Stone Town of Zanzibar (Arabic: مدينة زنجبار الحجرية), also known as Mji Mkongwe (Swahili for "old town"), is the old part of Zanzibar City, the main city of Zanzibar, in Tanzania. The newer portion of the city is known as Ng'ambo, Swahili for 'the other side'. Stone Town is located on the western coast of Unguja, the main island of the Zanzibar Archipelago. Former capital of the Zanzibar Sultanate, and flourishing centre of the spice trade as well as the slave trade in the 19th century, it retained its importance as the main city of Zanzibar during the period of the British protectorate. When Tanganyika and Zanzibar joined each other to form the United Republic of Tanzania, Zanzibar kept a semi-autonomous status, with Stone Town as its local government seat.
Stone Town is a city of prominent historical and artistic importance in East Africa. Its architecture, mostly dating back to the 19th century, reflects the diverse influences underlying the Swahili culture, giving a unique mixture of Arab, Persian, Indian and European elements. For this reason, the town was designated as a UNESCO World Heritage Site in 2000.Due to its heritage, Stone Town is also a major visitor attraction in Tanzania, and a large part of its economy depends on tourism-related activities.
Watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu, Mkoa wa Manyara, tunaomba msaada wenu kufichua changamoto na madai yanayoikabili halmashauri yetu.
Tumekuwa tukikumbwa na uongozi usioridhisha kuanzia ngazi ya madiwani, Mkurugenzi hadi wakuu wa idara mbalimbali. Kwa mtazamo wetu, viongozi hawa...
Anonymous
Thread
haki
halmashauri
mbulu
mji
msingi
sana
wake
watumishi
Eneo la Kabwe ni mfano halisi wa changamoto zinazohitaji maamuzi ya uongozi.
Wafanyabiashara wadogo wanahitaji kupangwa katika maeneo yanayofaa ili waendelee kutafuta riziki bila kuziba njia za watembea kwa miguu na kuathiri mtiririko wa magari.
Ni kweli kwamba uamuzi wa kuachia stendi ya...
Nakuunga juhudi zako lakini anza na uchafu barabarani kwanza ,tengeneza mitaro,na sehemu za kutupa taka.
Unakuta mji mzima asubuhi umesheheni makohozi tu hata kwa kukanyaga hakuna inakulazimu uruke makohozi kama madimbwi ya maji
makohozi mengine unakuta yamechanganyika na ugoro
Weka sheria...
MHE. GHATI CHOMETE ATEMBELEWA NA MADIWANI WA HALMASHAURI YA MJI WA TARIME-BUNGENI DODOMA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe. Ghati Zephania Chomete ametembelewa na Wahe.Madiwani wakiongozwa na Mhe.Thobias Elias Ghaty- M/Kiti wa Halmashauri ya Mji wa Tarime.
Madiwani hao walifika Bungeni...
Fanya biashara ya kukodisha mbao za linta,
Majukwaa Kwa ajili ya kujengea,
Fox,
Mapipa ya kuwekea maji
Kodisha mpaka machepe, Suluku, majembe nk
Changamoto yake kubwa utakayoipata ni mafundi kukata mbao ndefu.
Kuitatua hiyo changamoto nenda saiti fundi apime vipande vyote anavyohitaji nenda...
Mwenyekiti wa Mamlaka ya mji mdogo Maswa mkoani Simiyu,Carolina Shayo amezuia mzabuni ya uondoshaji wa taka katika mji wa Maswa kutoendelea na kazi na hivyo kusababisha mji kuwa mchafu kila kona.
Ametumia vibaya madaraka yake kuzuia shughuli halali za serikali kufanyika baada ya mzabuni huyo...
Singida ina potential kubwa sana ambayo bado haijatumika kikamilifu. Imagine katikati kabisa ya mji kuna view ya mabwawa mawili, hali ya hewa ya kawaida, mazingira yenye utulivu na maji yanayoweza ku-refresh akili. Kwa mipango mizuri ya mji, Singida ingeweza kuwa moja ya miji yenye kuvutia zaidi...
Kigamboni ilikuwa na potential kubwa kuwa mji wa kisasa zaidi Tanzania kutokana na beach nzuri, usalama, nafasi kubwa ya ardhi na ukaribu na city centre. Watu walitegemea baada ya daraja kujengwa ingejaa hotels kubwa, malls, arenas na majengo marefu kama Dubai au Miami.
Lakini imebaki local...
Post hii haihusu DSM, inahusu majiji mengine na manispaa za mikoani, Ukiishi Dar lazima tu ujifunze ku-adapt maisha ya mjini, hata ukijenga kilometa 40 nje utajikuta kwenye miji mikubwa kama kibaha
Kama ningerudi upya kufanya maamuzi ya ujenzi, nikiwa na usafiri wa uhakika, ningejenga kilometa...
Nyaraka kutoka ufukweni kusini mwa Lebanon zinaonyesha mizoga ya magaidi wa Hezbollah waliouawa katika siku za hivi karibuni na sasa zinaozeana na kukaushwa na jua la jangwani tu.
Magaidi wa Hezbollah waliyataka wao wenyewe kwa kujipendekeza kwa Bwana wao Iran!!
"Lango la Ushindi" la Bint Jbeil laangukia mikononi mwa majeshi hodari ya Israel!!
Kikosi kazi cha 'Argentina' cha IDF imekamilisha shughuli zake kwa kuuteka mji wa Bint Jbeil kufuatia kutekwa kwa mji wa kusini mwa Lebanon, ambao hapo awali ulielezewa na Marehemu Gaidi Hassan Nasrallah kama...
Watu wanaumia aisee jamaa katoka machimboni, karudi anapewa story kuwa mke wake alikuwa anaruka ruka nje, break ya kwanza ni kwenda kupima kwa lazima, imebidi jamaa amkimbie waifu kimya maana wife ana umeme na amemuachia chumba na vyombo vyote.
Mzee hapa mtaani ana wake watatu, alivyojigundua...
Raman za nyumba zinazokubalika na Halmashauri/Mamlaka ya Mji lazima ziwe na vitu hivi:
1. Taarifa za Msingi - Title Block
Jina la mradi - Mf: Nyumba ya Makazi ya Bw. Juma Ally
Mmiliki - Jina kamili la mteja
Mahali - Plot No, Block, Kitongoji, Kata, Wilaya
Msanifu - Jina, saini, namba ya...
Mimi ni mwajiriwa Mpya Manispaa ya TEMEKE, Dar es Salaam, March 6, 2026 tuliwekewa fedha kwenye account zetu waajiriwa wapya Idara ya Msingi, jumla ya Walimu 77 tuliwekewa fedha kwa wastani kila mmoja alipata laki tisa na point.
Hatukujua nini, kuna baadhi ya wenzetu walijaribu kupiga simu...
Anonymous (b5ce)
Thread
halmashauri
halmashauri ya mbulu
hela
kujikimu
mbulu
mji
wake
Vyanzo vyangu kutoka Iran vinaripoti kuwa kumetokea milipuko mikubwa nchini humo.
Video zinazoonyesha milipuko karibu na kituo kikubwa cha makombora nje kidogo ya mji wa Isfahan zimethibitishwa.
Kitengo cha BBC Verify kimechambua video tatu zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, ikiwemo...
Wana theology,wataalam wa biblia na wale Wana historia napenda kuwasilisha swali kwenu nikitaka kujua mji wa galilaya ambao umetajwa kwenye biblia kwa Sasa uko katika nchi Gani na huo mji kwa sasa unaitwaje?
Miji kama ya nazalete,sodoma na gomora n.k iko katika nchi Gani na kwa Sasa...
Habari Jamii forum naomba utupazie kero yetu wahusika wangazi za juu watusaidie
Watumishi wanawake wa Hospital ya Mji kondoa katika Wilaya ya Kondoa -Dodoma tunakero kubwa wanawake ambao tukipata ujauzito hua baadhi yetu tunakua na changamoto za kiafya kutokana na mimba tulizo nazo ambapo...
Kuna daraja lipo Kibaha Mji, Kata ya Pangani, Mtaa wa Lumumba (liko karibu na Daraja la Jeshi) liliharibika wakati wa mvua ya Mwaka juzi (2024) ile kubwa lakini mpaka leo halijatengenezwa tunapata shida sana tunazunguka mbali tunaomba msaada mamlaka zinazohusika zifanya jambo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.