fifa

  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania FIFA kuuza vipande vya nyasi za uwanja wa fainali ya Kombe la Dunia 2026

    Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeanzisha mauzo ya vipande vya nyasi halisi vitakavyotumika kwenye mechi ya fainali ya Kombe la Dunia 2026, hatua iliyozua mjadala mkubwa miongoni mwa mashabiki wa soka duniani. FIFA inauza kila kipande cha nyasi kwa dola za Marekani 450 (zaidi...
  2. O

    JamiiForums Kenya Junior Starlets Qualify for FIFA U17 World Cup Again After Stunning South Africa 3-1.

    Kenya imeandika historia tena! . The Junior Starlets have secured qualification to the FIFA U17 Women's World Cup for the second consecutive time after defeating South Africa 3-1 at a packed Nyayo National Stadium on Sunday. Licha ya South Africa kufunga mapema kupitia Katlebo Malehana, the...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania FIFA yazuia waamuzi wa kimataifa kutoka nchini England, Anthony Taylor na Michael Oliver kuchezesha mechi za Argentina

    Ila FIFA kwahiyo migogoro ya kisiasa ndio unahalisha ubaguzi wa kimechezo kama huu tena toka miaka 1980... ====== Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) limepiga marufuku waamuzi wa kimataifa kutoka nchini England, Anthony Taylor na Michael Oliver, kuchezesha mchezo wowote unaoihusu timu ya...
  4. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania Mtu mmoja huyu huyu anayekubali maamuzi ya VAR kwa Messi ndo anayekataa maamuzi ya VAR ya Uchaguzi kwa CCM

    Binadamu tu viumbe wa wababaifu sana na tuliyojaa unafiki uliopitiliza.. Leo hii kuna watu wanailalamikia Chama Tawala na Tume yake Huru ya Uchaguzi, kwa kile ambacho kiuhalisia kilikuwa dhahiri shairi machoni pa wote wenye kuona na kufahamu jema na baya.. Lakini katika hao watu wanaulalamikia...
  5. Da Dona

    JamiiForums Tanzania FALSE Viral Image Does show Infantino Dining With FIFA Referees?

    Tunachokijua Claim. A viral image circulating on social media by Numan Khan on Instagram claims to show FIFA President Gianni Infantino wearing an Argentina national team jersey while dining with FIFA referees, as Donald Trump watches from the background beneath a FIFA World Cup 2026 banner...
  6. Labani og

    JamiiForums Tanzania FiFA wafuta red card baada ya Simu ya Trump

    Katika hali ya kushangaza, Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) limempa ruhusa mshambuliaji Folarin Balogun kucheza mechi dhidi ya Ubelgiji. Licha ya kadi nyekundu aliyopewa awali, FIFA imetumia mamlaka yake chini ya Kifungu cha 27 kubadilisha adhabu hiyo kuwa “kifungo cha nje” (suspended...
  7. Malaika wa Misukosuko

    JamiiForums Tanzania 4 July 2026 Cape verde atamfunga Argentina na kumtoa, ila Fainali wataingia France na England na Bingwa wa Fifa World Cup 2026 atakuwa England

    Mods msiunganishe huu Uzi hili ni muhimu. Huu sio utabiri ndo kitakachotokea. Fainali wataingia France na England ila England atabeba ubingwa wa Fifa World Cup 2026.
  8. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania FIFA wamejitahidi kudhibiti upotevu wa muda. Wachezaji wamebadilika sana.

    Zile drama za kitoto tumezoea michezoni hazipo tena. Watu kujitia kuumia, kipa kuleta mbwembwe na mambo ya kuchelewa kurusha mipira hatujayaona WC hii. Sema wameokoa muda kisha wakaongeza mapumziko yao ya maji wapige hela!! Hizi sheria zije huku Afrika. zitatusaidia sana.
  9. D

    JamiiForums Tanzania Fifa world cup 2026

    Wakuu natafuta channel ,app au site ya kuangalia world cup online kwenye simu 🙏🙏🙏🙏🙏
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Ni Msanii gani wa Tanzania anapaswa kupewa Mkataba wa wimbo wa FIFA World Cup ijao?

    Wakuu Baada ya kuangalia perfomance ya The Mother na Malkia wa Majukwaa ya Kombe la Dunia 'Shakira', The African Giant 'Burna Boy', Tyla kwenye ufunguzi wa michuano hiyo mikubwa ulimwenguni, unadhani ni Msanii gani wa Tanzania anapaswa kupewa Mkataba wa wimbo wa FIFA World Cup ijao?
  11. K

    JamiiForums Tanzania Drug Cartels and the FIFA World Cup in Mexico: Separating Reality from Security Risks

    There’s no real “role” of drug cartels in the World Cup—officially or in football at all. What people usually mean when they ask this is something more indirect and uncomfortable: how organized crime can influence the environment around big events in Mexico, not the tournament itself. During...
  12. W

    JamiiForums Tanzania Tiketi 180,000 za Kombe la Dunia zadoda kutokana na ukubwa wa bei

    Shirikisho la Mpira Duniani (FIFA) bado lina takriban viti 180,000 ambavyo havijauzwa katika miji inayoandaa michuano hiyo Marekani, Canada, na Mexico. Hali hii inazua hofu mpya kwamba viwanja vinaweza kubaki vitupu, jambo ambalo linaweza kuharibu taswira ya michuano hii mikubwa kabisa ya soka...
  13. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania Wekundu wa Msimbazi Point Zenu 3 Hizi Hapa FIFA Dhidi Ya Utopolo

    Subject: Formal Complaint – Atletico de Utopolo’s Violation of FIFA Regulations To: Fédération Internationale de Football Association (FIFA) From: Chief Executive Officer, Wekundu wa Msimbazi Date: May 4, 2026 1. Introduction Dear FIFA Disciplinary Committee, On May 3, 2026, at 18:00...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania FIFA imeidhinisha mgao wa Tsh. Trilioni 1.9, kiwango kikubwa zaidi kuwahi kutolewa katika historia ya mashindano hayo

    FIFA World Cup 2026 imeidhinisha mgawanyo wa fedha wa dola milioni 727 (Tsh. Trilioni 1.9) kwa ajili ya mashindano hayo, ambao ni mkubwa zaidi katika historia ya michuano hiyo. Kati ya kiasi hicho, dola milioni 655 zitatolewa kama zawadi kwa timu 48 zitakazoshiriki, ikiwa ni ongezeko la...
  15. Richard

    JamiiForums Tanzania Iran yaomba ruhusa FIFA kuhamishia timu yake ya taifa Mexico baada ya kugundulika wachezaji, makocha na maofisa wote wamepitia mafunzo IRGC.

    Ijumaa ilopita Iran wamezungumza na shirikisho la kandanda Duniani FIFA kuomba kuhamisha timu yake ta taifa ya kandanda na maofisa wote wanoandamana na timu hiyo nchini Mexico, baada ya kukikiri kuwa wachezaji karibu wote wamepitia mafunzo maalum kutoka jeshi maalum la mapinduzi la Iran maarufu...
  16. upupu255

    JamiiForums Tanzania SI KWELI FIFA wameshindwa kuvumilia wamem'post' Chama, Goli limewachanganya

  17. uran

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    🏆 FIFA World Cup 2026 Finals Uzi Maalum. 2026 FIFA World Cup itakuwa toleo la kihistoria la Kombe la Dunia kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa mashindano. 🌍 Waandaaji Mashindano yataandaliwa kwa pamoja na: United States Canada Mexico Hii ni mara ya kwanza World Cup kuandaliwa na...
  18. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Football Kenya Federation Yatikiswa! FIFA Wafuatilia Sakata ya Kusimamishwa kwa Hussein Mohammed

    Sakata ndani ya soka la Kenya imechukua turn kali baada ya Rais wa FKF, Hussein Mohammed, kusimamishwa kazi kufuatia allegations za financial misconduct zinazohusiana na CHAN 2025. Hii issue sasa imevuka mipaka baada ya FIFA kuingia kati kufuatilia kama due process ilifuatwa. Kwa mujibu wa...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Rais wa FIFA: Nimeonana na Iran, itashiriki Mechi za Kombe la Dunia 2026 zilizoandaliwa Marekani licha ya vita

    Akizungumza katika jukwaa la CNBC la Invest in America, Infantino, Aprili 15, 2026, alisema ni muhimu kwa Iran kushiriki michuano hiyo hata kama ushiriki wake umekuwa na mashaka tangu Marekani na Israel zilipoanzisha mashambulizi ya anga nchini humo. "Timu ya Iran inakuja bila shaka, ndiyo,"...
  20. loose Nut

    JamiiForums Tanzania Kwanini FIFA inawanyima uwana chama Zanzibar na Catalonia

    Licha ya Zanzibar (Tanzania) na Catalonia (Uhispania) kuomba sana uwana chama FIFA zimekataliwa kabisa. Cha kushangaza FIFA imewapa membership Nothern Ireland, Wales, Scotland (UK), Greenland na Faroe Islands (Denmark), Taiwan na Macau (China), New Caledonian, Tahiti (France), Guam, American...
Back
Top Bottom