vyama vya siasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Unadhani ni kwanini wasomi wengi nchini Tanzania, husita kujiunga na vyama vya siasa vya upinzani?

    Ukiachilia mbali kukosekana discipline katika kueneza itikadi, sera na agenda za vyama hivyo vya siasa vya upinzani nchini, na pengine utamaduni usio na staha wa uropkaji, kutukana na kuporomosha matusi miongoni mwa viongozi na wafuasi wa vyama vya siasa vya upinzani nchini, dhidi ya wenye maoni...
  2. G

    JamiiForums Tanzania Ili kupunguza machawa kwenye vyama vya siasa na kupata viongozi WAZALENDO liwepo sharti Kila kiongozi wa chama awe shughuli ya kiuchumi kupata kipato

    Hii mbinu inaweza ipunguze tatizo Kwa kiasi kikubwa Sio CCM Wala Chadema au chama KINGINE CHOCHOTE kumekuwepo na wingi la machawa wanaonunulika kirahisi. Nikianza na Chadema ambayo wengi tunatarajia kuona ikichukua uongozi wa nchi hali ni mbaya zaidi. Viongozi wengi wa Chadema wamekuwa wepesi...
  3. Pakome

    JamiiForums Tanzania Je, maridhiano ni kati ya Vyama vya Siasa au Serikali na Wananchi?

    Baadhi yetu Wananchi hatujui maridhiano yamelenga nani kati ya Vyama vya Siasa au Serikali na Wananchi
  4. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Nashauri vyama vya siasa visivyo na sifa za kisheria kushiriki uchaguzi visipewe kipaumbele kwenye maridhiano ya hiyari ya kitaifa

    Ni muhimu zaidi vyama vya siasa vyenye sifa za kikatiba za kushiriki chaguzi ndio haswa viketi chini pamoja na kushauriana namna ya kuliunganisha taifa kwa hiyari katika maridhiano hayo miongoni mwa waTanzania. Hakuna haja, wala sababu hata moja ya kubabaika na porojo au masharti useless ya...
  5. E

    JamiiForums Tanzania Wasomi: Ni makosa kudhani maridhiano yatapatikana kwa vyama vya siasa peke yake

    Mkutano wa Rais Samia Suluhu Hassan, na viongozi wa vyama vya siasa uliofanyika Ikulu, Dar es Salaam Julai 30, umeibua tena mjadala kuhusu mwelekeo wa maridhiano nchini baada ya kipindi cha mvutano wa kisiasa kilichofuatia uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Kwa upande wa Serikali, mkutano huo...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amefanya mazungumzo na Viongozi wa Vyama vya Siasa Ikulu Dar es Salaam

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezugumza na Viongozi wa Vyama vya Siasa nchini, Ikulu Dar es Salaam leo tarehe 30 Julai, 2026.
  7. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli upinzani Tanzania haujui unachotaka, unachokipambania au kukipigania?

    Kwasababu sote ni mashahidi na tunasikia na kuona jinsi ambavyo wanayumba na kudandia kila kitu ambacho ni kipaumbele cha waTanzania, na all over the sudden wanakibwaga na kudandia kingine on the spot. Halafu wamekua wakisubiri na kutambaa na matukio tu ya kisiasa kadiri yanavyotokea, je, hii...
  8. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Masharti na mashinikizo ya vyama vya siasa na asasi za kiraia katika kujenga msingi wa maridhiano hiyari ya waTanzania kuelekea katiba mpya yapuuzwe

    Kama ambavyo ilitokea kabla na katika uchaguzi mkuu wa oct.2025, wenye misimamo ya vyama vyao ikiwa ni pamoja na kususia uchaguzi mkuu walipuuzwa. Nadahni ni muhimu sana kama taifa kusonga mbele katika utaratibu huo huo kwamba atakae suasia au kuja na mashariti ya chama chake kuelekea maridhiano...
  9. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Viongozi watatu wa CHADEMA kutoka mikoa ya Morogoro na Tanga wamewasilisha malalamiko rasmi kwa Msajili wa Vyama vya siasa

    Viongozi watatu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kutoka mikoa ya Morogoro na Tanga wamewasilisha malalamiko rasmi kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, wakipinga hatua zilizochukuliwa dhidi yao walipopaza sauti kuhusiana na tuhuma za ubadhirifu wa pesa za michango ya wadau kwa chama hicho...
  10. Q

    JamiiForums Tanzania Joseph Selasini ni kirusi ndani ya vyama vya siasa, afutiwe uanachama haraka kabla hajaleta madhara.

    Joseph Selasini alikuwa ni miongoni mwa Wanamageuzi 15 waliounda Kamati ya Kitaifa ya Mabadiliko ya Kikatiba, The National Convention for Construction and Reform (NCCR) mwaka 1991, wakiongozwa na Mzee Fundikira, Mtikila, Marando, Lwamwai na wengine. Kwenye kamati hiyo akiwa na Mabere Marando...
  11. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Ikiwa baadhi ya vyama vya siasa hufurahia wenye maoni tofauti na yao wanapofikwa na misiba/umauti, hivi kuzomea inaweza kua jambo la kushangaza kweli?

    Nimeona habari ya kuzomea zomea ikisambazwa mitandaoni na kuchukuliwa kanakwamba ni jambo kubwa sana, au jambo jipya sana au jambo la kushangaza sana. Nadhani sote ni mashahidi kwamba, ikiwa watu hao kutoka miongoni mwa vyama vya siasa siasa nchini, wanaweza kufikia hatua ya kufurahia na...
  12. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Kuhojiana ndani ya vyama vyetu ndiyo ustaarabu,tusifukuzane kisa kuhoji

    Kuhojiana ndiyo tamaduni uliyo ya kistaarabu sana hasa ndani ya vyama vyetu,au vyombo vyetu vya umoja au umma,hasa pale panapokuwa na mashaka fulani fulani, kuhojiana ndani ya vikao vya chama hakupaswi kuwa fimbo kwa wale wanaohoji maswala kadhaa wa kadhaa, Basi kwa hili,tunaomba wale wote...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Msajili wa Vyama Vya Siasa Aingilie Kati na Kumsimamisha Uongozi John Heche Ili kuepusha Vurugu zinazoweza kutokea

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa hali iliyopo na inayoendelea ndani ya CHADEMA ni vyema sana na muhimu sana kuchukuliwa kwa hatua za haraka na Dharura kwa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Kumsimamisha uongozi John Heche Ili kuepusha Vurugu zinazoweza kutokea kwa wanachama kuamua kujichukulia...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Msajili wa Vyama vya Siasa anatakiwa kuipatia CHADEMA malimbikizo ya ruzuku yake yote kuanzia Juni hadi Oktoba 2025

  15. R

    JamiiForums Tanzania Haitham Suleiman: Vyuo vikuu vimepoteza hadhi, vimegeuka kuwa matawi ya vyama vya Siasa

    Haitham Nassor Suleiman, amevituhumu vikali vyuo vikuu na asasi za kiraia (CSOs) nchini kwa kushindwa kutekeleza wajibu wao wa kimsingi wa kuwajengea uwezo wa kuhoji na kuwapa jukwaa vijana . Akizungumza leo Julai 9, 2026, katika Jukwaa la Demokrasia, Haitham amebainisha kuwa taasisi hizo mbili...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Askofu Dkt. Bagonza: Vijana wengi wanabaguliwa katika michakato ya kisiasa kwa kulazimishwa kuwa wanachama wa vyama vya siasa

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Askofu Dkt. Benson Bagonza, amesema "Vijana wengi katika taifa letu wanabaguliwa katika michakato ya kisiasa kwa kulazimishwa kuwa wanachama wa vyama vya siasa." Akizungumza Julai 9, 2026, katika Jukwaa la...
  17. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Natamani wananchi wote turudishe kadi za vyama vya siasa. Kusiwe na chama

    Wakuu Sina uwezo mkubwa kujenga hoja Bali hapa nitajaribu. Ni suala la vyama vya siasa, hapa nikiweke pembeni CCM na chadema. Kuna zaidi ya vyama 10 na nakumbuka vilishiriki uchaguzi wa 2025 oct. Vyama hivi zaidi ya Kumi ukitoa CCM na chadema ni vikundi vya wahuni. Ni afadhari hawa wawili...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Vyama vya siasa ndio vipewe haki ya kuitisha maandamano kwa uwajibikaji na matokeo ya maandamano

    Kwako , Rais wetu Dkt. Samia Suluhu na Serikali kwa ujumla, Nakusalimu kwa jina la JMT, Nina ushauri wa kudhibiti hali ya tishio la maandamano la mara kwa mara. Katika matishio hayo inavyoonekana kwa nje , wananchi ndio wanayoratibu na wanayataka wao lakini ukweli ni kwamba maandamano hayo...
  19. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Vyama vyote vya siasa vifutwe tusiwe na vyama vya siasa

    Nadhani wakati umefika Sasa Tanzania tufute vyama vyote vya siasa na nchi isiwe na Chama chochote cha siasa. Ujengwe mfumo ambao wananchi wataruhusiwa kuchagua viongozi wao bila ya kupitia vyama vya siasa ama kikundi chochote kile. Kwenye ngazi zote ziwekwe sifa za kugombea na watakaotaka...
  20. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Wazungu Wana-support Anarchy politics Africa ili nchi zishindwe kujenga uchumi wao Kuna vyama vya siasa vinapewa hela nyingi kuharibu amani za Nchi

    Kwa Tanzania chama ambacho kinapewa Hela nyingi na wazungu kwa lengo la kuvuruga Amani na uchumi ni CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA ) kipo Tanzania Vyama vingine ni New Patriotic Party kipo Ghana, chama cha Democratic Alliance kipo South Africa, Citizens coalition for change party...
Back
Top Bottom