Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
  • Closed
  • Sticky
SHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS Tafadhali jiepushe na mambo yafuatayo: 1. Kumvunjia heshima, kumkejeli, kumtukana, mjumbe yeyote. 2. Kuleta katika JAMII FORUMS maelezo yenye maudhui...
26 Reactions
2 Replies
26K Views
Habari wakuu baada ya kupotea kwa muda nimerudi na account nyingine jamii forum.
0 Reactions
0 Replies
51 Views
Shikamoo wakubwa pole na majukumu na mihangaiko mimi ni mgeni naomb mnipokee . Shukrani nyingi ziende kwa mwanzilishi wa JamiiForums kutokana na kuazisha jukwaa hili kupitia jukwaa hili...
0 Reactions
0 Replies
46 Views
Wakuu kwemeni na hamjamboni aisee nimekumbana na changamoto ya namna nzuri ya kutumia JF 1. Nashindwa kuwatag watu niwapendao mf.Seran 2. Nashindwa kudouble reply 3. Nashindwa kuquote uzi kama...
9 Reactions
42 Replies
294 Views
Salam Kwa mara ya kwanza namejiunga JF rasmi, heshima kwenu wadau Kwa niaba ya wengi naomba niwataje wakuu kadhaa walio nivutia zaidi kuingia humu. 1. Robert H. Mtibeli 2.Mshana jr 3.Tate mkuu...
4 Reactions
10 Replies
141 Views
Habari zenu wakuu Mimi ni mwanachama mgeni nimejiunga siku za karibuni ila nimekuwa msomaji wa jukwaa hili kwa muda mrefu sasa
9 Reactions
42 Replies
366 Views
Habari zenu ndugu,,,, wakubwa shkamooni!!!!!! Mim mtanzania mwenzenu naombeni ukaribisho wenu nimeamua kujiunga na jamiiforums.
1 Reactions
14 Replies
141 Views
Njia za kupita sizioni, yaani mambo ni hoves😅 naogopa nisije nikachanganya mambo 😄😄😄 Natoa tahadhari mkinikuta nimeangukia mahali humu msinicheke
11 Reactions
94 Replies
898 Views
Habari wana JamiiForums, mimi ni mwananchama mpya naomba mnipokee
8 Reactions
44 Replies
364 Views
Hello guys l'm new member here so we are in this together
1 Reactions
5 Replies
97 Views
  • Redirect
Hope we can be together till the end
0 Reactions
Replies
Views
Shkamooni wakuu! Nawasalimia me ni mgeni humu, nimejiunga juzi, ila JF nimeijua tangu mwaka jana. Mnikaribishe tafadhali.
13 Reactions
56 Replies
717 Views
Asalam aleykum,Bwana asifiwe watanzania wenzangu. Awali ya yote Mimi ni mgeni hapa JF lakini nimeifuatilia tangy nipo shule mwaka 2018 so naombeni mnipokee. Kuna kitu nakiona na kinaniumiza sana...
9 Reactions
19 Replies
264 Views
Habari zenu, naomba mnipokee. Natumai nitajifunza mengi sana katika jukwaa hili kubwa sana
6 Reactions
34 Replies
441 Views
Hello Nimekuwa sehemu ya Familia. Niko tayari kuchangia elimu ya juhudi dhidi ya rushwa na udanganyifu kunufaisha wadau mbali mbali. Karibu
6 Reactions
9 Replies
209 Views
shkamooni, kaka na dada wa Jamiiforums. Mimi member mpya JF nipokeeni, nawapenda woote.
9 Reactions
62 Replies
960 Views
Mi wamda mrefu umu ila nilikuwaga nasoma sasa nimeamua kujiunga mana kuna mada zinanivutiaga nashindwaga kuchangia asa ndo nimejiunga ivyo
5 Reactions
26 Replies
404 Views
Wakuu nadhani kila moja yuko poa humu ndani. Kama hauko poa usijali mambo yatakua fresh au unaweza kutuambia tukajua namna ya kukusaidia
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Hellow wana JamiiForums, mie ni mgeni tuu. Naombeni ushirikiano wenu na mapokez mazuri. Nawapenda
19 Reactions
269 Replies
22K Views
Mimi ni mgeni humu nimefika mwaka juzi naomba mnipokee.
6 Reactions
18 Replies
382 Views
Mimi ni new member humu JamiiForums naomba mnipokee. Ndugu zangu humu
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom