Gaidi wa Hamas, Farah Hamed, aliangamizwa jana. Hamed, ambaye aliachiliwa huru katika ubadilishanaji wa wafungwa wa Gilad Shalit mwaka wa 2011, baadaye akawa mtu mashuhuri katika makao makuu ya Hamas huko Gaza. Alikuwa mwanachama wa seli ya Silwad aliyehusika na mashambulizi yaliyowaua wanajeshi...
Leo kulikuwa na shambulio la kisu la Gaidi la kiarabu alimchoma kisu Myahudi wa Israeli.
Mtu aliyechomwa kisu alikuwa Natanel Jacobs na hapa anaelezea jinsi alivyopigana na Gaidi Hilo baada ya kuchomwa kisu alipiga picha Gari la Gaidi huyo na kuwajulisha IDF ambao walilifuatilia gari hilo kwa...
Shambulio la Israeli kwenye gari karibu na Makutano ya Hamid katika kitongoji cha magharibi mwa Jiji la Gaza cha Al-Nasser lilimuua Yusuf Akila, anayejulikana kama Abu al-Walid, na binti yake Wafa, huku wengine 6 wakijeruhiwa.
Akila alikuwa kamanda wa jeshi la Hamas na mlinzi wa zamani wa...
Mmoja wa magaidi wengine (Ahmed Yaqoub) aliyeangamizwa katika shambulio lile lile la anga huko Jenin leo.
Alikuwa njiani kuelekea kuwa kiongozi wa magaidi aliyefanikiwa kuwa toro ka Askari wa IDF Oct 07,2023 leo kajikuta yuko mikononi mwa majeshi ya ISRAEL na ameangamizwa bila huruma yoyote!!
GAZA: Vyanzo vya kimatibabu vinaripoti kwamba idadi ya vifo kutokana na shambulio la hivi karibuni la IDF katika Jiji la Gaza imeongezeka hadi 9, huku idadi hiyo ikiwa bado haijakamilika, huku watu 15 wakijeruhiwa. Miongoni mwa waliouawa ni Faten Sakhr, kamanda wa polisi wa wanawake wa Hamas...
Habari za chinichini zinapenya kutoka viunga vya UDOM na mitandao ya kijamii kwamba kitu kilichomponza mhadhiri wa UDOM, Dr Kaijage, na kujikuta akipewa kesi ya ugaidi, ni ujasiri wake wa kusimamia taaluma kiuweledi bila kumuogopa mtu yeyote. Habari kamili zinadai wakati mhadhiri huyo akiendelea...
Jana IDF ilishambulia kusini mwa Gaza na kumuua gaidi Salem Jamal Abd al-Rahman Abu Labad, kamanda wa seli ya Hamas Nukhba. Gaidi huyo alijipenyeza Kibbutz Nir Oz wakati wa mauaji ya Oktoba 7.
Katika shambulio la ziada mwishoni mwa wiki (Ijumaa), katikati mwa Gaza, IDF ilimuua gaidi Muhammad...
DPP kuwa serious japo kidogo
Huyu gaidi Mwaipopo anayemiliki kikundi cha msituni kama mbwa mwitu mnamchekea na kumkumbatia
Lectures, vijana wa chuo na viongozi wa Chadema ndo magaidi
Nashindwa kuwaelewa kabisa hivi vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama viko wapi?
Mtu anahamasisha watu wapiganie Katiba huu ni ugaidi na Uhaini wa wazi kabisa...Anataka kuiondoa serikali Tukufu iloyochaguliwa kwa Asilimia kubwa 98%
Vyombo vya ulinzi vipo tu vinamuangalia huyu Mtu
IGP, Mkuu wa...
Busara zenu na uungwana wenu ndio uliotuwezesha kupata uhuru, nyie mlimuona ni mwanaharakati wa kudai uhuru wa nchi yake na si gaidi na hamkuona sababu ya kumvamia kwenye kakibanda kake ka pale Mwitongo Butiama na Magomeni Mikumi ili auawe, heko kwa hilo.
Kati ya chama kilichowaua watu ,kufanya utekaji na ulawiti wa watu na kuwapiga watu,kufanya ufisadi Nk na chama kingine kinachodai haki kipi ni chama gaidi?
Nafikiri CCM mjirekebisheni kwa sababu Mungu anaweza kuzichoka tabia zenu na kuwaangusha.
Katika kila jamii duniani, maendeleo na mabadiliko makubwa hayaji bila watu wenye ujasiri wa kuuliza maswali, kusimamia haki, na kupigania kile wanachoamini kinaweza kuleta maisha bora kwa wengine. Watu hawa huitwa wanaharakati.
Mwanaharakati ni mtu anayejitolea kusimamia, kutetea au kupigania...
Kila mara tunaposikia kuhusu Mashariki ya Kati, jina la Hamas huibuka haraka na mara nyingi hufuatwa na neno ugaidi. Lakini historia ina ukurasa ambao watu wengi hawaujui au hawapendi kuuzungumzia.
Kabla ya Israel kuzaliwa mwaka 1948, harakati za Kizayuni nazo zilikuwa na makundi ya "kigaidi"...
Video zinazotoka Gaza zinaonyesha msafara wa mazishi ya kamanda wa tawi la kijeshi la Hamas Mohammed Odeh na wanafamilia wake kufuatia shambulio la Israel jana.
Odeh, ambaye hivi karibuni aliteuliwa kuwa mkuu wa tawi la kijeshi la Hamas baada ya kuangamizwwa kwa Izz al-Din al-Haddad, alielezewa...
Mazishi ya Azam al-Hayya, mwana wa Khalil al-Hayya, kiongozi mpya wa Hamas, ambaye alikuwa gaidi hai wa Nukhba (kitengo cha wasomi), yanafanyika leo huko Gaza.
Aliondolewa jana pamoja na magaidi wengine walioshiriki katika mauaji ya Oktoba 7.
Siku mbili zilizopita, gaidi wa Hezbollah Abbas Awala alionekana katika moja ya video za Hezbollah akiendesha kifaa cha kurusha roketi huku akiwa amevaa sanda ya mazishi, tayari kwa kifo chake.
Jana, IDF ilikubali ombi lake na kumuua bila huruma yoyote!! Allah-Akbar
Adiosamigo mdogoee @gallna...
Uwanja wa Mapinduzi mjini Tehran: Mazishi ya Ali Larijani, mwanawe, washirika wake, na kamanda wa Basij waliouawa na Israeli.
Adiosamigo gallow bird 100 others gTurn mdogoee lini mnaanua Matanga?
Mshambuliaji aliwaua watu angalau wanane na kujeruhi wengi zaidi katika shule ya upili katika mji mdogo wa mlima wa Tumbler Ridge, Canada, siku ya Jumanne.
Mshukiwa ni mwanamke mwenye umri wa miaka 18 ambaye alikuwa ameacha shule hiyo takriban miaka minne iliyopita, polisi walisema. Alizaliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.