gaidi

Dhullu Gaidi is a village development committee in Baglung District in the Dhaulagiri Zone of central Nepal.

View More On Wikipedia.org
  1. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Heko mkoloni kwa kutomuona mwanaharakati mwl. Nyerere ni gaidi.

    Busara zenu na uungwana wenu ndio uliotuwezesha kupata uhuru, nyie mlimuona ni mwanaharakati wa kudai uhuru wa nchi yake na si gaidi na hamkuona sababu ya kumvamia kwenye kakibanda kake ka pale Mwitongo Butiama na Magomeni Mikumi ili auawe, heko kwa hilo.
  2. passioner255

    JamiiForums Tanzania Kati ya chama kilichowaua watu ,kufanya utekaji na anayedai haki nani ni Gaidi ?

    Kati ya chama kilichowaua watu ,kufanya utekaji na ulawiti wa watu na kuwapiga watu,kufanya ufisadi Nk na chama kingine kinachodai haki kipi ni chama gaidi? Nafikiri CCM mjirekebisheni kwa sababu Mungu anaweza kuzichoka tabia zenu na kuwaangusha.
  3. S.M.P2503

    JamiiForums Tanzania Mwanaharakati ni nani, je ni gaidi, kama inavyotajwa katika mikutano ya Umma? Maana, Sifa na Nafasi ya Mwanaharakati Katika Jamii

    Katika kila jamii duniani, maendeleo na mabadiliko makubwa hayaji bila watu wenye ujasiri wa kuuliza maswali, kusimamia haki, na kupigania kile wanachoamini kinaweza kuleta maisha bora kwa wengine. Watu hawa huitwa wanaharakati. Mwanaharakati ni mtu anayejitolea kusimamia, kutetea au kupigania...
  4. zitto junior

    JamiiForums Tanzania "Gaidi" wa jana anaweza kuwa shujaa wa leo? Historia ya Israel ambayo wengi hawaijui

    Kila mara tunaposikia kuhusu Mashariki ya Kati, jina la Hamas huibuka haraka na mara nyingi hufuatwa na neno ugaidi. Lakini historia ina ukurasa ambao watu wengi hawaujui au hawapendi kuuzungumzia. Kabla ya Israel kuzaliwa mwaka 1948, harakati za Kizayuni nazo zilikuwa na makundi ya "kigaidi"...
  5. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Gaidi wa Hamas, Hani Mohammed Abu Mohammed, aliangamizwa huko Gaza

    Gaidi wa Hamas, Hani Mohammed Abu Mohammed, aliangamizwa kabisa na IDF katika Ukanda wa Gaza. Wanazi hawacheki tena. Huko kuzimu wanakopata mates!!!
  6. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Gaidi Mohammed Odeh na familia yake wakienda kuzikwa huko Gaza!!

    Video zinazotoka Gaza zinaonyesha msafara wa mazishi ya kamanda wa tawi la kijeshi la Hamas Mohammed Odeh na wanafamilia wake kufuatia shambulio la Israel jana. Odeh, ambaye hivi karibuni aliteuliwa kuwa mkuu wa tawi la kijeshi la Hamas baada ya kuangamizwwa kwa Izz al-Din al-Haddad, alielezewa...
  7. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mwili wa Gaidi Azam al-Hayya ukibebwa Mzobemzobe kwenda kuzikwa huko Gaza!!

    Mazishi ya Azam al-Hayya, mwana wa Khalil al-Hayya, kiongozi mpya wa Hamas, ambaye alikuwa gaidi hai wa Nukhba (kitengo cha wasomi), yanafanyika leo huko Gaza. Aliondolewa jana pamoja na magaidi wengine walioshiriki katika mauaji ya Oktoba 7.
  8. I

    JamiiForums Tanzania Kwanini Iran chini ya magaidi wa IRGC inafadhili ugaidi?

    Another top Hezbollah commander killed. Hussein Waheeb Yassin, field commander of the Majdal Silm area, was killed in IDF targeted attack tonight.
  9. I

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Kiongozi mkuu mpya Alireza Arafi wa Iran ameuawa

    Kuna taarifa ambazo hazijathibitishwa zinazosema kiongozi mkuu mpya wa Iran Bwana Alireza Arafi ameuwawa. Ngoja tusubiri tuone kama itakuwa ni kweli.
  10. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Gaidi huyu aliomba kifo Israel wakamtimizia haja yake!!

    Siku mbili zilizopita, gaidi wa Hezbollah Abbas Awala alionekana katika moja ya video za Hezbollah akiendesha kifaa cha kurusha roketi huku akiwa amevaa sanda ya mazishi, tayari kwa kifo chake. Jana, IDF ilikubali ombi lake na kumuua bila huruma yoyote!! Allah-Akbar Adiosamigo mdogoee @gallna...
  11. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mazishi ya Gaidi Ali larijan na mwenzake yamefanyika huko Tehran Iran

    Uwanja wa Mapinduzi mjini Tehran: Mazishi ya Ali Larijani, mwanawe, washirika wake, na kamanda wa Basij waliouawa na Israeli. Adiosamigo gallow bird 100 others gTurn mdogoee lini mnaanua Matanga?
  12. Kubwa la Maadui

    JamiiForums Tanzania Takribani Watu 8 wauawa Canada na wengine kujeruhiwa kwa bastola

    Mshambuliaji aliwaua watu angalau wanane na kujeruhi wengi zaidi katika shule ya upili katika mji mdogo wa mlima wa Tumbler Ridge, Canada, siku ya Jumanne. Mshukiwa ni mwanamke mwenye umri wa miaka 18 ambaye alikuwa ameacha shule hiyo takriban miaka minne iliyopita, polisi walisema. Alizaliwa...
  13. M

    JamiiForums Tanzania J.K Rowling: Ikiwa unaamini wapinzani wa kisiasa wanapaswa kuadhibiwa kwa vurugu au kifo, basi wewe ni gaidi

    J.K. Rowling, mwandishi mashuhuri wa Uingereza, mtayarishaji wa filamu na mwandishi wa skrini, anayejulikana duniani kote kupitia mfululizo wa vitabu vya Harry Potter, anazungumzia kwa msimamo dhana ya ushindani wa kisiasa. Anasisitiza kuwa siasa za kidemokrasia lazima zijengwe juu ya mjadala wa...
  14. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Hakuna kibaraka, haramia au gaidi ataruhusiwa kuandamana popote pale Tanzania

    Ndugu wadau wa heshima na wa maana sana JF, Ni vizuri kama waTanzania kuelimishana na kufahamishana kinagaubaga kwamba maandamano ya aina yoyote nchini kwetu ni haki ya kila kundi, na ni shartiyafanyike kulingana na sheria za nchi, lakini pia yawe yenye kibali kutoka kwenye vyombo vya ulinzi na...
  15. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Sherehe za mwaka mmoja toka Gaidi Hassan Nasrallah aangamizwe!,,

    Nchini Lebanon, hafla ya wanachama na wafuasi wa Hezbollah ilifanyika leo kuadhimisha mwaka 1 tangu kuangamizwa kwa Gaidi Hassan Nasrallah.
  16. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Gaidi aliyekuwa akisakwa na IDF akamatwa ndani ya Benk huko Hebron-West-Bank!!

    Vikosi vya usalama vya Israel vilifanya operesheni sahihi katikati mwa Hebron, kumkamata gaidi anayesakwa ndani ya tawi la benki. Wakiwa wamejigeuza kama wateja, wapiganaji waliofichwa kutoka Kitengo cha Duvdevan waliingia ndani kabla hajafyatua risasi. Mshukiwa, aliyehusika na shambulio la...
  17. mkokamoto

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wanaompinga Mpina wanataka Rais abaki madarakani

    Makala ya Uchambuzi wa Kisiasa: Hatma ya Taifa, Mgombea Mpina, na Mvutano wa Madaraka 📅 Toleo maalum | Agosti 7, 2025 ✍️ Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam “Ukombozi haujawahi kupokelewa kwa shangwe na waliovuna kwenye mateso ya wengi.” Hayo ni maneno yaliyotolewa jana na mmoja wa wachambuzi wa...
  18. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Muhammad Nasser aliyekuwa ameshikilia Emily Damari nyumbani kwake naye AANGAMIZWA!!!

    BREAKING: Muhammad Nasser, gaidi wa Kipalestina aliyemshikilia Emily Damari nyumbani kwake huko Gaza, aliangamizwa kwa mafanikio na IDF. Hakuna mahali pa kujificha. Israeli itawapata wote walio Husinka na mauaji ya kinyama Oct 07,2023 === Quneita was a member of Hamas' Al-Furqan Battalions'...
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Stephen Wasira: Asiyetii Sheria na Katiba huyo ni Gaidi

    MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira, amesema utawala bora ni kutii Katiba na Sheria za nchi, hivyo mtu yeyote asiyetii na anataka kufanikisha mambo yake binafsi kwa kuua watu huo ni gaidi. Wasira ameyasema hayo leo Juni 22,2025 alipokuwa akizungumza katika kikao...
  20. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Izz al-Din al-Haddad achukua mikoba ya Marehemu Gaidi Mohamed Sinwar

    Kufuatia IDF kumuangamiza Mohammed Sinwar, Izz al-Din al-Haddad (pichani) amechukua uongozi wa tawi la kijeshi la Hamas. Israeli sasa hivi inamfatilia kwa nguvu zote ili imewaangamiza!! Al-Haddad (55) anaidhibiti Hamas katika Ukanda wa Gaza, na kwa mujibu wa vyanzo vya kijasusi, mtu huyo...
Back
Top Bottom