sauli

Sauli Väinämö Niinistö (Finnish pronunciation: [ˈsɑu̯li ˈʋæi̯næmø ˈniːnistø]; born 24 August 1948) is a Finnish politician who has been serving as the 12th president of Finland since 2012.
A lawyer by education, Niinistö was Chairman of the National Coalition Party from 1994 to 2001, Minister of Justice from 1995 to 1996, Minister of Finance from 1996 to 2003, Deputy Prime Minister from 1995 to 2001 and the National Coalition Party (NCP) candidate in the 2006 presidential election. He served as the speaker of the Parliament of Finland from 2007 to 2011 and has been the honorary president of the European People's Party since 2002.
Niinistö was the NCP candidate in the 2012 presidential election, defeating Pekka Haavisto of the Green League with 62.6% of the vote in the decisive second round. Niinistö assumed office on 1 March 2012, and is the first conservative president since Juho Kusti Paasikivi, who left office in 1956. In May 2017, Niinistö announced that he would seek re-election in the 2018 presidential election, running as an independent candidate. NCP and the Christian Democrat Party supported his candidacy. He won re-election in the first round on 28 January 2018 with 62.7% of the vote and his second term began on 1 February 2018.

View More On Wikipedia.org
  1. mwanamwana

    Ligi ya Mabasi ya NewForce na Sauli hatari, kila mmoja anataka kukaa mbele kivyovyote

    Wale wanazi wa ligi ya mabasi haya mnaona mambo, japo ni hatari lakini inaleta burudani.
  2. JanguKamaJangu

    LATRA yawataka Wamiliki mabasi ya Sauli na New Force kujieleza kabla ya kuchukuliwa hatua

    WAMILIKI MABASI YA SAULI NA NEW FORCE WATAKIWA KUJIELEZA KABLA YA KUCHUKULIWA HATUA ZA KIUDHIBITI Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imefanya kikao kilichohusisha Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani na wamiliki wa mabasi ya Sauli na New Force yaliyosababisha ajali ya tarehe...
  3. Bwana Bima

    Bus za Sauli miamba ya Nyanda za Juu Kusini

    Sauli ni kampuni inayomilikiwa na bilionea Mtanzania pande za chunya Mbeya. Hapa kati baadhi ya gari zake muhimu zilipotea ghafla tu akibakiwa na gari nne tu lakini bado anajitahidi. Dereva wake wako makini sana licha ya mwendo wanaotembea. Si rahisi kusikia kampuni hii madereva wakiangusha...
  4. MLIMAWANYOKA

    Kampuni ya mabasi ya sauli wapo juu ya sheria?

    Kwa route ya Mbeya - Dar ni hakika Sauli hana mpinzani mpaka sasa.. Nadhani hii ni kwa sababu ya kuwahi kufika... WAtu wa Mbeya huwaambii kitu na Sauli yao. Soma hapa Leo Nmelazimika kuahirisha safari baada ya kuachwa na bus lao. Safari ya Dar - Mbeya. Ilikuwa hivi.. Saa kumi na moja kamili...
  5. voicer

    Dkt. Bashiru ni Sauli aliyegeuka Mtakatifu Paulo

    Je, Majambazi wakivamia eneo ulipo wewe, na kisha wakati uvamizi ukiendelea akatokea Jambazi mmoja akujuaye binafsi, ambae kumbe ni jirani yako kule mtaani kwako. Ila kwa bahati mbaya mmekutana akiwa kazini ila asiyetaka wewe jirani yake udhurike au kuuawa! Tena Bila hata kujali kwamba kupona...
  6. Suzy Elias

    Ni suala la muda tu ila Sauli na New Force mabasi yanayoelekea Tunduma na Mbeya yatamaliza watu

    Uendeshaji wao ni wa hovyo kabisa na hauzingatii sheria na kanuni za barabarani. Sauli hununua askari wowote wanaokuwepo zamu siku husika katika usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya Mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia. Narudia...
  7. Suzy Elias

    Mmiliki wa mabasi ya Sauli watakaokufilisi ni madereva wako

    Mabasi ya Sauli yanayofanya safari zake kuelekea mikoa ya Nyanda za juu Kusini hakika yalijipambanua ni ya uhakika na salama. Ajabu kwa siku za hivi karibuni ndiyo mabasi yanayoongoza kwa ajali za ovyo ovyo zinazosababishwa na uzembe wa madereva. Mliopo karibu na mmiliki wa mabasi ya Sauli...
  8. Mwifwa

    Basi la Sauli lapata ajali Picha ya Ndege, Kibaha. Wanne wajeruhiwa, 40 wanusurika

    Nimepita sasa hivi eneo hilo nimeona Sauli imegongana na Lori, Sauli imesukumizwa mtaroni hadi ikapanda kingo ya mtaro. Sijajua kama kuna majeruhi na idadi yake. Inaonekana walishindwa kupishana Sauli akaamua kupita upande wa kushoto mwa Lori likiwa linaelekea Mashariki hapo ndipo...
  9. GeoMex

    Dereva wa Sauli kababatizwa

    #KIBAHA: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, akimuhoji Dereva wa Basi la Sauli Luxury Namba T418 DWF litokalo Mbeya kuelekea jijini Dar es Salaam, kwa kuvunja sheria za usalama barabarani, leo Jumatano Agosti 4, 2021, Saa 2:17 Usiku, Mjini Kibaha, Mkoani Pwani. Cc Bujibuji
  10. Bujibuji Simba Nyamaume

    Ligi isiyo rasmi, inayoshabikiwa na trafiki na abiria Sauli vs Golden Deer

    Miaka nenda rudi Njia ya Dar es Salaam - Mbeya ndio imekuwa njia ambayo ni gumzo kwa mabasi yake kwenda mbio. Umbali wa safari ni zaidi ya kilometre 800, na njia imekuwa ikipita kwenye Milima mikali, kona kali, mbuga ya wanyama, hali ngumu ya hewa Ikiwa ni Pamela na uwepo wa ukungu mzito na...
  11. falcon mombasa

    Sauli na Al Saedy vinara wa ligi ngumu ya Dar es Salaam - Mbeya

    Mzukaaaaaa!!!! Guys it's been so loooooong time since my last thread on due course!!!let's go Umewahi kujiuliza kuwa kunaweza kuwa na ligi ya mabus Tanzania? Kama hujawahi kujiuliza ndio nakujuza Barabara zote Tanzania zinaligi,ispokuwa ligi maarufu Tanzania ni ligi ya Dar Mbeya kwa miaka...
Back
Top Bottom