fifa

  1. Lycaon pictus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FIFA wamejitahidi kudhibiti upotevu wa muda. Wachezaji wamebadilika sana.

    Zile drama za kitoto tumezoea michezoni hazipo tena. Watu kujitia kuumia, kipa kuleta mbwembwe na mambo ya kuchelewa kurusha mipira hatujayaona WC hii. Sema wameokoa muda kisha wakaongeza mapumziko yao ya maji wapige hela!! Hizi sheria zije huku Afrika. zitatusaidia sana.
  2. D

    JamiiForums Tanzania Fifa world cup 2026

    Wakuu natafuta channel ,app au site ya kuangalia world cup online kwenye simu 🙏🙏🙏🙏🙏
  3. Waufukweni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni Msanii gani wa Tanzania anapaswa kupewa Mkataba wa wimbo wa FIFA World Cup ijao?

    Wakuu Baada ya kuangalia perfomance ya The Mother na Malkia wa Majukwaa ya Kombe la Dunia 'Shakira', The African Giant 'Burna Boy', Tyla kwenye ufunguzi wa michuano hiyo mikubwa ulimwenguni, unadhani ni Msanii gani wa Tanzania anapaswa kupewa Mkataba wa wimbo wa FIFA World Cup ijao?
  4. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Drug Cartels and the FIFA World Cup in Mexico: Separating Reality from Security Risks

    There’s no real “role” of drug cartels in the World Cup—officially or in football at all. What people usually mean when they ask this is something more indirect and uncomfortable: how organized crime can influence the environment around big events in Mexico, not the tournament itself. During...
  5. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tiketi 180,000 za Kombe la Dunia zadoda kutokana na ukubwa wa bei

    Shirikisho la Mpira Duniani (FIFA) bado lina takriban viti 180,000 ambavyo havijauzwa katika miji inayoandaa michuano hiyo Marekani, Canada, na Mexico. Hali hii inazua hofu mpya kwamba viwanja vinaweza kubaki vitupu, jambo ambalo linaweza kuharibu taswira ya michuano hii mikubwa kabisa ya soka...
  6. SankaraBoukaka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wekundu wa Msimbazi Point Zenu 3 Hizi Hapa FIFA Dhidi Ya Utopolo

    Subject: Formal Complaint – Atletico de Utopolo’s Violation of FIFA Regulations To: Fédération Internationale de Football Association (FIFA) From: Chief Executive Officer, Wekundu wa Msimbazi Date: May 4, 2026 1. Introduction Dear FIFA Disciplinary Committee, On May 3, 2026, at 18:00...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FIFA imeidhinisha mgao wa Tsh. Trilioni 1.9, kiwango kikubwa zaidi kuwahi kutolewa katika historia ya mashindano hayo

    FIFA World Cup 2026 imeidhinisha mgawanyo wa fedha wa dola milioni 727 (Tsh. Trilioni 1.9) kwa ajili ya mashindano hayo, ambao ni mkubwa zaidi katika historia ya michuano hiyo. Kati ya kiasi hicho, dola milioni 655 zitatolewa kama zawadi kwa timu 48 zitakazoshiriki, ikiwa ni ongezeko la...
  8. Richard

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Iran yaomba ruhusa FIFA kuhamishia timu yake ya taifa Mexico baada ya kugundulika wachezaji, makocha na maofisa wote wamepitia mafunzo IRGC.

    Ijumaa ilopita Iran wamezungumza na shirikisho la kandanda Duniani FIFA kuomba kuhamisha timu yake ta taifa ya kandanda na maofisa wote wanoandamana na timu hiyo nchini Mexico, baada ya kukikiri kuwa wachezaji karibu wote wamepitia mafunzo maalum kutoka jeshi maalum la mapinduzi la Iran maarufu...
  9. upupu255

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania SI KWELI FIFA wameshindwa kuvumilia wamem'post' Chama, Goli limewachanganya

  10. uran

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    🏆 FIFA World Cup 2026 Finals Uzi Maalum. 2026 FIFA World Cup itakuwa toleo la kihistoria la Kombe la Dunia kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa mashindano. 🌍 Waandaaji Mashindano yataandaliwa kwa pamoja na: United States Canada Mexico Hii ni mara ya kwanza World Cup kuandaliwa na...
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Football Kenya Federation Yatikiswa! FIFA Wafuatilia Sakata ya Kusimamishwa kwa Hussein Mohammed

    Sakata ndani ya soka la Kenya imechukua turn kali baada ya Rais wa FKF, Hussein Mohammed, kusimamishwa kazi kufuatia allegations za financial misconduct zinazohusiana na CHAN 2025. Hii issue sasa imevuka mipaka baada ya FIFA kuingia kati kufuatilia kama due process ilifuatwa. Kwa mujibu wa...
  12. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais wa FIFA: Nimeonana na Iran, itashiriki Mechi za Kombe la Dunia 2026 zilizoandaliwa Marekani licha ya vita

    Akizungumza katika jukwaa la CNBC la Invest in America, Infantino, Aprili 15, 2026, alisema ni muhimu kwa Iran kushiriki michuano hiyo hata kama ushiriki wake umekuwa na mashaka tangu Marekani na Israel zilipoanzisha mashambulizi ya anga nchini humo. "Timu ya Iran inakuja bila shaka, ndiyo,"...
  13. loose Nut

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini FIFA inawanyima uwana chama Zanzibar na Catalonia

    Licha ya Zanzibar (Tanzania) na Catalonia (Uhispania) kuomba sana uwana chama FIFA zimekataliwa kabisa. Cha kushangaza FIFA imewapa membership Nothern Ireland, Wales, Scotland (UK), Greenland na Faroe Islands (Denmark), Taiwan na Macau (China), New Caledonian, Tahiti (France), Guam, American...
  14. Dalton elijah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania SI KWELI Raisi wa FIFA Ametoa Masaa 72 Uongozi wa CAF kujiuzulu

    kumekuwepo na chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii ya facebook likiwa na nukuu ya kuwa rasis wa fifa gian infantinho ameta masa 72 kwa uongozi wa caf kujiuzulu Katika chapisho hilo ambalo limesambazwa kwenye mtandao huwa facebook lia nukuu ya ujumbe kama ufuatavyo” BREAKING NEWS...
  15. Lycaon pictus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FIFA wataifungia USA kwa kuivamia Iran kama walivyoifungia Russia kwa kuivamia Ukraine?

    Tutarajie lolote kutoka FIFA? Kwanza kwa nini waliiban Russia na wanadai hawajihusishi na siasa?
  16. Da Dona

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda Eyes FIFA World Cup Bid - What does it cost to host the tournament?

    Kampala, Friday,27.February- appearing before Parliament’s Public Accounts Committee while discussing the December 2025 Auditor General’s report, Kedrace Turyagenda, Permanent Secretary at the Ministry of Education and Sports, revealed that Uganda is already thinking ahead. " we are already...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Eng. Hersi ateuliwa na FIFA kufundisha mfumo wa mabadiliko ya klabu Doha, Qatar

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani [FIFA], Limemchagua Rais wa Klabu ya Yanga SC na Mwenyekiti wa Umoja wa vilabu Afrika [ACA], Eng. Hersi Said kuwa miongoni mwa Wataalam watakaofundisha kwenye Kongamano kubwa la Mpira litakalofanyika Doha, Qatar, siku ya kesho, Desemba 14,2025. Eng. Hersi...
  18. stakehigh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais wa FIFA anashambuliwa sana mda huu, mashabiki wa timu za Afrika wamepigwa komeo kuingia Marekani

    Mwaka ujao kutakua na kombe la dunia na watu wengi mtandaoni wapo kwenye sintofaham ya kuingia marekan, mpaka sasa raisi hajatoa kauli yoyote lakini hali sio nzuri
  19. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya, Tanzania kufuzu kwa raundi inayofuata ya mchujo wa kufuzu kwa Kombe la Dunia la FIFA la Wanawake U-20

    Luanda, Angola Septemba 28, 2025 Tanzania imesonga mbele kwa jumla ya mabao 7-0 dhidi ya Angola. Baada ya kushinda 4-0 katika mechi ya kwanza, Tanzania ilipata ushindi wa 3-0 katika mechi iliyochezwa Jumamosi mjini Luanda. Winfrida Hurbert Gerald, Asha Omary Ramadhani na Neema Paul Kinega...
  20. tonicimmobility

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FIFA kufuta magoli yanayofungwa kupitia mpira unaotemwa na kipa

    Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) linatafakari kufanya mabadiliko makubwa katika sheria ya upigaji penalti kwa kuondoa mabao yanayofungwa kupitia mpira unaotemwa na kipa. Katika mapendekezo hayo, mchezaji atakuwa na nafasi moja pekee ya kufunga; endapo atakosa, mchezo utaendelea kwa kipa...
Back
Top Bottom