nmb

NMB Bank Nepal is a commercial bank in Nepal with headquarters in Kathmandu. The bank is licensed by central bank of Nepal, the Nepal Rastra Bank and has 163 branches across the nation providing retail and commercial banking services.
Recently, it acquired Om Development Bank.
The bank's shares are publicly traded in the Nepal Stock Exchange. The Bank has a joint venture agreement with Netherlands Development Finance Company (FMO) a Dutch development bank which holds 17% of the bank's shares and is the largest shareholder of the Bank.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kwanini Benki ya NMB Tawi la Chamwino wanatumia Mhudumu (TELLER) mmoja tu wakati madirisha yapo mawili?

    Kwa muda mrefu sasa benki ya NMB tawi la Chamwino dirisha linalotumika kutoa huduma ni moja tu wakati kuna madirisha mawili ila moja halina mhudumu kwa muda mrefu sasa. Hali hii inasababisha usumbufu kwa wateja na kutumia muda mrefu kupata huduma muda ambao tunaweza kutumia kufanya shughuli...
  2. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Safari ya kununua hisa za NMB inaanzia hapa. Ml 87 stake, liwalo na liwe!

    Habari, NMB ni mojawapo ya bank Bora Tanzania. Ni bank inayofanya vizuri sokoni...... Nilikuwa na Malengo ya kununua tokea kitambo ila bei ilikuwa un-affordable kwa pesa kidogokidogo kwa hisa moja ilifika 10,000+. Sasa nimepewa mkopo kazini wenye riba ya 2% p.a kwa 5years ambayo ni ml 50...
  3. TIB RASILIMALI

    JamiiForums Tanzania Ratiba ya Magawio DSE 2026: NMB, Twiga Cement, DSE, Swissport na Mkombozi Bank

    Unawekeza kwenye Soko la Hisa la Dar es Salaam, DSE? Hii hapa ndiyo ratiba ya magawio yanayotarajiwa kulipwa kwa wanahisa wa kampuni zilizoorodheshwa DSE. 24 Juni 2026 • NMB Bank: TZS 610.15 kwa kila hisa 30 Juni 2026 • Twiga Cement: TZS 300 kwa kila hisa • DSE: TZS 69 kwa kila hisa, gawio la...
  4. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Kama ulisikia kuwa NMB wanatoa mkono wa pole kwa mteja akifariki basi ulidanganywa!

    Nadhani hizi stori sio ngeni kwetu! Mbaya zaidi hata baadhi ya staff wa NMB hawajui uhalisia wa jambo hili!! Hebu angalia hiki kisa changu! Mwaka huu mwezi wa pili nilifiwa na baba Yangu mzazi.. Na huyu mzee alikuwa mteja wa NMB tuseme kuanzia anaajiriwa akiwa kijana hadi akastaafu zaidi ya...
  5. Planet Data bundles

    JamiiForums Tanzania KERO Unakopa milioni 10 unarudisha milioni 40! NMB Mungu anawaona

    Nilikua naangalia mkopo wa nyumba hapa wa miaka 25.Nimeshtuka hiki kiasi cha 16% ambacho ni milion 30. Nimeishiwa pozi kabisa
  6. kimara Kimara

    JamiiForums Tanzania Inachukua muda gani kupata mkopo wa biashara kwenye benki kubwa NMB, CRDB & NBC

    Habari wananzengo, Naomba kuuliza Je ni Muda gani Mtu anapewa mkopo kama amekidhi vigezo vyote vya kukopesheka, ie ana dhamana, ana biashara iliosajiliwa, Bank statement zake ziko vizuri ?? Naomba kujua
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO NMB, kwanini mtumie saa 24 kushughulikia muamala ambao HAUJAKAMILIKA?

    Nilikuwa natoa hela bila card (PESA FASTA) kwenye ATM ya NMB DODOMA leo, baada ya kumaliza kutoa kwenye simu nikawa nasubiria meseji ya namba ya siri ili iniwezeshe kutoa kwa kwenye ATM lakini nilisubiria kwa zaidi ya dakika 15 lakini sikupata Meseji. Nikawapigia huduma kwa wateja wakaniambia...
  8. P

    JamiiForums Tanzania Kwaheri NMB

    Bank gani kila mara changamoto? Leo NMB mobile siku nzima hakuna mtandao. Na si mara ya kwanza. Mimi binafsi ninechoka, nitahamisha mshahara wangu bank inayojielewa, maafisa utumisha watake wasitake. Haiwezekani hii bank iwe na inconvenience kila mara. Huduma kwanza hovyoo. Back to NBC. Very...
  9. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Je inawezekana kubadilisha namba niliyounganisha na NMB Acc. Ilhali hiyo laini nilishaipoteza na aliyenisajilia yupo mbali na nilipo?

    Habari za muda huu kama kichwa cha habari kinavyojieleza Je! Naweza kuunganisha namba mpya ninayoitumia kwenye NMB kwa sababu namba ya simu niliyounganisha mwanzoni wakati nafungua Account haipo yaani ilishapotea na aliyenisajilia yupo mbali na nilipo
  10. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Naomba niulize kuhusu makato ya akaunti za biashara NMB

    Nina akaunti ya biashara NMB. Jana nimedownload statement yangu imesoma kama unavyo ona hapa chini: Ni kipi kinasababisha Monthly Fee ya kila mwezi itofautiane? Kilichofanya nilete mada hii hapa ni baada ya kuona nimekatwa Monthly fees Jumla ≈ TZS 227,780.85 na hiyo imefanyika ndani ya siku...
  11. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Senior Credit Data Scientist at NMB Bank February 2026

    Senior Credit Data Scientist (1 Position(s)) Job Location: Head Office, Hq Job Purpose: To provide competent and reliable support on credit related projects including system development / implementation / enhancements and automation, new credit product designing, Credit Bureau (CRB) services...
  12. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Prof. Shemdoe azungumza na NMB kuhusu uboreshaji mchakato wa utoaji wa mikopo ya Asilimia 10

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(OWM- TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe amekutana na uwakilishi wa Benki ya NMB na kujadili namna wanavyoweza kufanya maboresho katika mchakato wa kutoa fedha za mikopo ya asilimia 10 kwa vikundi kupitia taasisi hiyo ya...
  13. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania NMB wajanja sana, naona wanamu kandia CRDB kidizaini katika hili tangazo

    Kumbuka crdb huwa inatambulika na rangi ya kijani😁
  14. S

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu Wakala NMB

    Nimeweka hela kwa wakala nmb, mtandao ukaonyesha uko chini, akanirudishia hela nikasepa, baada ya lisaa napata sms NMB hela imeingia, wakala hatufahamiani, baadae ananipigia anasema ameangalia statement hela imetoka anataka nimrudishie kwa kumtumia maana niko mbali. Naogopa naweza kumtumia...
  15. S

    JamiiForums Tanzania NMB kuchaji zaidi ya shilingi 5,000 kwa huduma ya Bank Statement ni sahihi?

    Haya mabenki wadau ni tatizo. Yaani nimecheki balance nikakuta hela yangu imefyekwa ikabidi nichukue/nicheki statement fupi kupitia App ya NMB na kukuta nimekatwa shilingi 5, 000 na kitu kama gharama ya Bank statement. Inasomeka: Bank statement enquiry commission fee Je, hii ni haki? Au...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania 12 Jobs at NMB Bank Plc Still Open – January 2026

    NMB Bank Plc is one of Tanzania’s leading financial institutions, mandated to provide inclusive, innovative, and sustainable banking solutions across retail, SME, corporate, agribusiness, and digital banking segments. Through its nationwide footprint and diversified portfolio, the Bank plays a...
  17. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Joheri waziri wa vijana nijibu mikopo ya asilimia 10% kwa vijana na Akina mama kwa Nini inapitia NMB kwa Nini hisianzishwe Benk ya Ushirika ya vijana?

    Nina ungana Na mchaka mchaka unao ukimbia dhidi ya vijana wa Tanzania, nikutie moyo TU umepewa wizara nzuri sana ambayo uliutumia vizuri unaweza kumsaidia MH Raisi kuliongoza vizuri taifa Ili. Au ukiamua kutumia nafasi hii for your own future paspective hakika utatiboa ilimradi utende haki...
  18. G

    JamiiForums Tanzania Jana Nilikuwa NMB kwakweli mtandao wao ni mzito sana nimeamua kutoa Hela zangu zote niweke akiba zingine

    Watu wanalalamika sana kuhusu uzito wa kutoa huduma Kama mifumo imeshavamiwa watoe taarifa mapema Pia nashauri BOT wasidharau sana maneno ya vijana , waanze kutafuta backup system . TAhadhari ni muhimu
  19. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Relationship Manager; Asset Financing at NMB Bank October 2025

    Relationship Manager; Asset Financing (1 Position(s)) Job Location : Dar Es Salaam Zone, Mandela Road Job Purpose: Grow both Liabilities (Deposits) and Assets (Loans) from Small and Medium Enterprises (SMEs) and Commercial clients for Asset financing business, advising Agri retail department...
  20. kiss ov love

    JamiiForums Tanzania Haya makato NMB mbona sijayaelewa

    Guys, last week niliuza vipande UTT kiasi cha 300k taslimu, sasa hadi kufika kwenye akaunti yako ya benki inachukua siku 3 za kazi. So, ikawa imefika leo chakushangaza hela imeingia leo hii, mida ya jioni nimeangalia kwenye akaunti yangu ya NMB nakuta ipo 289, 571 nimeshangaa hiyo elfu 10 na...
Back
Top Bottom