Accrington Stanley Football Club is a professional association football club based in Accrington, Lancashire, England. The club competes in League One, the third tier of the English football league system. They have spent their complete history playing at the Crown Ground. The club came to national prominence in 1989 due to the Milk Marketing Board's popular television advert that featured the slogan Accrington Stanley, Who Are They?.
The current club was formed in 1968, two years after the collapse of the original Accrington Stanley, which played in the Football League from 1921 to 1962 after initially competing in the Lancashire Combination. The town's original club, named simply Accrington, were founder members of the Football League in 1888, though folded just six years later. The current incarnation of the club entered the Lancashire Combination and moved on to the Cheshire County League after winning the Combination title in 1977–78. Stanley won Division Two of the Cheshire County League in 1980–81 and became founder members of the North West Counties League in 1982, before being placed in Division One of the Northern Premier League five years later. They were promoted to the Premier Division in 1990–91, though were relegated in 1999.
The early 21st century saw the club win three promotions over the course of seven seasons under the stewardship of John Coleman to gain a place in the Football League. They won three divisional titles in each of their three promotions: Northern Premier League Division One (1999–2000), Northern Premier League Premier Division (2002–03) and the Conference National (2005–06). They then spent 12 seasons mostly in the bottom half of the table in League Two, though did also lose two play-off semi-finals, before Coleman led them to promotion into League One as League Two champions in 2017–18.
🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 ASFC
⚽️ Young Africans SC🆚Polisi TZ
📆 20.02.2024
🏟 Azam Complex
🕖 1:00 Usiku
Kikosi kinachoanza dhidi ya Polisi Tanzania
Mpira umeanza
Dakika ya 13
Goaaaaaaaal Guedeeeee
Dakika 45+1
Chuma cha piliii Farid Mussa⚽️🙌🏼
Dakika ya 45 niongeza 2
Gwedeeee goli la tatu dakika ya 46...
- Kaimu Kocha Mkuu Kali Ongala night mwana Yanga SC lia lia.
- Kocha Msaidizi Aggrey Moriss ni mwana Yanga SC lia lia.
- CEO wa Azam FC Popat night mwana Yanga SC lia lia.
- Kaimu Msemaji was Azam FC Hashim Ibwe night mwana Yanga SC lia lia.
Poleni sana wale mliokuwa mnadhani Azam FC...
Wamekuwa wakitoa ahadi za hadi 30M iwapo Prisons itaifunga Simba. Bado nasubiri ahadi ya dau nono iwapo Tanzania Prisons wataifunga Yanga leo katika ASFC
Uzi
Kuna Klabu Moja yenye Chuki na Klabu ya Simba na ina Ukaribu wa Kiundugu na Klabu ya African Sports ya Tanga imewatuma Wachezaji wa African Sports FC Wawaumize vibaya Wachezaji Muhimu wa Simba SC ili wasicheze Mechi Mbili Muhimu za Kimaamuzi za CAFCL ile ya Vipers FC tarehe 7 March 2023 na ya...
Wanasoka tumeteseka
WanaSimba tumeteseka
WanaJF tumeteseka
Kila mtu ameteseka
Hata wanaUto wameteseka
Wameteseka wiki nzima wakiisubiri kandanda saafi ya Mnyama Simba
Hakuna yasiyo na mwisho, hatimaye leo imefika tamati ya mateso.
Simba ikiwa kamili gado full mkoko itaenda kuwalipia mateso...
Yanga na Simba zinatarajiwa kukutana katika Nusu Fainali ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) 2021/22, leo Jumamosi Mei 28, 2022 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, huo ni mchezo wa mwisho kwa timu hizo kukutana msimu huu.
Katika mechi zote mbili za Ligi Kuu Bara msimu huu hakuna mbabe...
Hii Michezo tumeshaicheza mno mpaka pale tulipoamua Kustaafu na Kutubu Dhambi kwa Mwenyezi Mungu hivyo Timu zingine zikifanya Michezo hii akina GENTAMYCINE huwa tunaishtukia na Kuigundua haraka sana hivyo tukisema Watu fulani Wachunguzwe upesi huwa tunakuwa tumeshatonywa na Vyanzo vyetu aminika...
Mchezo umemalizika, Chama anakabidhiwa mpira kwa kufunga hat trick.
Full Time
Zinaongezwa dakika 3 za nyongeza
Dk 90: Simba wanapiga pasi na kuumiliki mchezo.
Dk 87: Mchezo umepungua kasi, Ruvu ni kama wamekata tamaa.
Dk 82: Kocha wa Ruvu, Charles Mkwasa anaonekana kuwa katika masikitiko.
Dk...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa nani kakuambia matatizo ya Waamuzi (Referees ) Tanzania yameanza sasa? Ina maana Wewe ni Mgeni sana katika Soka la Tanzania (Bongo) ambalo kwa 99.999% linaharibiwa na TFF kwa Interests zao lakini pia na hata Nguvu ya Ushawishi ya...
BAADA ya Simba kukabidhiwa kombe la ubingwa wa FA bila zawadi ya pesa, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema itakabidhiwa fedha wakati wowote.
Simba imetwaa ubingwa wa kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) baada ya kuichapa Yanga bao 1-0 kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma, juzi.
Baada...
Kwanza nawapongeza kamati mahususi kwa ajili ya Uandaaji wa Kombe la Shirikisho maarufu kama Azam Federation Cup. Hakika kila mwaka kuna maendeleo kadri ambavyo linazidi kusonga mbele. Hakika mnazidi kufanya soka la Tanzania lizidi kupiga hatua mkishirikiana na TFF.
Lakini pamoja na jitihada...
Ule muda wa lawama umewadia. Akili, macho na masikio yote kwa sasa yameelekezwa Kigoma ambako leo Jumapili, kunapigwa pambano la fainali ya Kombe la Shirikisho (ASFC) baina ya Yanga na Simba itakayochezwa katika Uwanja wa Lake Tanganyika. Shilingi yako iko upande gani?
Kuwa nami kuanzia Saa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.