vyama vya siasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mchungaji Msigwa: Msajili wa vyama vya siasa ana matatizo, hayupo kwa maslahi ya Taifa

    Mchungaji Peter Msigwa akihojiwa na Wasafi FM, Juni 2, 2026 amesema; "Mvutano kati ya Msajili na Chadema haujanza leo. Lakini tukiwa wakweli ambao, hatupepesi macho, na tunalipenda taifa kuliko vyama vyetu vya kisiasa itikadi; nadhani Msajili hayuko sawa, mizani haija—balance. Kwa sababu maneno...
  2. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Nyahoza: Vyama vya siasa vifuate sheria tusiwe tunaandikiana barua

    Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, amethibitisha kuwa ujio wa ofisi hiyo katika Makao Makuu ya CHADEMA leo Jumatatu, Juni 1, 2026, ulikuwa na agenda moja tu ya kisheria inayohusu uundaji wa sera na madawati ya jinsia, huku akigoma katakata kujibu maswali ya wanahabari kuhusu...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu yamzuia kwa muda Msajili wa Vyama kuisimamisha au kuitoza faini CHADEMA

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Babati mkoani Manyara, imetoa zuio la muda kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kuchukua hatua zozote kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Amri ya zuio hilo la upande mmoja (ex parte temporary prohibitory) limetolewa Jumatatu Mei 25, 2026 na Jaji...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Msajiri wa vyama vya siasa awe anaweka hadharani barua anazoviandikia vyama vya siasa na majibu yao kwa sababu inahusu mambo ya umma sio siri

    Hivi karibuni msajiri wa vyama vya siasa alidai kwamba, watu wanafikiri huwa hawaandikii CCM barua za kujieleza kwa sababu anapowaandikia CCM barua hizo CCM huwa hawazianiki hadharani kama wanavyofanya Chadema. Labda ni kweli. Lakini sasa, kwa kuwa vyama vya siasa ni vyama vya umma na sio...
  5. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Wanahabari wetu bure Kabisa nilitegemea leo kuamkia kwenye Offce ya Msajili wa vyama vya siasa kuhusu kauli ya Chatanda Kimya

    Nilitegemea waandishi wa habari leo kuamkia kwenye offce za msajiri wa vyama vya siasa kufanya nae mahojiano kuhusu kauli ya Marry Chatanda kuifuta chadema na huyu mama kakiuka katiba ya 1977 lakini waandishi wa habari kimya ?
  6. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Kwa Sisty Nyahoza: Hebu onesha kwa umma barua ulizowaandikia CCM ukiwatishia kuwafutia usajili wao kwa kauli za viongozi na wanachama wao

    https://www.youtube.com/live/9rRDBtpMBqU?si=64FYJTRZAy4diXUs Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa kupitia kwa mtu mmoja tu aitwaye Sisty Nyahoza imeanza tena kutengeneza mwanya wa uwezekano wa kutokea kwa vurugu na mauaji mengine kwa sababu tu ya maamuzi na utendaji wao mbovu, wa kijanja janja...
  7. Ex Spy

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa inachokifanya dhidi ya wapinzani kina madhara mbeleni

    Tumsikilize ndugu Twaha Mwaipaya, ana hoja: Kama rais Samia ni halali msajili wa vyama vya siasa unapaswa ujiulize kwanini alikwenda kuapishiwa kwenye kambi ya jeshi? Sasa sikiliza umesema haya matamshi ya viongozi wa Chadema ni matamshi halali,je uliwahi kusikiliza matamshi halili kutoka...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Odero: Chadema waombe kikao na msajili wa vyama vya siasa ili kujadiliana na kuleta suluhu ya pamoja

    Jamaa baada ya kuvuliwa uwanachama wa CHADEMA ameamua kuendelea kuipambania chama hicho kwa namna yake ============ Mwenyekiti wa kamati ya kusukuma mchakato wa maridhiano ya Kitaifa na Mchambuzi wa masuala ya siasa Bw. Charles Odero amekishauri Chama cha demokrasia na maendeleo Chadema kukaa na...
  9. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Msajili wa vyama vya siasa kuleta machafuko kama ya Oktoba 29 !

    Asema atakifutilia mbali CHADEMA kama kisipofanya shughuli zake za Siasa inavyotakiwa. Hapa nafikiri ndugu Msajili alimaanisha CHADEMA wamsifu Madame Presider ikiwezekana wampe na Tuzo ya Rais aliefanya Siasa bora Tanzania. Sisi wananchi yetu macho, mkitunyima haki tunaitafuta kwa nguvu
  10. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Namshauri Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini Kuifutia Usajili CHADEMA

    Kama mwanadiplomasia na mwanasiasa mwandamizi nchini, nimeifuatilia chadema kwa karibu sana na kwa muda mrefu, na nimethibitisha pasina shaka na kujiridhisha kwamba, chadema inakiuka sheria na masharti ya usajili wake, na kwahivyo inastahili kufutwa rasmi kisheria. Na hii itasaidia sana...
  11. M

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Msajili wa vyama vya Siasa aache vitisho na hujuma dhidi ya vyama vya Upinzani

    Msajili wa Vyama vya Siasa amekiandikia barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) (barua ya tarehe 07 Mei, 2026 yenye kumbukumbu namba HA. 322/362/16A/22) akikitaka kijieleze kwa nini kisisimamishwe usajili wake au kutozwa faini kwa kile alichokieleza kuwa ni 'ukiukaji wa sheria ya vyama...
  12. Ileje

    JamiiForums Tanzania Martin Maranja amtaka Msajili wa Vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi kuacha kutumia ofisi ya umma kama chanzo chake cha mapato!

    “Msajili wa Vyama vya Siasa anawataka CHADEMA muwasilishe maelezo kueleza kwa nini usajili wa chama chenu usisimamishwe au kutozwa faini kwa kukiuka masharti ya Sheria ya Vyama vya Siasa, ikiwemo masharti ya usajili.” — Msajili wa Vyama vya Siasa. Kwamba CHADEMA itozwe faini/kufutiwa usajili...
  13. Ileje

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwabukusi: Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa ni kirusi kwa demokrasia, imechangia vurugu za Oktoba 29

    OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA IDHIBITIWE KABLA HAIJASABABISHA MAAFA KWA MARA YA PILI. Tumeshauri sana na tunaendelea kushauri. Ofisi ya Msajili wa Vyama ndiyo chemichemi ya vurugu za kidemokrasia ndani ya Vyama vya Upinzani na inamchango mkubwa katika vurugu za Oktoba 29. Kimsingi Tume ya...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera akutana na kuzungumza na viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar

    Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera ambaye ni Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, ameendelea na ziara ya kukutana na wadau mbalimbali wa nchini Tanzania ambapo leo Aprili 13, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar. Dkt. Chakwera pia alipata fursa...
  15. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania NGOs na vyama vya siasa vya upinzani Afrika ni watengeneza maudhui katika karne hii

    "Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) na vyama vya siasa vya upinzani barani Afrika katika karne hii, vinaendeshwa kwa ushabiki na kiki nyingi kupita kiasi. Kuna mambo wanayoyafanya hadi unajiuliza iwapo watu hawa wamepoteza uwezo wa kufikiri, au tatizo ni kukosa ajenda madhubuti za maendeleo...
  16. H

    JamiiForums Tanzania Mjumbe wa UN kukutana na vyama vya siasa vya Tanzania kujadili hali ya uchaguzi 2025, rais Samia apongezwa katika Demokrasia

    Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika (UNOAU), Bw. Parfait OnangaAnyanga, ambaye ni Mjumbe Maalum wa Mhe. Antonio Guterres, Katibu Mkuu UN ameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Guinea yafuta vyama vya siasa 40

    Kupitia taarifa iliyotolewa na Wizara ya Tawala za Mikoa, ilieleza kuwa vyama hivyo vimeshindwa kutimiza wajibu wao wa kisheria, na kuamuru kusitishwa kwa shughuli za vyama hivyo pamoja na kufungiwa kwa mali zao. Soma pia Serikali ya Kijeshi Guinea yasitisha shughuli za vyama 3 vya upinzani...
  18. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima akitambulisha uwepo wa vyama vya siasa mbalimbali kwenye msiba Kardinali Pengo. Umegundua nini?

    Wakuu, Hii ni leo wakati Padri Kitima anatambulisho uwepo wa vyama vya siasa mbalimbali kwenye msiba wa Kardinali Pengo Hapo kuna sehemu kataja kuna vyama 17
  19. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Hakuna jinsi Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa ikafutwa?

    Hii Ofisi ikifutwa ni nini kitakosekana kwenye siasa za Tanzania? Naona kuwa na ofisi hii pamoja na waajiriwa wake ni ufujaji wa pesa za maskini walipa kodi wa nchi yetu.
  20. Pakome

    JamiiForums Tanzania Sina chuki na CHADEMA wala CCM, niliyoandika yalikuwa madhaifu ya kila Chama, vyama vya Siasa vinachochea maendeleo, yaliyotokea Oktoba 29 yasijirudie

    Hakuna Chama Takatifu cha Siasa duniani, kila Chama kima madhaifu yake, kinachotakiwa kufanyika ni kusahihishana, kusamehana na kusonga mbele Niliyoandika katika nyuzi zangu zilizopita yalikuwa ni madhaifu ya kila Chama na sii udalali wa siasa au uchawa kwa lugha ya mtaani Binafasi sina chuki...
Back
Top Bottom