utapeli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Utapeli kupitia laini za TTCL umeporomosha imani ya wateja kwa TTCL

    TTCL wanapaswa kuchukua hatua madhubuti dhidi ya watu wanaotumia laini za mtandao wao kufanya utapeli. Tatizo si hasara za kifedha pekee, bali pia kupungua kwa imani ya wateja. Leo watu wengi wakiona simu kutoka kwenye laini za TTCL husita kupokea au hupuuza maelekezo muhimu wakidhani ni...
  2. Kachina95

    JamiiForums Tanzania Wakati mwingine hizi dini zinatumika vibaya

    Wanajukwaa, 1.nimeshuhudia viongozi wa dini wakikemea zinaa na kusifia mauaji. Uhuni sio uhuni? 2. Waislamu walijinadi kuwa dini yao ni dini ya haki, baada ya kuona uvunjwaji wa haki umetamalaki na wao hawawezi kukemea, hivi sasa wanajiita dini ya amani, hawataki tena haki. Wahuni sio wahuni? 2...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mpina: Nusu ya Bajeti ya Serikali inaenda kutumika katika matumizi yasiyo ya uhalisia, matumizi mengine ni utapeli tu

    Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amekosoa vikali muundo wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027, akidai kuwa kiasi kikubwa cha fedha za umma kinapotea kwenye matumizi yasiyo na uhalisia na ukopaji usio na tija. Akizungumza leo Juni 23, 2026...
  4. JamiiCheck

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KWELI Mdau anauliza kuhusu vidonge vya kupunguza unene je, kuna uwezekano wa utapeli?

    Kupitia ukurasa wa JamiiCheck kwenye mtandao wa Instagram mdau ameshukuru kwa elimu kuhusu dawa za meno, lakini pia ametaka kufamu kuhusu vidonge vinavyotajwa kupunguza unene, je kuna utapeli au vinafanya kazi kweli?
  5. idiomer

    JamiiForums Tanzania Utapeli upo huu upo? Ama kweli Bongo Dar es Salaam

    Siku kadhaa zimepita niliona jambo akili yangu ikawaza sanaaa. Je wajua jambo gani tiririka na uzi huu mwenetu. Bongo Dar es Salaam Jiji la watu wapatao milioni 6 na ushee wakubwa kwa wadogo lakini wote wakubwa. Jiji maarufu la vyakula vitatu wali, chips na ugali. Jiji lenye vyanzo...
  6. F

    JamiiForums Tanzania Trump atangaza makubaliano ya kuacha vita na Iran, je utakuwa utapeli kama ule wa Gaza?

    Rais Donald Trump ametangaza kuingia mkataba wa amani na Iran. Amefanya hivyo kwenye maadhimisho ya siku ya kuzaliwa kwake? Je, mkataba huu utafuatwa au kuvunjwa kama ilivyokuwa huko Gaza ambapo ni utapeli mtupu au DRC? Je, ni baada ya kushindwa kufikia malengo yake kisiasa au kuchapwa kimya...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO KKPESA: Benki Kuu ifuatilie hii kampuni ya Mkopo

    Kuna application hii ya kutoa mikopo mitandaoni inaitwa KKPESA naombeni muifuatilie kwa ukaribu sana. 1. Riba zao ni kubwa na inatakiwa mkopo ulipwe kwa muda mfupi sana siku 7. 2. Siku ya 6 kabla ya kufika siku ya rejesho wanakushurutisha ulipe deni kwa nguvu kwa kutoa maneno ya kejeli na sms...
  8. A

    JamiiForums Tanzania KERO Rushwa na utapeli wa baadhi ya wafanyakazi wa Ardhi Halmashauri ya Bagamoyo

    Nimekutana na kadhia kubwa ambayo nilinunua viwanja kadhaa kwenye mfumo wa tausi eneo la bagamoyo. Na mwaka huu mwanzoni nilitaka kufatilia kupata hati ya viwanja vyangu. Ila nilishangaa kila mfanyakazi wa halmashauri ili akufanyie kitu flani ni anahitaji umlipe. Nilikaa siku mbili nafatilia...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Utapeli Kozi za Udereva ujenzi- ICoT Morogoro

    Chuo cha ujenzi- ICoT chini ya wizazra ya ujenzi mkoani morogoro kinachotoa coz ya udereva kimekuwa kikiendesha coz hiyo kwa utapeli na kinyume na utaratibu. Wapo wanafunzi wa mwez wa 11, 12 , 2025 na mwez wa 1, 2026 ambao wengine wamekamilisha masomo( week 5) bila kufanyiwa mitihni na ivyo...
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Watu saba mbaroni madai kutapeli vijana 80 kuhusu ajira

    Vijana kuweni makini si kila anakwambia kuna kazi unaenda, wengi ni matapeli sanaaa! ============ Watu saba wamenaswa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya kwa tuhuma za kuwatapeli zaidi ya vijana 80 kutoka katika maeneo mbalimbali nchini wakiwaahidi kuwasaidia kupata ajira. Watu hao wanadaiwa kuwa...
  11. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wa Tanzania ni rahisi sana kuamini utapeli wa forex trading?

    Imenishangaza sana kuona kwa Tanzania YouTube Podcasts za kitapeli za forex trading ndizo zinakimbiza kwa views!
  12. Mchumi90

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Upendeleo live: Makonda ashtukia utapeli

    Leo kwenye ngumi kuna chalii etu kapigwa live na Mfilipino ila majaji wa mchongo wakampa ushindi mbongo.
  13. Damaso

    JamiiForums Tanzania Kuweni Makini na Dar Expart Sales na utapeli wa Pesa Mtandaoni

    Hivi karibuni kumeibuka wimbi jipya la kitapeli ambalo limeacha mamia ya Watanzania wakilia na kusaga meno. Ukiwa unaperuzi Facebook, unakutana na tangazo lenye mvuto wa kipekee: Ukurasa wa "Dar Expart Sales" au "Arusha Expart Sales" unatangaza kuuza bidhaa za ndani kwa bei ya "vunja bei."...
  14. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa JamiiForums kuleta feature mpya kuzuia Utapeli

    ecg Mtandao wa jamii forums ambao uliachiwa Toka mwaka 2006, imekua ni mtandao wa kipekee unaokutanisha vijana kujadili mambo mbalimbali kuhusu Teknolojia, Siasa, maisha, upendo nk. Sasa katika kuendana na Mitandao ya kijamii kisasa imekua ikileta feature mbalimbali za kisasa na kwa sasa iko...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Utapeli unaofanywa na kampuni za kubashiri (betting) hasa PARIMATCH

    Ninatoa ushuhuda wangu binafsi pamoja na wa watu wengine ninaowafaham yaan wanangu sana kuhusu vitendo vinavyofanywa na baadhi ya kampuni za ubashiri, hasa Parimatch Tanzania, ambavyo vinaonyesha wazi dalili za udanganyifu kwa wateja. Sisi ni waathirika wa moja kwa moja. Tumeshuhudia na kupitia...
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi: Utapeli wa "Ile fedha tuma kwenye namba hii" umeshuka kwa kasi

    TAARIFA KWA UMMA TAHADHARI KUHUSU VITENDO VYA UTAPELI. Hali ya Usalama nchini inaendelea vizuri kutokana na jitihada za Jeshi la Polisi zinazo saidiwa na ushirikiano mkubwa kutoka kwa wananchi katika kubaini na kuzuia uhalifu. Pamoja na ushwari huo, yapo matukio mengine yanatendeka kutokana na...
  17. F

    JamiiForums Tanzania Utapeli wa bahasha

    Wanaangusha bahasa wanakwambia mgawe pesa uwaachie simu,kumbe bahasha imejaa makaratasi .hii utapeli uko bongo?
  18. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Utapeli kwenye uchawi na hatua za kuchukua

    Utapeli unaohusisha uchawi na uganga nchini Tanzania umekuwa ukichukua sura mpya, ambapo matapeli hutumia hofu, imani za kishirikina, na teknolojia kuwaibia wananchi. Kufikia Machi 2026, Jeshi la Polisi na mamlaka mbalimbali zimeongeza jitihada za kudhibiti vitendo hivi ambavyo mara nyingi...
  19. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Utapeli mpya kwa mafundi, kuweni makini

    Huu uzi unawahusu mafundi aina zote haswa mafundi ujenzi. Usione watu wana miliki nyumba zaidi ya 10 ukadhani zote wamejenga kihalali kumbe nyuma ya pazia kuna uchafu umefanyika kukamilisha ujenzi huo. Mchezo upo hivi, tajiri atakuita vizuri atakupa kazi na mtaanza vizuri tu mwanzoni , ila...
  20. Damaso

    JamiiForums Tanzania Simu za Mikopo Scheme Mpya za Utapeli

    Katika miaka ya karibuni, mfumo wa kununua simu kwa mkopo maarufu kama “Lipa Mdogo Mdogo” umeenea sana Afrika Mashariki. Kampuni kama Watu Credit zimejijengea jina kwa kuahidi wananchi kupata simu haraka bila kuwa na fedha zote mkononi. Ndani ya saa chache unaweza kuondoka na simu mpya uipendayo...
Back
Top Bottom