alex

Alex (Aleck or Alec is the Scottish form) may be a diminutive of the male given name Alexander, or its female equivalent Alexandra or Alexandria, or a given name in its own right. Alexander is derived from the Greek "Ἀλέξανδρος" (Aléxandros).
The East European male name Alexey (Aleksei, Alexis, Aleksa) is also sometimes shortened to Alex. It is a commonly used nickname in Spanish for Alejandro, Alexandro, Alejandrino and Alexandrino, and related names like Alexa and Alexis.

View More On Wikipedia.org
  1. Erythrocyte

    Alex Msama akamatwa kwa makosa ya Utapeli wa Viwanja

    Promota wa Muziki wa Injili , ambaye pia ni mlokole Alex Msama , akiwa pia ni Mkurugenzi wa Msama Promotion , amekamatwa na Polisi kwa makosa ya Utapeli wa viwanja Msama Pia ni kada Maarufu wa CCM na Mgombea wa mara kadhaa wa nafasi mbalimbali za uongozi kwenye Chama hicho Amedakwa leo...
  2. BARD AI

    Mfanyabiashara Alex Msama akamatwa kwa tuhuma za Utapeli wa Viwanja vya Tsh. Milioni 800

    Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Dar es Salaam kwa tuhuma za kutapeli viwanja vinne vya Beatrice Mshumbuzi, vinavyokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi milioni 800. Msama amekabidhiwa kwa polisi leo na Waziri wa Ardhi, Jerry Silaa. PIA SOMA -...
  3. T

    Waziri Jerry Silaa: Alex Msama wa Msama Promotions ni mojawapo ya matapeli wakubwa 7 wa Viwanja Dar es Salaam

    Waziri wa Ardhi Mheshimiwa Jerry Slaa amemtaja Alex Msama wa Msama Promotions kwamba ni mojawapo ya matapeli wakubwa 7 wa viwanja mkoa wa Dar es Salaam aliowahi kutamka kwamba atawashug hulikia. Msama amekua akitapeli watu viwanja, kuuza viwanja vya wazi, kuuza viwanja vya wajane, kutumia...
  4. Erythrocyte

    Jerry Silaa: Alex Msama ni tapeli namba 3 wa Viwanja, ajisalimishe

    Promota wa Tamasha la Pasaka, Mtangazaji wa vipindi vya kwaya na Mgombea wa nafasi mbalimbali za uongozi huko CCM, Bwana Alex Msama ametajwa kuwemo kwenye 3 bora ya Matapeli Papa wa Viwanja DSM. ==== Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amemtaka Mkurugenzi wa Msama...
  5. Frank Wanjiru

    Alex Ngereza: Simba wameenda kupoteza pesa Zanzibar

    Mchambuzi wa masuala ya kabumbu Alex Ngereza ametia neno kuhusu kambi ya Simba walikoweka Zanzibar:- "Sijaona sababu ya Simba kwenda kuweka kambi Zanzibar kwasababu zimebaki siku chache kuelekea mchezo dhidi ya Al ahly lakini pia wapo baadhi ya wachezaji muhimu hawapo wameenda kuzitumikia timu...
  6. Frank Wanjiru

    Alex Ngereza: Simba ilikuwa kwenye kundi dhaifu sana

    AKILI ZIMEANZA KUWARUDI " Simba kutinga hatua ya robo fainali imepitia kwenye kundi dhaifu sana. Kundi likiwa na mngonjwa mahututi mmoja ambaye ni Wydad ambaye alikuwa ICU msimu huu kuanzia ligi ya kwao mpaka michuano ya #CAF. Huku akiwa pia na timu ya Asec Mimos timu yenye program ya kukuza...
  7. Chachu Ombara

    TANZIA Kiongozi wa Upinzani Urusi na mkosoaji mkubwa wa Rais Putin, Alexei Navalny afariki dunia akiwa gerezani

    Mamlaka zimesema kuwa kiongozi wa upinzani nchini Urusi, Alexei Navalny, amefariki ndani ya gerezani la Arctic. Akionekana kama mkosoaji mkubwa wa Rais Vladimir Putin, Navalny alikuwa akitumikia kifungo cha miaka 19 kwa makosa yanayochukuliwa kwa kiasi kikubwa kuwa ya kisiasa. Alihamishiwa...
  8. C

    Sawa Ali Kamwe katuambia tarehe 2/12/2023 tuvae Kanzu na Misuli ila tuuzingatie na huu Ushauri wa Alex Luambano

    "Niwaombe tu wana yanga sc kuwa pamoja na kuambiwa na msemaji wao Ali Kamwe kuwa jumamosi watakapocheza na al ahly wavalie kanzu na misuli ila mimi naongezea kwakuwa wanacheza na waarabu (Al Ahly sc) ambao hawana masihara basi wahakikishe wanavalia na bukta kwa ndani kwani mwarabu si mtu mzuri"...
  9. Christopher Wallace

    Alex Luambano: Sijawahi kuwaona Real Madrid wamebeba mapipa, Al Ahly wapunguze mikwara

    Baada ya Al Ahly kutua airport huku wakionekana wamebeba mapipa makubwa kuelekea mchezo wa dhidi ya Simba, mwandishi mkongwe wa michezo kutoka Clouds Fm, Alex Luambano apigwa na butwaa. Sijawahi kuwaona Real Madrid wakiwa wamebeba mapipa, sasa hii Al Ahly ambayo ni miongoni mwa timu kubwa...
  10. ESCORT 1

    Lady Cathy Ferguson, mke wa Sir Alex Ferguson amefariki dunia

    Habari za huzuni jioni hii, kutoka katika kitongoji cha Cheshire, Greater Manchester ni kuwa Lady Cathy Ferguson, mke wa Sir Alex Ferguson amefariki dunia. Wawili hao walioana mwaka 1966 na wamedumu kwenye ndoa mpaka mauti yalipomfika bibie Lady Cathy akiwa na miaka 85. Ameacha watoto watatu...
  11. Nature

    Uchaguzi KKKT: Askofu Malasusa achaguliwa kuwa Askofu Mkuu wa KKKT kuchukua nafasi ya Dkt. Fredrick Shoo

    Malasusa amepata kura 167 ambazo ni asilimia 64 ya kura zote zilizopigwa Askofu Malasusa alikuwa anagombea dhidi ya askofu Abednego Keshomshahara wa Dayosisi ya Bukoba aliyepata kura 73 na Askofu Dr George Fihavango wa Dayosisi ya Njombe aliyeshindwa katika duru ya kwanza. Hii itaakuwa ni mara...
  12. Chawa wa lumumbashi

    Mfanyabiashara Alex masawe abadili dini na kuwa muislamu

    Mfanyabiashara maarufu na mmilikiwi wa A. M investment na mahotel mbalimbali nchini Alex massawe abadili dini na kuwa muislamu Alex massawe alikimbia nchi ya Tanzania na kukimbilia south Afrika kutokana na tuhuma mbali mbali.Hongera bwana Alex massawe kuja kwenye dini ya haki na dini yenye...
  13. FaizaFoxy

    Alex Massawe abadili dini na kusilimu

    Alex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini. Allahu Akbar.
  14. Jasuma

    Natafuta Mchumba (mwanamke)

    Naitwa Alex, Elimu yangu ni Degree pia ni mwajiriwa natafuta Mchumba yaani mwanamke wa kuoa. SIFA Awe na elimu kuanzia Diploma na kuendelea. Awe mweupe au maji ya kunde. Asiye kunywa pombe. Awe mwenye hofu na Mungu. Awe hajazaa na Kama amezaa asiwe na zaidi ya mtoto mmoja. Awe mrefu au mfupi Ni...
  15. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Stella Ikupa Alex Aitaka Serikali Kusimamia Kanuni ya Kupata Mikopo kwa Watu Wenye Ulemavu

    MBUNGE STELLA IKUPA AITAKA SERIKALI KUSIMAMIA KANUNI YA KUPATA MIKOPO KWA WATU WENYE ULEMAVU NCHINI Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Stella Ikupa Alex Bungeni jijini Dodoma ameishauri Serikali kuhakikisha Halmashauri na Manispaa zinasimamia muongozo na kanuni ya kutoa mikopo kwa...
  16. JanguKamaJangu

    Miaka 10 tangu Alex Ferguson astaafu, Man United haijarudi kwenye mstari

    Ni miaka 10 rasmi tangu Sir Alex Ferguson (81) alipotangaza kustaafu kuifundisha Manchester United na kufundisha soka kwa jumla Akiwa klabuni hapo alishinda mataji 13 ya Premier League, 5 (FA Cup), 4 (League Cup / Carabao), 2 Ligi ya Mabingwa, European Cup Winners' Cup, European Super Cup...
  17. JanguKamaJangu

    Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama alazwa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)

    Mkurugenzi wa Msama Promotions na muandaaji wa Matamasha ya Injili nchini ambaye ni mdau mkubwa wa maendeleo ya sanaa Alex Msama amelazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) akisumbuliwa na maradhi. Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa Mkurugenzi huyo amesema siku chache baada ya kumalizika...
  18. Dr am 4 real PhD

    Eric Djemba Djemba: Mashine kutoka Afrika Magharibi na Siri ya Alex Ferguson kuhusu wachezaji wa Afrika

    Unakumbuka nini ukisikia jina Djemba Djemba. M Cameroon aliye lamba deal la kusajiliwa Manchester united na Alex Ferguson at his age of 21 Alisajiliwa akitokea Nandes ya ufaransa. Alipo sign deal na Manchester united akaenda kununua magari matano Kwa mkupuo. Inasemekana Sir Alex Ferguson...
  19. Texas Tiger

    UFC 287: Israel Adesanya vs Alex Pereira II. Stylebender akipoteza itakuwa mwisho wa career yake UFC (?)

    Pambano ni Jumapili tarehe 9 April, 2023. 5:00 AM GMT Israel Adesanya aka The Last Stylebender Record: 23-2-0 HEIGHT: 6' 4" WEIGHT: 185 lbs REACH 80" STANCE: Switch DATE OF BIRTH: Jul 22, 1989 NATIONALITY: NIGERIA/NEW ZEALAND Ikumbukwe pambano lililopita UFC 281 Israel Adesanya alipoteza...
  20. A

    TANZIA Prof. Alex Lyatonga Mrema hatunae

    1. Profesa Alex Lyatonga Mrema wa CoET, UDSM ametutoka. 2. Tuliosoma Civil Engineering, FoE (baadae CoET, UDSM tutamkumbuka daima). 3. Poleni familia na Doreen. 4. Naambatanisha Ratiba ya Mazishi na picha yake.
Back
Top Bottom