union

The UNION of European Practitioners in Intellectual Property, or UNION-IP, is a European association of practitioners in the field of intellectual property. It was founded in 1961 under the name was "UNION of European Patent Attorneys".

View More On Wikipedia.org
  1. B

    JamiiForums Tanzania African Union peace envoy Roll Stéphane Ngomat roots for peace in Africa

    By Correspondent. African Union peace envoy Roll Stéphane Ngomat roots for peace in Africa. African Union peace ambassador Roll Stéphane Ngomat is urging for peace in Africa’s conflict riddled regions in a fresh plea to regional bodies and states. Roll Stephane, who is the Chairperson of...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Tanganyika and Zanzibar: Articles of Union and implementing legislation, with other evidences

    Ndugu, wana Jamii forums, Mjadala kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Umekuwa mzito sana, lakini ninadhani cha mhimu ni kuuweka ukweli hapa Jamii forums, yaani nyaraka halisi za Muungano huo pamoja na habari zingine za kijasusi. Naomba baada ya kusoma Nyakara zote, then tuendelee na...
  3. Common Folk

    JamiiForums Tanzania Barua ya Tundu Lissu yenye kurasa sita (6) kwenda IDU (International Democracy Union).

    STATEMENT FROM UKONGA CENTRAL PRISON, DAR ES SALAAM, TANZANIA TO THE WAShINGTON SUMMIT OF THE INTERNATIONAL DEMOCRACY UNION (IDU) Honourable Chairman, Honourable Vice Chairpersons, Honourable Secretary General, Esteemed Delegates from member parties Friends and fellow Democrats from around the...
  4. CHAGOSI GERALD

    JamiiForums Tanzania The anatomy of a broken union

    Sikiliza kwa makini. Nitaongea bila kupepesa macho, bila kunawa lugha, bila kulainisha ukingo wa ukweli. Leo tutajenga maiti ya muungano mezani. Tutauvua ngozi, tutachana misuli, tutayatoa maini yake, tutayaweka mezani kama somo la anatomia. Kwa sababu Tanzania imekuwa kama mgonjwa ambaye kila...
  5. H

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wauaji na Watekaji Kamwe Hawawezi Kujichunguza Wenyewe, Tunataka Wachunguzi Toka ICC, Tume ya Haki ya Umoja wa Mataifa, African Union na SADC

    Huyu bibi anawafanya Watanganyika ni viumbe wasio na akili. Eti anathubutu kutamka kuwa ataunda kamati ya uchunguzi dhidi ya Mauaji yaliyofanywa kuhusiana na uchaguzi! Hii ni kejeli, matusi na dharau kubwa kwa Watanganyika. 1. Wachunguzi binafsi wametamka wazi kuwa waliowaua Watanganyika, ni...
  6. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Firstpost Africa: African Union exposes Tanzania ballot stuffing.

    Hahaaa hawa jamaa hawamwachii huyu Rais haramu. https://youtu.be/rWW8Nhw6LEY?si=hs4UM_4mV7Bo1E-v
  7. M

    JamiiForums Tanzania Statement by the High Representative on behalf of the European Union on the elections in Tanzania

    Nov 02, 2025 The European Union (EU) takes note of the proclamation by the Independent National Electoral Commission of Tanzania and the Zanzibar Electoral Commission of the results of the presidential elections held on 29 October 2025. The EU is very concerned with the events that occurred...
  8. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Coastal Union Yasitisha Mkataba na Kocha Mkuu Ali Mohammed Ameir

    Uongozi wa Klabu ya Mpira wa Miguu - Coastal Union umefikia makubaliano ya pande zote ya kusitisha kandarasi na Kocha Mkuu Ali Mohammed Ameir. Klabu inamshukuru Mwalimu Ali Mohammed Ameir kwa mchango wake uliotukuka kwa kipindi chote alichoiongoza timu yetu. Uongozi wa Coastal Union...
  9. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya 'Mo' yaingia mkataba kuidhamini klabu ya Coastal Union

    "Leo tunatangaza kwa furaha kubwa ushirikiano rasmi kati ya MO na Klabu ya Coastal Union kwa msimu wa 2025/2026! Kwa MO, kauli mbiu yetu imekuwa daima: Tunagusa Maisha Yako. Na leo, dhamira hiyo inapanuka zaidi tunaposimama bega kwa bega na moja ya timu kubwa kabisa nchini. Kupitia MO Taifa...
  10. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wa Mlima Kilimanjaro: Jiungeni Sasa Kudai Haki Zenu Kisheria Kupitia Mountain Workers Advocacy Union (MWAU)

    Kwa muda mrefu, wapagazi, waongozaji na wapishi wa Mlima Kilimanjaro wamekuwa wakifanya kazi katika mazingira hatarishi, bila mikataba, bila bima ya afya, na wakikosa kinga ya kisheria – hali inayokiuka haki zao za msingi kazini. Kwa mujibu wa Employment and Labour Relations Act, 2004, Kifungu...
  11. BLUE DOG

    JamiiForums Tanzania Blow to Tanzania as European Union bans all air carriers over deficiencies in oversight

    The European Union has officially banned all air carriers certified in Tanzania from operating within its airspace due to serious safety oversight deficiencies The decision was announced on June 3, 2025, following a technical safety audit that flagged critical issues within Tanzania's civil...
  12. Genius Man

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 International Democracy Union (IDU) imelaani kukamatwa kwa kiongozi wa CHADEMA

    Kupitia kurasa za mitandao ya kijamii za International Democracy Union (IDU), wamelaani kukamatwa kwa Golugwa, wakidai kuwa ni hatua ya kunyamazisha upinzani na kumtaka aachiliwe mara moja kwani ni ukiukwaji wa haki za binadamu. Hii ni aibu kwa serikali iliyopo madarakani ya mama samia ukurasa...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Viongozi wangu wa Coastal Union, msipoangalia huyo Joseph Lazaro ataishusha timu daraja

    Joseph Lazaro, beki wa zamani wa kushoto wa Coastal Union akiwa msaidizi wa marehemu Douglas Mhani enzi zile za marehemu Hamis Makene, benchi akiwa Mohamed Mwameja, kulia Saidi Kolongo, kushoto Douglas Mhani, nne Yassin Abuu Napili na sentahafu marehemu Idrisa Ngulungu, sita pale alikuwa...
  14. Saint Ivuga

    JamiiForums Tanzania Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Simba SC is a Tanzanian football club based in Dar es Salaam. Their home games are played at two stadiums Uhuru Stadium and National Stadium. Simba SC is one of two biggest football clubs in Tanzania, their archrivals being the Young Africans. The club had several names during its history, when...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Simba yaifuata Coastal Union Arusha bila Camara na Che Malone

    Kikosi cha Simba kimeondoka jijini Dar es Salaam leo asubuhi kuelekea jijini Arusha kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Coastal Union utakaopigwa keshokutwa Jumapili kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Simba yenye pointi 51 inahitaji ushindi katika mchezo huo ili kuendelea kuipa upinzani...
  16. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Tuombe Raila Odinga msaliti wa Gen Z abwagwe kwenye kinyang'anyiro cha mkuu wa African Union Commission chair kieleweke na tuone ataenda wapi

    Wakuu wa Umoja wa Afrika (AU) watapiga kura jumamosi kumchagua mwenyekiti wa Commission hii. Kwa wanaojua alivyosaliti mapinduzi yaliyolenga kumuondoa mwizi Ruto, Raila anakashifiwa na wakenya kwa kuwa msaliti na nyemelezi mkubwa. Tumuombee ashindwe ili ima kiumane au tuone atakwenda wapi baada...
  17. Kichuguu

    JamiiForums Tanzania Ft: Mamelodi sundown vs Maniema union

    Peter Shalulile amefunga bao la ushindi dakika ya 90+7 Naamini Modereta atarekebisha heading
  18. B

    JamiiForums Tanzania ECOSOCC: African Union highest policy making organ gets new leadership amid favouritism claims

    By Barack Oduor ECOSOCC: African Union highest policy making organ gets new leadership amid favouritism claims. The African Union’s Economic, Social and Cultural Council (ECOSOCC) convened the Second Ordinary Session of its fourth Permanent General Assembly (PGA) in Nairobi on Friday where it...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Yanga yajitosa kwa Lameck Lawi, Coastal Union yataka Milioni 250 ada ya uhamisho

    Timu ya Coastal Union imepokea barua rasmi ya Klabu ya Yanga kumuhitaji beki wa kati Lameck Lawi, Coastal Union inataka millioni 250 kama ada ya usajili wa Lameck Lawi kutoka Yanga. Soma, Pia: Simba wakubali yaishe kwa Lameck Lawi, aanza kwenye kikosi cha Coastal Union dhidi ya Mashujaa FC...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Coastal Union imevunja mkataba na Ley Matamp aliyekuwa golikipa bora wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2023/24

    Klabu ya Coastal Union imethibitisha kuvunja mkataba na aliyekuwa mlinda mlango wao, Ley Ngumbi Matamp ambaye alikuwa golikipa bora wa msimu wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara msimu uliopita kwa makubaliano ya pande zote mbili. Taarifa ya leo Desemba 10, 2024 ya leo kupitia ukurasa rasmi wa klabu...
Back
Top Bottom