magaidi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Hata mimi ningekuwa serikali ningewaita magaidi wenye mipango miovu kwa Nchi

    Sheikh Saidi Mwaipopo akizungumza na waandishi wa habari Agosti 03, 2026. Amekemea mipango miovu inayopangwa na baadhi ya watu kutekeleza miundombinu ya nchi, vitisho dhidi yake pamoja na tabia ambazo amezitambua kama ugaidi. "Gaidi wazungu wanamuita terrorist terrorist ni tishio unatishia watu...
  2. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Hatimaye magaidi wa Hamas was Ali I Amri kwa Israel!!!

    Katika taarifa, Hamas ilithibitisha kuwa inakubaliana na Awamu ya 2 ya mfumo wa kusitisha mapigano, lakini inasisitiza kuwa itaacha tu silaha zake nzito - ikimaanisha roketi, ATGM n.k. - baada ya Israeli kujiondoa kabisa kutoka Gaza, kuanzishwa kwa taifa huru la Palestina, ujenzi mpya, na...
  3. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa PIJ waangamizwa huko Gaza

    Jana , IDF ilishambulia katika eneo la Khan Yunis kusini mwa Gaza na kumuangamiza gaidi Muhammad Khalil Muhammad Aslam, kamanda wa kikosi cha Nukhba katika shirika la kigaidi la Palesyin Islamic Jihad( PIJ.) Wakati wa mauaji ya Oktoba 7, Aslam aliongoza kikundi cha kigaidi kilichoshiriki katika...
  4. figganigga

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kueni Makini Mikutano ijayo,wekezeni kwenye Ulinzi na Drone

    Mikutano ilizuiwa kwamba anchi haikuwa Shwari. Punde si punde wakairuhusu. Kuruhusiwa Mikutano, wanaolengwa na CHADEMA. Haitakuwa mara ya kwanza CCM kurusha bomu kwenye Mikutano ya CHADEMA. Hivyo wekezeni kwenye Ulinzi na Drone. CCM wana roho mbaya sana...
  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania Ni kisema kuwa raisi ni kilaza mtasema sisi ni magaidi.

    kuna mada hapa naona JF wana kwepa history ya huyu mama mpaka history yake. JF upenda kulifanya jambo kuwa kama chapati na supu maana mengi tumeona na mlipata matatizo na wengine walipata pesa wafanyakazi wenu. kitakacho endelea hapa tanganyika msifute ili kesho muonekane ndio mlikuwa vyanzo...
  6. Richard

    JamiiForums Tanzania Marekani yapanga kufanya mashambulizi dhidi ya magaidi wa JINM nchini Mali

    Bwana Sebastian Gorku akizungumza na waandishi wa habari. Raisi Donald Trump amekuwa akishauriana na watu mbalimbali ndani ya utawalal wake nai pia kufikiria ombi la nchi ya Mali kusaidiwa kuondoa magaidi wa JNIM ambao wana mahusiano na kundi la Al Qaeda. JINM ambao kirefu chake ni Jama’at...
  7. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas wapata pigo tena!!

    ⚠️picha⚠️ Magaidi 2 waliuawa katika shambulio lililolenga gari la magaidi kwenye mlango wa al-Zahra, kaskazini magharibi mwa kambi ya Nuseirat katikati mwa Gaza. Magaidi wa Hamas wanazidi kupukutishwa tuwaombee tu!! Tena, ndege ya upelelezi ililenga eneo karibu na Makutano ya al-Samer katika...
  8. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Nchimbi wanaharakati tunakushukuru siyo yule alituita sisi ni magaidi, Asante kwa kumtaja Maria Sarungi

    Aman iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Nchimbi anadai kuwa anawaheshimu Wana harakati kwa uwezo wao wa kujenga hoja Amkumbuka dada yangu maria sarungi Asante Sana sisi ni wapigania Khaki sisi siyo magaidi LONDON BOY
  9. Fbn

    JamiiForums Tanzania Tanzania ndio nchi ya kwanza wapinzani kuwa magaidi

    Sijui wanaelewaa neno ugaidi na hatari za kisiasa. Leo nilitaka kueleza maana input politics na out politics achana na diplomatic. Kwa mambo yanayofanywa ndani ya siasa za CCM zinaweza kuifanya out politics kuwa tuna vilaza kuanzia sheria,wataalamu wa serikali idara zote. Kuna jambo...
  10. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas waangamizwa huko Gaza!!!

    Majeshi hodari ya Israel Jana yaliendeleza wimbo la kuwaangamiza magaidi wa Hamas huko Gaza safari hii wameangamizwa magaidi 16 waliokuwa tishio kwa majeshi ya Israel
  11. R

    JamiiForums Tanzania From the Chief Conforter: Nilitegemea reconciliatory tone, kumbe wapinzani, wanaharakati ni Magaidi? The worst is still to come

    Kwa hali tuliyonayo na international outlook on us, wenye akili timamu tulitegemea kupata hakikisho kuwa maridhiano yako njiani. Kwa kauli ya kuwaita wapinzania na wanaharakati magaidi, tujiandae kwa mauti makubwa mbele yetu! Yaliyotokea 29.10.2025 ni cha mtoto kwa tone kama hii ya kuwaita...
  12. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Hii video sio ya wagonjwa wakiletwa hospital bali ni mateka waliokuwa chini ya magaidi wa fulani kwa siku 67. Waliteswa, kubakwa na kushindishwa njaa

    Watekwa wakiwa kanisani na pastor wao aliuliwa huku wao wakichukuliwa mateka.
  13. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Hawa ndo magaidi

    Waliomteka Humphrey Polepole. Waliombambikia Tundu Lissu kesi ya kizushi. Watu wasiojulikana. Walioua Watanzania Oktoba 29. Wanaokiuka katiba na kuiita ‘kijitabu’. Wanaodai kuwa mauaji ya Oktoba 29 ni kazi ya kutukuka. Shehe Mwaipopo. Samia Suluhu.
  14. K

    JamiiForums Tanzania Kutoka Maridhiano hadi Vitisho vya Ugaidi: Tunalaani upotoshaji wa Rais Samia wa kubatiza Wapigania Haki jina la 'Magaidi'

    Wana-JamiiForums, Leo tarehe 9 Julai 2026, tumeshuhudia kile kinachoitwa 'Tamko la Pamoja la Maridhiano' kati ya CCM na ACT-Wazalendo huko Zanzibar. Wakati viongozi wakitabasamu mbele ya kamera, hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan imeacha maswali mazito na simanzi kubwa kwa mtu yeyote...
  15. figganigga

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu akisingiziwa na kushitakiwa kwa kufadhili Magaidi wa kuua Wakristo, nani atamtetea?

    Wote tunajua Marekani jinsi ilivyo mstari wa mbele kupambana nna Magaidi pale wanapojitokeza Nchi yoyote. Kwa yanayoendelea Nchini Tanzania, hivi Samia Suluhu akishitakiwa kwa kufadhili Magaidi, na Vikosi vya kuua Wakristo, nani atamtetea? Sasa hivi kwenye Misikiti Watu wanafundishwa Judo...
  16. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hezbollah wanapukutishwa kama nzige huko Lebanon na Majeshi ya Israel!!!

    Picha inayoeleza ukweli wa "ushindi" wa Majeshi ya Israel kwa kuua mamia ya magaidi wa Hezbollah angalia hapo- malori yaliyobeba Mizoga ya magaidi wa Hezbollah kwenda kuizika. Hii ni kazi nzuri ya IDF. Jeshi la Israeli linatetea nchi pekee ya Kiyahudi iliyowahi kuwa na itakayowahi kuwa. Kazi...
  17. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Ni muhimu sana kuyakabili na kuyadhibiti watu wabaya wanaopanga kujificha kwenye maandamano haramu siku zijazo

    Napendekeza pasiwepo na huruma, aibu wala kumuonea haya yeyote yule atakae thubutu au kujitia kimbelembele kujaribu kuvuruga amani au kutatiza shughuli za uzalishaji za waTanzania kote nchini. Natoa wito kwa wanausalama mahiri kote nchini, kutomchekea muandamanaji haramu yeyote yule kote...
  18. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Magaidi Jama’at Nusrat al-Islam wal Muslimin wenye uhusiano na Al- Qaeda, wametangaza zawadi ya mabilioni kwa atakae toa taarifa ya alipo rais wa Mali

    Taarifa ya kundi hilo la kigaidi la JNIM limekuja siku moja tu, baada ya serikali ya Mali, kutangaza zawadi ya mamilioni ya pesa kwa yeyote mwenye taarifa kuhusu watu walioishambulia serikali, miundombinu na raia. Kobaz once again...
  19. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Kumbe refa wa kisomalia alikuwa na connections na magaidi

  20. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Pamoja na Tishio la Iran kwa Israel isiipige Hezboullah magaidi hao wanapigika tu!!

    Baada ya Iran kuishambulia Israel usoku kuamkia leo na IDF kujibu mapigo sawasawa Iran imebwaga manyanya kwa kutangaza haitaishambulia tena Israel kama Israel nayo haitawashambulia magaidi hao!! Ombi hilo la Iran limekataliwa kwa vitendo ambavyo Israel imeendelea kuwashambulia Hezbollah ndani...
Back
Top Bottom