Nilikuwa na mahusiano na pisi kali balaa (mchepuko), kutokana na uzuri wake akawa ananipiga mizinga mara kwa mara, mpaka ikafikia nikawa navaa suruali moja kauka nikuvae.
Kutokana na uzuri wake, pamoja na mizinga aliyokuwa ananipiga; nikaamua kumuwekea mazingira abebe ujauzito wangu.
Kweli...
Heshima kwenu wadau.
Naomba kuuliza kuhusu Poweramp Player kama kuna mtu ambaye amewahi kulipia hii Player anipe maelekezo kidogo. Naweza kulipia kutokea kwenye account yangu ya benki Moja kwa moja ? Hawawezi ku-hack account yangu wakafanya uhuni wowote...?
Na je, nikishalipia inakuwa ni...
kaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..
Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri...
Mwamba apewe maua yake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nahangaika kupika hapa siopoa wakuu na ukizingatia siwezi kula daku kwa mama ntilie na nimeçhoka nakazi ile mbaya.
Mchumba wangu joannah nikuoe Sasa au unasemaje😉😉😉😉😉😉😉😉
Kuna vituko huko mikoani.
Kuna wakuu wa wilaya na Mikoa hawajulikani Wana sifa zipi na elimu zao, kulingana na ujuzi wao kupewa nafasi hizo muhimu.
Ninashauri Katiba mpya kuwepo kifungu cha Sheria kinachoonesha uwezo, sifa na elimu za wakuu wa wilaya na Mikoa.
Niwatakie mchana mwema.
Ni kawaida shida huwa haipigi hodi naomba msaada hivi naweza kwenda bank ninayopitishia mshahara wngu nikazungumza na branch manager akaniwezesha kupata hiki kiasi 210k kwa makubaliano tu mshahara wangu ukiingia wachukue pesa yao
Vikao viwili vya baraza la mawaziri vilivyotangulia vilimalizika na pangua pangua kwenye wizara, mikoa na wilaya.
Leo tena ikiwa mwenzi aujaisha wamekutana tena katika kikao kazi, je nani unadhani atakuwa amemzingua mama?
DAS aliyetuhumiwa kwa mafuta atapona? Waziri aliyefanya utani atapona...
Habari za jioni wakuu.
Nimekumbwa Na tatizo la kutopokea WhatsApp code kwa wiki moja sasa naomba msaada wenu jamani
Maana kila nikijaribu inanionesha hivyo
😰😭
Habari za jioni wakuu.
Nimekumbwa Na tatizo la kutopokea WhatsApp code kwa wiki moja sasa naomba msaada wenu jamani
Maana kila nikijaribu inanionesha hivyo 😰😭
Habari, wataalam na wenye uzoefu wa jambo hili naombeni muongozo katika jambo langu hili.
Ili kujikwamua na ufukara uliokithiri Nilitaman kufanya biashara ya ufagaji.. Nilionelea nifanye ufagaji wa kuku wa mayai. But sijawah kufanya hii kitu uzoefu nilionao ni wa kuhudumia kuku wetu wale...
Inapotokea tangazo la kazi/ajira Nchini kwa maana ya huku bara tunafanya application ya tangazo husika kwa kuzingatia vigezo vya umri miaka 18 hadi 45 sifa nyingine ni kuwa mtanzania kuwa na vyeti na mambo kama hayo. So kwa kawaida watanzania wote wenye sifa na vigezo kulingana na tangazo husika...
Ninaomba ushauri, nina ufaulu wa Phy D, Math D, Chem C, Bios C na Geo C na nahitaji kusoma Mechanical maana advance combination zinabalance arts, je nifanyeje? Na ufaulu huo na nikipata two?
Mbele yangu nnatuzamana na mwanamke wa kimasai...
Ni mrembo jamani
Yuko natural
Mtoto mrefu kama ngusoo
Shingo yake ina mistari na kama mafuta hivi
Kwa hakika muumba anaumba 🙌🏻
Macho yake yameingia ndani kidogo
Alafu ana kama weusi hivi machoni
Nnashindwa tu kumpiga picha kutokana na angle...
Habari za wakati huu wakubwa.
Samahani, mimi ni kijana umri miaka 26. Nina Bachelor Degree ya Ualimu. Ninapatikana Shinyanga mjini kwa sasa.
Naamini mbali na kushare taarifa mbalimbali pia tunaweza kusaidiana humu. Najua kuna watu wa aina tofauti hivyo yote yanawezekana. Kwa yeyote anaeweza...
nimeambiwa hiki ni kifaa cha kuweza kuweka lain za sim nyingi hadi laini 8 kwa wakati mmoja kwa pamoja, naomba kuuliza inaruhusiwa kisheria kumiliki hiki kifaa na kama ni ndio kinapatikana wapi? maana kwa kazi zangu natamani sana nipate kifaa kama hiki ili nisave gharama.
“Kuna suala la mikataba,kuna amri kwamba mikoa, wilaya isimalize kuingia kwenye mikataba mpaka ofisi ya Mwanasheria Mkuu waone mikataba hiyo, lakini kuna wengine wanajifanya mafundi na kusaidi mikataba hiyo. Lakini pia kuna mikataba imefungwa kwa njia inayokubalika, lakini wakati wa kuvunja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.