yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. D

    JamiiForums Tanzania Hivi Dudu Baya anaalikwa kwanini?!!! Yanga mmenikera sana

    Limeshaharibu tayari. Vinyimbo vyenyewe viwili tu visivyo na maana yoyote halafu mnaliita kuja kuishia kuleta mambo ya kijinga tu.
  2. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Ifike mahala Simba na Yanga zitambuliwe kama sehemu ya urithi wa utamaduni wa Taifa

    Kama kuna tukio moja kubwa linalowakutanisha watanzania wengi kwa mara moja, basi tukio hilo ni Derby ya Kariakoo. Hizi klabu mbili zinawaunganisha watanzania nje ya mipaka ya itikadi, dini, kabila, jinsia, rika n.k. My fair assessment is, hizi timu zinamchango mkubwa mno kujenga umoja wa...
  3. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Feisal salamu anawatumia mabumunda WA SIMBA SC na YANGA SC kujiongezea thamani

    Azam FC wanachofanya ni kiburi cha pesa ambacho hakina tija yoyote kwao. Tangu usajiri wa Feisal ufanyike, Azam FC imeendelea kua msindikizaji Katika mashindano ya ndani na hata Yale ya kimataifa. Huku feitoto akinufaika pakubwa kimaslahi . Kutokana na ubumunda wa viongozi wa Azam FC kwenye...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kitengo Cha habari Cha Yanga kimepwaya,kwa miaka mitano kimeshindwa kuteka kizazi kipya Cha mashabiki hatimae wanachama

    Haiwezekani timu ambayo imechukua ubingwa miaka 5 mfululizo inazidiwa promo na Simba ambayo haikua na kombe lolote,kitengo hicho kinapaswa kuongezewa pro active mmoja ambae pia ni muongeaji na mchambaji ili kusukuma agenda flani flani. Kilele cha mwananchi kesho ipo kama haipo,jezi zinatoka...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi Geita latoa onyo kali kuelekea utambulisho wa Yanga na Geita Gold Bukombe

    Jeshi la Polisi Mkoani Geita limejipanga kikamilifu kuhakikisha amani na usalama vinatawala kuelekea msururu wa matukio makubwa ya kimichezo na kijamii yaliyopangwa kufanyika leo, Agosti 4, katika Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe. Akizungumza na waandishi wa habari, Msemaji wa Jeshi la Polisi...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wanachopitia Chadema hakina tofauti na Mkoloni alivyowahi kuiminya Tanu kiuchumi mpaka timu ya Tanu (Yanga) ikawa inacheza mgongo wazi kwa kukosa jezi

    Katika historia ya harakati za ukombozi wa Tanganyika, kabla ya TANU kupewa mamlaka ya kuongoza nchi na baadaye kubadilika kuwa CCM, chama hicho kilikuwa kinapigania ukombozi dhidi ya wakoloni weupe. utawala wa kikoloni ulitafsiri harakati hizo kama tishio kwa utulivu wa kisiasa na hivyo kuweka...
  7. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Karbu sana mabula sisi ndo yanga

    Aman iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Karbu sana mabula Karbu sana bro LONDON BOY
  8. M

    JamiiForums Tanzania Karia ni familia, Pongezi kwake, Zifanyike kila jitihada Yanga asiingie kwenye vyumba vya kubadilishia nguo akatwe hadi points 20

    Sasa ni muda Yanga atupishe kidogo, na wengine nao waonje utamu wa ubingwa. 😄 Mkakati ni rahisi tu. Kila Yanga akicheza na Simba, Azam, Coastal Union au timu nyingine, pawe na tetesi za "dawa" dressing room au kama vipi wawekewe kabisa hizo dawa. Lengo liwe ni kuwafanya wasiingie vyumbani Si...
  9. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kwa faida ya Yanga princes twende na Prisca Kishamba, atavutia wanawake wengi

    Prisca Kishamba ni mwanamke pekee anaegombea ujumbe wa kamati ya utendaji wa timu ya Yanga. Kwa heshima ya Rais Samia, wanawake na timu ya wanawake ya Yanga tumchague huyu binti kuwa kwenye uongozi wa Yanga. Wagombea wote ni wazuri sana lakini Kishamba anaweza kuongeza idadi ya wanawe kuwa...
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PETER SHALULILE rasmi ni mwananchi Yanga. Asante GSM kwa kuendelea kuonyesha upendo

    ASANTE GSM, ASANTE BILIONEA! 💚💛 Straika bora Afrika, Peter Shalulile, sasa ni mali ya Wananchi. Nguvu mpya safu ya ushambuliaji. Karibu nyumbani, Shalulile! 🔥⚽ ============ Yanga SC imemtambulisha rasmi straika wa kimataifa wa Namibia, Peter Shalulile, kuwa mchezaji mpya wa klabu hiyo kuelekea...
  11. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania LEO saa 5:00 usiku, Raisi wa Yanga SC, Hersi Said atazungumza na Wanachama na Mashabiki wa Yanga

    LEO saa 5:00 usiku, Raisi wa Yanga SC, Hersi Said atazungumza na Wanachama na Mashabiki wa Yanga. Shughuli hii itakuwa mubashara kupitia AzamSports1HD kuanzia saa 5:00 usiku.
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Wallace Karia: Mimi siogopi klabu ya Simba wala Yanga, Nje huko wananipa heshima

    Rais wa TFF, Wallace Karia amesema haogopi Simba wala Yanga, bali anaziheshimu kutokana na mchango na hadhi yake katika soka la Tanzania. Mimi siogopi Simba wala Yanga. Nawaheshimu... Nje huko wananipa heshima hizi timu... kwa sababu gani? Mimi nikifika huko rais wa Tanzania ndio iko Simba na...
  13. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Yanga Msimu huu wa 26/27, unachekesha sana kama huna ndugu shabiki wa Yanga

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Inachekesha sana ila kama huna ndugu shabiki upande wetu utacheka sana LONDON BOY
  14. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Yanga, Azam, Singida Black Stars na Fountain Gate Academy kuhamia ligi ya Zanzibar Muda wowote kuanzia sasa

    Wataitisha press ya pamoja, baada ya hapo Azam Media limited italalamika na kusitisha matangazo ya ligi kuu Tanzania bara kwa kigezo cha kuhofia hasara baada ya baadhi ya timukujitoa. Samia anaharibu nchi, kaharibu na mpira.
  15. kavulata

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Yanga, timu ya ushindi haibadilishwi. Waendelee hadi waboronge.

    Ni demokrasia kweli kwenye michezo, lakini timu inayoshinda kocha haipangui bila sababu za msingi. Naogopa kuibadilisha safu ya uongozi wa Yanga uliotutelea makombe kwa miaka 5 mfululizo, maana present is known and secure. Tusije tungaingiza migogoro ndani kwa mikono yetu wenyewe.
  16. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Yanga tusifanye makosa kwa kocha tena huyu kocha mrudisheni

    I salute you kinsmen Nilikuwa kimya kwa muda mrefu maana niliona wazi dalili kwetu si nzuri sana Kimsingi msimu huu ilitakiwa tubebe yote tena lakini kwa kuwa kuna sehemu tangu mwanzo tulishabugi basi ikawa kusubiri kudra tu. Tulikosea kwenye usajili huo ndio ukweli kabisa. Walioingia...
  17. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awajulia hali Pacome Zouzoua wa Yanga na Mlezi wa ACT Wazalendo, Sheikh Rashid Hamad Othman

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akimjulia hali Sheikh Rashid Hamad Othman, Mlezi wa Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, anayepatiwa matibabu katika Hospitali ya Aga Khan Jijini Dar es Salaam. Akiwa hospitalini hapo Rais Dkt...
  18. J

    JamiiForums Tanzania Ushabiki wa Simba na Yanga Kila Wikiendi: Je, ni Upendo wa Mpira, Tiba ya Stress za Maisha, au ni Mtego wa Kisiasa na Kibepari Unaomnyonya Kijana?

    Wakuu, inakuwaje? Wikiendi hii jiji la Dar es Salaam limetawaliwa na kile kinachoweza kuitwa "vurugu za makombe mtaani." Kwanza tuliona Paredi la Yanga SC la kusherehekea Ubingwa wao, likiongozwa na Rais wao Eng. Hersi Said aliyeibuka juu ya gari la wazi akidunda na mataji mbele ya mitaa ya...
  19. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Julai 6 2026 Wananchi mjitokeze kwa wingi kwenye shauri la mgawanyo wa mali mahakama Kuu

  20. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Katazo la kuandamana haliwahusu Simba ba Yanga ila CHADEMA pekee?

    Wakati mwingine huwa siwaelewi CCM wanaposema maandamano ni jambo baya. Au hawajui maandamano ni kitu gani! Kuandamana ni mfuatano wa watu mmoja akimfuata mwingine. Sasa ubaya wa CHADEMA kuandamana unatokana na nini? Kwa siku mbili mfululizo mashabiki wa Simba na Yanga wamekuwa wakifanya...
Back
Top Bottom