SHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS
Tafadhali jiepushe na mambo yafuatayo:
1. Kumvunjia heshima, kumkejeli, kumtukana, mjumbe yeyote.
2. Kuleta katika JAMII FORUMS maelezo yenye maudhui...
Shikamoo wakubwa pole na majukumu na mihangaiko mimi ni mgeni naomb mnipokee .
Shukrani nyingi ziende kwa mwanzilishi wa JamiiForums kutokana na kuazisha jukwaa hili kupitia jukwaa hili...
Wakuu kwemeni na hamjamboni aisee nimekumbana na changamoto ya namna nzuri ya kutumia JF
1. Nashindwa kuwatag watu niwapendao mf.Seran
2. Nashindwa kudouble reply
3. Nashindwa kuquote uzi kama...
Salam
Kwa mara ya kwanza namejiunga JF rasmi, heshima kwenu wadau
Kwa niaba ya wengi naomba niwataje wakuu kadhaa walio nivutia zaidi kuingia humu.
1. Robert H. Mtibeli
2.Mshana jr
3.Tate mkuu...
Asalam aleykum,Bwana asifiwe watanzania wenzangu.
Awali ya yote Mimi ni mgeni hapa JF lakini nimeifuatilia tangy nipo shule mwaka 2018 so naombeni mnipokee.
Kuna kitu nakiona na kinaniumiza sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.