union

The UNION of European Practitioners in Intellectual Property, or UNION-IP, is a European association of practitioners in the field of intellectual property. It was founded in 1961 under the name was "UNION of European Patent Attorneys".

View More On Wikipedia.org
  1. mchawi wa kusini

    Kitu kilichoipelekea Soviet union hadi ilivyoanguka

    Habari Ya muda huu JF Unajua nini kiliiepelekea soviet Union kuanguaka fuatana na mimi. SOVIET UNION ILIVYOANGUKA- UADUI NA MAREKANI: Wengi mmesoma au mnakumbuka miaka ile ya vita baridi kati ya USA(Marekani) na Soviet Union(Urusi) na kuletea hali ya kuwa na wasiwasi pengine vita ya 3 ya dunia...
  2. uran

    FT: Coastal Union 1-2 Simba SC | NBC Premier League| Mkwakwani Stadium| March 09, 2024

    Leo 09.03.2024 Muda wa Saa 12 Jioni. Coastal Union ya Tanga, Inaikaribisha Simba SC ya Dar es salaam katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara. Simba huu ni mchezo wake wa 17, ikiwa na Alama 36. Nafasi ya Tatu(03) katika msimamo. Coastal Union huu ni mchezo wake wa 20, Alama 27, Nafasi ya Nne...
  3. Kiweriweri

    FT: Azam 1-1 Coastal Union

    Bora wote tupoteze
  4. Mjanja M1

    Picha: Sanamu ya Nyerere Makao Makuu Umoja wa Afrika, ni yeye au lah?

    Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024. Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi...
  5. R

    East Africa Union tarrifs

    East Africa Union Tarrifs ni makubaliano nadani ya nchi za Afrika Mashariki kwenye issue ya mipaka na ulipaji wa kodi za uingizaji bidhaa. Kwa maoni yangu hii sheria ina mapungufu mengi sana japo watu wengi hawajui. Harmonised System Codes (HS Codes) zinazotumia kwenye kwenye mipaka (Customs)...
  6. Zombie S2KIZZY

    Costal union vs 5

    Tafadhali Sana costal union, sisi ni ndugu zenu kuanzia rangi mpaka kushea kocha hivyo basi Leo mnapoenda kupambana na hawa wanaogawa Tano (5). Naombeni mtulipizie kisasi maana wametudhalilisha Sana sie ndugu zenu. Mnakumbuka mwaka 1988 tulivyowasaidia kuwapiga utopox ili nyie mchukue ubingwa...
  7. Vincenzo Jr

    FT | Coastal Union 0-1 Yanga SC | NBC premier league | CCM Mkwakwani | November 8, 2023

    Naam leo ndo leo ndani ya Mkwakwani Tanga baada ya wananchi kutoka kumpiga mtani wao goli 5 leo wanakutana na Coastal union je, watoto wa Tanga watakubali kupigwa 5? Kikosi cha Yanga Mchezo umeanza
  8. uran

    Coastal Union 0 - 1 Azam SC| NBC Premier League | Mkwakwani Stadium | 06.10.2023

    Haya!! Baada ya mjadala mzito wa Makundi, Turudi kwenye ligi yetu pendwa, inayojizolea mashabiki wengi kila kukicha. Game Day. 06.10.2023 FT: Tabora FC 2 - 1 Dodoma Jiji. Next Match, ni mechi ya kisasi. Coastal Union Vs Azam Muda ni saa Moja jioni. Tukutane Saa 1:00 Azam.
  9. Uwesutanzania

    Nilichogundugua kwenye mchezo wa leo wa Simba v Coastal Union

    Ni kama Simba sc haikwenda kushinda ule mchezo ila makosa ya wachezaji baadhi yakapekekea Simba sc kuondoka na ushindi,. 1. Baleke: Nimeona magoli aliyeshinda huyu jamaa nikama vile amekaidi kitu flani na hayakuusishwa sana na msaada wa wachezaji wengine. Ni kama timu ilitaka...
  10. Suley2019

    FT: Simba 3-0 Coastal Union | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 21.09.2023

    Leo saa 10:00 jioni Simba SC itakuwa kibaruani kucheza dhidi ya Coastal Union katika dimba la Uhuru Dar es Salaam. Ni mchezo wa raundi ya tatu ya NBC Premier League ambapo kila timu inahitaji alama tatu ili kujiweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi. --- Kikosi cha Simba kinachoanza...
  11. Jamii Opportunities

    Performance Measurement and Pay-for-performance Expert at Universal Postal Union September, 2023

    Position: Performance Measurement and Pay-for-performance Expert Grade: P3 Type of Contract: Fixed-term (Non-Core) Appointment Duration: Three years Organizational Unit: Postal Operations Directorate (DOP ) EMS Unit Duty Station: Bern Switzerland Scheduled date for taking up appointment: As soon...
  12. Jamii Opportunities

    Digital Inclusion Expert at Universal Postal Union September, 2023

    Position: Digital Inclusion Expert Grade: P2 Type of Contract: Fixed-term (Non-Core) Appointment Duration: Until 31 December 2025 Organizational Unit: Policy, Regulation and Markets Directorate (DPRM) Digital and Trade Policy Duty Station: Bern Switzerland Schedule date for taking up...
  13. BARD AI

    Viongozi wa Nchi za G20 waridhia Umoja wa Afrika kuwa Mjumbe wa Kudumu wa Jukwaa hilo

    Mkutano wa Jukwaa Kuu la Ushirikiano wa Kiuchumi wa Kimataifa la Group of Twenty (G20) limetoa baraka za kuupa Umoja wa Afrika Ujumbe wa Kudumu katika Jukwaa hilo ambapo sasa AU itakuwa na hadhi sawa na Umoja wa Ulaya (EU). Kwa uamuzi huo, AU itakua na sauti kwenye Kura za Maamuzi yatakayogusa...
  14. O

    EDO KUMWEMBE: Kila unapoifikiria ndoa ya Ajibu na Coastal Union haupati jibu

    RAFIKI yangu Ibrahim Ajibu Migomba amekwenda katika timu yake ya tano Ligi Kuu Bara. Timu yake ya pili nje ya Jiji la Dar es salaam. Haikutazamiwa kuwa mapema hivi lakini ndio hali halisi. Ndani ya misimu mitano amecheza timu takribani tano. Sasa Ajibu ametua Coastal Union. Ni ndoa ambayo...
  15. Wakili wa shetani

    Matokeo ya Simba na Coastal Union kesho Juni 9, 2023

    Kesho Coastal Union anahitaji kushinda ili aepuke kucheza playoff. Simba anahitaji sana mshambuliaji wake Ntibazonkiza awe mfungaji bora wa ligi. Basi matokeo ya kesho Coastal anashinda lakini Ntibazonkiza anafunga si chini ya goli mbili. Kwa hiyo matokeo ya kesho Coastal anashinda 3-2.
  16. John Gregory

    Pichani ; Mnyama mkali Simba sc akiwa mazoezini kumuwinda Coastal Union #TunaitakaFainali

    Kikosi cha kilabu ya mnyama mkali mwituni Paka fc, Wakiwa katika mawindo ya kumuwinda Coastal union fc katika mchezo utakaochezwa hivi karibuni. Watu hao wasiofahamika na wasiojulikana wanajihusisha na shughuli gani nchini, walionekana wakikimbia kimbia na kuruka ruka hapa na pale pasipokuwa na...
  17. M

    Marefa wa bongo hovyo sana

    Refa amekataa goli halali kabisa la singida big stars dhidi ya coastal union. TFF fungieni hawa marefa wanaharibu sana ligi.
  18. GENTAMYCINE

    Wale 'Team Mungu Mtu Chama' niambieni leo amecheza nini dhidi ya Coastal Union FC kwa Mkapa?

    Najua Kocha Mgunda ni Muoga na aliogopa Lawama Kumtoa ila kama kuna Wachezaji ambao leo wamecheza hovyo / vibaya na najua Kocha wangu Mkuu, Fundi na Mtaalam Roberto Olivieira angekuwepo angewatoa hata dakika ya 15 tu ya Mchezo walikuwa ni Clatous Chama na Pape Ousmane Sakho. Ni mpaka uujue...
  19. Scars

    Azam Sports Federation cup: Simba Vs Coastal Union | Benjamin Mkapa Stadium

    Mechi tayari imeanza na saizi ni dakika ya 20 Matokeo Bado ni 0-0 OKW BOBAN SUNZU nilijua Ile post Yako kuhusu hamu ya kuiona Simba inacheza itakufanya uanzishe Uzi wa update
  20. OKW BOBAN SUNZU

    FT: Raundi ya Tatu ASFC: Simba SC 1-0 Coastal Union, Uwanja wa Mkapa, 28/01/2023

    Wanasoka tumeteseka WanaSimba tumeteseka WanaJF tumeteseka Kila mtu ameteseka Hata wanaUto wameteseka Wameteseka wiki nzima wakiisubiri kandanda saafi ya Mnyama Simba Hakuna yasiyo na mwisho, hatimaye leo imefika tamati ya mateso. Simba ikiwa kamili gado full mkoko itaenda kuwalipia mateso...
Back
Top Bottom