Hili gaidi la kiislamu limeamua kufunguka yote baada ya kukamatwa....
Pressed how long the rape lasted, Islamic Jihad terrorist Manar Mahmoud Muhammad Qasem said around 60-90 seconds.
The IDF on Thursday put out a video of a Unit 504 interrogation of an Islamic Jihad terrorist named Manar...
Raia wa Urusi wamenunua kwa fujo kisu kilichomkata sikio Gaidi la Ukraine na Marekani..
Russia 🇷🇺🚨‼️ The model that was used to cut the ear, was instantly sold out.
“Not in stock” all shops say.
Limetetemeka kweli kweli na kufunguka yote, sijawahi kuelewa mawazo ya hawa watu na haya maugaidi ya kwenye dini yao....................
This is the moment the gunmen suspected of carrying out an attack on a concert hall in Moscow are arrested by Russian authorities.
Videos shared online...
Magaidi yaliyokamatwa lazima yapata cha moto na show kali kali hadi hili liliamua kujitoa uhai likawahi mabikira....
Hamas Nukhba terrorist who took part in the October 7 massacre attempted to end his own life in an Israeli prison, Israeli media reported on Thursday afternoon.
The terrorist...
Stakabadhi zilizokutwa kwenye laptop zaonysha hawa waandishi wa Aljazeera ambao ni magaidi wa dini, yaani mimi siku hizi huwa sitazami chochote cha Aljezeera, mimi huwaona kama wote magaidi wa dini, ukishajiunga kwenye uzombi wa ile dini yaani wewe na ugaidi mnakua kama pete na chanda...
Tena analiongelesha kwa ukali, safi sana mama, haya mazombi ya kidini ukiyaonyesha uwoga ndio kama unayalea.....
Defiant Israeli hostage stares down Hamas terrorist during release
Sehemu ya Tano
Kimya kilitawala ndani ya meli kila mmoja alikuwa Bize na lake, Clara alikuwa bize kwenye usukani, wale manjemba watatu walikuwa bize na simu zao, mimi nilikuwa nimekaa pembeni ya Clara huku nikiwa nimeinamisha kichwa chini kama kobe nikitunga sheria😞 nitumie mbinu gani ili...
SIKUJUA KICHAA ANAELALA NJE YA JENGO LANGU NI MPELELEZI ANAEMTAFUTA GAIDI WA KIZUNGU NILIYEMUOA BILA MIMI KUJUA NI GAIDI😳🔥
Sehemu ya Kwanza ( 1 )
***************
KILA Mtu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ilikuwa takribani siku nne zimekatika tangu nianze kumuona mwanaume kichaa nje ya jumba langu akiwa...
Sehemu ya Pili
Wakati nataka kurudisha kile kibeki chakavu cha yule kichaa chumbani kwake baada ya kugundua sio kichaa bali ni usalama wa taifa tena la Marekani na pia kibegi kile kilikuwa na nyaraka muhimu ambazo hazitakiwi kuonwa na raia yeyote isipokuwa yeye tu, kwa bahati mbaya ile...
Wanaukumbi.
Takriban watu 22 wameuawa kwa kupigwa risasi huko Lewiston, Maine na watu 50-60 kujeruhiwa katika maeneo mawili tofauti: uchochoro wa mpira wa miguu na baa.
Robert Card, askari wa akiba mwenye umri wa miaka 40 na mwalimu wa silaha kutoka Bowdoin, ametajwa na polisi kama 'mtu wa...
Mji wa Gaza unarekodiwa masaa 24, kwenye mida ya 18:59 live footage ilionyesha Hamas wameanza kurusha Makombora kuelekea Israel lakini moja ya kombora likapata hitilafu (misfire) likadondoka kwa kishindo kwenye Hospitali ya Al-Mamamani na kusababisha mlipuko, Baada ya dakika 11 (19:10) Hamas...
Wakuu habari za wakati na poleni kwa majukumu kwa ujumla.
Nina stori naleta kwenu na hichi ni Kisa cha kweli kuwahi kunitokea mimi katika maisha yangu, basi niaze nakusema maisha yana mengi sana wakuu.
Miaka ile ya 2000's nikiwa bado shule nilifika mahali nikawa nimekwama mahitaji ya kujikimu...
Mataifa mengine bana, fulu mzuka wa watu kujilipua mabomu na kumimina risasi, yaani gaidi limewehuka kuingia ubalozi na kuanza kuua watu.....
DUBAI, United Arab Emirates — A gunman stormed the Azerbaijan Embassy in Iran’s capital Friday, killing its security chief and wounding two guards in an...
Mpango wa Idara ya Nchi ya Marekani wa Tuzo kwa Haki (RFJ), ambao unasimamiwa na Huduma ya Usalama wa Kidiplomasia, unatoa zawadi ya hadi dola milioni 10 kwa habari zitakazowezesha kukamatwa au kuhukumiwa katika nchi yoyote kwa Mohamoud Abdi Aden na mtu mwingine yeyote ambaye alitenda, kujaribu...
Ukrainian man arrested for bomb plot – FSB
An agent of Kiev’s special services sought to blow up power lines in Crimea, Russia’s security service has claimed
Gaidi la kijerumani lenye mrengo wa neo-fascism limeshambulia shule moja nchini Urusi na kuua watu si chini ya 13 wakiwemo watoto 7. Waliojeruhiwa ni watu wazima 14 na watoto 7.
Gaidi hilo la kijerumani lenye umri wa miaka 25 limetiwa nguvuni na tayari limefunguliwa kesi.
Kwa mujibu wa...
Baada ya rais wa Ukraine kutembelea maeneo yaliyokombolewa na kukuta makaburi ya haraiki amependekeza viongozi wa dunia wamuorodhese rais wa Urusi katika orodha ya magaidi na wanaofadhiri ugaidi
Soma hapa
Tortured, shot, killed’: Zelensky accuses Russia of genocide after Izyum mass grave...
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?
Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?
Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi...
Hivi ndivyo Mwananchi walivyoeleza kwenye tovuti yao jioni hii .
Hoja hiyo iliwasilishwa mbele ya Rais na Shehe Mkuu (BAKWATA) Mufti Aboubakar Zuberi
=======
VIONGOZI WA DINI: BUSARA ITUMIKE KUMALIZA KESI YA MBOWE
Viongozi hao wameomba Mamlaka husika kutumia busara na kuangalia namna ya...
Hapa kila kitu amekiweka wazi kuwa wanaChadema tuwe watu wa kufuata misingi ya kweli na kuzingatia sheria.
Hakuna chombo cha kumtia mtu hatiani zaidi ya mahakama. Tuache ngonjera na mbwembe zisizo na mashiko.
Tuheshimu mahakama. Tuache mahashtag na matweets yasiyo na maana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.