magaidi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. figganigga

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu akisingiziwa na kushitakiwa kwa kufadhili Magaidi wa kuua Wakristo, nani atamtetea?

    Wote tunajua Marekani jinsi ilivyo mstari wa mbele kupambana nna Magaidi pale wanapojitokeza Nchi yoyote. Kwa yanayoendelea Nchini Tanzania, hivi Samia Suluhu akishitakiwa kwa kufadhili Magaidi, na Vikosi vya kuua Wakristo, nani atamtetea? Sasa hivi kwenye Misikiti Watu wanafundishwa Judo...
  2. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Magaidi wa Houth kutoka Yemen washambuliwa na ndege-vita za Israel!!!

    Magaidi wa Houth leo ilikuwa siku yao kupokea kipondo kutoka majeshi hodari ya Israel.
  3. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hezbollah wanapukutishwa kama nzige huko Lebanon na Majeshi ya Israel!!!

    Picha inayoeleza ukweli wa "ushindi" wa Majeshi ya Israel kwa kuua mamia ya magaidi wa Hezbollah angalia hapo- malori yaliyobeba Mizoga ya magaidi wa Hezbollah kwenda kuizika. Hii ni kazi nzuri ya IDF. Jeshi la Israeli linatetea nchi pekee ya Kiyahudi iliyowahi kuwa na itakayowahi kuwa. Kazi...
  4. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Ni muhimu sana kuyakabili na kuyadhibiti watu wabaya wanaopanga kujificha kwenye maandamano haramu siku zijazo

    Napendekeza pasiwepo na huruma, aibu wala kumuonea haya yeyote yule atakae thubutu au kujitia kimbelembele kujaribu kuvuruga amani au kutatiza shughuli za uzalishaji za waTanzania kote nchini. Natoa wito kwa wanausalama mahiri kote nchini, kutomchekea muandamanaji haramu yeyote yule kote...
  5. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Magaidi Jama’at Nusrat al-Islam wal Muslimin wenye uhusiano na Al- Qaeda, wametangaza zawadi ya mabilioni kwa atakae toa taarifa ya alipo rais wa Mali

    Taarifa ya kundi hilo la kigaidi la JNIM limekuja siku moja tu, baada ya serikali ya Mali, kutangaza zawadi ya mamilioni ya pesa kwa yeyote mwenye taarifa kuhusu watu walioishambulia serikali, miundombinu na raia. Kobaz once again...
  6. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Kumbe refa wa kisomalia alikuwa na connections na magaidi

  7. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pamoja na Tishio la Iran kwa Israel isiipige Hezboullah magaidi hao wanapigika tu!!

    Baada ya Iran kuishambulia Israel usoku kuamkia leo na IDF kujibu mapigo sawasawa Iran imebwaga manyanya kwa kutangaza haitaishambulia tena Israel kama Israel nayo haitawashambulia magaidi hao!! Ombi hilo la Iran limekataliwa kwa vitendo ambavyo Israel imeendelea kuwashambulia Hezbollah ndani...
  8. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kundi la Hezbollah ladaiwa kuanza mashambulizi dhidi ya kambi za jeshi la Israel baada ya Iran kusitisha mapigano

    Ripoti mbalimbali za kimataifa zimedai kuwa ndani ya muda mfupi baada ya kusitishwa kwa mapigano kati ya Iran na Israel, kundi la Hezbollah lilianzisha mashambulizi dhidi ya malengo ya kijeshi ya Israel, hatua iliyoongeza hofu ya kuendelea kwa mvutano katika eneo la Mashariki ya Kati. Kwa...
  9. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Magaidi wa Houth waingia vitani rasmi na Israel

    Msemaji wa Houthi wa Yemen, Yahya Saree: Tunatangaza marufuku kamili na kamili ya urambazaji wa baharini wa Israeli katika Bahari Nyekundu, na tunaona harakati zote za adui kuwa malengo halali ya kijeshi kwa Vikosi vyetu vya Jeshi kuanzia wakati taarifa hii tutaanza kuishambulia israel.
  10. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tishio la Iran lagonga Mwamba IDF yaendelea na kipondo kwa Magaidi wa Hezbollah huko Lebanon

    Tangu mwendo wa saa 10 asubuhi ya leo, Israel ilishambulia Hezbollah kusini mwa Lebanon kama ifuatavyo: ● Mashambulizi ya angani ya ndege za kivita au ndege zisizo na rubani: Al-Mansouri, Deir al-Zahrani, Choukin, Haris, Kafra, Srifa, Kfar Tebnit, Nabatieh al-Fawqa, Tebnine, Jebchit, Doueir...
  11. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Zaidi ya Magaidi 600 wa Hezbollah waangamizwa na Israel huko Lebanon-Kusini!!!

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amesema Jumatatu kuwa Israel itaongeza nguvu ya mashambulizi yake nchini Lebanon ili “kuisambaratisha” Hezbollah. Katika ujumbe wa video uliorekodiwa, Netanyahu amesema kuwa Israel ipo vitani dhidi ya Hezbollah na kwamba katika wiki za hivi karibuni...
  12. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania IDF bado inawapelekea moto makali magaidi wa Hezbollah huko Lebanon!!!

    Magaidi wa Hezbollah bado wanapata kipondo ki Takatifu kutoka majeshi hodari ya Israel!!!
  13. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpango wa Amani na Iran huenda Israel ikasimama Kivyake

    Baada ya Trump kutangaza kuwa wako karibu kufikia Muafaka na Magaidi ya Serikali ya Mapinduzi ya Iran, Israel kuna uwezekano mkubwa wakashindwa kukubaliana na makubaliano dhaifu yanayokwenda kutiwa saini na Trump na magaidi hao wa Iran. Mpaka asubuhi hii hakuna tamko rasmi kutoka serikali ya...
  14. H

    JamiiForums Tanzania Jumbe Kutekwa na Genge la Wazanzibari, Wamarekani Walikuwa Sahihi Kuogopa Zanzibar Ikiachwa Itakuwa Nyumba Ya Magaidi

    Kiongozi mmoja ambaye sasa ni hayati, ambaye alikuwa na nafasi kubwa wakati wa utawala wa Nyerere, ambaye ndiye aliongoza timu ya kukamilisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar, miaka michache kabla ya kufa kwake, alisema kuwa kinachoitwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar, haukuwa muungano...
  15. Financial Analyst

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mashambulizi ya pamoja kati ya majeshi ya Nigeria na United States yameua wapiganaji 175 wa kundi la Islamic State

    Mashambulizi ya pamoja kati ya majeshi ya Nigeria na United States yameua wapiganaji 175 wa kundi la Islamic State, kwa mujibu wa taarifa ya majeshi ya nchi hizo iliyotolewa Jumanne. Mashambulizi hayo ya anga yaliyofanyika katika siku chache zilizopita kaskazini mashariki mwa Nigeria, pia...
  16. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waziri wa Usalama wa Israel Itamar Ben Gvir awakaribisha Magaidi wa Flotilla Sumud Israel!!

    Itamar Ben Gvir alisababisha malalamiko ya kimataifa baada ya kuchapisha video inayoonyesha akiwadhihaki wanaharakati wa meli za Gaza zilizokuwa zimefungwa katika bandari ya Ashdod. Katika kipande hicho, Ben Gvir anapeperusha bendera ya Israeli huku wanaharakati wakipiga magoti chini huku...
  17. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas wakijipanga upya kuivamia Israel ikiwatumia watoto zaidi!!

    Baada ya magaidi wa Hamas kushindwa vibaya kwenye uvamizi wao wa Oct 07,2023 sasa magaidi hao wanajiandaa upya kwa Oct 7 nyingine!! Safari hii inawatoa kafara vijana na watoto wadogo ili wakafe SHAHIDI wakiaminishwa wataenda kukabidhiwa Mabikira 72 wawabikiri na kuwa huko watakuta Mito yenye...
  18. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania IDF yaanza kuwashughulikia Magaidi wa "Global Sumud Flotilla"

    Israeli imeanza kuizuia meli ya Magaidi wa kiislamu ya "Global Sumud Flotilla" inayoongozwa na Uturuki iliyoondoka Uturuki kuelekea Ukanda wa Gaza mnamo Mei 14, huku vikosi vya majini vya Israeli vikipanda meli. Msafara huo ulikuwa na boti 54 zilizokuwa zimebeba wanaharakati wapatao 500...
  19. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo ni Jerusalem day!!

    Yerusalemu ni zaidi ya mji. Ni moyo wa Wayahudi, mahali ambapo historia, imani, na utambulisho hukusanyika pamoja katika vizazi vyote. Leo tunaadhimisha Siku ya Yerusalemu na miaka 59 tangu kuunganishwa tena kwa mji mkuu wa milele wa Israeli. Kuanzia mawe ya kale ya Jiji la Kale hadi sauti...
  20. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mizoga ya Magaidi wa Hezboullah imezagaa kwenye fukwe za bahari huko Lebanon-Kusini.

    Nyaraka kutoka ufukweni kusini mwa Lebanon zinaonyesha mizoga ya magaidi wa Hezbollah waliouawa katika siku za hivi karibuni na sasa zinaozeana na kukaushwa na jua la jangwani tu. Magaidi wa Hezbollah waliyataka wao wenyewe kwa kujipendekeza kwa Bwana wao Iran!!
Back
Top Bottom