SHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS
Tafadhali jiepushe na mambo yafuatayo:
1. Kumvunjia heshima, kumkejeli, kumtukana, mjumbe yeyote.
2. Kuleta katika JAMII FORUMS maelezo yenye maudhui...
Hodi hodi wana Jf, mimi ni member mpya katika jukwaa hili naombeni mnipokee. Mimi ni mfanya biashara ninayejihusisha na; Kuuza na kufunga CCTV CAMERA. Asanteni.
Habari zenu wakuu, wakubwa shikamoo, wadogo zangu mambo niaje.
Kwa miezi ya hivi karibuni since July, 2024 nimekuwa mfatiliaji mzuri tu wa majukwaa ya JF, ilianza kwa kusearch "Elimu Tanzania"...
Habari za wakati huu wana JF, natumai mu wazima wa Afya. Mimi ni mgeni humu nimejiunga mwaka huu. Kuna vitu vingi nilikuwa sivijui nashukuru kwasasa kiasi naelewa.
Napenda kushukuru kwa uongozi...
Hallo wana JF. Nimejiunga leo na hii forum lakini nimekuwa mfuatiliaji kwa muda.
Naamini mchango wangu utaongeza, japo kidogo kwenye mabadiliko ya fikra na hazina ya ujuzi kwa...
Habari ya wakati huu mabibi na mabwana.
Baada ya kuingia mtumiaji wa jamiiforums bila account kwa kipindi kirefu hatimaye leo nimejiunga rasmi.
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.