Tatizo lenu vijana Mnaoa kama fashion...Mtanyooshwa huko kwenye Ndoa sana mpate akiliKingekuwa kinatolewa baada ya miaka mitatu ya ndoa, ungekifuatilia?
Cheti cha ndoa sio ndoa, ni likaratasi linaloweza kuungua na kupotea.Kingekuwa kinatolewa baada ya miaka mitatu ya ndoa, ungekifuatilia?
Sio wote wanao cheat,kwanza mpk mwanaume mwenye akili zake afanye hayo jua kunatatizo nyumbani kwake,either unyumba wa masharti or kuna kutosikilizana kunakosababishs hapati tendo lazima kuna shida.ni wachache sn wanatoka na mtu mwingine nje ya ugomvi.Ili iweje kwa mfano...
Nimejibu kama mwanamke anayesalitiwa na mumewe.
Hamjali anampiga na kumpiga matukio kama yote.
NB: Sio mimi 🤣🤣
Eeh tena mdada atoi matumz nn?Kwa huyu wa sasa ningechukua mkuu☺️
Soma vizuri mada mkuuEeh tena mdada atoi matumz nn?
upoKuna utaratibu mpya?