ulemavu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. 1

    Kwa alichokisema Nape leo kama sio 4R za Rais Samia, tungerudi kule kule kwenye kutiana ulemavu

    Kiukweli nampongeza sana Rais Samia Suluhu Hassan, matusi anayotukanwa na watu wa Chadema huwa yananiuma sana, watu wanatukana utadhani wanatukana wahuni wenzao, heshima ya Rais iko majaribuni kwa sababu ya wahuni waliopewa nafasi ya kujieleza. Ukienda kule mtandao wa X kuna yule meya wa zamani...
  2. S

    Wazazi msifiche watoto wenyewe ulemavu, usonji na down syndrome

    Hali ya kuwaficha watoto wenye ulemavu, kama vile wale wenye ugonjwa mfanano(Down syndrome) na usonji (autism), ni suala linaloathiri haki zao za msingi, ikiwa ni pamoja na haki ya elimu, kucheza na kujumuika na wenzao katika jamii. Wazazi wengi wanaweza kufanya hivyo kwa sababu ya hisia za...
  3. S

    Watu wenye ulemavu katika maandalizi ya michakato ya kupiga kura Nchini

    Watu wenye ulemavu, iwe ni ulemavu wa kuonekana au usioonekana, wanahitaji msaada mkubwa katika michakato ya upigaji kura. Upigaji kura ni haki ya kila Mtanzania mwenye umri wa miaka kumi na nane na kuendelea. Watu wenye ulemavu wanahitaji kipaumbele na mwongozo wa kutosha wanapojiandaa kupiga...
  4. Alwaz

    Kiwango cha ulemavu kwa askari wa Israel kinatisha

    Idadi ya askari walipata ulemavu katika jeshi la Israel katika vita vinavyoendelea imepanda sana na kuongeza gharama za vita. Askari hao wamekiri wenyewe kupigwa na makombora ya Hamas,ushahidi ambao hapo zamani haikutarajiwa kusikika kutoka jeshi la Israel. Habari hizi ni miongoni mwa nishani...
  5. Roving Journalist

    Mbeya: Yadaiwa kuna wanaowatumia wenye ulemavu wa akili kutupa taka mitaani kisha kuwalipa Tsh. 500

    Baadhi ya Wakazi wa Bonde la Uyole Jijini Mbeya, wanadaiwa kuwatumia watu wenye ulemavu wa akili 'vichaa' kutupa taka kwenye makazi ya watu na mitaro huku wakiwalipa ujira wa Tsh. 500. Hatua hiyo inatajwa kukwamisha juhudi za usafi wa mazingira kwenye bonde hilo. Hayo yameelezwa na Diwani wa...
  6. R

    Kuombewa/maombi/maombezi - Kiini cha ulemavu wa kiroho kwa Wakristo

    Mkristo anayejielewa anatakiwa kuweka sawa uhusiano wake na BABA yake aliye MBINGUNI na kuwa na ujasiri wa kuongea na Mungu kama "Abba". Siku hizi kuna usanii wa maombezi na watu wahuni tu wanapiga pesa kwa kuwashawishi wajinga kwamba wana uwezo wa kuwaombea watu kwa Mungu. Upumbavu au niuite...
  7. sky soldier

    Tuwe wazi, kupata mtoto mwenye ulemavu au magonjwa ya kuwa tegemezi maisha yake yote ni zawadi kutoka kwa Mungu?

    Wewe hapo unaesoma uzi huu ukipata mtoto ama tayari unae: Haoni na hasikii Hajitambui Utindio wa ubongo Ugonjwa wa kumfanya ahudumiwe kila kitu Kwako wewe kutoka moyoni mwako, hii ni zawadi kutoka kwa Mungu?
  8. Captain Eno

    Tuache unafiki, kuwa na mtoto mwenye ulemavu au magonjwa haya ni baraka?

    Na wengi wao huishia kufungiwa ndani, Mtoto mwenye matatizo ya akili, waweza kuta mtoto umezaa ana ulemavu kwenye akili yani hata yeye ni kama vile hajitambui, Kipofu - Hawezi kuona, kujifunza pia inakuwa ngumu sana, kwa mazingira yetu hata kutembea nje kwa fimbo si salama. Bubu - Hawezi...
  9. E

    Rais Samia, watake radhi watu wenye ulemavu wa macho

    Wengine wamechipuka tu, wakaona dunia ndio hii hapa, wakawa kama kipofu kaona jogoo, kila unachomwambia, kama jogoo? Kama jogoo? Kumbe aliona jogoo macho yakafumba tena, kwa hiyo anachokijua duniani ni jogoo tu. https://youtu.be/xvzea3alrRg?t=1293 Sasa dunia ya leo upeo wa watu kuheshimu...
  10. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Martha Mariki Asema "Kuwatenga Watu Wenye Ulemavu ni Dhambi Kubwa Sana

    Mbunge Martha Mariki Asema "Kuwatenga Watu Wenye Ulemavu ni Dhambi Kubwa Sana WAKAZI wa mkoa wa Katavi wameaswa kutowatenga watu wenye mahitaji maalumu badala yake wawe sehemu ya kuwaelimisha juu ya fursa mbalimbali zinazotolewa na serikali Kwenye kundi hilo. Wito huo umetolewa na Mbunge wa...
  11. mjandwasafi

    SoC03 Ukosefu wa vyoo wezeshi: Kizuizi kwa elimu ya wanafunzi wenye ulemavu

    Uwepo wa vyoo bora ni muhimu sana katika shule ili kuhakikisha mazingira salama na afya kwa Wanafunzi ili kuwezesha suala la ufundishaji na ujifunzaji. Hata hivyo katika shule jumuishi changamoto hujitokeza linapokuja suala la vyoo kwa Wanafunzi wenye ulemavu na wenye mahitaji maalumu. Suala...
  12. The Burning Spear

    Uislamu Siyo Kilema, Waislamu acheni kulia lia Tunapowakosoa

    Waislamu Wengi hasa hawa wa Tanzania Huwa wanajiona kama ni kundi lenye mahitaji maalumu. Yaani kundi la kupendwa pendwa lisilotakakiwa kukosolewa pale mnapo mbwela mbwela Ngoja niwaambie nyie siyo walemvu. Habari za Kusema Kila kitu eti Kwa kuwa ni muislamu ndo maana imekuwa hivi na vile...
  13. J

    SoC03 Kwanini katika jamii ya wamasai hakuna watu wenye ulemavu? Serikali inatakiwa kufanya nini ili kukabiliana na jambo hili kupitia utawala bora

    Wamasai ni miongoni mwa makabila maarufu katika manila takribani 150 yanayopatikana nchi Tanzania katika kanda za mikoa ya kanda za juu kusini hususani mikoa ya Arusha na Kilimanjaro, jamii ya kimasai ni jamii maarufu katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kutokana na sifa ya kipekee ya...
  14. K

    SoC03 Maboresho katika utoaji wa elimu maalum katika kuchochoea maendeleo kwa wenye ulemavu

    Elimu maalum ni aina ya elimu inayolenga kutoa mafunzo na huduma za elimu kwa watu wenye mahitaji maalum au ulemavu. Mahitaji maalum yanaweza kuwa ya kimwili, kiakili, kihisia au ya kujifunza. Elimu maalum inalenga kutoa fursa sawa za elimu kwa watu wenye ulemavu ili waweze kufikia uwezo wao...
  15. UMUGHAKA

    Serikali imeamua kabisa kula kuku kwa mrija kufurahia watanzania kupoteza maisha/kupata ulemavu wa kudumu

    Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!. Hivyo ndivyo navyo weza kusema kwasababu ni kama viongozi waliopewa dhamana ya kuwatumikia watanzania na kuhakikisha mali na usalama wa maisha yao unalindwa kwa wivu mkubwa. Hizi ajali zinazoendelea kuwamaliza watanzania na kuwaacha wengi wakiwa na...
  16. Mwl.RCT

    SoC03 Kuwawezesha Wazee na Watu Wenye Ulemavu: Jinsi ya Kuheshimu Haki na Ustawi Wao katika Jamii

    KUWAWEZESHA WAZEE NA WATU WENYE ULEMAVU: JINSI YA KUHESHIMU HAKI NA USTAWI WAO KATIKA JAMII Imeandikwa na: MwlRCT UTANGULIZI Muktadha: Wazee na watu wenye ulemavu ni sehemu muhimu ya jamii yetu. Hata hivyo, mara nyingi wanakabiliwa na changamoto nyingi, ikiwa ni pamoja na ubaguzi, unyanyapaa...
  17. J

    Nini kifanyike kuwalinda Watoto wenye ulemavu katika dunia ya kidigitali?

    Dunia kwa sasa inapitia mapindizu makubwa ya kidijitali, watoto limekuwa miongoni mwa kundi muhimu ambalo linastahili kulindwa na kuongozwa katika suala zima la matumizi ya kidijitali. Zaidi ya wadau mbalimbali kusisitiza umuhimu wa kuwalinda watoto katika wakati huu wa mapinduzi ya kidijitali...
  18. TheForgotten Genious

    SoC03 Vifaa wezeshi vya watu wenye ulemavu wa macho(Vipofu) na masikio(Viziwi)

    UTANGULIZI. Macho na Masikio ni milango muhimu ya fahamu inayotumika mara nyingi zaidi,Ikitokea ikapoteza uwezo wa kufanya kazi basi inakuwa changamoto kwa muhusika kupata haki zake za msingi kama kusoma,na kuajiriiwa,na kama atasoma basi ni kwa shida sana kutokana na ukosefu ama uchache...
  19. M

    Wazazi na walezi kuna vyuo vya ufundi kwa watu wenye ulemavu, tuvitumie

    Ndugu zangu Watanzania kwanza nianze kwa kutoa ufafanuzi kidogo juu ya VYUO hivi vya ufundi Kwa watu wenye ULEMAVU. Hivi ni VYUO vilivyoanzishwa maalum kwaajili ya kuwasaidia walemavu kupata ujuzi na stadi za maisha Ili waweze kujitegemea na pia kujichanganya na jamii wanamo ishi. VYUO hivi...
  20. G-Mdadisi

    Mradi wa Kijaluba iSAVE Zanzibar kuwawezesha Walimu wa Vikundi kusaidia kukuza uwezo wa watu wenye ulemavu Kiuchumi

    KATIKA kuhakikisha lengo la kushughulikia vikwazo vinavyowarudisha nyuma watu wenye ulemavu kiuchumi katika jamii Zanzibar, walimu wa vikundi na wawakilishi wa jumuiya za watu wenye ulemavu wametakiwa kufanya kazi kwa ukaribu na watu hao kupitia vikundi vya hisa ili kuwawezesha kujiinua...
Back
Top Bottom