pombe

  1. Sir John Deere

    JamiiForums Tanzania Lala pema Peponi John Pombe Magufuli Leo wamefungua mradi ulioanzisha bila kukutaja kama Icon wa mradi huo.

    Ni maajabu mradi ulioanzishwa na marehemu JPM kwa utashi wake Leo miaka mitano baada ya yeye kufariki unafunguliwa bila kumtambua kama kinara wa mabadiliko haya tunayoyaona. R.I.P watanzania bado tunakukumbuka.
  2. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi kuwanunulia watu pombe?

    Kama unajua fika pombe ina madhara mengi kuliko faida kwanini uwanunulie watu? Hii haijakaa sawa
  3. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Kwanini mkurugenzi wa TBS hajioni tatizo kwenye hili SAKATA LA VINYWAJI RWANDA?

    Hivi hivi karibuni, tumeshuhudia operation kubwa ya kiudhibiti wa ubora na usalama wa vinywaji nchini Rwanda lililozua gumzo kubwa Afrika Mashariki. Lakini kinachoshangaza na kusikitisha zaidi ni jinsi Shirika letu la Viwango Tanzania (TBS) linavyolichukulia jambo hili kana kwamba halituhusu...
  4. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Poleni sana wanywa pombe wa Tanzania Chukueni hatua mamlaka zimelala

    GT Hakuna jambo linalonitia hasira kama energy drinks ..haya ni mauaji ya halaiki na sijui kwa nini haipigwi stop. Pombe nazo ni balaa jingine sasa tangu zamani watu.washasema pombe za TZ nyingi ni fake. Rwanda wamechukua hatua lakini sisi kimya. Walevi poleni sana na mchukue hatua mwafa .
  5. min -me

    JamiiForums Tanzania Nani anasema pombe ina maliza pesa na kuleta umaskini?

    Pombe inamaliza pesa na kuleta umaskini kwa watu wenye akili ya kimaskini🤔 Kama una akili ya kimaskini usiguse kabisa pombe, pombe ni kinywaji cha watakatifu wenye udhubutu na akili mtambuka. Kanisa takatifu la mitume Catholic sio mambaga wakabariki pombe, pale kibosho kanisa langu...
  6. Gospel KTV

    JamiiForums Tanzania Taabu na Pombe ni Kaka na Dada

    Ukifuatilia vizuri watu wenye taabu fulani maishani ndio hutumia sana pombe ili wasahau uchungu walio nao moyoni ili wajiliwaze. Uzuri ni kwamba biblia imetufunulia yote katika: Mithali 31: 6 Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini. 7 Anywe...
  7. Red black

    JamiiForums Tanzania Kuna furaha sana ya kunywa pombe na company ila majuto yake ni makubwa sana siku inayofuata

    Leta kama tulivyo ni kauli nzuri sana sisi wanywaji wa pombe ila ina majuto sana.... Kwanza umekula hela zote hujabakiwa na ela ya supu na kutoa hang over kwenye bank umekomba akiba yote. Umeopoa Malaya asubuhi unashangaa demu ana mabakabaka kama chui na uligonga kavu.. wtf Pombe ni...
  8. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Rwanda wamewafikisha Mahakamani walioruhusu pombe haramu, je Tz tunasubiri nini?

    Ofisi ya Upelelezi wa Rwanda (RIB) imewakamata Prof. Emile Bienvenu, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini Rwanda (Rwanda FDA), pamoja na watu wengine 17 katika uchunguzi unaohusu uzalishaji na usambazaji wa vileo vinavyodaiwa kutokidhi viwango. Kati ya watu 18 waliokamatwa, 10...
  9. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Biashara ya madawa ya kulevya aina ya pombe inafaida sana kwa serikali.

    Miaka ya 1800 katikati mskaburu wa Afrika Kusini waliunda taifa lao la Orange Free State. Wakakaa na kupanga mikakati ya nchi. Wakaona moja ya njia ya uhakika kupata pesa ni kupitia kodi kwenye pombe. Pombe ni madawa ya kulevya yenye faida sana. Basi wakapiga marufuku import ya pombe ili...
  10. Gospel KTV

    JamiiForums Tanzania Pombe ni dhambi, acha kuitumia

    Binadamu anapotumia pombe inaweza kumbadilisha na kuwa binadamu asiye wa kawaida. Anaweza kuanza kuropoka mambo ya ajabu kabisa. Huku anatembea anayumbayumba anaishiwa nguvu Ni dhambi kwasababu pombe inaudanganyifu ndani yake Pombe inafyatua akili yako unakua kama chizi Unaongea kama teja au...
  11. Isenye

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo mitaa kwenye mikoa mbalimbali inayoongoza kwa kuwa na walevi wengi wa pombe

    Kimara- DSM Uyole-Mbeya Ccm-Iringa mjini Kiboriloni-Moshi Himo-Moshi Nyegezi-Mwanza Manzese-DSM Tegeta-,Dsm Tabata-DSm Kwa mrombo-Arusha Matejoo-Arusha Majengo-Moshi Sanawari-Arusha Mabibo-Dsm Buguruni-DSm Mbagara-Dsm Mwananyamala-DSm Sinza-Dsm Mbezi Magufuli-Dsm Kigogo-Dsm
  12. N

    JamiiForums Tanzania Pombe ilikufanya kitu gani mpaka ukasema sasa rasmi naacha?

    Pombe ilikufanya kitu gani mpaka ukasema sasa rasmi naacha?
  13. bless on

    JamiiForums Tanzania Hautakiwi kulipua Kazi Yoyote Maishani Mwako

    Zamani kidogo, kulikuwa na fundi ujenzi mzee aliyekuwa na ujuzi mkubwa na nidhamu ya hali ya juu. Kwa miaka zaidi ya 30, alijenga nyumba nyingi nzuri na za kifahari kwa moyo wake wote. Siku moja, akiwa amechoka na umri umekwenda, alimfuata bosi wake na kumwambia: "Bosi, umri umenitupa mkono...
  14. R

    JamiiForums Tanzania KWELI Mtu anaweza kujihisi amelewa bila kuwa amekunywa pombe

    Wakuu, Kumekuwa na nadharia nyingi huku mtaani kuhusu ulevi bila kuonja kileo, sasa ndo wengine tunajiuliza inawezekanaje mtu akalewa bila kunywa pombe?
  15. min -me

    JamiiForums Tanzania Pombe ina imani yake ya ajabu sana

    Ukiweka imani pombe inamaliza pesa na kweli itaisha ..... Ukiweka imani pombe inakufnya ufanye mambo ya kijinga ni kweli itafanya.... Ukiweka imani pombe inakupa akili ya kutafuta pesa na kukutanisha na watu muhimu ni kweli itafanya hivyo.... Hiyo ndio inaitwa nguvu ya kutawala akili...
  16. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Malizia hii wikiendi kwa kuendelea kukataa pombe na ulevi. Jilinde dhidi ya kufirisika, magonjwa, talaka, kudumaa na kufanya vituko ukiwa umelewa

    Marafiki wakikuita velvet waambie upo na famila beach kwa zena Marafiki wakikuuta kitambaa cheupe waambie upo plaza unacheki movie na wadogo zako. Malaya zako wakikuita zile pubs za tabata, waambie wiki hii una marejesho Washkaji wakisema wanakulipia bill kwa leo, waambie unaumwa na hauwezi...
  17. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Pombe feki zinalipa sana. Walevi jiandaeni na DIALYSIS!

    Walevi jiandaeni na kuanza dialysis. Pombe feki zinatengeneza mabilionea. Wile Karimo, Kalittle na Wachina mtaua ndugu zetu. NB: Pombe kali feki kwa bei ya pombe OG kuweni na huruma
  18. Forrest Gump

    JamiiForums Tanzania Kama tafiti zinavyoonesha ni kweli gen z sio wanywaji sana wa pombe ila sanaa yao kubwa ni hii hapa

    Source: Time Magazine Why Gen Z Is Drinking Less Hata baa huko marekani zinaanza kufanya marekebisho ili wawarudishe gen x maana walikimbia pubs baada ya kuboreshwa kuwakabilisha gen z, ila gen z kumbe hawaji pub kutafuta pombe bali kula jagina😁 Ndio kabisa, hakusa kizazi cha kifuska kama gen...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Upuuzi na ujinga kumwambia mwenzako umezeeka sababu ya pombe

    Nani alikuzuia wewe usinywe pombe? Unafiki na uzandiki wa kufuatilia masuala ya watu. Upuuzi mkubwa.
  20. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Zamani nilikuwa siamini kama kuna watu wanakunywa pombe daily naposema kila siku namaanisha kweli kila siku

    Kuna watu hawawezi kuamini, lakini huu ndio ukweli Kuna watu karibu kila siku ya Mungu jioni lazima tupige kamnyweso binafsi me ni ka wine kangu kana 19% V/V. Sababu pekee inayoweza kuwafanya wasinywe ni kuugua tu. Na kwa bahati nzuri watu wa hivyo huwa hawana tabia ya kuugua kiasi cha...
Back
Top Bottom