harakati

The National Revival Movement Party (Azerbaijani: Milli Dirçəliş Hərəkatı Partiyası) is a political party in Azerbaijan. The party's leader is Faraj Guliyev, who is well-known politician. At the 2010 parliamentary elections, it won 1 out of 125 seats. In the 2015 parliamentary elections, it won 1 out of 125 seats.

View More On Wikipedia.org
  1. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania CHAMA CHA WAZEE KISIWE CHA HARAKATI, NI HAZINA YA HEKIMA NA MSHIKAMANO KATIKA JAMII - PROF. SHEMDOE

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, amekitaka Chama cha Wazee Wanaume Tanzania (CCWWT) kutokuwa chama cha harakati, bali kutumia nafasi yake katika kutoa ushauri, kupatanisha jamii, kulea watoto na vijana, pamoja na...
  2. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Siasa za migongano: Nchimbi na harakati za kujiunga na mtandao na jengo la la UVCCM ( 1998 - 2008)

    Hakuna mtu wa CCM hajui ugomvi wa Nape na Nchimbi juu ya Jengo la UVCCM na mpaka leo Nchimbi pale anamiliki Floor, jana nilishangaa Msingwa kichwa maji anasema kuwa eti hakuwahi kusikia kuhusu stori ya UFISADI. Kila mmoja hapa nenda tu Google kaulize stori ya Nchimbi na Jengo la UVCCM na hata...
  3. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Kwa uchache tu, Safari ya harakati za Tundu Lissu kupigania haki za watu.

    Tambua kwamba kazi nyingi za kuwatetea waathirika mbalimbali, Lissu amezifanya bure bila kilipwa na hao watu. Lissu anasema; Sasa leo nataka nizungumze kuhusu mchango wangu wa kupigania haki za binadamu nchini Tanzania. Ushahidi wa leo utasema ni kwanini nashitakiwa. Leo nashitakiwa kwa...
  4. Nestory Semeni

    JamiiForums Tanzania Katika Harakati Ya Kutafuta Ushauri

    Jana nilikaa na kaka mmoja hv na kuongea kuhusu maisha, Na katika hiki na kile nikamwambia kuhusu changamoto fulani hiv ndogo, Lakini badala ya kupata ushauri ni kama nilikuwa nimefungua koki kwake, Naye akaanza kutoa lawama na kwa nini flan na flan wapo vile, Mh! Mwisho nikajiona nimeomba...
  5. funaku

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ijifunze kutoka Mataifa yaliyoendelea. Hakuna chama cha siasa kinafanya harakati kwa sasa

    Kutumia mbinu za miaka ya 40 na 50 katika era ya Science na Technology ni kukosa ubunifu.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Jamaa na Marafiki Wanasherehekea Miaka 80 ya Profesa Issa Shivji: Maisha, Uanazuoni na Harakati

    22 August 2026 https://m.youtube.com/watch?v=4x2ejQJnBQk Marafiki, wanazuoni na makamaradi wanampongeza proffesa Shivji kutimiza miaka 80 ya maisha yake na mchango wake katika jamii kupitia kazi zake za uwakili, mwanazuoni uanaharakati pamoja na maandishi mbalimbali ambayo ameandika kuwahusu...
  7. kavulata

    JamiiForums Tanzania Tanzania bado haijapata vyama vya upinzani sahihi, vilivyoko ni vya harakati na watafuta riziki

    Tanzania tuna vyama vya upinzani ambavyo viongozi wake wanaweza kuhamia CCM wakati wowote kama "mazingira " yataruhusu wao kuhamia. Mfano ya viongozi waliohamia CCM ni mingi sana tukianzia na Prof. Kitila. Wananchi wamekosa imani na vyama Tanzania tuna vyama vya upinzani ambavyo viongozi wake...
  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kuungwa mkono kwa Nchimbi na wapinzani ni mkanganyiko mtupu wa harakati.

    Kuibuka kwa kundi la wanaharakati na wadai mabadiliko wanaompigia debe Makamu wa Rais Nchimbi kwa kauli moja au mbili alizozisema walizozipenda kunaonyesha jinsi gani Tanzania ina safari ndefu ya kuleta mabadiliko. Mambo kama haya yanafifisha sana harakati za mabadiliko nchini, yanaonyesha watu...
  9. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Member Red-me unaendaleaje na harakati zako za kukataa totozi na kuweka rehani uanaume wako?

    Red-me za sahizi mkuu..!!?,mara ya mwisho Katika moja ya nyuzi zako ulisema unatamani uhasiwe ili usiwe unasimamisha mchi, ukaenda mbali na kuzizodoa nyapu (mbunye) kwamba ni overrated na huoni umuhimu wake. Hayo yakiendelea wadau mbalimbali walionekana kusikitishwa na bandiko lako kiasi cha...
  10. Equation x

    JamiiForums Tanzania Harakati za kufikisha umri wa miaka 100

    Kuishi miaka mingi ni utajiri tosha kwa mwanadamu, kuliko yule aliyekuwa na utajiri mkubwa na kabla ya kufikisha miaka 70 akakata moto. Wapo wanaosema, ili kufikisha miaka mingi inakulazimu kila unapopiga hatua fulani za kimaisha, jitahidi kuishi maisha ya kipato cha chini, kuanzia ulaji...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Double standards kwenye kupigania harakati za Haki

    Hamjambo! Hii unaizungumziaje? Mtu anadai ni mwanaharakati wa haki za binadamu. Huku anapigana na dhulma za CCM. Alafu muda huohuo anawatetea Wamarekani wanapoionea Iran. Au yupo Upande wa Israel inavyowafanyia uhuni Palestina. Au mtu yupo Upande wa Ukraine anayeonewa na Urusi. Kumaanisha...
  12. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Siku ya Mashujaa: Dome Okochi Budohi Mkenya Katika Harakati za Kupigania Uhuru wa Tanganyika

    Kuhusu Dome Okochi Budohi (Mkenya aliyepigania Tanganyika) Mchango wake katika TANU: "Dome Okochi Budohi... kadi yake ya tano... ni mtu alikuwa anajua kila siku na mimi nimepata mengi... amekamatwa katika ardhi ya Tanganyika wakati akifanya harakati za tano." Kukamatwa na kuteswa: "Nimemuona...
  13. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Siku ya Mashujaa: Dome Okochi Budohi Mkenya Katika Harakati za Kupigania Uhuru wa Tanganyika

    https://youtu.be/TFgNAKhXvkA?si=yZRkLlA-39W6CCjA
  14. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Tunaposema wengi wa wana harakati ni mbwa mwitu tuwe tunaeleweka,they are in business!

    Wamepunguza main pressure sasa wanataka wa SA watulie kwanza kwa kanuni nyingine mpya zenye wingi wa upole huku wakiwa tayari wamefanikisha yao!
  15. R

    JamiiForums Tanzania Rai ya Jenerali Ulimwengu: UanaHARAKATI ndiyo njia sahihi ya kufanya siasa, vinginevyo ni utapeli wa siasa kusaka tonge kupitia vyama vya siasa

    Mwanasiasa asiye mwanaharakati ni tapeli anayesaka tonge kupitia kauli-mbiu na utambulishi wa vyama. Mwanaharakati ana lake jambo la kulisimamia kokote aliko hadi mwisho wake. Ukiniuliza mie, dharau wanasiasa, heshimu mwanaharakati
  16. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Ally Sykes na Nyaraka za Harakati za Kupigania Uhuru wa Tanganyika

    Nimeiona picha ambayo nilipiga na Ally Sykes Muthaiga Club Nairobi mwaka wa 1989. Miaka 37 imepita. Ally Sykes amefariki miaka 13 iliyopita. Bwana Ally alikuwa rafiki yangu na baba yangu lakini pia alikuwa mwalimu wangu yote kwa pamoja. Hii picha nilipiga na camera ya bei rahisi sana mfano wa...
  17. E

    JamiiForums Tanzania Harakati za Urais 2030

    Hivi karibuni tumeshuhudia makundi yakianza kucheza karata. Historia ya CCM ni ngumu VP,PM kushinda mchakato. Je, 2030 wataweza kupita?
  18. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Naombeni jibu: Je, viongozi wa harakati za uhuru wanapewa sifa kubwa kuliko hali halisi ya kisiasa iliyokuwepo wakati huo?

    Nikisomaga historia za uhuru wa nchi za Afrika inaonekana kwamba ilikuwa ni mapambano makubwa sana yaliyohitaji juhudi za ajabu kutoka kwa viongozi kama Julius Nyerere, Jomo Kenyatta na wengine wengi. Lakini nikiangalia kwa karibu, miaka ya 1950 na 1960 ilikuwa kipindi ambacho tawala nyingi za...
  19. britanicca

    JamiiForums Tanzania Kwenye siasa au harakati unaweza shangaa we ndo mtaji wa Wengine! Tumia akili zenu vema

    TANZANIA BWANA -Wanasiasa wanatumia matatizo ya wananchi kujipatia Pesa! -Machawa wanatumia wanasiasa wanaotumia matatizo ya wananchi kujipatia, nao kujipatia Pesa! -Wanaharakati baadhi nao wanatumia matatizo ya wananchi na wahanga baadhi kujipatia fursa! Usimuamini sana mtu! Ukiangalia Kwa...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Sasa Maandamano na harakati zimekuwa ni za Kuidai Tanganyika

    Warioba aliwahi kusema CCM waipe Tanganyika mamlaka yake Kabla watu hawajaidai. Maandamano yote yajayo yanakuja na hoja ya "Free Tanganyika". Sasa imagine Rais kutoka Zanzibar unawazuiaje Watanganyika kuidai nchi waliyokualika tu. CCM itatuma machawa wake kuongea nini. Hatimaye hatari...
Back
Top Bottom