Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema itakuwa kosa kubwa sana Rais wa FIFA, Gianni Infantino akiondolewa madarakani, na kwamba huenda michuano ya Kombe la Dunia haitofanikiwa iwapo ataondolewa.
Kumekuwa na shinikizo la kumtaka Infantino aondolewe kufuatia kukwama kwa mpango wake wa kuvutia...
Agosti 5, 2026, Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limeomba radhi kutokana na makosa yaliyofanywa katika mchakato wa pendekezo lililoondolewa la kuuza haki za kibiashara zinazohusiana na Kombe la Dunia. Wakati huohuo, viongozi wa shirikisho hilo wamethibitisha tena kumuunga mkono rais wake...
Rais wa FIFA Gianni Infantino amewaita viongozi wakuu wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kwenye mkutano nchini Morocco siku ya Jumatano, tarehe 5 agosti, kufuatia siku nyingine ambapo rais wa shirikisho hilo amekabiliwa na ukosoaji mkali kuhusu mpango wake uliositishwa wa kuuza hisa za...
Serikali dhalimu inawakamata viongozi na wanachama wetu na kuwabambikizia kwa makusudi na kwa uongo kesi mbaya isiyo na dhamana ya ugaidi.
Sisi tunahoji, mnajua madhara ya kusema kuna ugaidi kwenye Nchi?
Kiuchumi kwa maana ya wawekezaji wenye mitaji mikubwa,
Utalii na wageni wanaokuja Nchini...
Afisa Mkuu wa Uendeshaji (COO) wa FIFA, Kevin Lamour, ametoa taarifa kali akisema kuwa wafanyakazi wa FIFA "walidanganywa" kuhusu mpango wa kuuza hisa za mashindano ya FIFA (ikiwemo Kombe la Dunia) kwa wawekezaji binafsi. Alieleza kuwa huu ni "mradi wa mtu mmoja"—akimjumuisha Infantino bila...
Shirikisho la soka duniania FIFA limesema "hakuna anayeuza soka", lakini mpango wa rais wake Gianni Infantino wa kuruhusu wawekezaji kununua hisa katika biashara za mashindano ya FIFA umeibua upinzani mkubwa.
-
UEFA imetishia kususia Kombe la Dunia ikiwa mpango huo utaidhinishwa, huku Concacaf...
Mattias Grafström amekuwa mshirika wa karibu sana na mtu wa kuaminika wa Gianni Infantino kwa miaka mingi ndani ya FIFA, akihudumu kama Mkuu wa Wafanyakazi kabla ya kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu.
Kuna madai kuwa Katibu Mkuu wa FIFA, Mattias Grafström, anapanga njama za kumuondoa madarakani Rais wa...
Nchi zote 55 wanachama wa UEFA zimepiga kura kwa kauli moja kuunga mkono mgomo wa kususia Kombe la Dunia, ikiwa ni hatua ya kupinga mpango wa FIFA wa kuuza hisa za mashindano yake kwa wawekezaji binafsi, kwa mujibu wa taarifa kutoka BBC Sport.
Hivi karibuni, Rais wa FIFA Gianni Infantino...
Mpango wa FIFA wa kuuza sehemu ya umiliki katika kampuni mpya ya kibiashara yenye thamani ya dola bilioni 20 umezua mjadala mkubwa kuhusu uendeshaji na uwajibikaji katika soka duniani.
Pendekezo hilo linaeleza kuwa FIFA itaunda kampuni mpya itakayokuwa ikisimamia Kombe la Dunia na mashindano...
afcon
afcon 2027
caf
chadema
dalili
evarist chahali
fifa
gani
hii
iko
jasusi
kushindwa
kuu
kwao
maana
msigwa
peter msigwa
political
poor
salama
samia
strategy
ugaidi
ujumbe
wanajua
wenzake
Uganda’s celebrated dance troupe, Triplets Ghetto Kids, has reached a historic milestone, performing alongside international superstars Shakira and Burna Boy in the official FIFA World Cup 2026 anthem, “Dai Dai.”
Their electrifying performance during the tournament’s halftime show has...
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeanzisha mauzo ya vipande vya nyasi halisi vitakavyotumika kwenye mechi ya fainali ya Kombe la Dunia 2026, hatua iliyozua mjadala mkubwa miongoni mwa mashabiki wa soka duniani.
FIFA inauza kila kipande cha nyasi kwa dola za Marekani 450 (zaidi...
Kenya imeandika historia tena! . The Junior Starlets have secured qualification to the FIFA U17 Women's World Cup for the second consecutive time after defeating South Africa 3-1 at a packed Nyayo National Stadium on Sunday.
Licha ya South Africa kufunga mapema kupitia Katlebo Malehana, the...
Ila FIFA kwahiyo migogoro ya kisiasa ndio unahalisha ubaguzi wa kimechezo kama huu tena toka miaka 1980...
======
Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) limepiga marufuku waamuzi wa kimataifa kutoka nchini England, Anthony Taylor na Michael Oliver, kuchezesha mchezo wowote unaoihusu timu ya...
Binadamu tu viumbe wa wababaifu sana na tuliyojaa unafiki uliopitiliza..
Leo hii kuna watu wanailalamikia Chama Tawala na Tume yake Huru ya Uchaguzi, kwa kile ambacho kiuhalisia kilikuwa dhahiri shairi machoni pa wote wenye kuona na kufahamu jema na baya..
Lakini katika hao watu wanaulalamikia...
Tunachokijua
Claim.
A viral image circulating on social media by Numan Khan on Instagram claims to show FIFA President Gianni Infantino wearing an Argentina national team jersey while dining with FIFA referees, as Donald Trump watches from the background beneath a FIFA World Cup 2026 banner...
Katika hali ya kushangaza, Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) limempa ruhusa mshambuliaji Folarin Balogun kucheza mechi dhidi ya Ubelgiji. Licha ya kadi nyekundu aliyopewa awali, FIFA imetumia mamlaka yake chini ya Kifungu cha 27 kubadilisha adhabu hiyo kuwa “kifungo cha nje” (suspended...
Mods msiunganishe huu Uzi hili ni muhimu.
Huu sio utabiri ndo kitakachotokea.
Fainali wataingia France na England ila England atabeba ubingwa wa Fifa World Cup 2026.
Zile drama za kitoto tumezoea michezoni hazipo tena. Watu kujitia kuumia, kipa kuleta mbwembwe na mambo ya kuchelewa kurusha mipira hatujayaona WC hii. Sema wameokoa muda kisha wakaongeza mapumziko yao ya maji wapige hela!!
Hizi sheria zije huku Afrika. zitatusaidia sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.