sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Ni vijana wa chuoni waliofunga vyuo na kwa sasa tupo nao,
Wapo wanaosoma computer engineering, computer science, IT, ICT , n.k
Ni vijana ambao mdomoni wapo vema sana kwa kujaa misamiati ila kwa vitendo ni sifuri.
Wengine wameweka picha za wale hackers waliovaa ma pull over sura hazionekani ama wamevaa vinyago, ila vitendo ni sifuriiiiiii
Utasikia
"system yako naweza kuingia kwa sql injection"
"Bro yani kuna hio kitu inaitwa man in the middle attack huchomoki"
"Vulnebility nikiipata tu umekwisha"
Maneno, Maneno, Maneno, Maneno, Maneno, Manenooooo !! VITENDO HAKUNA/
Niliwapa challenge ya kunihack kwa elf 30 lakini nilipoona ni wepesi nikaongeza iwe laki 3 cash,
Kuna muda huwa tunatumia wifi moja lakini wametoka kapa.
huko fb kuna moja naona angalau alijitahidi kutaka kunitumia website inayofanana na fb ili niweke password zangu, Password niliyomwekea ni "HupatiKituBoyaWewe "
Wapo wanaosoma computer engineering, computer science, IT, ICT , n.k
Ni vijana ambao mdomoni wapo vema sana kwa kujaa misamiati ila kwa vitendo ni sifuri.
Wengine wameweka picha za wale hackers waliovaa ma pull over sura hazionekani ama wamevaa vinyago, ila vitendo ni sifuriiiiiii
Utasikia
"system yako naweza kuingia kwa sql injection"
"Bro yani kuna hio kitu inaitwa man in the middle attack huchomoki"
"Vulnebility nikiipata tu umekwisha"
Maneno, Maneno, Maneno, Maneno, Maneno, Manenooooo !! VITENDO HAKUNA/
Niliwapa challenge ya kunihack kwa elf 30 lakini nilipoona ni wepesi nikaongeza iwe laki 3 cash,
Kuna muda huwa tunatumia wifi moja lakini wametoka kapa.
huko fb kuna moja naona angalau alijitahidi kutaka kunitumia website inayofanana na fb ili niweke password zangu, Password niliyomwekea ni "HupatiKituBoyaWewe "