sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Kwa Yanga na Simba kila timu hapo ina sponsorships deals zenye kuingiza takribani bilioni 5 kila mwaka
Kombe la Ligi kuu bingwa anapewa milioni 500 lakini hio bado ni pesa ndogo, Malengo huwa ni kuvuta mpunga wa kimataifa, msimu wa mwaka jana pekee Simba kakunga bilioni 2 kasoro caf na bilioni 2 na nusu african cup, Yanga kakunja bilioni 2 na nusu kufikia fainali shirikisho.
Kombe la Fa nako mshindi ni milioni 150 lakini malengo huwa ni kukusanya mataji yanayotambulika na fifa na hata timu ikikosa nafasi ya caf mabingwa basi iweze kufuzu caf shirikisho waende kukunja dola ndefu.
Kombe la mapinduzi kuna milioni 100 mshindi wa kwanza na milioni 80 wa pili, hata itokee fainali wafike simba na yanga hizi ni pesa za kulipa mishahara ya mwezi moja tu kwa wachezaji wanaohesabika, hata hivyo kombe halina mchango wowote kwenye rekodi za fifa na haliipeleki timu kwenye michuano yoyote ya kukunja kitita kikubwa zaidi.
Dau lipande walau lifikie 300 Milioni,
Kombe la Ligi kuu bingwa anapewa milioni 500 lakini hio bado ni pesa ndogo, Malengo huwa ni kuvuta mpunga wa kimataifa, msimu wa mwaka jana pekee Simba kakunga bilioni 2 kasoro caf na bilioni 2 na nusu african cup, Yanga kakunja bilioni 2 na nusu kufikia fainali shirikisho.
Kombe la Fa nako mshindi ni milioni 150 lakini malengo huwa ni kukusanya mataji yanayotambulika na fifa na hata timu ikikosa nafasi ya caf mabingwa basi iweze kufuzu caf shirikisho waende kukunja dola ndefu.
Kombe la mapinduzi kuna milioni 100 mshindi wa kwanza na milioni 80 wa pili, hata itokee fainali wafike simba na yanga hizi ni pesa za kulipa mishahara ya mwezi moja tu kwa wachezaji wanaohesabika, hata hivyo kombe halina mchango wowote kwenye rekodi za fifa na haliipeleki timu kwenye michuano yoyote ya kukunja kitita kikubwa zaidi.
Dau lipande walau lifikie 300 Milioni,