ya kuwa mbali na mtandao kwa muda, nimerudi tena nikiwa na mtazamo mpya wa maisha. Natafuta mwanamke mwenye heshima, uaminifu, maadili mema na nia ya kujenga uhusiano wa kweli...
1 Reactions
13 Replies
190 Views
Wakuu kwema ! Nisiwachoshe sana naenda moja kwa moja Nini kinatokea katika ubadilishanaji wa nguvu kwa mwanamke mchanga na mwanaume mzee vivyo hivyo mwanaume mchanga na mwanamke mzee Kisha...
1 Reactions
25 Replies
234 Views
Habari wakuu , kwa wake wenzangu na Mimi wenye ulemavu wa aina yoyote iwe hearing problem , bubu ,albino nk Basi karibuni mtafute wenza hapa maana huwa tunajiona wanyonge au kujikatia tamaa hasa...
7 Reactions
19 Replies
274 Views
Niko Iringa natafuta mke wa kuowa miaka yangu ni 50,nilikuwa nina mke lakini kapata matatizo ya changamoto za akili imebidi nimludishe kwa wazazi wake,mda mwingi nimeishi inje ya inchi toka mwaka...
11 Reactions
59 Replies
687 Views
Mimi ni binti Single Mother miaka 36,natafta mme awe muaminifu, Namba ni 0625221348
9 Reactions
135 Replies
3K Views
Nimepost hapa hapa, Friendship connect (tuunge urafiki) tafadhali! Je umezaliwa tarehe zifuatazo 👇 kama jibu ni 'Ndio' karibu tuunge urafiki? 👉 Mei 21 hadi 31, 👉 Juni 1 hadi 20, 👉 Novemba 22 hadi...
9 Reactions
371 Replies
3K Views
KWEMA WANAJUKWAA. Naamini JamiiForums kuna genuine ladies wasio na mambo mengi, watulivu, wasikivu, wacheshi, wenye urafiki wa kweli. Ningependa ujitokeze unaewiwa kutaka tuwe marafiki, umri ni...
15 Reactions
317 Replies
5K Views
Inatia ukakasi MTU ameshazeeka yupo 30s anakuja kutafuta pension sehemu ambayo hakuwahi kufanya kazi. Utasikia Mara ohhh nataka awe mchaMungu , Mara awe mrefu mwenye kipato Are you insane?
8 Reactions
37 Replies
2K Views
Kwakweli ukiwa hujaoa bado hujakamilika unakuwa upo nusu, duniani kuna jinsia mbili kwa maksudi kabisa, na ili maisha yaende yalivyopaswa ni lazima mwanaume aungane na mwanamke wawe kitu kimoja...
14 Reactions
162 Replies
2K Views
Jamani wana Jf,natafuta mume wa kunioa,p'se mwombaji awe na sifa hizi: 1. Awe na Mashine kubwa (sina utani na hili jamani) 2. Awe angalau ana kazi au biashara yoyote ile 3. Umri miaka 28-35. Mimi...
11 Reactions
292 Replies
43K Views
Umri wangu ni miaka 45 Kazi biashara ndogondogo Dini mkristo Makazi Dar Sifa za mke kuanzia miaka 30-42 Dini yoyote Karibu
7 Reactions
49 Replies
2K Views
Nahitaji mke alie serious kuna mke dini awe Muislam miaka asizid 24 mimi umri wangu ni miaka 29 niko serious Nahitaji mwenza wa maisha 🥀 mwenye Uhitaji na mwenye sifa hizo aje DM.
0 Reactions
5 Replies
172 Views
Asalam aleikum. Natafuta wa kumuita Mume wangu Kwa herufi kubwa popote niwapo nae wa kumuheshimu na kumpenda Kwa moyo ♥️ wangu wote .Wakumpikia vizuri na kumuhandle kama mume wangu ☺️ © sifa za...
34 Reactions
83 Replies
4K Views
Heshima kwenu nyote. mods Ppz usiuunganishe huu uzi Hivi karibuni niliwahi kuanzisha uzi hapa, na kwa wale ambao hawajauona nawashauri waupitie Udalali wa kuunganishia wanaume/wanawake wenza...
13 Reactions
281 Replies
6K Views
Binti mrembo ambaye yuko tayari kutulia na mme aje inbox chap, umri wangu ni miaka 37, pia asome Uzi huu na azingatie Waepuke wanawake masikini
0 Reactions
3 Replies
123 Views
Umri wangu ni Mika 45, mfanyakazi+ mkulima, natafuta mke mkristo. Mcha MUNGU, mwenye bidii
0 Reactions
3 Replies
303 Views
Natafuta mke umri 30+ Umri wangu 41 Watoto 2 Sms kujibiwa 0792045560
0 Reactions
0 Replies
84 Views
Kwa niaba ya wanaJF Leo ni bora nitoe la moyoni,mdada mwenye usingle wa mwili na roho kama mkaka mimi sizani kama itakuwa mbaya tukiunda joint yetu na kuanza safari mpya as couple au hata...
3 Reactions
43 Replies
2K Views
Hello, Nahitaji mwanaume mtu mzima wa kunihudumia na mature. Akiwa Arusha itakuwa vizuri zaidi. Nitakupa Amani, heshima na penzi zuri baba. Zingatia neno: Uwe Unajua KUHUDUMIA.
18 Reactions
65 Replies
2K Views
kumekuwa na wimbi la watu kutafuta MAHUSIANO kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii je unadhani hayo MAHUSIANO hudumu?
2 Reactions
8 Replies
227 Views
Back
Top Bottom