Ni Ni's Treehouse is a preschool television series and was produced jointly by The Itsy Bitsy Entertainment Company and GMTV. It was originally aired on TLC and GMTV from 2000 until 2003.
Kwenye kikao unasimama na kuhoji usalama wa fedha za chama kisha unamnyooshea kidole moja kwa moja Heche kuwa anapiga pesa za chama.
Kwa kifupi ni kwamba huna imani na Heche. Baadae unapata uungwaji mkono kutoka kwa wenzio, yani kama script iliyokuwa imeandaliwa tayari.
Okay sawa, uhenda nia...
Hapa Tanzania naona kila idara zimeoza na zinajiendesha kwa uwezo wa CCM wanavyotaka.
Mtu unakamatwa na hapo polisi hawana upelelezi walio nao,ukipelekwa mahakamani na bado upelelezi ujakamilika.
Kuna wale jamaa huwa wanapenda kutusema sana sisi wana wa kamtungilei, lakini maisha yao kila kukicha ya jana yanakuwa na afadhali kuliko ya leo....kuna jamaa yangu mwingine huwa anapenda kunisema kuhusu mambo ya mtungilei alijichanganya akaenda kuchukua mkopo wa laki nne kwenye taasisi za...
Yanga ni Bingwa tena. Lakini sioni kama watu wana furaha. Watu hawana furaha. Wana unyonge na wamepoa sana.
Sielewi tatizo ni nini ndugu zanguni wana Jangwani. Kuna nini hakipo sawa? Hebu tufurahieni tuwaoneshe hawa Mikia kuwa kombe tunalo na tunatamba nalo. Tuacheni unyonge.
Ni kama...
Hali ya upatikanaji wa sukari kwa hapa Dar es Salaam imekuwa mbaya kwa sasa, ni maduka machahe sana inapatikana na ukifanikiwa kuipata basi kama ulikuwa hujui inauzwa kati ya tsh 138,000 hadi 145,000 kwa mfuko wa kg 50 kutoka bei ya awali ya 120,000 ndani ya wiki moja tu, je bodi ya sukari ina...
1. Hospital
2. Jela
3. Makaburini
Hospitalini utajua afya ni utajiri mkubwa.
Jela utajua umuhimu wa uhuru
Makaburini utathamini umuhimu wa maisha.
Kuwa mtulivu!
Eneo la Sinza C, hususan karibu na Chuo cha Sheria, ni miongoni mwa maeneo yanayokumbwa na changamoto kubwa ya upatikanaji wa maji.
Wananchi wanalalamikia ukosefu wa maji wa mara kwa mara, huku wakieleza kuwa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) haijatoa maelezo ya...
IVF (In Vitro Fertilization) ni njia ya kitabibu ya kusaidia kupata mtoto kwa kurutubisha yai na mbegu za kiume nje ya mwili wa mwanamke, katika maabara, kisha kiinitete (embryo) kinachopatikana hupandikizwa kwenye mfuko wa uzazi.
Ni wazo ila ni kweli nazalia nyingi kama sinema na vitabu zinasema miaka ya huko mbele kwa vizazi vingine kutakuwa utawala ambao ni AI .
Na unaweza kuwa na vita kubwa kati ya wanadamu na robot ambao mkuu wao ni AI.
kuna vitabu vilitabili kama cha Darwin among the Machines cha mwaka 1863...
Fetish inamaana gani?
Neno "Fetish" (kwa Kiswahili wakati mwingine huitwa Fetihi) katika muktadha wa mapenzi na mahusiano lina maana ya kuvutiwa kingono na kitu, tabia, au sehemu fulani ya mwili ambayo kikawaida haichukuliwi kama kiungo kikuu cha uzazi au sehemu ya tendo la ndoa.
Mtu mwenye...
UKOMAVU NI MTAZAMO WA AKILI, SI UMRI.
HIZI HAPA DALILI ZA MTU ALIYEKOMAA!
• Haogopi kuwa peke yake.
• Anatambua kuwa pesa siyo mbaya, ubaya ni kukosa pesa.
• Anajua kuwa Nafsi inaweza kuwa adui yako mkubwa au msaidizi wako mkubwa.
• Anagundua maisha huwa mazuri zaidi pale watu wasipojua...
Salama.
Jamani sasa hivi kwenye miji iliyochangamka mabinti kujitunza imekua uongo kabisa .
U can't imagine mabinti wadogo mtoto ana mzaa mtoto ,watoto wadogo wa kike wanakunywa pombe kali ni kama akili imestuck ,wanavuta Sitara na shisha sasa najiuliza ! Mtoto anamleaje ? Will she be a good...
Hivi wakuu hili suala lipo aje vijana normal wadogo pressure zinawapata Cha ajabu wengine wanatumia medication kabisa.
Karibu tuchangie mada kikaangoni.
Kuna haya maneno yaliyotumiwa ya "watoto watovu wa adabu kuchapwa mikwaju" yaliyotamkwa na mtawala mhalifu hivi karibuni.
Ni nini maana ya maneno hayo hasa. Tuchukulie kwa maana ya "kuchapa mikwaju", literally, au kuna maana halisi inayofahamika, na ambayo mifano mingi imeonekana!
Watoto...
Tabasamu ni nini? 😊
Tabasamu mara nyingi huonekana kama ishara ya furaha
Kuna wakati mtu hutabasamu kutokana na jambo zuri alilofanyiwa labda mguso wenye upendo, busu tamu la hisia kuona mazingira mazuri au kitu kinachovutia na kuleta amani moyoni
Lakini si kila tabasamu lina maana ya furaha😊...
Nimekuwa nikijiuliza sana hili swali. Hivi upendo ni nini? au upendo unatoka wapi? mtu akipendwa anahisije? '
Maana sisi ni nyama, damu na maji, kwanini mtu akiumizwa kwenye mahusiano yoyote anaumia na wakati hajaguswa? kwanini kuna wivu?
Kwanini mtu akimpenda mtu mwingine anakuwa na wivu? No...
Je, hisia ni nini?
Mara nyingi utasikia mtu akisema baada ya jambo kutokea
Nilihisi tu itakuwa hivi au
Kabla hii issue haijatokea, nilihisi kuna kitu hakipo sawa
Maneno haya hujitokeza mara nyingi baada ya tukio husika kutokea
Je, hisia ndizo zinazoitwa machale?
Wengine husema :Machale...
Kifo ni nini hasa? Na kimeumbwa na nani?
Mara nyingi tunasikia wakisema “kifo ni haki ya kila mtu , lakini je, hilo lina maana gani kwa uhalisia?
Kwa mfano, mtu akijaribu kujiua na akanusurika, huchukuliwa hatua kali hata kufungwa.
Why? Wakati inaonekana kama alikuwa anafuata hiyo “
haki ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.