Hawa ni wafalme na malkia wa kunung'unika muda wote, wanafiki wa kuchonganisha na muda wote huwa wanawaza jinsi gani mali zitakavyogawa.
Bastard children!!!
My people,
Wachangiaji wa JF Wanaifanya Ndoa Ionekane Ngumu Kuliko Uhalisia Wake
Katika miaka ya karibuni, mitandao ya kijamii imekuwa kama kioo cha maisha ya watu, lakini mara nyingi kioo hicho hakioneshi picha halisi bali taswira iliyopambwa au iliyotiwa chumvi.
Moja ya maeneo yaliyoathiriwa...
Mbaya zaidi hujui ameshaliwa na wangapi kwa style karibia zote..
Hujui ametoa mimba mara ngapi
Hujui watu waliopita nae
Alafu aje kuniletea watoto alafu niwapende
Siwezi
Mtu ana makovu ya kusalitiwa alafu nije kumpa relief aaah neverrrrrr
Kwa jinsi nilivyojitunza na uvulana wangu nahisi...
Hebu tazama hii, sina mengi ya kusema! Ila kwa hakika tulio ndoani tunavumilia mengi Sana.
Hapa ni mke wa mtu, ana watoto kabisaaa, na mume WA madhabahuni!
Nachoka Baba yenu, Nachoka sanaaaa!
Hivi kusah ameshindwa kupeka moto mbona hivi? Watu tunapiga bao hadi sita afu anatokea mtu anasema kwenye ndoa ni moja tu, itoshe kusema kwamba wanaume wa dar hakuna lolote.
Huyu Aunt ivi ameshajaribu wasukuma wala ugali wa dona kweli?
Wadada msiwe mnageneralize hao wa bao moja ni hukohuko...
Mimi ni kijana toka mkoa wa Kilimanjaro. umri wangu ni miaka 30s mwishoni. Mchanganyiko wa Kilimanjaro na Singida.
Allahmdulillahi nlifanikiwa kupata rangi ya Mtume. Ni mweupe. Nina watoto 4 kwa wanawake tofauti ambao wenyewe wameniambia na wengine wasiopungua wa 3 kwa wanawake ambao wawili...
Hebu njoo tujadili na tufikirie wotee kwa mifano thabiti ......
1. Namjua John,
Alikuwa afisa biashara Halmashauri kubwaa, matajiri wakawa wanamfata na kumtafuta ili mambo yao ya kwenye biashara yaende.
John alikua na connection BRELA, TBS, TRA, kifupi taasisi 15 zinazosimamia biashara.
Ghafla...
Nawasalimu kwa Jina Bwana Wetu Yesu Kristo .
Hiyo ni salamu kuu ya Kanisa la Kiinjili la Kiluteri Tanzania.
Nawauliza VIONGOZI WA KKKT hasa Malasusa na Serikali ndoa yenu imeanza lini ???
Tenaaa au toka Malasusa Aingie ndio mkafunga ndoa kabisaa .
Mimi siungi mkono kabisa .
Na nawaambia...
Kuna jamaa alikuwa na mahusiano yenye umri wa takribani miaka kumi mpaka wakulungwa wakaamini hawa ni kifo tu kitawatenganisha, Ila huwezi amini message moja tu ya simu iliua haya mahusiano tukabaki midomo wazi.
Tulichojifunza ni kuwa umri wa mahusiano yenu hauguarantee ndoa.
Si siri wala uzushi. Tanzania sasa inaongozwa na waislam wakiongozwa na sheha na mashehena wao waliojaa uchu, uroho, uzwazwa kiasi cha kuwa vipofu wa balaa wanaloandaa.
Tangu yafanyike maandamano ya Oktoba 29, waliokuwa wamejificha nyuma ya pazia wamejitokeza wazi wazi. Baada ya tukio hili...
Ndoa itakushinda Iwapo...
1. Ikiwa tendo la ndoa halina maana kwako..
Ipo hivi...
Katika ndoa, tendo la ndoa si la hiari - ni la msingi. Ikiwa hutaki kuduu, tafuta usaidizi kutoka kwa marafiki na jamaa, na fikiria kuasili watoto ila isiingie katika ndoa. .
2. Ikiwa unataka kutenganisha...
KATAA NDOA sio suluhisho na kuzalisha mwanamke na kumkimbia sio suluhisho pia. Katika maamuzi yote utakayotaka kufanya usikubali kuona mtoto wako anapewa malezi na baba mwingine, kama unampenda mtoto wako kwel na unataka apitie katika mema ya maisha basi hakikisha uyo mtoto unamlea wewe na mama...
Kabla ya Ndoa, haya ni mambo muhimu sana mnayopaswa kuyazungumza ili kuepuka maumivu na kuvunjika moyo baadaye:
1. Fedha - Tutazisimamiaje? Pamoja au kila mmoja kivyake?
Nani ataweka akiba, nani atatumia, na tufanye nini mambo yakibana?
2. Watoto - Je, tunataka watoto?
Wangapi? Na ni maadili...
SIO LAZIMA UFUNGE NDOA KANISANI AU MSIKITINI. KWANZA HUO NI UTUMWA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
1. Kitendo cha kuona ni lazima ufunge ndoa Kanisani au msikitini ujue bado kuna mambo huyajui kuhusu kiitwacho dini. Ujue wewe ni Mtumwa unayehitaji ukombozi.
2. Ukiona unamawazo kwamba ndoa...
Wewe ni mzuri ndio hatukatai.
Una wowo ndio hatukatai.
Unanyota kali kila mwanaume anakuulizia na kukuzimikia ndio hatukatai.
Kwamba unaenda viwanja vikubwa na watu wazito wenye pesa zao Ndio hatukatai
Unajua style zote kitandani na hata ile mpya ya Mafwele kateka tena ni Sawa hatukatai...
Habari za hapa wana jukwaaa!! nimeingia JF kwa lengo la kutafuta mwenza wa maisha, mimi naamini popote inawezekana kwa uwezo wa Mungu.
Mimi ni mwanaume wa miaka 36
Mrefu - maji ya kunde
Sio mnene sio mwembamba
Naishi dar es salaam
Nafanya kazi na biashara
Mkristo / Lutheran
Mke nayemtafuta...
Wakuu kwenye divorce kama ulikua na treasury bond je inahesabiwa kwenye mgawanyo wa Mali? Kama iko kwenye jina la mume na wametengana na imenunuliwa baada ya kutengana ila divorce bado?
Naombeni ushauri hapo
Ndoa ni utapeli kama utapeli mwingine , ni ubatili mkuu kama serikali ya CCM .Lakini hasara za kutapeliwa katika ndoa zinatofautiana kati ya mtu na mtu ..Hivyo basi wewe kama kijana ili walau uwe sehemu ya watakaopata hasara ndogo ya utapeli huu wa ndoa ,fanya haya ayasemayo Mwehu ndama jabali...
Mimi si mwislamu ila nataka kuwauliza swali ndugu zangu Waislamu
Kinachotakiwa kutendwa kwenye ndoa zao ili ndoa zibaki kuwa na Amani na kudumu ni nini?
Kutenda haki kwa wake hao au kuwatendea Amani?
Lalamiko ambalo huwa linasikika kwa nguvu kutoka kwa wake za Waislamu ni kutokutendewa haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.