sauli

Sauli Väinämö Niinistö (Finnish pronunciation: [ˈsɑu̯li ˈʋæi̯næmø ˈniːnistø]; born 24 August 1948) is a Finnish politician who has been serving as the 12th president of Finland since 2012.
A lawyer by education, Niinistö was Chairman of the National Coalition Party from 1994 to 2001, Minister of Justice from 1995 to 1996, Minister of Finance from 1996 to 2003, Deputy Prime Minister from 1995 to 2001 and the National Coalition Party (NCP) candidate in the 2006 presidential election. He served as the speaker of the Parliament of Finland from 2007 to 2011 and has been the honorary president of the European People's Party since 2002.
Niinistö was the NCP candidate in the 2012 presidential election, defeating Pekka Haavisto of the Green League with 62.6% of the vote in the decisive second round. Niinistö assumed office on 1 March 2012, and is the first conservative president since Juho Kusti Paasikivi, who left office in 1956. In May 2017, Niinistö announced that he would seek re-election in the 2018 presidential election, running as an independent candidate. NCP and the Christian Democrat Party supported his candidacy. He won re-election in the first round on 28 January 2018 with 62.7% of the vote and his second term began on 1 February 2018.

View More On Wikipedia.org
  1. THE BEEKEEPER

    Mbeya hatuna hata bus la scania G7 tangia sauli hatoweke tunatia huruma sana hii michina tunapanda basi tu!

    Habari za wakati huu Sisi wanambeya tunapenda sana scania G7 ya mineso sio hii michina ikipiga tuta unahisi uharo. Kwanza michina ukipanda unafika umechoka tofauti na scania G7.
  2. Asante CCM

    Sauli ni mfano wa wamiliki wa mabasi waliofilisiwa na madereva fake

    Biashara ya mabasi ya abiria kwa Dunia ya leo si ya kushadadia ma mbio yasiyo na tija bali ni akili yenye wingi wa ubunifu ndaniye kwa mambo yatakayomvutia abiria taraji. Mfano Sauli ni wazi alifilisiwa na madereva wake kwa kushadadia sifa za kijinga za mwendo kasi hali iliyosababisha mabasi...
  3. THE BEEKEEPER

    The rise of Sauli luxury buses

    Rest in peace mwamba sauli December 2018 Chuma zake za Kwanza Sauli Gemilang DPN na Sauli Benz DPC. Zilionekana Maeneo tofauti Tofauti Ubungo Riverside, Kibaha Na Msamvu Zikielekea Kwao Chunya Kwa Ajili Ya Utambulisho gosti 2019 Sauli Aliongeza Basi lake la Tatu Kutoka Scania Kwa Mara...
  4. Replica

    Nimependa wasifu wa Sauli, umeenda moja kwa moja kwenye maisha

    Jina Kamili: Solomoni Sauli Mwalabhila Kuzaliwa: August 01, 1978 Mahali: Mbeya Elimu Elimu ya Msingi: Shule ya Msingi Chunya kati(1988-1995) Kazi Alijiajiri kuanzia mwaka 1997, alianza kujishughulisha na biashara ya madini na uchimbaji na mabasi makubwa yaendayo mikoani. Familia Alifanikiwa...
  5. mdukuzi

    Kisa cha Marehemu Sauli na Dereva wa lori kilichotokea mwaka 2020

    Ukitaja kufanikiwa kibiashara jitofautishe na wenzako kwa kufanya tofauti lakini bora Mabasi ya Sauli yalijitifautisha kwa kutopoteza muda kizembe barabarani ....TIME MANAGEMENT !!! Solomon Sauli hatunaye amefariki ajalini na ameshazikwa kijijini kwao. Mwamba hakufa kizembe,wake watatu na...
  6. O

    Familia ya Sauli yaeleza miradi watakavyoisimamia, watoto watakavyoishi

    Familia ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomon Mwalabhila imesema kumpoteza mpendwa wao huenda baadhi ya miradi ikayumba hususan ya mabasi huku ikisisitiza imejipanga kusimamia vyema migodi ya dhahabu ili kuwasaidia watoto wake. Mwalabhila maarufu kwa jina la Sauli...
  7. James Hadley Chase

    Mmiliki mabasi ya Sauli afariki ajalini Mlandizi

    Kibaha. Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Sauli, Solomon Mwalavila amefariki dunia kwa ajali ya gari iliyotokea Mlandizi mkoani Pwani. Akizungumza na kwa njia ya simu na Mwananchi Digital leo Agosti 4, 2024 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo amesema Mwalavila amefariki leo baada ya...
  8. M

    Mmiliki wa mabasi ya Sauli afariki Dunia

    AJALI YAMUUA MMILIKI WA MABASI YA SAULI Mmiliki wa mabasi ya Sauli, Solomon Sauli Mwalabila amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Miwaleni, Mlandizi mkoani Pwani majira ya saa kumi na mbili na nusu alfajiri. Mwandishi wetu wa Pwani ameeleza kuwa ajali hiyo ilihusisha magari...
  9. Mjukuu wa kigogo

    Mmiliki wa mabasi ya Sauli afariki Dunia kwa ajari

    Mmiliki wa mabasi ya Sauli,solomoni Sauli amefariki kwa ajari eneo la miwaleni,Mlandizi mkoani Pwani
  10. Uzalendo wa Kitanzania

    TANZIA: MMILIKI WA MABASI YA SAULI ,SAULI SOLOMON MIAKA 40 AFARIKI DUNIA AFARIKI DUNIA

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini MMILIKI WA MABASI YA SAULI AFARIKI DUNIA Mmiliki wa mabasi ya kampuni ya Sauli, Solomon Sauli (40) amefariki dunia leo Agosti 4, 2024 katika ajali ya gari iliyotokea mapema leo eneo la Miwaleni, Mlandizi mkoani Pwani. Kamanda wa Polisi Mkoa...
  11. The Supreme Conqueror

    Tanzia:Mmiliki wa Mabasi ya Sauli afariki kwa ajali Leo.

    Tumepokea taarifa ya ajali ya gari ndogo ambapo mmiliki wa Mabasi ya kampuni ya Sauli Luxury Solomoni Mwalabhila amefariki dunia kwenye ajali hiyo. Tajiri huyo amepata ajali na kupoteza maisha Mlandizi karibu na lilipoungua moja ya basi lake mwaka Jana. Alikua na Watoto na mke . Sauli...
  12. MLIMAWANYOKA

    TANZIA Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia

    Tumepokea taarifa ya ajali ya gari ndogo ambapo mmiliki wa Mabasi ya kampuni ya Sauli Luxury Solomoni Mwalabhila amefariki dunia kwenye ajali hiyo. Tunatoa pole sana kwa Kampuni ya Sauli Luxury. Ajari ya barabarani imeondoka na roho ya mmiliki wa mabasi ya Sauli Luxury siyo mbali sana na...
  13. Erythrocyte

    Sauli Amon (S.H.AMON) abambwa kwa Utapeli wa nyumba Kariakoo

    Mbunge wa Zamani wa ccm huko Rungwe, Sauli Pattaya, amewekwa kitimoto na Waziri wa Ardhi Jerry Silaa kwa utapeli wa wa Nyumba ya Udongo, kuivunja na kujenga jengo la ghorofa 8 kwa kushirikiana na kampuni ya udalali ya Benki Imeamriwa kwamba S H AMON awagawie aliowadhulumu sehemu ya Hisa za...
  14. mwanamwana

    Ligi ya Mabasi ya NewForce na Sauli hatari, kila mmoja anataka kukaa mbele kivyovyote

    Wale wanazi wa ligi ya mabasi haya mnaona mambo, japo ni hatari lakini inaleta burudani.
  15. JanguKamaJangu

    LATRA yawataka Wamiliki mabasi ya Sauli na New Force kujieleza kabla ya kuchukuliwa hatua

    WAMILIKI MABASI YA SAULI NA NEW FORCE WATAKIWA KUJIELEZA KABLA YA KUCHUKULIWA HATUA ZA KIUDHIBITI Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imefanya kikao kilichohusisha Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani na wamiliki wa mabasi ya Sauli na New Force yaliyosababisha ajali ya tarehe...
  16. Bwana Bima

    Bus za Sauli miamba ya Nyanda za Juu Kusini

    Sauli ni kampuni inayomilikiwa na bilionea Mtanzania pande za chunya Mbeya. Hapa kati baadhi ya gari zake muhimu zilipotea ghafla tu akibakiwa na gari nne tu lakini bado anajitahidi. Dereva wake wako makini sana licha ya mwendo wanaotembea. Si rahisi kusikia kampuni hii madereva wakiangusha...
  17. MLIMAWANYOKA

    Kampuni ya mabasi ya sauli wapo juu ya sheria?

    Kwa route ya Mbeya - Dar ni hakika Sauli hana mpinzani mpaka sasa.. Nadhani hii ni kwa sababu ya kuwahi kufika... WAtu wa Mbeya huwaambii kitu na Sauli yao. Soma hapa Leo Nmelazimika kuahirisha safari baada ya kuachwa na bus lao. Safari ya Dar - Mbeya. Ilikuwa hivi.. Saa kumi na moja kamili...
  18. voicer

    Dkt. Bashiru ni Sauli aliyegeuka Mtakatifu Paulo

    Je, Majambazi wakivamia eneo ulipo wewe, na kisha wakati uvamizi ukiendelea akatokea Jambazi mmoja akujuaye binafsi, ambae kumbe ni jirani yako kule mtaani kwako. Ila kwa bahati mbaya mmekutana akiwa kazini ila asiyetaka wewe jirani yake udhurike au kuuawa! Tena Bila hata kujali kwamba kupona...
  19. Suzy Elias

    Ni suala la muda tu ila Sauli na New Force mabasi yanayoelekea Tunduma na Mbeya yatamaliza watu

    Uendeshaji wao ni wa hovyo kabisa na hauzingatii sheria na kanuni za barabarani. Sauli hununua askari wowote wanaokuwepo zamu siku husika katika usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya Mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia. Narudia...
Back
Top Bottom