wakili

Malam Wakili (born 1958) is a senator of the Federal Republic of Nigeria from Bauchi State and retired controller of customs. He represented south Bauchi in the current 8th National Assembly before his death on March 17, 2018. Senator Wakali was the Chairman, Poverty Alleviation & Social Welfare Committee and Vice Chairman of the Air Force Committee of the 8th National Assembly.A bye election was conducted after his death and Lawal Yahaya Gumau of the All Progressive Congress won.The south Bauchi Senatorial District covers seven local government areas.

View More On Wikipedia.org
  1. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Pamoja na Mapugufu Yake ya Kibinadamu Wito Wanasheria Wote, Kwenye Hili, Tusimame na Rais Wetu wa TLS Wakili Boniface Anyisile Kajujumele Mwabukusi

    Wanabodi TAARIFA KWA WANACHAMA KUHUSU SHAURI LILILOFUNGULIWA DHIDI YA RAIS WA TLS WAKILI BONIFACE ANYISILE KAJUNJUMELE MWABUKUSI KWENYE KAMATI YA KITAIFA YA MAWAKILI (NATIONAL ADVOCATE COMMITTEE) Baraza la Uongozi la Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwa masikitiko makubwa linawajulisha...
  2. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Wakili Peter Madeleka yupo Mahakamani kwa ajili ya kesi ya wafanyabiashara 'wapangaji' katika jengo la ghorofa lililoporomo Kariakoo

    Wakili Peter Madeleka, tayari amefika kwenye viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Ardhi ambapo kesi inayowahusu waliokuwa wafanyabiashara 'wapangaji' kwenye jengo la ghorofa lililoporomo Kariakoo, Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa mwaka 2024 inaanza kusikilizwa leo, Jumatatu Mei...
  3. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Wakili Pascal Mayala kwanini matokeo ya Raisi hayawezi kupingwa popote?

    Habari ya hasubuhi. Sio kwa nia mbaya ni vile watanzania wengi hatujui sheria na katiba kwa hyo ningependa kufahamu hasa majibu kutoka kwa huyu mwandishi wa habari na wakili wa kujitegemea. Kuna mambo mengi nahitaji ufafanuzi wa kisheria mfano Suala la Matokeo ya raisi kutopingwa popote...
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Wakili Mwambukusi: Tundu Lissu siyo mhaini, WAMTOE, hatutakubali mwenzetu aendelee kuonewa

    Rais wa TLS, Wakili Boniface Mwabukusi amesema hayo tarehe 30 Aprili 2026 wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwenye Ukumbi wa AICC jijini Arusha.
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Wakili Mwabukusi: Kama Lissu anatusumbua Kisiasa, futa Vyama vingi kibaki chama kimoja

    Rais wa TLS, Wakili Boniface Mwabukusi amesema hayo tarehe 30 Aprili 2026 wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwenye Ukumbi wa AICC jijini Arusha.
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Kuna Wakili alipigwa Mahakamani kama wanaua nyoka, wengine wakasema ‘eti huyo ni CHADEMA”

    Rais wa TLS, Wakili Boniface Mwabukusi amesema hayo tarehe 30 Aprili 2026 wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu uliofanyika AICC jijini Arusha. Anasema tukio la ajabu kabisa, wakili mmoja alikuwa akipigwa mahakamani kama watu wanaua nyoka. Niliona wakipiga wakili Mahinyila. Na wengine ukiwauliza...
  7. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Wakili Mwabukusi: Ninapotekeleza jukumu langu usinitishe, hatutakuogopa tutatekeleza wajibu

    Rais wa TLS, Wakili Boniface Mwabukusi amesema hayo tarehe 30 Aprili 2026 wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu uliofanyika AICC jijini Arusha. Anasema TLS vilevile inawajibu mkubwa si tu kwa wanachama wake bali pia kwa jamii, serikali na mahakama katika kuhakikisha haki inatendeka, sheria...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Lema: Nina wasiwasi na Wakili Kisabo juu ya maneno aliyosema yamesemwa na Lissu. Watanzania tusubiri kauli ya Lissu mwenyewe

    Nina wasiwasi na baadhi ya maneno uliyoandika mtandaoni kuhusu kauli ya Lissu baada ya wewe kutoka mahabusu. Msimamo wa Mkti Lissu mara zote kuhusu uhuru wake umekuwa wazi, kwamba kesi inayomkabili ni ya uongo na anapaswa kuachiwa huru bila masharti yoyote. Hajawahi, wakati wowote, kuweka...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Wakili Peter Madeleka aweka wazi ya DPP bila woga, ataka haki itendeke

    https://m.youtube.com/watch?v=CM45_lR3-DI Wendy William Ishengoma vs Republic (Economic Case No. 30853 of 2024; Miscellaneous Criminal Application No. 2751/2026) [2026] TZHC 629 (6 March 2026)
  10. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Baada ya kutafakari sana kwa kina nimehitimisha kwamba: ukiwa mwanasiasa bila kuwa wakili, basi ujue unajipotezea muda, maana utakwama tu!

    Hii ni argument ambayo itakubidi upate experience kubwa ya kuitazama sana siasa kwa jicho la tatu, ndiyo utagundua kwamba ni argument ambayo ni ukweli kwa asilimia 99%. Mwaka 2010 nilipoenda pale UDSM, siasa za serikali ya wanafunzi na wanaharakati zilikuwa zinatawaliwa sana na vijana wa...
  11. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Wakili peter madeleka: Mafwele huwezi kutajwa na wananchi kama muuwaji na mtekaji alafu tuka kuangalia tu lazima uwajibike

    "Hauwezi ukawa unatajwa wewe ni muuaji alafu tukawa tunakuangalia tu, yani wewe umekuwa Malaika mtoa roho au?? Kila anayepotea akirudi anakutaja wewe aliyetekwa akibahatika kutoka salama anakutaja wewe mashahidi wanakutaja wewe, wewe umekuwa nani haswa?? Kama tumekupa jukumu la kulinda usalama...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Wamemuuwa wakili Joseph Masanja na wamekataa kuchunguza

    Akizungumza na Jambo TV leo Januari 09.2025, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Wakili Boniface Mwabukusi ameeleza namna mawakili wananyanyaswa na vyombo vya dola wakati wanajitoa bure kutetea wananchi. Mwabukusi amerejelea sakata la wakili kupigwa ndani ya mahakama na kifo cha...
  13. figganigga

    JamiiForums Tanzania Dkt. Ally Possi wakili mkuu wa serikali, heri ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa

    Salaam Wakuu, Leo natumia Wasaa kumpoongeza Mtu muhimu sana Nchini Tanzania. Msomi asiye na Majivuno wala kufanya kazi kwa Mihemko. Dkt Possi, nakutakia kumbukizi njema ya siku yako ya kuzaliwa.. Ikawe ya Baraka. Mungu azidi kukupa nguvu ya kuwatumikia watanzania wote kama kawaida yako...
  14. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakili afungua mashtaka akiitaka Mahakama kuzuia usafiri wa umma (Matatu) Kupiga Muziki wa sauti kubwa, Nairobi

    Wakili mmoja kutoka Nairobi amefungua shauri katika Mahakama Kuu akiomba kutolewa kwa amri ya kusitisha magari ya usafiri wa umma (matatu) kupiga muziki wa sauti kubwa, akisema kuwa tabia hiyo inakiuka haki kadhaa za kikatiba. Katika ombi lake, Wakili Samwel Barongo Nyamari amelaumu Chama cha...
  15. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Ludovick Rwezaura: Sheria ya kanisa Katoliki inakataza kuwaita waumini malofa na wapumbavu

    Aliyejitambulisha kama muumini wa kanisa katoliki aliyebatizwa na anayepokea sakrament, Ludovick Joseph, aeleza vifungu vya sheria vinavyowabana viongozi kuwafokea waumini kwa lugha kali.
  16. K

    JamiiForums Tanzania Wakili Amon Mpanju: Kama hakuna amani utawezaje kudai haki na kutimiza wajibu wako?

    “Inategemea na mtizamo…..kama hamna amani unawezaje kudai haki? Utazitambuaje haki zako unawezaje kutimiza wajibu kwa hiyo kimsingi na watu wamekuwa na mijadala mingi lakini unawasikiliza tunahitaji amani….” Wakili Amon Mpanju, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake...
  17. Zakaria Maseke

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya Wakili mpenda haki na Wakili mfanya biashara

    WAKILI MFANYA BIASHARA - lengo lake kuu ni kumsaidia mteja wake kushinda kesi, anatumia udhaifu wa sheria au mianya (loop holes) ya sheria, ujanja ujanja na mbinu mbalimbali za kisheria kumsaidia mteja wake kukwepa haki. Anatumia sheria vibaya na hata kutoa hoja za uongo kupotosha Mahakama kwa...
  18. Inside10

    JamiiForums Tanzania Wakili Nyaronyo Mwita Kichere: Nipo Hatarini Nafuatiliwa Nawasiojilikana

    MWANDISHI wetu Nyaronyo Mwita Kichere, ametujulisha kwamba kuna hatari inaninyemelea. "Gari aina ya Landcruizer ikiwa na watu saba ndani yake, inaranda jirani na nyumba yangu eneo la Monduli mtaa wa Mkwajuni, kata ya Vijibweni, wilaya ya Kigamboni, mkoani Dar es Salaam." Source Mwanahalisi Digital
  19. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wakili Madeleka: Kesi ya Mange siyo halali ni kinyume na sheria

    Wakili Peter Madeleka akizungumza na DW leo Novemba 4, 2025 ameeleza kuwa kesi ya Mange inayohusu utakatishaji fedha linalohusisha shilingi milioni 138.5 za Tanzania ni kinyume na sheria kwa maana kwamba siyo halali akibainisha sheria ya uhujumu uchumi sura ya 200 huwezi kumshataki mtu ambaye...
  20. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Wakili Peter Madeleka: Siku Mange Kimambi akimamatwa, akashitakiwa na kutiwa hatiani kwa kesi hii, basi hiyo siku ndiyo YESU atarudi rasmi duniani😀

    Huyu Peter Madeleka huyu, sijui kwanini anaongea kwa mafumbo (rhetorically) badala ya kusema kwa uwazi tu ili Hamza Johari na Nassoro Katuga waelewe kirahisi🤔🤔😀😀 Fumbo mfumbie mjinga lakini mwerevu............................(malizia) #D9 #SAMIAMUSTGO
Back
Top Bottom