mchumba

"Bwatue" is a song by Phil Ochs, a U.S. singer-songwriter best known for the protest songs he wrote in the 1960s. He co-wrote the song with two African musicians named Dijiba and Bukasa. "Bwatue" was written and recorded in 1973."Bwatue" was written while Ochs was visiting Kenya. Its lyrics are in Lingala. The title means "canoe"; the lyrics develop the river as a metaphor for life. "Bwatue" was released as a single in Africa by A&M Records. The B-side of the single, "Niko Mchumba Ngombe", also by Ochs, Dijiba, and Bukasa, was written in Swahili. Both songs were recorded by Ochs with the Pan-African Ngembo Rumba Band. The record was a commercial failure."Bwatue" and "Niko Mchumba Ngombe" have been described as early examples of blending Western popular music with world music, and critics note that they predate Paul Simon's Graceland by more than ten years. Still, one critic says the record "should be seen more as a curiosity rather than a serious attempt at exploring a new style". One of Ochs' biographers cynically suggests that Ochs recorded the songs in order to deduct the cost of his trip to Africa from his income tax as a business expense.In the early 1990s, the single was reissued in a limited edition of 1000 by Sparkle Records, ostensibly on behalf of the Phil Ochs Fan Club of Canada. The reissue was unauthorized and is considered a bootleg.The only known review of the single was positive. Reviewing the bootleg release in Dirty Linen, Cliff Furnald wrote that "the band gives a superb look at the Zaire/Kenyan dance style at the time before mass marketing started the diluting downward trend".Because of the single's limited release, "Bwatue" and "Niko Mchumba Ngombe" were extremely rare. Most Ochs fans never heard the songs before they were included in 1997's American Troubadour. "Niko Mchumba Ngombe" was also included in the 2004 collection Cross My Heart: An Introduction to Phil Ochs.

View More On Wikipedia.org
  1. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Mchumba miezi 4 kisha nimwoe Mwakani mwezi January

    Naomba niweke wazi hili mapema. Nahitaji mwanamke ambaye atakuwa mchumba wangu kwa miezi minne. Mi nakuja Tz mwezi wa 10 katikati. So hapo tutaonana live. Nitakuwepo Tz mpaka mwisho wa January so nataka mwanamke ambaye nikishamwoa tu awe tayari nisafiri naye. Mimi makazi yangu ni Egypt, China...
  2. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Uliwezaje au una-deal vipi na mchumba au mwanamke anayeamini katika dawa za kienyeji kama ulinzi (kinga dhidi ya wachawi)?

    Wakuu habari za wakati huu Its weekend, wengine najua bado tupo tunapambana baadhi yetu pia ni siku ya kupumzika pengine kutoka either wenyewe ama na wapenzi wao kufurahisha nafsi. Nianze kusema tu nimekuwa disappointed sana na kile nilichokiona ndani (chumbani). Leo nimeona vitu ambavyo...
  3. SheriaE

    JamiiForums Tanzania Mchumba anahitajika kwa ajili ya ndoa ndani ya mwaka mmoja.

    Habari wakuu, Mimi ni mwanaume wa miaka 27, muajiriwa serikalini. Mrefu kiasi na mweusi. Mkristo Ombi langu kwenu ndugu zangu nahitaji mwanamke ambae atakuwa mchumba kwa lengo la ndoa baadae. Kwa yeyote ambae ako tayari tuwasiliane DM au kama mtu anadhani atanifaa pia anakaribishwa DM. Sifa...
  4. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Wolper ajibu shutuma za kuiba mchumba wa mwanadada muigizaji Mulky wa juakali

    Juma lokole amedai kuwa Mulky wa Juakali na Wolper wameshushiana maneno mazito wakiwa wanamgombania Isarito. Juma Lokole ana voice za Wolper anazojisifu kuwa ingawa umri umeenda ila ameweza kumchukua Isarito mikononi mwa Mulky. ''Wolper na mulky wa juakali wameshushia maneno mazito wolper...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Najuta kumpeleleza mchumba wangu Facebook

    HADITHI TAMU SANA YENYE MAFUNZO MAKUBWA! NAJUTA KUMPELELEZA MCHUMBA WANGU FACEBOOK 1 SEHEMU YA KWANZA “NAPOKEA FRIEND REQUEST” Ilikuwa Jumapili nikiwa nimetoka ibadani nimetulia tu kitandani kusaka utulivu wa nafsi, masaa sikuwa nayakumbuka vizuri ila nachokumbuka tu ni kwamba nilikuwa...
  6. O

    JamiiForums Kenya Charlene Ruto Afanya Sherehe ya Koito na Mchumba Wake Mtanzania Isaya Yunge

    Binti wa Rais William Ruto, Charlene Ruto, amefanya sherehe ya jadi ya Koito na mchumba wake, Isaya Yunge, mjasiriamali wa teknolojia kutoka Tanzania. Sherehe hiyo ilifanyika Jumamosi, Agosti 8, 2026, katika Intonna Heritage Farm, Kilgoris, Narok County, huku familia za Charlene na Yunge...
  7. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Mara ya kwanza kufanya mapenzi, ilikuwaje?

    Mimi nilipoteza ubikira wangu kwa kahaba... Inasikitisha sana lakini ndo ukweli wenyewe. Nakumbuka kipindi hicho tulipokuwa shule ya sekondari. Ikifika mida ya saa mbili usiku rafiki yangu mkubwa Ngaluli alikuwa akinichukua na kunipeleka sehemu ambayo makahaba huwa wanajiuza. Alikuwa ananipa...
  8. THE FIRST BORN

    JamiiForums Tanzania Nitakua wa Mwisho kukubali na kuamini mwanamke wa Africa aliekulia Africa, eti ana uwezo wa kuongoza Nchi.

    Mimi sio mbaguzi wa kijinsia ila ukweli kwa Africa hii Gender iliyoumbwa kupitia Ubavu wa Mwanume bado haina uwezo wa kuongoza Taifa. Hii ni kutokana na Mazingira wanayokulia na kulelewa hawa watu wakiwa watoto. Africa Mwanamke hafundishwi kuongoza wala kuelekeza yeye kila kitu anasikiliza kwa...
  9. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Nawashauri wazazi ukiona binti yako ni mpole na mwenye maadili ya kweli fanya ukale wa kumtafutia mchumba asizeekee nyumbani

    Kuna mabinti wanajiheshimu sana hata ile namna ya kumfuata kumtongoza huwezi ipata kabisa na mara nyingi huwa wamenyooka katika maongezi yao Kuna mmoja nakutana nae kwenye mitikasi yangu na namjua pia, hadi sasa hana mtoto wala hajaolewa kimuonekano ni mtu wa 1980s hivi huwa najiambia ningekuwa...
  10. Its Jensen

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenzangu mnisaidie naenda kupoteza mchumba

    ..
  11. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Tanzania Ukiona mchumba wako ana sifa hizi oa na weka ndani

    Shikamoni wote humu natumai mu wazima wa afya. Kama hujaoa na una mchumba mwenye sifa hizi weka ndani 1.Mwenye heshima na adabu – Heshima ndiyo inabeba maana halisi ya wife material. Siyo yule anakudharau kwa kila unachofanya 2. Mwaminifu na mkweli – Ni mwadilifu katika mapenzi na maneno. Huwa...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kukutana na Mpenzi/ Mchumba mwenye Chale nyingi kwenye Mwili wake? Nini kilikushangaza? Ulichukuliaje?

    Binafsi BushDokta naamini ktk tiba ya mizizi na mimea kama ilivyokuwa hapo kale. Kamwe siamini ktk ushirikina au mambo ya mauza uza. Mwaka fulani nilikutana na Msichana Mrembo mzuri anavutia, Mpole, na tabia njema shape kama loote( kwa wale mnaopenda mitulinga). Kilichonishangaza ni wingi wa...
  13. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Jaribu kuuliza hili swali kwa mchumba/ mke wako

    Habari za majukumu wakuu Leo baada ya kuchoka kutafakari namna gani napata wapi michongo, notification iliingia watsapp kucheki vizuri nikaona picha kadhaa zimetumwa na mtu wangu kafanya hivyo ili nipate picha ya kumpost birthday yake umekaribia(si mnajua watoto wakike wanavyozingatia hata...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Polisi inamshikilia Joe McCann, Mchumba wa marehemu Ashly Robinson maarufu kama "Ashlee kwa mahojiano

    Jeshi la Polisi Visiwani Zanzibar linamshikilia Joe McCann ni Mchumba wa marehemu Ashly Robinson maarufu kama "Ashlee Jenae" kufuatia tukio la kifo chake lililoripotiwa kutokea siku kadhaa zilizopita baada ya kukutwa amejinyonga katika chumba cha hoteli. Akizungumzia tukio hilo leo April 14...
  15. Mtumishi 19

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mchumba

    Ndugu zangu hope mko poa.... mwenzenu natafuta mchumba wa kike😀😀 hapo nimeona niweke sawa maana kuna Vijana wa hovyo humu. Kama hapa yupo aje pm tuyajenge asante kwa kunisikiliza
  16. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mchumba wa Ndoa, Mimi siyo Mtu wa kujichanganya sana na watu huko Mitaani ndiyo maana nimeleta hoja zangu hapa

    Habari wanajamii, Mimi ni mwanaume mwenye umri wa early 30’s, Mkristo, ambaye kwa sasa sina mtoto na sijawahi kuwa kwenye ndoa. Nafanya kazi kama muajiriwa katika sekta binafsi. Kwa ufupi kuhusu mimi: Urefu: sentimita 185 Muonekano: Mwembamba, mweusi Mtindo wa maisha: Baada ya majukumu ya siku...
  17. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mchumba hasomeshwi? Simulizi ya kutisha na kuumiza

    Patrick Oita Nyapara, ambaye ni police nchini Kenya alimuua mpenzi wake kwa kumtandika Risasi 47 baada ya binti huyo kumkataa, pindi alipomaliza masomo Chuo Kikuu. Kwa maelezo ya Patrick ni kwamba alimchukua mdada huyo aliyejulikana kwa jina la Christine Maonga kutoka katika familia duni...
  18. D

    JamiiForums Tanzania Wanaotafuta Ndoa Tu – Uzi Rasmi wa Kuunganisha Wachumba

    Heshima kwenu nyote. mods Ppz usiuunganishe huu uzi Hivi karibuni niliwahi kuanzisha uzi hapa, na kwa wale ambao hawajauona nawashauri waupitie Udalali wa kuunganishia wanaume/wanawake wenza siku hizi umeshamiri sana mjini. Chanzo ni nini?. Kilichonishangaza ni idadi kubwa ya watu walionitumia...
  19. majebsmafuru

    JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba wa kike

    Awe kuanzia 25 mpaka 50. Mwenye biashara zake au kaajirawa. Dini yoyote, kabila yoyote. Mimi mfanyabiashara. Niko 50+ Karibuni warembo
  20. Think2

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya vigezo vya kuzingatia unapochagua mchumba

    1. Chagua mtu ambaye anakuheshimu wewe na watu wazima (wakubwa) 2. Chagua mtu unayemwamini 3.Chagua mtu ambaye unaweza kuongea naye,kujadiliana, na kuhojiana kwa uwazi bila kugombana 3.Chagua mtu mwenye umri kalibiana na wa kwako. 4. Chagua mtu mwenye afya nzuri. 5.Chagua mtu anaependelea vile...
Back
Top Bottom