Rais wa Shirikisho la Soka la Ulaya (UEFA), Aleksander Čeferin, amesema hatagombea urais wa Shirikisho la Soka la Duniani (FIFA) dhidi ya rais wa sasa, Gianni Infantino, lakini amemtaka Kiongozi huyo wa soka kujiuzulu.
Infantino anakabiliwa na shinikizo la kuondoka madarakani kufuatia mpango...