ban

Bánovce nad Bebravou (German: Banowitz, Hungarian: Bán) is a town in Slovakia, in the Trenčín Region.

View More On Wikipedia.org
  1. Lycaon pictus

    Kwanini US wameipiga ban TikTok?

    US imepitisha sheria kuwa Tik Tok ijiuze kwa kiampuni za Marekani ndani ya mwaka mmoja au ifunge biashara US. Kwa nini bunge limepitisha sheria hii nzito?
  2. Mhafidhina07

    Kama Yanga asiposhinda kwa Madiba mods nawaruhusu munipige ban ya wiki

    Ninao uhakika kuwa Yanga hivyo tujiandae kumpokea bingwa mpya wa mashindano ya CAF ambae atakutana fainali na muarabu. YANGA TUJICHANGE PESA YA KWENDA MISRI KABISAAA.
  3. Kang

    Mbinu za kujikwamua WhatsApp ban.

    Tutashare mbinu za kujikwamua na ban humu, kumbuka hii ni cat/ mouse game kwa hiyo sio kila mbinu itafanikiwa kwako. Fanya backup! Baadhi ya hizi njia zitapoteza chat msg/ picha etc so kama ni muhimu kwako fanya backup unvayojua wewe kabla ya kujaribu lolote. Tahadhari na factory reset...
  4. 2 of Amerikaz most wanted

    Florida set to ban homeless from sleeping on public property

    According to AP news, Florida will ban thousands of homeless people from setting up camp or sleeping on public property, under a bill lawmakers sent to Republican Gv. Ron DeSantis who support the idea. Countries, with approval from the state department of children and families would be able to...
  5. vvvv

    Laban Og apigwe ban ya week kama alivyoomba, haki itendeke

    Huyu member aliweka uzi hapa jukwaani kwamba akiwa na akili timamu Simba ikifunga apigwe ban ya week. Naomba apate haki yake hii tabia ya kutoa ahadi tu halafu mods hamtekelezi itaota mizizi humu JF naomba haki itendeke.
  6. Niache Nteseke

    Nimepata ujumbe kutoka kwa YoWhatsapp ikinitaka nitumie official WhatsApp

    Wakuu heshima kwenu. Niende kwenye mada husika. Nimepata ujumbe kutoka kwa YoWhatsapp ikinitaka nitumie Official Whatsapp. Nawezaje ku-link messages za YoWhatsapp na Whatsapp ya kawaida, coz wakiipiga ban natumai msg zote zitafutika na kuanza upya. Sasa nawezaje ku-solve hili suala aidha...
  7. D

    Nigeria to ban degrees from Kenya, Uganda in crackdown

    By AFRICA NEWS Nigeria has announced an expansion of its suspension of degrees accreditation, encompassing additional countries such as Kenya and Uganda. This decision follows the recent suspension of accreditation for degrees obtained from institutions in Benin and Togo. During an interview...
  8. Chizi Maarifa

    Njooni Wanayanga tufurahie Ushindi hii Leo. Tunampiga mtu kipigo kibaya. Tukikosa points tatu Nipigwe Ban

    Team ya taifa ya Dar Young Africans leo inaenda kushusha kipigo cha mbwa mwizi kwa hawa Medeama hapa Uwanja wa Mkapa. Tayari kisu kimepata makali ya kutosha na ustaadhi anasema bao ni 3. Haina kuremba. Soka la kufa mtu na mabao makali ya ulaya yataonekana. Hakuna papatu papatu. Mpira...
  9. L

    Yanga akishinda leo nipigwe ban

    Kwa jinsi hawa Belouzdad ninavyowajua , na kiwango walichokuwanacho sasa hivi, Yanga anakufa sio chini ya goli tatu. Tukutane baada ya mechi
  10. F

    Magati ya Bandari yetu yapewe majina na moja liitwe Gati la Mwabukusi

    Huyu mwamba Boniface Mwabukusi, Wakili Msomi ameonyesha uzalendo mkubwa sana kwa Nchi yake! Wachuuzi wa rasilimali zetu amewakaba koo kweli kweli! Whatever the outcome ya High Court Judgement on 7/8 but the fact is clear that, Learned Counsel Boniface Mwabukusi is the hero of our times! Mbona...
  11. Mwl.RCT

    SoC03 Uongozi Unaotokana na Utumishi: Hufafanua ukweli na kushukuru

    UONGOZI UNAOTOKANA NA UTUMISHI: HUFAFANUA UKWELI NA KUSHUKURU Imeandikwa na: Mwl.RCT Picha | Kwa hisani ya equita(dot)ie UTANGULIZI Kila wakati tunapofikiria juu ya uongozi, mara nyingi tunawaza juu ya wajibu wa kiongozi kutoa mwelekeo na kuongoza timu yake kwa mafanikio. Lakini je...
  12. YE67NBE

    Hatimaye MPWAYUNGU VILLAGE kaondolewa BAN

    Ni furaha yangu kuwajuza kuwa mwanetu Mpwayungu Village kaachiliwa huru kutoka kifungo hivyo tutegemee walimu wetu kutukanwa na kuendelea kupondwa kila siku Iitwapo leo Tumkaribishe upya
  13. MAWEED

    Ban ya mwaka 1 kama Man City akifungwa na Arsenal leo

    Sina haja ya kusalimia, Kama Manchester City tukifungwa na Arsenal naomba nipigwe ban ya mwaka mmoja. WE ARE CITIZENS. Moderator Moderator Mkuu @Mexence Melo Active naomba mnizingatie.
  14. M

    Akitoka BAN apewe Heshima yake JamiiForums kwani kwa 100% alichokisema Kimetokea Jana

    Mwanachama Maarufu hapa JamiiForums anayeongoza kwa Kuchukiwa bila sababu yoyote ila amebarikiwa Vingi na Mwenyezi Mungu aitwae GENTAMYCINE akitoka BAN yake apewe Heshima yake ya Kipekee hapa JamiiForums. Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) kwa muda wa Wiki nzima kabla ya Mechi ( Derby ) ya Simba...
  15. Half american

    Yanga akipoteza mchezo wa leo naomba nipigwe Ban kwa miezi 6

    Nitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi. JamiiForums Moderator Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa. kila la heri wananchi 💚💛
  16. KAGAMEE

    Yanga akifungwa leo nipigwe ban mwaka mzima

    Kwa kikosi cha Makolo nilichoona Yanga akifungwa leo yaan YANGA apoteze point tatu leo nipigwe BAN ya Mwaka mzima na faini ya milion moja.
Back
Top Bottom