ban

Bánovce nad Bebravou (German: Banowitz, Hungarian: Bán) is a town in Slovakia, in the Trenčín Region.

View More On Wikipedia.org
  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto Promises Further Diesel Price Cut After Talks With Transport Bosses

    President William Ruto has announced an additional Sh10 reduction in diesel prices in the next fuel pricing cycle, following high-stakes talks with transport sector stakeholders at State House, Mombasa, on Friday. The announcement marks a significant development in the ongoing standoff between...
  2. Q

    JamiiForums Tanzania Makonda alipopigwa Ban Magufuli alimtumbua, Samia akamrudisha, Je atamtumbua Mafwele au atamteua awe IGP.

    Magufuli alimtumbua Makonda ili kujitenge mbali na uchafu wake sidhani kama Samia atakubali kuwa mnyonge kwa Marekani kama mtangulizi wake. Nategemea Samia badala ya kumtumbua Mafwele atamteua awe IGP kamili, kuonyesha jeuri kuwa hatuingiliwi na mtu, ili kuendeleza slogan yake ya 'Who are you'.
  3. Influenza

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imemtaja Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Tanzania (TPF), Faustine Jackson Mafwele, chini ya Kifungu cha 7031(c), ikisema kuna taarifa za kuaminika zinazomhusisha na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Uamuzi huo unamzuia Mafwele kuingia nchini...
  4. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Kwisha habari yao. Simba wamekubali kuingia change room wasipofungwa leo nipigwe ban ya week

    Kwisha habari yao. Simba wamekubali kuingia change room wasipofungwa leo nipigwe ban ya week.. Kalikuwa kasehemu kadogo tu. Kuwa waingie vyumba vya kubadilishia jersey. Waligoma goma now wameshakubali. Watarudi kuja pokeay⁴
  5. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda DMC Taxis Still Operating in Kampala Despite Government Ban

    Despite a government directive to remove Dangerous Mechanically Conditioned (DMC) taxis from Kampala by April 8, 2026, these vehicles remain in operation across the city. Recent footage circulating on social media shows a taxi carrying passengers comfortably despite lacking rear windows...
  6. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda UCC BANS “Paver” SONG by DAYNASO WEGOSO

    The Uganda Communications Commission (UCC) has ordered the immediate suspension of the song “Paver” by Daynaso Wegoso, citing concerns over violent content and its potential impact on public safety. The directive, issued in a public notice dated April 7, 2026, bars broadcasters, digital...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Chatgpt openai wameni-ban kwa kuwauliza swali la kawaida

    nikiukiza ChatGpt: nielekeze namna sahihi ya kufoka na kugomba, nieleze kwakutumia maandishi pia unipe picha inayoonyesha namna sahihi ya kugomba na kufoka, pia unioe picha inayoonyesha namna isiyo sahihi ya kugomba na kufoka image ilikuja ndani ya sekunde chache kisha Chatgpt ikawa inaonyesha...
  8. adriz

    JamiiForums Tanzania Nimepiga Ban hawa members mpaka tarehe 11 /5 /2026

    Moja kwa moja. Zamani nilikuwa na mtazamo kuwa kitufe Cha ignore hakina maana na kuweka mtu katika ignored list ni udhaifu ila sasa nimebadili msimamo baada ya kupata kero ya members hao chini na kujaza notifications zisizo na maana kwenye upuuzi , ilikuwa naweza kukuta notification takribani...
  9. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Curent Situation in Kampala Following Ban Of Street Vendors by KCCA.

    Kampala Capital City has received a breath of fresh air following the recent ban on street vendors, who had congested the city and turned major roads into selling points. The move is aimed at restoring order, improving traffic flow, and enhancing the city’s image as Uganda’s commercial and...
  10. coockie monster

    JamiiForums Tanzania Tanzania iwaekee shadow ban to some US citizens. 20% percent warudishwe

    Trump ni mbaguzi,wametuwekea vikwazo vya kudhalilisha. Madhali kiusalama wa nchi hatuwezi kulipa kama wao ila tutumie uswahili wetu na fitna zetu kuwazuia Baadhi ya watalii wanaokuka kiholela kutoka Marekani. Unless awe amebook hotel za kueleweka sio Airbnb na ubabaishaje mwengine.. Tutunze...
  11. Marco Seth

    JamiiForums Tanzania Ushawahi kupigwa ban na WhatsApp bila sababu ya msingi?

    Hii December nimepigwa ban mara sita Nimetumia number mpya hiyo hiyo ikapigwa ban Nimeadd member kwenye group nikapigwa ban Nimetuma text kwa chatgpt nikapigwa ban Kurud hiv vitu vikawa vinarecover Kutuma text kidogo ti ban Ban ban Christmas ban Je wewe hii hali ishawahi kukutokea? Ni...
  12. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Marekani wamepiga ban drones zote kutoka “nje” ya nchi yao!

    Vita ya kiuchumi kati ya USA na China inazidi kupamba moto. Baada ya kuweka vikwazo vingi kwenye magari ya umeme (EV) kutoka China, sasa panga limekuja kwenye drones. Federal Communication Commission (FCC) wametoa tamko kwamba unmanned aircraft systems (UAS) na components zake zote kwa...
  13. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Mawaziri wa Saudi na UAE wasema Imamu Akieneza Chuki anakula BAN, Magaidi wengi watatoka Ulaya siku zijazo

    Hapo Mkutanoni wapo Mawaziri wa Saudi Arabia na UAE (Umoja wa Falme za Kiarabu) Waziri Wa UAE: Na niruhusu niseme hili kwa Kiingereza ili uweze kuelewa ninachosema. Siku itakuja ambapo tutaona wanamgambo na magaidi wenye misimamo mikali zaidi wakitoka Ulaya, kwa sababu ya ukosefu wa kufanya...
  14. Foffana

    JamiiForums Tanzania Akaunti za watu watata zilizopigwa life ban

    Hawa jamaa walikuwa wanatema madini sana hata ukipitia michango yao linajidhihirisha hilo greybakuza Uguswelana Mpendakukimbiakimbia Misrecodius vulutus Naby Keita Tanganian
  15. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Silver Strikers leo ikishinda nipigwe Ban mwaka huu wote

    Hii match tumeimaliza nje ya Uwanja. Na ubao unasoma tuna goals zisizopungua 3. Leo hawa madogo wanapigika kinyama hasa. Wameshakubali matokeo. Sisi tupo vizuri na tunaingia uwanjani kuwachakaza hasa. Wanayanga njooni kwa wingi ushindi ni kama pai 22/7 haibadiliki
  16. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Tuache na kupigana ban sasa, ni wana JF gani utaweza kuwa recommend katika nyadhifa hizi za serikali?

    1: RAIS 2: WAZIRI MKUU 3: WAZIRI WA HABARI/MAWASILIANO 4: SPEAKER WA BUNGE 5: WAZIRI WA UTAMADUNI/SANAA/MICHEZO 6: MKUU WA T.I.S.S 7: IGP 8: WAZIRI WA FEDHA 9: MSHAURI WA RAIS 10: WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII
  17. N

    JamiiForums Tanzania Fredrick Sumaye mbona yeye haonekani na hasikiki au kapigwa ban ya Jumla?

    Fredrick Sumaye alikuwa waziri mkuu kwa miaka 10 lakini sioni kama ccm au nje ya ccm anaongelewa kabisa. Alikosea wapi huyu mtanganyika mwenzetu? Mkapa anapewa sifa lukuki lakini yeye aliyekuwa waziri mkuu kwa vipindi viwili vya uongozi wa Mkapa hana hata moja zuri alilolifanyia taifa hili...
  18. Knock life

    JamiiForums Tanzania Moderators naomba mtu anajiita Abtaili Mwerevu apewe ban kwa kutangaza ajira za utapeli .

    Abtali Mwerevu ni member Mkongwe Ila tapeli . Anakuja JF anatangaza ajira ambazo zimejaa utapeli mkubwa kuna ajira katangaza juzi watu wamemfata WhatsApp kawafanyia utapeli. Kuweni nae makini au apewe life ban
  19. Carasco Putin

    JamiiForums Tanzania Chelsea anafungwa, asipofungwa nipigwe ban la mwaka

    MUUE CHELSEA KWA GOLI 5-0 WEKA LAKI LALA
  20. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Mfahamu modi/dinyo wa jeief aliyejipiga ban

    Eli Cohen ndiye modi aliyejipiga ban baada ya kupata udhuru fulani na baada ya kumaliza shughuli zake akabonyeza kitufe cha kurudi hewani na amerudi. Alimpiga mvua kwanza memba mmoja nayeitwa sijui lucha kisha akajipiga mvua yeye mwenyewe. JF ina vituko sana kwa hakika. Dr am 4 real PhD Harmful
Back
Top Bottom