pombe

  1. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wengi tunaendelea kunywa pombe licha ya kuona madhara yake kwa wengine?

    Kuna mifano kibao ya watu maarufu na watu wa kawaida ambao maisha yao yaliathiriwa na matumizi ya pombe kupita kiasi. Wengine walipoteza Afya na maisha yao. Mifano ya watu maarufu kama Proff Jay ambaye aliwahi kuzungumza hadharani kuhusu athari za kiafya alizokutana nazo Kuna marehemu kibonde...
  2. Red black

    JamiiForums Tanzania Pombe haijawahi kusema uongo hata siku moja😂

    Jambo lolote analokwambia mlevi ni ukweli mtupu, #tujifunze utamaduni wa kunywa kwa afya.
  3. P

    JamiiForums Tanzania KERO Bar ya Camp Edward (Tabora) wanapiga muziki mkubwa sana na IPO katikati ya makazi

    Bar ya CAMP EDWARD iliyoko kwenye makazi ya watu MKOANI TABORA, wanapiga mziki mkubwa sana na mbaya zaidi ni kila siku hawana jumatatu wala weekend, mbaya kuliko zote wanapiga mziki hadi saa mbili asubuhi kwa sauti kubwa. Mamlaka zituambie ni kibali cha aina gani wanapewa kupiga mziki hadi...
  4. bless on

    JamiiForums Tanzania Pombe: Ukweli Kuhusu Faida na Hatari Zake

    KWANINI WATU WANAKUNYWA POMBE? JE POMBE INA FAIDA NI HATARI KWA AFYA? Pombe (ethanol) ni kinywaji kinachotumiwa na watu wengi duniani, lakini ndani ya mwili wako hufanya kazi kama kemikali yenye nguvu inayobadilisha namna ubongo na mwili vinavyofanya kazi. Hii ndiyo sababu mtu akinywa hubadilika...
  5. Kijana asiye na makuu

    JamiiForums Tanzania Nimeokoka ila nashindwa kuacha kununua Malaya na kunywa pombe

    Habari wakuu mi ni kijana wa kiume Miaka 27 sijaoa Bado nafanya biashara (x) .Nimezaliwa kwenye familia ya walokole mi mwenyewe nimeokoka ila sasa Nina changamoto kuu mbili kwenye maisha yangu kununua Malaya na pombe.Naweza nikasema nijitahidi sasa nisifanye nifocus na mambo yangu ya kazi n.k...
  6. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania CHINA: Inaripotiwa kuwa waislamu wanalazimishwa kula nguruwe na kunywa pombe katika kambi za kudhibiti watu wasiotaka kufata mifumo ya uchina

  7. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Kila siku tunamnunulia Pombe tumekuja kugundua kumbe anajenga

    Sikuwahi Kufikiria Kama hata sisi wanaume tupo wenye tabia za ajabu kiasi hiki, itoshe kusema imetuumiza sana. Iko hivi, sisi tuko washikaji wa nne na wote tumeoa ila tulikuwa hatuja Jenga, wote ni waajiriwa, Kwa kifupi sisi ni washikaji hasa kiasi kwamba tumekuwa kama ndugu na shida zetu huwa...
  8. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Tumieni kinga kwenye tendo na kuwa waaminifu ili kuepusha baadae kulaumu pombe kwa matatizo ya figo

    Wakuu kuna kitu hakisemwi kuhusu huu mlipuko wa tatizo la figo. Inatajwa pombe, soda na vitu vingine. Ni sawa ila mimi ninasisitiza watu tutumie kinga na tuwe waaminifu kwenye mapenzi. Kila mtu nikiwemo mimi yupo kwenye hatari kubwa ya kuja kuwa na tatizo la figo endapo hatutaacha ushenzi na...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kanuni za Ki Mungu za Kushinda Uraibu (Masterbation, porn, pombe nk)

    KanKanuni ya Kwanza Kutojihurumia Bali nautesa mwili wangu na kuutumikisha; isiwe, nikiisha kuwahubiri wengine, mwenyewe niwe mtu wa kukataliwa. — 1 Wakorintho 9:27 Watu wengi ambao wamekuwa na tabia za kujirudiarudia au uraibu wa kitu fulani, wamekuwa na tabia ya kujionea huruma. Kuna mtu...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ulicope vipi na uraibu wako wa pombe, sigara, kamari, n.k. kwenye lockdown ya maandamano?

    Bar, pub, hadi vioski vya pombe za kupima zilifungwa bangi na mirungi viliadimika sana maduka na vibanda vya sigara vilifungwa Ofisi za betting pamoja na internet ilizimwa
  11. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pombe ikitumiwa kwa usahihi ni burudani isiyo na mpinzani

    Salaam jamiiforum. Pombe ni burudani ambayo ipo tangu enzi za manabii,ikiwa ni moja ya burudani nzuri,yenye kukutanisha marafiki,wachapakazi pamoja na wazalendo. Sisi wenyewe ni mashahidi ni mara nyingi makampuni kadhaa ya pombe yamekuwa yakipewa sifa na tuzo Kwa kuwa rekodi nzuri kwenye pato...
  12. Inside10

    JamiiForums Tanzania Wakuu Nimekata Shauri, Sinywi Pombe kali tena

    Nimefikia uamuzi huo baada ya kufuatlia na kuona vijana wengi wakiumwa ugonjwa wa figo.. ninao wajua na maarufu tunaowajua wengi... Pia nitajitahidi sana unywaji wa beer🍻 kwa kiwango na mara chache. Jamii inaangamia tuchukue tahadhali kwa wakati. Mwenyezi awaongoze nanyi wenzangu wengineo...
  13. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Hivi Pombe za kunywea nyumbani hazipandi

    Walevi naombemi majibu bila makasiriko maana wapiga bapa huwa hawapendi kuitwa walevi Hivi pombe za kunywea nyumbani huwa hazipandi mpk utoke uiache familia ukazungukwe na bar maids na kundi la walevi ndo mzuka unapanda ?
  14. fyddell

    JamiiForums Tanzania Kuna mahusiano kati ya kuacha pombe na kukosa usingizi(Insomnia)?

    Kwanza nawasalimia wakubwa kwa wadogo. Sasa ni almost two weeks nimeacha pombe, hapo mwanzo nakili kuwa nilikuwa mnywaji mzuri tu (moderately drunken) yaani ni ile hali ya kunywa hata siku tatu mpaka nne mfululizo in a week kwa hali ya kawaida. Na hii iliwezekana kwasababu kazi ninayofanya...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Hizi pombe zinaharibu vijana sana mtaani, ni janga la Taifa

    Unakosea kuziita pombe, huo ni uchafu. Pombe ni chakula. Nikiona mtu anakunywa hizo namwona kama mjinga mjinga. Weka na K Vant pia hapo
  16. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Kuadimika kwa pombe kali inayoanza na herufi V.

    Mimi mdau mkubwa wa hii kitu lakini ni zaidi ya wiki mbili sasa sio kwenye bar wala kiosk haipatikani inakuaje kitu Ina demand kubwa alafu ghafla usambazaji hakuna tena.
  17. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kuna watu ambao miili yao imeumbwa kuhimili pombe nyingi na kwa mda mrefu. Case study Ozzy Osbourne

    Ozzy Osbourne ametajwa rasmi kuwa “mutant wa kinasaba.” Kauli hiyo ilitolewa na watafiti waliochunguza DNA yake ili kuelewa jinsi alivyomudu miongo mingi ya matumizi makubwa ya pombe na dawa za kulevya. Mwaka 2010, “Prince of Darkness” aliingia kwenye historia kama mmoja wa wanamuziki wa...
  18. figganigga

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwa yaliyotokea 29 Okt. 2025, ipo haja ya kuchunguza Kifo cha Pombe Magufuli

    Salaam Wakuu, Kwa roho iliyooneshwa 29 Oct 2025 na Samia Suluhu Hassan, Mwenyeji wa huko Zanzibar ambaye anapenda kutembelea maeneo ya Tunguu.. Hakika damu ya Watanzania ipo mikononi mwake. Bado naamini Pamoja na Misimamo ya Magufuli, kingine kilichomponza ni Utanganyika wake. Zanzibar...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Dawa ya kuacha pombe ya nini wakati hata za malaria tu watu wanahangaika kuzipata.

    Eti wanahangaika kuleta dawa za kuacha kunywa pombe. Huu ni kupoteza fedha za walipa kodi. Dawa za malaria ni tatizo kubwa huko vijijini.👇
  20. R

    JamiiForums Tanzania John Heche: Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crown

    Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crown. Fikiria kijana ambae ameanza maisha hapa Dar, kutokana na adha ya usafiri anajibana ananunua kagari ka usd 6,000 ambazo ni sawa na 14 m. Hiyo gari ikifika inatozwa ushuru mwingine wa 14 m, yaani fikiria ushuru unalingana na ununuzi wa...
Back
Top Bottom