Mheshimiwa Lisu, mtu aliyejawa hekima, upeo wa hali ya juu, na dhamira njema kwa Taifa lake, leo ameendelea kuidhalilisha Serikali haramu.na mawakili wake, na mashahidi wake fake.
Baada ya hukumu ya jana, leo wameanza wale mashahidi wa kificho, mashahidi wa kutengenezwa. Leo ndiyo imedhihirika...