Sauli Väinämö Niinistö (Finnish pronunciation: [ˈsɑu̯li ˈʋæi̯næmø ˈniːnistø]; born 24 August 1948) is a Finnish politician who has been serving as the 12th president of Finland since 2012.
A lawyer by education, Niinistö was Chairman of the National Coalition Party from 1994 to 2001, Minister of Justice from 1995 to 1996, Minister of Finance from 1996 to 2003, Deputy Prime Minister from 1995 to 2001 and the National Coalition Party (NCP) candidate in the 2006 presidential election. He served as the speaker of the Parliament of Finland from 2007 to 2011 and has been the honorary president of the European People's Party since 2002.
Niinistö was the NCP candidate in the 2012 presidential election, defeating Pekka Haavisto of the Green League with 62.6% of the vote in the decisive second round. Niinistö assumed office on 1 March 2012, and is the first conservative president since Juho Kusti Paasikivi, who left office in 1956. In May 2017, Niinistö announced that he would seek re-election in the 2018 presidential election, running as an independent candidate. NCP and the Christian Democrat Party supported his candidacy. He won re-election in the first round on 28 January 2018 with 62.7% of the vote and his second term began on 1 February 2018.
WAMILIKI MABASI YA SAULI NA NEW FORCE WATAKIWA KUJIELEZA KABLA YA KUCHUKULIWA HATUA ZA KIUDHIBITI
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imefanya kikao kilichohusisha Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani na wamiliki wa mabasi ya Sauli na New Force yaliyosababisha ajali ya tarehe...
Sauli ni kampuni inayomilikiwa na bilionea Mtanzania pande za chunya Mbeya. Hapa kati baadhi ya gari zake muhimu zilipotea ghafla tu akibakiwa na gari nne tu lakini bado anajitahidi.
Dereva wake wako makini sana licha ya mwendo wanaotembea. Si rahisi kusikia kampuni hii madereva wakiangusha...
Kwa route ya Mbeya - Dar ni hakika Sauli hana mpinzani mpaka sasa.. Nadhani hii ni kwa sababu ya kuwahi kufika...
WAtu wa Mbeya huwaambii kitu na Sauli yao.
Soma hapa
Leo Nmelazimika kuahirisha safari baada ya kuachwa na bus lao. Safari ya Dar - Mbeya.
Ilikuwa hivi.. Saa kumi na moja kamili...
Je, Majambazi wakivamia eneo ulipo wewe, na kisha wakati uvamizi ukiendelea akatokea Jambazi mmoja akujuaye binafsi, ambae kumbe ni jirani yako kule mtaani kwako.
Ila kwa bahati mbaya mmekutana akiwa kazini ila asiyetaka wewe jirani yake udhurike au kuuawa!
Tena Bila hata kujali kwamba kupona...
Uendeshaji wao ni wa hovyo kabisa na hauzingatii sheria na kanuni za barabarani.
Sauli hununua askari wowote wanaokuwepo zamu siku husika katika usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya Mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia.
Narudia...
Mabasi ya Sauli yanayofanya safari zake kuelekea mikoa ya Nyanda za juu Kusini hakika yalijipambanua ni ya uhakika na salama.
Ajabu kwa siku za hivi karibuni ndiyo mabasi yanayoongoza kwa ajali za ovyo ovyo zinazosababishwa na uzembe wa madereva.
Mliopo karibu na mmiliki wa mabasi ya Sauli...
Nimepita sasa hivi eneo hilo nimeona Sauli imegongana na Lori, Sauli imesukumizwa mtaroni hadi ikapanda kingo ya mtaro.
Sijajua kama kuna majeruhi na idadi yake.
Inaonekana walishindwa kupishana Sauli akaamua kupita upande wa kushoto mwa Lori likiwa linaelekea Mashariki hapo ndipo...
#KIBAHA: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, akimuhoji Dereva wa Basi la Sauli Luxury Namba T418 DWF litokalo Mbeya kuelekea jijini Dar es Salaam, kwa kuvunja sheria za usalama barabarani, leo Jumatano Agosti 4, 2021, Saa 2:17 Usiku, Mjini Kibaha, Mkoani Pwani.
Cc Bujibuji
Miaka nenda rudi Njia ya Dar es Salaam - Mbeya ndio imekuwa njia ambayo ni gumzo kwa mabasi yake kwenda mbio.
Umbali wa safari ni zaidi ya kilometre 800, na njia imekuwa ikipita kwenye Milima mikali, kona kali, mbuga ya wanyama, hali ngumu ya hewa Ikiwa ni Pamela na uwepo wa ukungu mzito na...
Mzukaaaaaa!!!!
Guys it's been so loooooong time since my last thread on due course!!!let's go
Umewahi kujiuliza kuwa kunaweza kuwa na ligi ya mabus Tanzania? Kama hujawahi kujiuliza ndio nakujuza
Barabara zote Tanzania zinaligi,ispokuwa ligi maarufu Tanzania ni ligi ya Dar Mbeya kwa miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.