mashabiki wa simba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    JamiiForums Tanzania Hawa mashabiki wa Simba wanaosema wakawashitaki viongozi wao kwa Rais Samia wana akili kweli?

    Nasikitika kusema kuna mashabiki maarufu kama influencer wa Simba hawana akili timamu na nikama hayawani mmoja anaitwa nyumbu. Rais Samia ndiye huyu mlimzomea kwenye Simba day mwaka jana,leo mnajitoa akili eti mnaenda kushitaki viongozi wenu? Nyumbu ni mnyama ambaye akikimbizwa na Simba na...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha Ahmedy Ali cha kuwatuma mashabiki wa Simba wakajisaidie haja kubwa na ndogo kwenye eneo la Yanga Ni jambo la Kishamba

    Jana Jumapili kulifanyika paredi la Simba, baada ya kubeba kombe la CRDB Bank ushindi walioupata dhidi ya Azam FC lakini kuna kitendo kilichofanyika na Msemaji wa Simba Ahmedy Ali kilikuwa si cha kiugwana na sio utani wa jadi, kwa kuwataka mashabiki wa Simba kwenda kujisaidia haja kubwa na...
  3. figganigga

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Simba FC Washambulia Jengo la Yanga FC kwa Mawe. Ni wakati wa Paredi la Simba

    Mashabiki wa Simba FC Wachambulia Jengo la Yanga FC kwa Mawe. Ni wakati wa Paredi
  4. R

    JamiiForums Tanzania Fainali ya CRDB shirikisho kupelekwa Zanzibar ni dharau kwa mashabiki wa Simba

    Ni jambo la ajabu, Zanzibar waba ligi yao, chama chao cha soka, mamlaka yao ya mapato lakini ama kw kujipendekeza kwa wanasiasa au mpango wa mwenyekiti wa bodi ya ligi kulinda maslahi ya Azam. Mashabiki wa Simba wengi wao wakiwa upande wa bara wamekuwa wakijitoa muda mrefu ikiwemo kuchangia...
  5. M

    JamiiForums Tanzania TFF waliwekee ulinzi mkali kombe la ligi kuu. Mashabiki wa Simba wanaweza kuliiba. Hawana ujanja wa kulipata kupitia kandanda

    Tusifanye mzaha hawa jamaa wana hasira sana. Maana ni zaidi ya miaka mitano hawajapata kombe le ligi. Inasemekana mitaani hawa jamaa wana njama za kuliiba. Timu yao haina uwezo wa kwa kutwaa ubingwa kwa kusakata kabumbu. TFF naomba muwe makini. Ulinzi uimarishwe maana bado mechi moja tu.
  6. R

    JamiiForums Tanzania Mashabiki Simba wasimlaumu Aragija bali walaumu Viongozi wao

    Mechi ya Simba na Azam refa alikuwa Aragija, Simba walikataliwa penati mbili za wazi lakini pamoja na viongozi kulalamika hadharani hawakuchukua hatua yoyote baada ya kamati ya masaa 72 kukaa kimya. Inaonekana viongozi wa Simba hawajui ukubwa wa hii timu kipaumbele chao ni maslahi wanayopata...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Simba, baada ya Mangungu, mchagueni Joseph Rwegasira (Jayrutty) kuwa Mwenyekiti wa klabu yenu

    Bila shaka Wanalunyasi mtakuwa mnatamani kupata kiongozi kijana ambaye ana maoni makubwa juu ya klabu yenu kama ambavyo Yanga wamewatesa misimu hii minne mfululizo baada ya Engineer Hersi Said kuchukua kijiti cha Rais wa Klabu baada ya Mshindo Msolla. Mnahitaji uongozi wenye maono, uwezo wa...
  8. The Watchman

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Simba wamlilia Rais Samia awezeshe mchakato wa mabadiliko

  9. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Mechi ya mashabiki wa Simba na Yanga lengo kuu kuwarudisha wasanii kwa wananchi

    Nasikitika sana na nazidi kusikitika. Nawasikitikia zaidi mashujaa wetu waliojitoa kulitetea taifa mwisho wa siku wameishia kupoteza maisha lakini asilimia kubwa ya watu waliokuwa wanawapambania ni wapumbavu kwa kiasi kikubwa sana. Niliingia kwenye instatrack kuchungulia engagement rates...
  10. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Mapato ya tickets mechi ya jana ya simba ni shilingi 3000/..! Kweli mashabiki wa simba wanaipenda sana team yao

    Wakuu I salute you kinsmen Kuna team ilikuwa inasifiwa sana wanajisifia sana kuwa wao watalipa ticket na uwanja watajaza mapema tu saa 8 mchana unakuwa full Na semaji Lao likawajaza upepo kuwa ticket zimeshauzwa ni full house. Lakini jana kilichotokea ni bora wangefanya watu waingie bure tu...
  11. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Hapo katikati Mashabiki wa Simba walianza kunenepa. Sasa Tabu imerudi tena

    Hali naambiwa kwa Tanzania ni mbaya mashabiki wa Simba wameanza kukonda na kukosa raha. Hapo katikati walianza kunenepa baada ya Ligi kusimama. SASA LIGI IMERUDI TAABU IPO PALE PALE.
  12. ngara23

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mashabiki wa Simba wagoma kumshangilia Rais Samia akitoa salam katika tukio la Simba day

    Suala la mashabiki wa Simba kuzomea wakati Rais akitoa salam katika tukio la Simba day Watanzania wameamka hawapo hapa kupumbazwa, watu wanataka haki katika sura mbalimbali Yaani tukio la leo limezidi hata maandano ambayo polisi huzuia Kwa nguvu kubwa, Sasa ni dhahiri ujumbe umefika kuwa...
  13. The Watchman

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo foleni ya mashabiki wa Simba wanaosubiri kuingia uwanjani muda huu

    Mashabiki wa Klabu ya @simbasctanzania wakisubiri kuruhusiwa kuanza kuingia Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar Es Salaam ili kushuhudia tamasha la Simba Day linalofanyika leo Septemba 10, 2025
  14. hydroxo

    JamiiForums Tanzania Wanayanga wenzangu tusikubali kuingia kwenye mtego wa mashabiki wa simba kuhusu jezi zetu mpya

    Mara baada ya Yanga kutangaza jezi zake mpya za msimu huu wa 2025/2026 wameibuka baadhi ya mashabiki wa simba na kuanza kuziponda jezi za yanga na kusema ni mbaya. Ubaya ni kwamba bila kufahamu the motive behind,baadhi ya mashabiki wa yanga nao wameungana na wale wa simba kwenye kuzisema jezi...
  15. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Simba wakasirishwa page ya club kupost utajiri wa MO

    Baadhi ya Mashabiki wa Simba SC wamechukizwa na post hii ya kumpongeza Mohamed Dewji kutajwa kuwa ndie Tajiri namba Moja Tanzania. Je Kuna shida yoyote kumpost Mohamed Dewji na kumpongeza kwa Utajiri wake kupitia ukurasa wa Klabu ya Simba ambapo yeye ndie muwekezaji wa Klabu.
  16. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Simba na Yanga ni wanafiki sana

    Manji alipotaka kuikodisha Yanga kwa miaka 10 mlimgeuka Mzee wa watu mchana kweupe", Simba nao wameanza kuonesha dalili za kumkana Hadharani Mo kisa kaawambia Mmetumia Billion 87 zake😂😂😂 acheni Unafiki Kama hamuwataki muwe mnawakataa mapema
  17. NALIA NGWENA

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Simba SC Wanajikaanga Wenyewe Kama Mkia wa Kondoo kwenye sufuria la moto

    Katika hali ya kushangaza lakini ya kweli, mashabiki wa Simba SC wamekuwa kama mkia wa kondoo wanajikaanga wenyewe bila hata ya kuhitaji moto wa nje. Timu yao imekuwa ikipitia misimu ya maumivu: kushindwa kwa mipango ya usajili, kukosekana kwa mwelekeo wa kiufundi, na viongozi wanaozunguka...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Simba viongozi wake wanajitahidi sana kununua malefa ili washinde,ubora wa timu hawana

    Simba Viongozi wake wanajitaidi saba kununua marefa ili waonekana bora mbele ya mashabiki wake,na mashabiki hufurahia hilo wanaposhinda mechi bila kuhoji uwezo wa timu tena ni timu ya kawaida sana, ilistahiri kushika na 4 au tano kwenye msimamo wa ligi, Endeleeni kununua malefa mkikutana na...
  19. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa serikali mashabiki wa Simba ni muda wa kuipambania Simba

    Hapo vip! Kwa nature wa mpira wa Tanzania kuna umuhimu viongozi wa serikali ambao ni mashabiki wa Simba kama Majaliwa,Makonda,kigwangwala,zungu,speaker Tulia n.k kuipambania Simba kwa kuinusuru kugandamizwa na viongozi wahuni mashabiki wa yanga.
  20. M

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Simba hawakumwelewa Ahmed Ally alipowaambia kesho ni mechi ya mwisho Simba kucheza nyumbani na Kagera Sugar, alimaanisha hivi

    Washabiki wa soka nchini ni mtihani mkubwa sana, wana uelewa mdogo sana wa mambo, juzi Ahmed Ally amewaambia washabiki wajazane na familia zao kuwaaga wachezaji kwa sababu itakuwa mechi ya mwisho kwao kucheza nyumbani, wengi wametafsiri kauli hii kuwa Simba inamaliza mechi kesho.La hasha...
Back
Top Bottom