naombeni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Extrovert

    Wadau wenye software ya office suite naombeni copy

    Nina shida na Microsoft office suite iliokamilika. Kama kuna link au source
  2. under500

    Mwanachama Mpya JF: Naomba Mnikaribishe

    Habari za j2 wakuu Mm ni mwana chama mpya hapa JF ndo najiunga leo kwa mara ya kwanza japo kuwa nilianza kufatilia JF toka mwaka 2024 ila ilishindikana kujiunga coz nilikua natumia simu ndogo Naombeni mnipokee wakuu nawakubali sana Wana JF
  3. N

    Naombeni ushauri nina mtaji wa 50,000 (Shilingi elfu hamsini)

    Samahani wakubwa nimeuza vitu vyangu kadhaa nimepata Shilingi elfu hamsini, nahitaji hii Hela isipotee maana sijui nitapata lini Tena. Naombeni wazo la shughuli ya kufanya Kwa kutumia kiasi hiki Cha Pesa na nipate faida. Niweze kuweka akiba ya 2,500 Kila siku Jinsia mwanaume miaka 28 Dar es...
  4. M

    Watalaam wa kuchambua bible naombeni ufafanuzi wa huu ujumbe.

    Ujumbe aliopewa musa wa kuvua kiatu alichotoka nacho kwa farao,kwamba mahala pale ni patakatifu ulimaanisha kiatu Gani?je ni kiatu kama kiatu Cha kuvaliwa mguuni au ni Nini kililengwa.Je mahala pale palipotajwa kwamba ni pasafi ni sehemu gani?mbinguni,Israel au hapo walikokua wamefikia mala...
  5. Its Jensen

    Forex imenifilisi, nauza monitor yangu 🙏 naombeni msaada wenu

    Habari wana jamwi ninauza monitor yangu bado mpya kabisa nilikua natumia kwenye forex ila nimeliwa hela zote, nimeuza laptop tayari imebaki monitor tu Ni HP flameless, monitor ni mpya na nzima haina tatizo lolote, naiuza kwa bei ya hasara 250,000 tu kama upo tayari kununua piga simu 0744288929...
  6. de Gunner

    Guys nisameheni, Naombeni mawazo yenu nirekebike

    Mimi ni mtu flan ambae huwa na mawazo mengi sana na huwa nafikiri vitu kwa ukubwa sana tu the point na weza kumiss little details.. (over thinker mkubwa sana mimi) So basically ni kaamua kuwa instead of kukaa na vitu vingi kichwani ni bora kushare na kupata closure kwa wadau Nafurahi mwitikio...
  7. M

    Mtaji wa 3.5Milioni biashara gani inafaa

    Kwa kijana mwenye umri wa 22yrs mwenye mtaji wa 3.5M apa mjini dsm ungemshauri ajikite kwenye biashara zipi zinakazomfanya atoboe kimaisha baada ya miaka michache?
  8. ibrahim143

    Naombeni kazi kwa usiku

    NAOMBENI KAZI KWA NYAKATI ZA USIKU
  9. Eunice selin

    Mimi Mgeni, naombeni ukaribisho mzuri

    Habari zenu wanajukwaa Mimi ni mgeni naombeni ukaribisho mzuri na pia nahitaji marafiki wapya wakubadilishana mawazo 🙏🙏
  10. B

    Naombeni msaada

    Kuna huu utaratibu wa kure-new vyeti vya kuzaliwa kulikoni kwani hivi vipya vipoje
  11. Levi Ackerman

    Naombeni solution

    Habari wana JF . Naombeni solution ya kuondoa social anxiety na kuimprove social communication, napoteza vitu vingi sana Especially real connection , kwasababu tu ya kua na ile anxiety ya what if ?
  12. chapati mbili na chai

    Naombeni kazi ya Guest house

    Kama uko na nyumba ya wageni na unahitaji mfanyakazi Niko hapa, nitafanya kazi zote, na Seriously ndani ya miaka miwili utajenga guest nyingine. Mtu seriously pekee anicheki
  13. chapati mbili na chai

    Kwa mtaji wa afya na nguvu naombeni shughuli ya kufanya niingize kipato

    Mtaji wangu ni afya naombeni shughuli ya kufanya
  14. okiwira

    Wataalim wa Wifi naombeni msaada wa kibiashara

    Salam wana Jf Nahitaji kufungua biashara ya wifi yaani nifunge wifi kisha niwe nawaunga jamii iliyonizunguka kwa 500 per 1hrs. Ila sijui nianze na kitu gani gharama zake? Jinsi ya kudhibiti data washusha movies, umbali kiasi gani ndio mzuri? Kifurushi unlimited haijalishi kitamiwe kiasi gani...
  15. A

    Afya ya mama mjamzito

    Je, ni kawaida kwa mwanamke mwenye ujauzito kuwa anatapika frequently kiasi kwamba hakuna chochote anachoweza kula iwe ni maji ama chakula ni lazima atapike? NI ujauzito wake wa kwanza.📌 dawa zote alizopewa siku ya kuanza clinic hazimezwi sababu ya kutapika.
  16. ndege JOHN

    Naombeni jibu: Je, viongozi wa harakati za uhuru wanapewa sifa kubwa kuliko hali halisi ya kisiasa iliyokuwepo wakati huo?

    Nikisomaga historia za uhuru wa nchi za Afrika inaonekana kwamba ilikuwa ni mapambano makubwa sana yaliyohitaji juhudi za ajabu kutoka kwa viongozi kama Julius Nyerere, Jomo Kenyatta na wengine wengi. Lakini nikiangalia kwa karibu, miaka ya 1950 na 1960 ilikuwa kipindi ambacho tawala nyingi za...
  17. Sitaki kuamini

    Wakuu naombeni msaada, hii ndoto ina maana gani?

    Wakuu salaam! Naota nakutana sana na huyu rafiki yangu aliyefariki mwaka 2018 ,si mara moja Wala mara mbili ni mara ya nne sasa na yote ni huu mwaka tu. Naota shule imefungua tumekutana tena namuuliza 'mbona ulikua hunitafuti likizo ? na yeye aniuliza mbona na wewe ulikua hunitafuti?' basi...
  18. Jang hyuk

    Wakuu naombeni kazi Niko mwanza mkoleni.

    Wakuu naombeni kazi yoyote hata saidia fundi. Au kama Kuna mtu anajua kazi za day zinapopatikana naomba anielekeze. Namba yangu ni 0790601629. Asante.
  19. Kilawo

    Naombeni ushauri nina million 3 nifanye biashara gani?

    Habarini wakuu Katika Harakati za hapa na pale nimepata milion 3 nifanye biashara gani?ili niweze kupata Kwa siku faida ata 30k.
  20. BARDIZBAH

    ONSTREAM imeliwa kichwa naombeni site nyingine kali ya kudownload movie offline

    Wazee ni wiki ya pili sasa Onstream imegoma kabisaaa. Toeni msaada wa sites nyingine kali nzuri za kudownload movie.
Back
Top Bottom