Siku moja baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu, mwanasiasa mkongwe wa Chama cha Labour, Andy Burnham, ameapishwa tena kuwa Mbunge wa jimbo la Makerfield, hatua inayotajwa kuwa mwanzo wa safari yake kuelekea kuingia Ikulu ya Downing Street kama Waziri Mkuu mpya wa Uingereza.
Burnham, ambaye...