Thủ Dầu Một (listen) is the capital city of Bình Dương province, Vietnam, located at around 10°58′0″N 106°39′0″E. The city has an area of 118.66 km², with a population of 417,000 (as of 2018), and is located 20 km north of downtown Ho Chi Minh City (Saigon), on the left bank of the Saigon River, upstream from the city.
Utangulizi
Kuna wako wanaomtazama Dr. Dau kama ''Lecturer'' Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.
Kuna wengine wanamtazama Dr. Dau kama Mkurugenzi wa Masoko Tanzania Ports Authority (TPA) na wengine wanamtazama kama Mkurugenzi Mkuu wa NSSF.
Wako wanaomtazama Dr. Dau kwa kujenga daraja maarufu la...
Kwa Yanga na Simba kila timu hapo ina sponsorships deals zenye kuingiza takribani bilioni 5 kila mwaka
Kombe la Ligi kuu bingwa anapewa milioni 500 lakini hio bado ni pesa ndogo, Malengo huwa ni kuvuta mpunga wa kimataifa, msimu wa mwaka jana pekee Simba kakunga bilioni 2 kasoro caf na bilioni...
Kundi B la Simba,
-JKU hadi sasa inaongoza ligi kuu ya Zanzibar na imewahi kushinda makombe ya ligi kuu
-APR tangu 2020 imechukua makombe manne mfululizo ligi kuu ya Rwanda
-Singida FG ni timu ya nne kwa ubora kwenye ligi kuu ya Tanzania Bara
Kundi A
Vital’o
Azam FC
Chipukizi United
Mlandege...
Mwenye taarifa zitakazosaidia kukamatwa kwa hawa magaidi yenye mlengo wa kiislamu, atapewa hela ndefu sana
Police have offered at least Shs40million for information leading to the arrest of two alleged fugitive militants belonging to the Islamist rebel group Allied Democratic Forces (ADF)...
Polisi mkoani Morogoro inamshikilia mwanamke anayetuhumiwa kula njama na kushiriki kumuua mumewe ili akaolewe na mwanaume mwingine kwa madai ya kutangaza dau kwa atakayetekeleza mauaji hayo kwa nia ya kupata uhuru wa kutimiza malengo yake ya kuolewa.
Chanzo: Azam TV
JESHI la Polisi Mkoa wa...
Ni vijana wa chuoni waliofunga vyuo na kwa sasa tupo nao,
Wapo wanaosoma computer engineering, computer science, IT, ICT , n.k
Ni vijana ambao mdomoni wapo vema sana kwa kujaa misamiati ila kwa vitendo ni sifuri.
Wengine wameweka picha za wale hackers waliovaa ma pull over sura hazionekani...
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Dk. Ramadhan Dau kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB).
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dares Salaam jana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Hassan Abbasi, alisema Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohammed Mchengerwa...
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Zuberi Homera ametangaza dau la milioni tano kwa yeyote atakaye fanikisha kupatikana kwa mwanafuunzi wa kidato cha tano Esther Noah Mwanyilu wa shule ya Sekondari ya Pandahill aliyetoweka shuleni Mei 18/2023
Kauli hiyo imekuja siku moja baada ya waziri Mkuu Kasimu...
Mpira ni taasisi yenye lugha yake, taratibu zake na sheria zake. Mpira ndio taasisi inayoruhusu mtu kuuzwa kwa mkataba fulani wa muda fulani kwa kiasi fulani. Hii inafanyika kwakuwa:
1. kila timu inataka wachezaji wazuri kuliko timu pinzani.
2. Wachezaji wazuri sio wengi sana kwenye jamii...
Wana JF salaam. Naombeni msaada tafadhali kwa yeyote mwenye uwezo na uwelewa ili kuipata Macbook Air yangu ambayo iliibiwa nyumbani Dar es Salaam mwishoni wa mwezi Aprili 2023. Bahati mbaya, sikufanya icloud “Find My” settings ili niweze ku track hii Macbook.
Macbook Air ina serial number...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameamua kuongeza fedha za motisha kwa timu za Simba na Yanga kutoka shilingi Milioni 5 hadi Shilingi Milioni 10 endapo timu hizo zitafuzu kucheza nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika na Kombe la Shirikisho Barani Afrika...
FUTARI NA FUTURU NA BALOZI DR. RAMADHANI DAU NA YANGA KIDS WATOTO WADOGO WALIONG’ARISHA SOKA LA TANZANIA MIAKA YA 1970
Kuna mshairi alikuwa anatunga shairi na mwanzo wa ubeti akajiuliza, ‘’Wapi ninaanza kueleza historia hii?’’
Akaendelea kuandika, ‘’Wapi ninaanza kueleza historia hii, historia...
Lema aliibua hoja ya msingi sana ambayo wahuni wameifunika katika propaganda nyepesi kwamba alisema kazi ya bodaboda ni laana.
Hilo ni kwa mtazamo wake, lakini kwa upande wangu mimi siwezi kuiita laana maana inalisha familia za watu, kusomesha na kujenga, ni ajira kama ajira nyingine...
Na Brian Cooksey, PhD
Kwa Ufupi
Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) nchini Tanzania umelaumiwa kwa utendaji mbovu wa mradi wa Dege EcoVillage. Mradi huo, ambao uliachwa miaka saba iliyopita, ulitarajiwa kuwa ushirikiano kati ya NSSF na kampuni binafsi ya Azimio Housing Estate Limited...
By Brian Cooksey, PhD
Summary
The National Social Security Fund (NSSF) in Tanzania is accused of squandering pension contributions by its contributors through various corrupt practices. The disposal of the abandoned Dege EcoVillage project is the latest instance of this. The fund's management is...
Wamekuwa wakitoa ahadi za hadi 30M iwapo Prisons itaifunga Simba. Bado nasubiri ahadi ya dau nono iwapo Tanzania Prisons wataifunga Yanga leo katika ASFC
Uzi
Sheikh Jassim bin Hamad Al Thani wa Qatar na Sir Jim Ratcliffe wa Uingereza ndio wawekezaji walioweka dau rasmi kwa lengo la kuichukua klabu kutoka kwa wamiliki wa sasa Familia ya Glazer ambao wamekuwa wamiliki tangu Mwaka 2005.
Wote wawili kila mmoja kwa upande wake amejinasibu kuwa nia yao ni...
Mpango wa Idara ya Nchi ya Marekani wa Tuzo kwa Haki (RFJ), ambao unasimamiwa na Huduma ya Usalama wa Kidiplomasia, unatoa zawadi ya hadi dola milioni 10 kwa habari zitakazowezesha kukamatwa au kuhukumiwa katika nchi yoyote kwa Mohamoud Abdi Aden na mtu mwingine yeyote ambaye alitenda, kujaribu...
Wanawake siwaelewi. Huyu analia shida kuwa maisha magumu, na anamlalamkia mpenzi wake kuwa ni bahiri, lakini nikitangaza dau anipe penzi anakataa kuwa yeye siyo malaya.
Nimetangaza dau la laki tatu na afya tunapima.
Kupitia taarifa ya Mpango wa Tuzo za Uhalifu wa Kivita, Marekani imewahimiza wananchi kutoa taarifa muhimu zitakazowezesha kukamatwa kwa Kony anayesakwa kwa zaidi ya miaka 15.
Joseph Kony na wanamgambo wake wanatuhumiwa kuwateka nyara watoto na kuwatumia kama wapiganaji na watumwa wa kingono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.