sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Kundi B la Simba,
-JKU hadi sasa inaongoza ligi kuu ya Zanzibar na imewahi kushinda makombe ya ligi kuu
-APR tangu 2020 imechukua makombe manne mfululizo ligi kuu ya Rwanda
-Singida FG ni timu ya nne kwa ubora kwenye ligi kuu ya Tanzania Bara
Kundi A
-JKU hadi sasa inaongoza ligi kuu ya Zanzibar na imewahi kushinda makombe ya ligi kuu
-APR tangu 2020 imechukua makombe manne mfululizo ligi kuu ya Rwanda
-Singida FG ni timu ya nne kwa ubora kwenye ligi kuu ya Tanzania Bara
Kundi A
- Vital’o
- Azam FC
- Chipukizi United
- Mlandege FC
- JKU SC
- Simba SC
- Singida FG
- APR FC
- KVZ FC
- Yanga SC
- Jamus FC
- Jamhuri SC