Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameliagiza Baraza la Sanaa la Taifa na Bodi ya Filamu nchini kuhakikisha zinasimamia vyema Sekta ya Sanaa iweze kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa nchi na kunufaisha wasanii.
Dkt. Ndumbaro ametoa maagizo hayo Oktoba 17, 2023...
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.
Unapozungumzia masuala ya kiuchumi, huwa mara zote tunaangalia Zaidi ‘numbers’. Kwenye uchumi hakuhitaji porojo na mihemko. Waweza kumchukia mtu lakini kamwe huwezi kujidanganya kwamba eti hakuna lolote alilofanya, kwasababu namba huwa hazidanganyi.
Lengo...
Kuleta utawala bora katika nyanja ya uchumi wa Tanzania ni muhimu kwa maendeleo endelevu na ustawi wa nchi. Utawala bora unahusisha uwajibikaji, uwazi, ushiriki wa wananchi, utawala wa sheria, na kupambana na ufisadi. Hapa chini ni orodha ya hatua ambazo zinaweza kuchukuliwa ili kufanikisha...
Wachumi na watalaamu wa mambo ya uchumi wamekuna vichwa na sasa wanakubali kuwa sababu hizi zinaweza kukuza uchumi wa nchi kama zitafanywa kwa kuzingatia kanuni zake, na kwa msisitizo.
Na suala la uchumi mbovu katika nchi zinazoendelea ni jambo la kawaida, kiasi kwamba viwanda vingi vimekufa na...
Namshukuru Raisi Samia kwa kutumia akili na maarifa kukuza uchumi wetu bila kuweka mbele hisia binafsi. Hisia binafsi ni pamoja na kuweka ukanda, ukabila na uchama mbele ya Tanzania kwa ujumla wake.
1. Kitendo cha kuelewa katiba ni muhimu kwa uchumi wetu. Hasa kwenye sheria za kibiashara na...
Mikopo inayotolewa kwa sekta binafsi imezidi kuongezeka kutoka 7.8% mwaka 2021 hadi 22.5% mwaka 2022 pia imeongezeka zaidi hadi kufikia january 2023 imefikia 23.1%. Hii inaashiria kuimarika kwa uchumi na utendaji wa sekta binafsi unaochagizwa na sera bora za serikali ya Rais Samia Suluhu...
Serikali ya Tanzania imefikia makubaliano na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwa ajili ya kutoa mkopo wa dola milioni 151 ili kusaidia kuimarisha ukuaji wa Uchumi wake uliopata changamoto za majanga ya kimataifa ambayo yamepunguza ukuaji.
Ikumbwe tayari Tanzania imekopa kiasi kingine cha...
Moja kati ya jambo lililofanikiwa kwa kiwango kikubwa katika uongozi wa awamu ya sita ni kuimarisha Diplomasia ya nchi yetu na kurejesha nafasi ya Tanzania katika mawanda ya diplomasia Duniani. Rais Samia anastahili "honoris causa" katika hili. Tuangazie baadhi ya faida za kuimarisha Diplomasia...
Habari wadau.
Benki ya Dunia kupitia dirisha la kusaidia Nchi masikini la IDA ,imeidhinisha mkopo nafuu wa dola za Marekani Milioni 775 sawa na shilingi Tilioni 1.8 kwa ajili ya Tanzania..
Kwa Mujibu wa Taarifa iliyotolewa na WB na kinukiliwa na gazeti la daily news,mkopo huo Ni kwa ajili ya...
Baada ya utafiti kuonesha unywaji wa pombe kwa vijana upo kwa kiwango cha chini kuliko wanavyofanya watu wazima Nchini Japan, mamlaka zimewataka vijana kunywa pombe kwa wingi ili kukuza uchumi wa taifa lao.
Kampeni maalum iliyopewa jina la "Sake Viva!" ina lengo la kuhamasisha vijana kunywa...
Bila kupoteza muda,hii ndio habari ya Mjini huko Japan..
Hata hapa Tanzania TBL wameripoti kuongezeka kwa faida ya Mauzo ya pombe..
Hongera sana Walevi kwa kukuza Uchumi,wale wengine na soda zao sijui wataficha wapi sura zao.👇
--
Takwimu za hivi majuzi kutoka kwa wakala wa ushuru zinaonyesha...
Maendeleo ya mtu binafsi tu namaanisha hali ya kiuchumi ya watu Katika taifa, katika umiliki wa mali, elimu na siasa pia vitu hivi huchochea kwa kiasi kikubwa Maendeleo ya taifa kiujumla mtu mmoja mmoja katika taifa Wakiwa na uwezo mzuri wa kiuchumi Tunaweza kukuza uchumi wa nchi pia.
Kwa...
Intaneti imefungua ulimwengu mpya kwa watu wengi duniani kote. Fursa nyingi zinapatikana hapa. Teknolojia hii inatoa fursa ya watu kuboresha maisha yao kwa kuwapa ajira na kurahisisha shughuli zao binafsi ikiwemo za kibiashara.
Intaneti inafungua ufikiaji wa vitu vilivyokuwa si rahisi kufikiwa...
DIPLOMASIA BORA NI MSINGI WA UCHUMI IMARA
Na Elius Ndabila
0768239284
Diplomasia ni nadharia ambayo tumekuwa tunaitumia sana tukiwa tunalenga uhusiano baina ya mataifa duniani. Leo nitazungumzia kinagaubaga juu ya diplomasia katika sekta ya kukuza uchumi nchini.
Uchumi na maendeleo kote...
Wachawi nchini Congo 🇨🇩 DR wamefanya tamasha la wazi lenye nia ya kuonyesha nguvu na uwezo waluo nao.
Wachawi hao kutoka majimbo 12 walikuwa wamevalia mavazi yenye rangi kali na waliweza kuonyesha shughuli zao mbalimbali ambapo waliiomba serikali ya nchi hiyo iwapatoe leseni ili waweze...
Kutokana na mkopo wa masharti nafuu uliotolewa na IMF wa trillion 1.3, Rasi Samia anakwenda kukusanya Kodi ya moja kwa moja waastani wa billion 234 kama VAT (18%) hadi billion 390 kama tender zitasambazwa kea Makampuni makubwa ambao watalipia corporate tax ya 30% lakini pia billion 910...
UTAWALA BORA NI KICHOCHEO MUHIMU KATIKA KUKUZA UCHUMI NA KUVUTIA UWEKEZAJI
Utangulizi.
Nianze Makala haya Kwa kutoa tafsiri/maana ya utawala Bora ambao naumaanisha katika makala yangu hii ya Leo .
Utawala Bora ni uendeshaji wa Serikali au taasisi unaofuata misingi ya...
Kutokana na mabadiliko ya kitekinolojia na mabadiliko ya jamii kiujumla nilazima kuwepo na namna ya kubadili mfumo mzima wa elimu hasa katika kupunguza idadi ya miaka ambayo wanafunzi hutumia katika masomo.
Kwa mwanafunzi kufikia chuo kikuu mwaka wa tatu itakuwa imemchukua zaidi ya miaka 15...
GTs,
Hivi wapinzani wetu wataacha lini kufanya mikutano isiyokuwa na tija?
Juzi hapa Zitto Kabwe kaitisha kikao cha majungu majungu, yaani mchumi mzima anaongelea eti tulikosea kukabiliana na Corona utadhani yeye mwenyewe hajioni kuwa ni mfaidika wa njia sahihi na bora ya kukabiliana na korona...
Pamoja na kuongezeka kukubwa kwa wanafunzi wanaojiunga na elimu
ya juu, vyuo vyingi vikuu vya Kiafrika havitoi wahitimu wengi, na wengi
wao hawana stadi zinazohitajiwa kuinua maendeleo ya kiuchumi ya taifa
katika karne ya 21.
Kwa hiyo kizuizi kimoja kikubwa katika kukuza uchumi ni maamuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.